"YESU SIO MUNGU". NIKATIKA MASWALI NA MAJIBU KATIKA DA-WAA GITHURAI 45 ROUND ABOUT PART 8

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • DA-WAA NA USTADH YUSUF WAMBUGU, USTADH SAID MWIRIGI, USTADH HUSSEIN MWENJA NA USTADH HAMISI ABDALLAH

КОМЕНТАРІ • 66

  • @ahmedsalatbashir4380
    @ahmedsalatbashir4380 2 роки тому +3

    Keep going bro 🤲🤲🤲

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 10 місяців тому +2

    Mashaallah tabarakallah Allah ampe afya njema n elimu n hekima walim wetu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Рік тому +2

    Hapo kwa ustadh amir Yusuf wambugu mtatulia tu 😅😅😅

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 2 роки тому +3

    Ni vichekesho 100/100 binadamu apo apo mungu

    • @سعدياقوت-ت2خ
      @سعدياقوت-ت2خ 6 місяців тому

      😂😂😂 alafu ni watu wazima na akili zao wallai

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 5 місяців тому

      @@سعدياقوت-ت2خ pengine wana watoto kadhaa

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 5 місяців тому

      Apo APO mtoto wa mungu halaf ni mtu mzimaa kwenye ankili timamu

  • @VEYRON891
    @VEYRON891 Рік тому +2

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 2 роки тому +7

    MashaAllah shaikhe Yusuf Allah akubarik kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin akutakieni Ramadan Mubarak

  • @mufunyiibrahim3655
    @mufunyiibrahim3655 2 роки тому +2

    Huyu ni wa kupoteza wakati

  • @fumoshee2524
    @fumoshee2524 2 роки тому +3

    MashaAllah shaikh yusuf...Allah awajaalie IKHLASW na awalipe mema...amiin

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 2 роки тому +4

    Umewathalilisha! Na kimeeleweka! MashaAllah!

  • @hamzayesu2017
    @hamzayesu2017 2 роки тому +6

    Mashallah kazi mufti kabisa the going is going.... Allah atuwafikishie malengo yetu sote in shaa Allah

  • @maryammagenyo5087
    @maryammagenyo5087 2 роки тому +5

    Mashallah

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf3431 2 роки тому +4

    Mansha Allah May Allah bless our ulamaa Amiin

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent7796 2 роки тому +3

    Asalam alykum www sheikh Yusuf kuringaniya awowatu wajuwe ukweri mungu akupe kira raheri

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 2 роки тому +4

    SUBHANAH inasikitisha sana kusema yesu ni MUNGU haingii akilini ALLAH awahidi hawa watu waiyone haki

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 роки тому +4

    Mashallah Allah

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 10 місяців тому +1

    Ak mesheikh mnakazi macho wanayo ila hawaoni kweli Mungu ndie humuogoza mja in Sha Allah wapate hidaya

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 10 місяців тому +1

    Mungu si mwanadamu wala hana mfano wa mwanadamu ila yesu mwenyew amesema ana baba Mungu wangu nae n Mungu wenu

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 5 місяців тому

      Kwani unafikiri hawaelewi usingizi tu una wasumbua

  • @somojarso9614
    @somojarso9614 2 роки тому +3

    Walai Allah awajalie mema Ustadh wambungu na wenzako kwa hii neema ya kufikisha ujumbe ya imani

  • @hafsakirao398
    @hafsakirao398 2 роки тому +4

    Masha'Allah , kazi safii Amir Yusuf.

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 2 роки тому +3

    MashaAllah raha kweli!

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 2 роки тому +3

    Ramazan Kareem.good job Ustaz.

  • @rashidmaina2166
    @rashidmaina2166 2 роки тому +1

    MashAllah

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi9659 2 роки тому +4

    Ramadhan Mubarak ma Ustadh. Mola akubali ma ibada zetu huu mwezi mtukufu

  • @maryamhussein461
    @maryamhussein461 2 роки тому +2

    MashaAllah

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA Рік тому +1

    MASHALLAH ❣️

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly6304 2 роки тому +2

    Asalama alaikum ustadh Yusuf kwanza pongezi kwa kazi nzuri alafu kuna andiko apo sijalifahamu vizuri lipo katika hisabu ila sijui ngapi ngapi linasema mungu si mtu ili aseme uwongo wala sijui vipi uko mbele ila namini utakuwa umekifahamu nilikuwa naomba unipe sura na mstari wake

  • @HassanAli-mc4dt
    @HassanAli-mc4dt 2 роки тому +4

    Assalamualaikum warahmatullahi wabarakatuhu jazzakallahu kheiran wa ahsanallahu ileykum Barakallahu fikum

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 2 роки тому +1

    asalamu aleykum brothers and sisters Jamani tu saidiye hii chanel ku angalia advertisment yote msi ondoe ili advertisment ilipe mandugu zetu naona wengi wana fuatilia na sisi sote tuki angalia advertisment yote bila ya ku skip advertisment itawasaidia mandugu zetu wa daawa walipwe kwa kazi yao nzuri ya hii vedeo, na allah pia atawalipa inshaalh kwa kazi yao nzuri. AMIIN

  • @AshamMussa
    @AshamMussa Рік тому +1

    Hivi vichwa vya wakristo waliowengi vimeoteshwa kutu iloyotokana chuma Cha reli kuichuna Pana kazi kweli kwa Nini hawafahamu maandiko ? Mtihani kweli Allah awazindue

  • @moanamohammed1406
    @moanamohammed1406 2 роки тому +1

    Masha Allah sheikh wetu

  • @kingsdaughter2040
    @kingsdaughter2040 2 роки тому

    Yesu ni mungu isaiah 43

  • @yabdul1782
    @yabdul1782 Рік тому +1

    Wakristo na ukambavu wao mwili na utatu. Kwani nafsi ya nena au roho ya nene peke? Ama lazima ziwe pamoja. Shida ni wakristo washazoea kufikiri mungu ni kama binadamu.

  • @nyawebabu5644
    @nyawebabu5644 2 роки тому +3

    Jama hana hoja a maliza wakati

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim6133 2 роки тому +2

    Assalam aleykum warhmatullah wabarakatuh
    We are waiting patiently for part 9 in shaa Allaah.

  • @mufunyiibrahim3655
    @mufunyiibrahim3655 2 роки тому +1

    Iko na part 9

  • @nyawebabu5644
    @nyawebabu5644 2 роки тому +3

    Asalam alaykm

  • @musanike3079
    @musanike3079 2 роки тому +2

    huyo mkristo kachanganikiwa 😇 asomewe Mathew 1:1

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 2 роки тому +2

    ukristo unafaa kuishia tu kwa Yesu kutumwa kwa waisrael tu,maana ata Mungu aliahidi waisrael tu,sasa hawa wanaojiingiza sjui wanatafta nini

    • @msangiramadhan1911
      @msangiramadhan1911 2 роки тому +1

      Sasa Cha hajabu zaidi hata yesu hajawahi kuwa mkristu

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 роки тому +1

    aa hizi nizakitambo ama ni za Ramadhan hii

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo69 2 роки тому +3

    Hawa wa Kristo sijui ni ugonjwa gani wako nayo, hawa semagi ukweli, na hawaji kwa point direct! Na hata ukiwa uliza swali, wata zunguka soko mzima, halafu wata jibu Kuku, na hali uliuliza Avacado!
    Wachaneni na Bibilia, hicho ni vitabu za Wazungu, tena Wazungu wachafu, walioi tunga hivi vitabu hivi juzi tu, in 1611ad, na shoga King James!

    • @petersonnyoro459
      @petersonnyoro459 2 роки тому

      Also Koran ni kitabu tu kama shamba la Wanyama pia biblia

  • @bahatikenia39
    @bahatikenia39 2 роки тому +3

    Mashaalah