Usiwe na waswasi kwa sababu ya wasiokuelewa katika pande zote. Mungu wa kweli ni tofauti sana na tunavojuwa. Hata Saul hakuwahigi kujuwa kama Mungu wa Kweli atamtumiya. Kwa hiyo usijali watu wanavofikiri kuhusu wewe, kama ni watu wa Mungu wa Kweli watakuelewa mwishoni. Napongeza sana ujasiri wako Omari. Hayo yote ni mipango ya Mungu wa Kweli. Upitiye uzimuni kabla ya kuokoka ili uweze kutowa mafunzo rasmi kwa wana wa Mungu wa Kweli. Ni kweli kuwa katika mazehebu mengi bado kuna wajinga wengi tu wenye elimu ndogo katika kutambuwa mambo ya Mungu wa Kweli. Mungu wa Kweli ni tofauti. Halleluya!!
@@glorymiko4864 😭😭KUMBUKENI SIKU YA QIYAMA KUNA HESABU .......NA WEWE USIJIITE KUWA ULIKUWA MUISLAM MAANA UISLAM UNAPINGA UCHAWI MAANA ULIKUWA UNAMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU NA MAMBO MENGINE 😭HASBIYALLAHU WANEEMA L WAKIL ..... NINAKUOMBEA MWENYEZI MUNGU AKURUDISHE KATIKA NJIA YA HAQI KABLA HAKIJAKUFIKIA UMAUT ........
@@zanaalrijbi3783 uyo alikuwa sio mwislamu ila wewe ndo mwislamu saana hautaki uganga uslamu uongo wa nini wakina shehe sharif majini siyo waislamu na siyo waganga je ambao wanatangaza mitaani kuwa wanapandikiza majini wema na pete za majini siyo waislamu ila wewe ndo mwislamu hakuna kifungu ambacho kinakataza uganga ktk uislamu na je albadili ni kitabu cha wakristo ee
Ukiwa Mkristo umemfuata Kristo aliyehai haujawa na dini na hautokiwa na dini kamwe,Usidhanganye Dini na roho zete,Tunamchanganya Yesu na Roho zeetu tui
Yani wakristo hawatofautian na wahind wanaoabudia masanamu Munasema kwamba ety yesu ni Mungu kama Mungu niwakuonekana angejionesha tokea mwanzo wa dunia ili aweze kuwakomboa waja wake wa mwanzo
Was tahila anatunga???ndo yanayoendelea huko kwenu na mbaya zaid mmejiingza kwa wakristo Hawa wanaojiita mitume mnawapa hzo nguvu zenu lkn ashukuliwe mungu na mwanae wapekee mambi hadhalani
Na nyinyi maisha yenu mshazoea kudanganywa mnaenda kanisani uchi kukata viuno ety ndo ibada zenu hizo ety ndo dini ya Mungu hiyo mbona ktk picha zenu zinazomuonesha Mariam mama yake yesu hamumvalishi kimini kama mnavovaa nyinyi.
Biashara zako na Hiyo mitungo yako Itasimama na ww mbele ya Allah, c makosa yako ni Huo uchawi ulio kujaa bado Akilini na Hao wachawi ndio wanao jifanya Mashekhe na kujifanya Ma Ustadh ili kuharibia jina na Uislamu, HASBUNLLAH WA NEEMAL WAKIIL, Naamini tu Allah na mtume wake na siamini chochote unachosema, Allah tu ndie atakae kuhukumu, na kukuongoza wewe.
Mbona povu🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉 we taila nn, ongea mpk kichina au kipalestina usiongee kialabu tu, mambo yenu yako wazi Sasa hv toka huko kwa uislam acha ubshi yesu ni mwokozi na bwana wa mabwana mtume wenu yuko chini ya YESUKRISTO kataa ukubali, anasubr sku ya mwisho kufufuliwa na kupelekwa motoni nawale wataokua bado wamekomalia kwake njo kwa yesu mnaumbuka vibaya
Allah si ndiye anayemwongoza anayependa kumwongoza na kutomwongoza anayependa kutomwongoza...si shetani huyo kwa maana utakuwa unajiona umeshika dini kumbe ikifika tu karibu uingie peponi anakuja malaika mwenye hatima yako anakuambia ww ulikuwa umeandikiwa motoni 🤣🤣
Jamani tuwaombee watoto wetu maana ulimwengu wa Roho una mambo ya kutisha asante kwa ushuhuda wako barikiwa
00
Usiwe na waswasi kwa sababu ya wasiokuelewa katika pande zote. Mungu wa kweli ni tofauti sana na tunavojuwa. Hata Saul hakuwahigi kujuwa kama Mungu wa Kweli atamtumiya. Kwa hiyo usijali watu wanavofikiri kuhusu wewe, kama ni watu wa Mungu wa Kweli watakuelewa mwishoni.
Napongeza sana ujasiri wako Omari. Hayo yote ni mipango ya Mungu wa Kweli. Upitiye uzimuni kabla ya kuokoka ili uweze kutowa mafunzo rasmi kwa wana wa Mungu wa Kweli.
Ni kweli kuwa katika mazehebu mengi bado kuna wajinga wengi tu wenye elimu ndogo katika kutambuwa mambo ya Mungu wa Kweli. Mungu wa Kweli ni tofauti.
Halleluya!!
Hakika yupo mungu wa kwel
Mungunimwema,upohai,kaka,niliupata,ushuhudahuu,kwenye,radio,wapo,ukiwanakundi,lawokovu,lamchungaji,simbaulanga,kule,dareslaam,mabibo,nimefurahi,sanakukuona,Yesu,atakulinda,wapeushuhudawote,iliwachague,njia,iliyosahihi,nikumkiri,Yesu,kuwandionjiayakweli,nauzima
Ahsante sn kwa ushuhuda, Kweli Uchawi upo!!
Yesu Kristo anatisha,bj
Nyinyi waislamu Dina yenu ni majin tu Mungu mnamshirikisha ty
Acheni asimulie alichokutana nacho kwenye maisha yake azungumzii dini apa
Watu wanaumia saana hawataki kuwa exposed
Watu wanatisha sana hakika.
Watu acheni uchawi na uganga
Barikiwa napata ufahamu jinsi ulimwengu wa giza unavyo fanya kazi tupe part 3
Kumbe usafiri wa ungo muzuri,lakini kumbuka huwezi kuingia mbinguni siku ya Mwisho,by fly
Alishaacha
Yesu nimuweza
Amen
Asante kwa ushuuda
Safi hapa uliunganisha vizuri
God bless you 🙏
Ameen
daaaaaaaaaaah
kenya tumemaliza nguvu za uchawi huku..yesu anatawala
😅Asante mungu kwa wakenya maana sisi atujuani na mambo ya kichawi sana
Barikiwa mtumishi Jactan
Ameen
Kafundishe hadharani usiwafanye wajinga wanao kusikiliza
@@PromovertvTz uko WAP best?
@@emylyanzile8262 Nipo Mwanza rafiki
Basi Sawa
Nikama huu shuhuda niliusikia pale kwa Gwajima lakini hakufikia kueleza ni vipi aliachana na uchawi
kweli zimefanana sana.
Aposawa ukweli
Mpaka mtumie uongo kutangaza ukristo mm nilitegemea mtatoa maandiko kumbe alikua mchawi😂😂😂😂😂
Huu ndio uislamu sasa yaan ushetani wazi wazi tuwaombee ndugu zetu jamani...
Wapi part 3
Kila movie inamwisho wake.
@@glorymiko4864 😭😭KUMBUKENI SIKU YA QIYAMA KUNA HESABU .......NA WEWE USIJIITE KUWA ULIKUWA MUISLAM MAANA UISLAM UNAPINGA UCHAWI MAANA ULIKUWA UNAMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU NA MAMBO MENGINE 😭HASBIYALLAHU WANEEMA L WAKIL ..... NINAKUOMBEA MWENYEZI MUNGU AKURUDISHE KATIKA NJIA YA HAQI KABLA HAKIJAKUFIKIA UMAUT ........
@@zanaalrijbi3783 uyo alikuwa sio mwislamu ila wewe ndo mwislamu saana hautaki uganga uslamu uongo wa nini wakina shehe sharif majini siyo waislamu na siyo waganga je ambao wanatangaza mitaani kuwa wanapandikiza majini wema na pete za majini siyo waislamu ila wewe ndo mwislamu hakuna kifungu ambacho kinakataza uganga ktk uislamu na je albadili ni kitabu cha wakristo ee
Huu ushuhuda kama wa mtu aliyewahi kwenda visiwa vya comorro niliwahiwa kusikia sehemu sikumbuki ni wapi??
story za jaba
Dini ya shetani na majini yake.
Shehe
Maisha ukristo hautobaki kuwa dini ya kweli.
Pole Ukristo ni ufuasi siyo dini,Usichanganye Yesu na Dini
Ukiwa Mkristo umemfuata Kristo aliyehai haujawa na dini na hautokiwa na dini kamwe,Usidhanganye Dini na roho zete,Tunamchanganya Yesu na Roho zeetu tui
Quran imesema kwamba yeyote ambaye atakufa hali ya kuwa ni mkristo ataingia motoni milele jee ni wapi bibilia imetaja kua mkristo ataenda peponi
Yani wakristo hawatofautian na wahind wanaoabudia masanamu Munasema kwamba ety yesu ni Mungu kama Mungu niwakuonekana angejionesha tokea mwanzo wa dunia ili aweze kuwakomboa waja wake wa mwanzo
Ehe endelen kutuga pat 3
Was tahila anatunga???ndo yanayoendelea huko kwenu na mbaya zaid mmejiingza kwa wakristo Hawa wanaojiita mitume mnawapa hzo nguvu zenu lkn ashukuliwe mungu na mwanae wapekee mambi hadhalani
Na nyinyi maisha yenu mshazoea kudanganywa mnaenda kanisani uchi kukata viuno ety ndo ibada zenu hizo ety ndo dini ya Mungu hiyo mbona ktk picha zenu zinazomuonesha Mariam mama yake yesu hamumvalishi kimini kama mnavovaa nyinyi.
Napenda sana usafiri wa aina hiyo ya fimbo
🤔🤔🤔🤔
Nanyny wakristo mnahongopewa hapo mh
Mpuuzi tu huyu
Balikuwa sana lakini jama umeamuwa kumufwata Yesu kwanini unabaki kujitambulisha jina la shekh ?namavazi hayo kwanini?
Hayo majna ni lugha tu, km lugha zngne, na haya ni mavaz tu km mavaz mengne mfano kwetu bukoba kanzu ni vaz la heshma sana
Mavazi na majina ni tamaduni na asili tu, havihusiani na dini japo wengi huamini hivyo
Biashara zako na Hiyo mitungo yako Itasimama na ww mbele ya Allah, c makosa yako ni Huo uchawi ulio kujaa bado Akilini na Hao wachawi ndio wanao jifanya Mashekhe na kujifanya Ma Ustadh ili kuharibia jina na Uislamu, HASBUNLLAH WA NEEMAL WAKIIL, Naamini tu Allah na mtume wake na siamini chochote unachosema, Allah tu ndie atakae kuhukumu, na kukuongoza wewe.
Mbona povu🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉 we taila nn, ongea mpk kichina au kipalestina usiongee kialabu tu, mambo yenu yako wazi Sasa hv toka huko kwa uislam acha ubshi yesu ni mwokozi na bwana wa mabwana mtume wenu yuko chini ya YESUKRISTO kataa ukubali, anasubr sku ya mwisho kufufuliwa na kupelekwa motoni nawale wataokua bado wamekomalia kwake njo kwa yesu mnaumbuka vibaya
Allah si ndiye anayemwongoza anayependa kumwongoza na kutomwongoza anayependa kutomwongoza...si shetani huyo kwa maana utakuwa unajiona umeshika dini kumbe ikifika tu karibu uingie peponi anakuja malaika mwenye hatima yako anakuambia ww ulikuwa umeandikiwa motoni 🤣🤣
We ujasoma dini fatuma Mohamed tulia hyo dini ndo ilivyo ww
Si bora yeye aje asimame mbele za haki??
@Chiemcee Izzy tena nzuri saana ilimuondoa gizani sasa yuko nuruni,Tengeneza yako uende Promover tukusikilize