MBOWE AKINUKISHA ARUSHA MJINI, AIVAA SERIKALI YA CCM, MATUMIZI MABAYA, AMTAHADHARISHA RAIS SAMIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE UA-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

КОМЕНТАРІ • 34

  • @ErickTesha-wn7ek
    @ErickTesha-wn7ek 2 місяці тому +1

    Kweli sasa wanaume tumehudhuria mkutano vzr sana

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 2 місяці тому +2

    Duhuuuuuuu! Serikali ya anasa nihatari magari 150 kweli viongozi wa maccm mnatupeleka wapi watanzania tuamke maandamano ni muhimu sana bora tume kama kenya

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz 2 місяці тому

    Mmhhh mungu wangu tuhurumie tusaidie sana.eee

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 місяці тому +1

    Mazoea ya matumizi mabaya magari ya viongozi Africa ndio.maana wingereza kwenye msiba wa qween alizazabet waliwapakia kwenye mabasi walilalamika lakini walikwenda wenyewe na aibu zao

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 2 місяці тому

    Watawala mnacheza na maisha ya watanzania magari 150 kwenye msafara ni kufuruuuuu na mna viburi kwa sababu ya jeshi la polisi na wanajeshi ila nawaambia iko majeshi yatanyoosha mikono na kussarender hapo ndo mtaelewa nguvu ya umma

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 2 місяці тому +1

    Mwizi ni yule chawa wa ccm

  • @VictoryMTarimo
    @VictoryMTarimo 2 місяці тому

    Watanzani wengi bado mazusu wasipo badilika sijui nani kawaloga

  • @lemakhalfan8564
    @lemakhalfan8564 2 місяці тому

    Ccm oyeeee chadema sera akuna

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 2 місяці тому

    ACHAUNGO KITI CHENU CHAKWANZA NI KIGOMA DOCTA KABURU

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 місяці тому

    Nkurunzinza umechokwq waachie vijana

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 2 місяці тому

      We maraga, Tunis akılı na toa point badala ya kukutupuka. McMahon ni McMahon hata skips kWa mavi habadiliki. Chawa ni chawa tu. Fıkra finyu ni kula mna lamba viongozi kama mazezeta yasiyojifahamu yasiyo na elimu yasiyo na uhuru wala uwezo wa kujifikiria wao wenyewe. Na chura wao.

  • @elviswebbo1164
    @elviswebbo1164 2 місяці тому

    Mbowe demokrasia ianzie kwako....miaka na miaka mwenyekiti wewe tu mzee?
    😅😅😅😅

    • @CharlesMwakajinga-r5d
      @CharlesMwakajinga-r5d 2 місяці тому

      Akili ndogo pumbavu

    • @elviswebbo1164
      @elviswebbo1164 2 місяці тому

      @@CharlesMwakajinga-r5d Mbowe ruhusu Demokrasia CDM mzee acha kunitukana! Ni wewe tu unayeweza kutawala mzee?

    • @jumannerizimbura6750
      @jumannerizimbura6750 2 місяці тому

      Wanataka atoke, wanunue CDM ... HAKUNA KINGINE

    • @ErnestiSulle-w9k
      @ErnestiSulle-w9k 2 місяці тому

      Wewe mpuuzi jiangalie Sana kw umri ulionao nisingetegemea uongee. hivo

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 2 місяці тому

      Njoo ugombeee wewe umekatazwa kwani au uchawa unakuwashaa

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 місяці тому

    Mwizi tu wewe

    • @ParimeloNgarim
      @ParimeloNgarim 2 місяці тому

      Wew jee unapenda sana mateso eee mbuwa wewe sana utaki ukwel lakin tunasema kama vip kufaa mjinga wewe mtu mzima ofyo tu

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x 2 місяці тому

      Dah ndugu yangu ungeacha ushabiki ukakaatu ukatafakari...ungeachana na kuinga ccm

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 2 місяці тому

      Uchawa unakusumbua kwani wezi huwaoni??????

    • @mlyamalitv1789
      @mlyamalitv1789 2 місяці тому

      Huyo haitegemei mtu.

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 2 місяці тому

      Mbowe ni mwiba, ndio maana wangependa aondoke ili iwe rahisi kwao. Mbowe tuvushe kwanza baba. Mungu akubariki na kukulinda.