Duhuuuuuuu! Serikali ya anasa nihatari magari 150 kweli viongozi wa maccm mnatupeleka wapi watanzania tuamke maandamano ni muhimu sana bora tume kama kenya
Mazoea ya matumizi mabaya magari ya viongozi Africa ndio.maana wingereza kwenye msiba wa qween alizazabet waliwapakia kwenye mabasi walilalamika lakini walikwenda wenyewe na aibu zao
Watawala mnacheza na maisha ya watanzania magari 150 kwenye msafara ni kufuruuuuu na mna viburi kwa sababu ya jeshi la polisi na wanajeshi ila nawaambia iko majeshi yatanyoosha mikono na kussarender hapo ndo mtaelewa nguvu ya umma
We maraga, Tunis akılı na toa point badala ya kukutupuka. McMahon ni McMahon hata skips kWa mavi habadiliki. Chawa ni chawa tu. Fıkra finyu ni kula mna lamba viongozi kama mazezeta yasiyojifahamu yasiyo na elimu yasiyo na uhuru wala uwezo wa kujifikiria wao wenyewe. Na chura wao.
Kweli sasa wanaume tumehudhuria mkutano vzr sana
Duhuuuuuuu! Serikali ya anasa nihatari magari 150 kweli viongozi wa maccm mnatupeleka wapi watanzania tuamke maandamano ni muhimu sana bora tume kama kenya
Mmhhh mungu wangu tuhurumie tusaidie sana.eee
Mazoea ya matumizi mabaya magari ya viongozi Africa ndio.maana wingereza kwenye msiba wa qween alizazabet waliwapakia kwenye mabasi walilalamika lakini walikwenda wenyewe na aibu zao
Watawala mnacheza na maisha ya watanzania magari 150 kwenye msafara ni kufuruuuuu na mna viburi kwa sababu ya jeshi la polisi na wanajeshi ila nawaambia iko majeshi yatanyoosha mikono na kussarender hapo ndo mtaelewa nguvu ya umma
Mwizi ni yule chawa wa ccm
Watanzani wengi bado mazusu wasipo badilika sijui nani kawaloga
Ccm oyeeee chadema sera akuna
ACHAUNGO KITI CHENU CHAKWANZA NI KIGOMA DOCTA KABURU
Nkurunzinza umechokwq waachie vijana
We maraga, Tunis akılı na toa point badala ya kukutupuka. McMahon ni McMahon hata skips kWa mavi habadiliki. Chawa ni chawa tu. Fıkra finyu ni kula mna lamba viongozi kama mazezeta yasiyojifahamu yasiyo na elimu yasiyo na uhuru wala uwezo wa kujifikiria wao wenyewe. Na chura wao.
Mbowe demokrasia ianzie kwako....miaka na miaka mwenyekiti wewe tu mzee?
😅😅😅😅
Akili ndogo pumbavu
@@CharlesMwakajinga-r5d Mbowe ruhusu Demokrasia CDM mzee acha kunitukana! Ni wewe tu unayeweza kutawala mzee?
Wanataka atoke, wanunue CDM ... HAKUNA KINGINE
Wewe mpuuzi jiangalie Sana kw umri ulionao nisingetegemea uongee. hivo
Njoo ugombeee wewe umekatazwa kwani au uchawa unakuwashaa
Mwizi tu wewe
Wew jee unapenda sana mateso eee mbuwa wewe sana utaki ukwel lakin tunasema kama vip kufaa mjinga wewe mtu mzima ofyo tu
Dah ndugu yangu ungeacha ushabiki ukakaatu ukatafakari...ungeachana na kuinga ccm
Uchawa unakusumbua kwani wezi huwaoni??????
Huyo haitegemei mtu.
Mbowe ni mwiba, ndio maana wangependa aondoke ili iwe rahisi kwao. Mbowe tuvushe kwanza baba. Mungu akubariki na kukulinda.