Aliyauma akimaltu lakum dinakum Asante sana sheikh dini ilikamilika kabla ya sayansi na sayansi haiwez kuwa ndiyo ukamilifu wa dini.. mashaAllah ALLAH akuhifadhi sheikh .
Nimekuelewa sn Sk wng na mwl wng,nakukumbuka sn pale Nkr Teachers Training.Umahiri wako bado ni imara km ule mda.Allah akujalie umri mrefu wenye kheri na ww
Hata mimi nilikuepo mwaka ule 88, 89, 90. Allah amzidishie afya njema na umri mrefu aamiin. Ni mwalimu nasheikh ambae Allah kamjalia elmu duniya wal aakhirah
Mafundisho yake mtume yanaafikiana na elimu ya Geografia na astronomia, ambapo mwandamo wa tarehe 29 huonekana kwa asilimia ndogo sana ya eneo la dunia, ni katika wigo huo watu wataambizana taarifa zake. Ama yule ambaye yuko katika wigo ambao mwezi haukuoneka kutoka na kutokuwa katika wigo wa kutoonekana mwezi basi mwandamo wa kwanza atauona siku ya pili yaani , siku ya 30 na mwezi utaonekana juu zaidi na utachelewa kuzama. Hiyo ndiyo sababu mtume alisema kwa kuashiriwa mwezi ni siku 29 na 30 Na tazama mtume hakusema 29 au 30 hapana kasema 29 na 30. Ikimaanisha wapo watakaouna siku ya 29 na katika zone hiyo wasiouona wataambwa na waliouona siyo nje ya zone hiyo. Na wapo watafunga siku inayofuata yaani siku ya 30. Ndiyo maana ya Mtume kusema mwezi ni 29 na 30 na hakusema ni 29 au 30. Ichunguzeni hadithi .
ISIKILIE TOKEA MWANZO UTAONA NIMEZUNGUMZIA MADHEBU YOTE SIKUSIMAMA KATIKA MSIMAMO MMOJA ..... NAKUOMBA ISIKILIZE TOKEA MWANZO HALAFU LETE MALALAMIKO YAKO KUWA NIMESIMAMA KATIKA MSIMAMO WANGU .
salum takao uislamu adabu kama unakosa adabu jichunguze uislamu wako usifate mkumbo Allah ameyutaka tusome sio kufata walio soma inawezekana ukawafata ukashindwa kuwaelewa sifa ya muislamu wakweli ni kuchunga adabu kwa kila jambo hata kuvaa nguo zako kunaitaji adabu usiwe mshabiki kama upo ktk maswala ya kipuuvi kama siasa au mpira lakini masiala ya dini hata kama una elimu unatakiwa uwe na adabu hayo ni maneno ya mtume vip wewe kwani ukisikiliza kisha ukanyamaza sitakua heri kubwa nami nafikisha kwako hili nipate ujira mbele ya Allah kwa kukumbusha tumeambiwa tumechunge adabu tukumbuke aya tunayoyasema yana andikwa tutayakuta mbele ya Allah
Ni sahihi kabisa inaonekana nchi nyingi duniani hazikubali kufuata muandamo wa mwenzake, ispokua watu ndo wanajigawa kufuata kwengine, kauli ya imamu Shafi ndo inafanyiwa kazi zaidi. Ndo mana hata saudia hawaulizii habari za mwezi kutoka nchi nyengine.
Sasa kama mtume alipokea taarifa na bila kuona mwezi na akafungua, ingekuwa wewe sheikh ubwabwa hapo ungebisha ukasema hujauona kwa hiyo mngeendeleza hitilafu.
We mzee usitafute kiki huku youtubu. Kaisome hiyo sunna uijue halfu uje kuongea huo upuuzi wako. Kama huupendi kuon watu wakizinduk siku had siku usikae kuongea upuuzi . Utadhalilishwa hadi ujitfute watu wa elimu zao na hojja zkutosha hawajakurupukwa km unvokurupukwa ww . Kasome mzee wangu then rudi hapa uje uongee tena
Mkosa adabu wakiwahabi unawatukana maulamaa hadi mwenzi wa ramadhan kwa lazi awe alie sema ni huteimia ama fauzan. wasomi na wanachuoni ni wengi kuweni na adabu kwa mashehe wewe ndio inatakiwa ukasome.
@@KhamisiOmar-v3h na ww ukasome, mwambien uyo mzee wenu akasome Sunna kwanza ndo aje huku so aone Raha kupata comment na view tu huku UA-cam. Watu tunataka contentent htutaki porojo lake sie. Kamwambieni ashushe hoja za kieleimu tena ziwe sahihi .
Innalillah wainnailayh raaj'un. Dunia ya sasa watu hawazinduki bali wanapotea zaidi. Rudi kafanye utafiti tena ni zipi zana bora?. Hizi kaumu zinazopotea zaidi
Hamna point hapo sasa hivi habari zinasafiri kwa umeme mzeee sio dunia ya zamani hiii habari kutoa Amerika mpaka Afrika kusini inachukua sekunde moja na Allah alijua ndio maana akatutayarishia urahisi wa kueleka habari
@@zimammbaruk4231 kwani kwa akili yako umeme umeumbwa na nani? na umeletwa hapa ulimwenguni ili utumiwe na nani ? na kwafaida ipi ? nyie itabidi muache uvivu wa kusoma na kuuelewa Uislaam uislam sio dini ya mabubusa ni dini ya Ulil-Albabu(wenye kutumia akili) akama alivyosema mwenyewe Allah
Shida sio habari inaenezwa je, shida ni kwamba itabidi Tanzania tusiangalie mwezi kwa sababu haiwezekani Tanzania ione mwezi kabla USA au Uarabuni nk. Hoja yako ingekuwa sahihi kama mwezi unaonekana "randomly" yaani tuulizane duniani kote mwezi umeonekana wapi, lakini kwa hivi inabidi kila siku Watanzania wawaulize wengine. Kila mmoja afuate alichoamini!
Mi sjaerewa kwani mtu akisafiri siku saba ndiyo hawezi kufika kwa mtume wakati wa insha na VP kuhusu hijja tutafuata mwezi gani mi nimeona shida kwa shehe wetu huyo anavojiapiza kuwa yeye atafuata anachokijua Hadi kufa uislam hauko hivyo uislam inapokujia haki ni kuifuata
Point zipo Alhamdulillah nimeelewa na nimeilimika sanaaa daaaah
ALLAH aKupe umri mrefu mzee wetu utuelimishe zaidi
IN SHA ALLAH.
Mashaa Allah shukran Kwa elimu Allah akulip ujira kamili sheikh
Maaa sha Allah
Umeeleweka vzr Sheikh
MASHALAH SHEKH UMEELEZA KWA UFASAHA KABISA KILICHO BAKIA NI UBISHI WA MAWAHABI TU
Maa shaa Allah. Sheikh unaeleza vizuri Sana. Allah akulipe janna
MASHA ALLAH KHEIR UJUMBE MZURI SANA KWA WENYE KUELEWA NA KUZINGATIA. ALLAH AMJALIE SHEIKH KHAMIS AFYA NJEMA NA UMRI MREFU.
Aliyauma akimaltu lakum dinakum Asante sana sheikh dini ilikamilika kabla ya sayansi na sayansi haiwez kuwa ndiyo ukamilifu wa dini.. mashaAllah ALLAH akuhifadhi sheikh .
Nimekuelewa sn Sk wng na mwl wng,nakukumbuka sn pale Nkr Teachers Training.Umahiri wako bado ni imara km ule mda.Allah akujalie umri mrefu wenye kheri na ww
Hata mimi nilikuepo mwaka ule 88, 89, 90. Allah amzidishie afya njema na umri mrefu aamiin. Ni mwalimu nasheikh ambae Allah kamjalia elmu duniya wal aakhirah
AFWAN!!
Mashaallah ukweli uko wazi,Allah akuhifadhi
Allah akuhifadhi tuzid nufaiks
Allah akulipe kheri
Mashallah ALLAH akuzidishie umr weny manufaa na ss tufaidike
Shekh darsa zako unatoa chananel gani
Mnashindaw kumpiga vita Hamza issa yupo anapotosha ummah mnaikalia maneno mitandaoni
Wewe nani unathubutu kumuita sheikh mkubwa hivi mpuuzi?? Tena eti umefunga. Subhanallah!!
MIMI NIMEANZA KUSOMA TOKEA 1962........ MPAKA LEO.......
2024
Mafundisho yake mtume yanaafikiana na elimu ya Geografia na astronomia, ambapo mwandamo wa tarehe 29 huonekana kwa asilimia ndogo sana ya eneo la dunia, ni katika wigo huo watu wataambizana taarifa zake. Ama yule ambaye yuko katika wigo ambao mwezi haukuoneka kutoka na kutokuwa katika wigo wa kutoonekana mwezi basi mwandamo wa kwanza atauona siku ya pili yaani , siku ya 30 na mwezi utaonekana juu zaidi na utachelewa kuzama.
Hiyo ndiyo sababu mtume alisema kwa kuashiriwa mwezi ni siku 29 na 30
Na tazama mtume hakusema 29 au 30 hapana kasema 29 na 30.
Ikimaanisha wapo watakaouna siku ya 29 na katika zone hiyo wasiouona wataambwa na waliouona siyo nje ya zone hiyo.
Na wapo watafunga siku inayofuata yaani siku ya 30. Ndiyo maana ya Mtume kusema mwezi ni 29 na 30 na hakusema ni 29 au 30. Ichunguzeni hadithi .
Shukran sheikh lakini ukweli bado hujasema umesimama kwenye msimamo wako
ISIKILIE TOKEA MWANZO UTAONA NIMEZUNGUMZIA MADHEBU YOTE SIKUSIMAMA KATIKA MSIMAMO MMOJA
..... NAKUOMBA ISIKILIZE TOKEA MWANZO HALAFU LETE MALALAMIKO YAKO KUWA NIMESIMAMA KATIKA MSIMAMO WANGU .
Jazakallah khayra ,sikua nakufaham msimamo wako. Kumbe unasimamia unalolifaham ?
Maftah Musa UMESEMA KWA UHAKIKA WA KIELIMU ???
MIMI NIMEANZA KUSOMA TOKEA MWAKA 1962.......MPAKA LEO....2024
SIJUI WEWE MWENZANGU UMEANZA KUSOMA LINI ....?
KATIKA COMMENT NIMETAKIWA NIKASOME NDIO NIKAMJIBU HIVYO
Nauliza sheria za kiislamu zinageuka kwa dunia ya zamani na ya sasa?
Zanzibar wanazuoni bado wapo???
salum takao uislamu adabu kama unakosa adabu jichunguze uislamu wako usifate mkumbo Allah ameyutaka tusome sio kufata walio soma inawezekana ukawafata ukashindwa kuwaelewa sifa ya muislamu wakweli ni kuchunga adabu kwa kila jambo hata kuvaa nguo zako kunaitaji adabu usiwe mshabiki kama upo ktk maswala ya kipuuvi kama siasa au mpira lakini masiala ya dini hata kama una elimu unatakiwa uwe na adabu hayo ni maneno ya mtume vip wewe kwani ukisikiliza kisha ukanyamaza sitakua heri kubwa nami nafikisha kwako hili nipate ujira mbele ya Allah kwa kukumbusha tumeambiwa tumechunge adabu tukumbuke aya tunayoyasema yana andikwa tutayakuta mbele ya Allah
Hakukutokea kwa sababu hamkuwepo mashehe km nyinyi mngekuwepo khitilafu ingetokea tu
Ukasome ww yy analipwa mshahara kutoka aladhar chuo kikuuu
Ni sahihi kabisa inaonekana nchi nyingi duniani hazikubali kufuata muandamo wa mwenzake, ispokua watu ndo wanajigawa kufuata kwengine, kauli ya imamu Shafi ndo inafanyiwa kazi zaidi. Ndo mana hata saudia hawaulizii habari za mwezi kutoka nchi nyengine.
Qq
Sis tuliwah kufunga tumefunga .nanyinyi ambao mmeanza Sikh lliyofuta .word tumefunga shida lko wapi?
Mambo ya kielmu yataka mwenye kuyajibu atumie naye elimu na si kuzomea wala kubeza tu.Kuzomea na kubeza siyo kutoa hoja.
Kwa kweli usipomuelewa huyu mzee wewe una matatizo au una ajenda ya siri
Salum Takao wewe umesoma kuanzia lini .?????
Sasa kama mtume alipokea taarifa na bila kuona mwezi na akafungua, ingekuwa wewe sheikh ubwabwa hapo ungebisha ukasema hujauona kwa hiyo mngeendeleza hitilafu.
POPOTE UTAKAPO ONEKANA NAFUNGA NA NITAFUNGUA SIWEZI KUBUZWA TENA
sunnah si lazima ukiamua kuiacha dunia ya mawasiliano tupa simu yako kule. hakuna mwezi wenye siku therathini toka dunia iumbwe
Mmmh,hii nayo mpy,kwahiyo mwez una siku ngapi
Muwaiya alikuwa khalifa kipindi hicho. Hakuwa gavana
We mzee usitafute kiki huku youtubu. Kaisome hiyo sunna uijue halfu uje kuongea huo upuuzi wako. Kama huupendi kuon watu wakizinduk siku had siku usikae kuongea upuuzi . Utadhalilishwa hadi ujitfute watu wa elimu zao na hojja zkutosha hawajakurupukwa km unvokurupukwa ww . Kasome mzee wangu then rudi hapa uje uongee tena
Mkosa adabu wakiwahabi unawatukana maulamaa hadi mwenzi wa ramadhan kwa lazi awe alie sema ni huteimia ama fauzan. wasomi na wanachuoni ni wengi kuweni na adabu kwa mashehe wewe ndio inatakiwa ukasome.
@@KhamisiOmar-v3h na ww ukasome, mwambien uyo mzee wenu akasome Sunna kwanza ndo aje huku so aone Raha kupata comment na view tu huku UA-cam. Watu tunataka contentent htutaki porojo lake sie. Kamwambieni ashushe hoja za kieleimu tena ziwe sahihi .
Innalillah wainnailayh raaj'un. Dunia ya sasa watu hawazinduki bali wanapotea zaidi. Rudi kafanye utafiti tena ni zipi zana bora?. Hizi kaumu zinazopotea zaidi
😂😂😂😂babaaa saluu umesom lini ???? Umesom wapi???? Kua na adabu kijana
Shekh anatoa istidlaal Waseem upuuzi ! 😮 Salum penye ikhtilafu busara tumia kasome hisr y masahaba walipo khtalifiana sehemu y kuswali banuu quraydhwa haijtumk kaul yyte y upuuzi haizd wot walikua sahihi إنماالأعمال بالنيات . والله يضاعف لمن يشاء cmamia unaloliamini uctumie maneno y kejeli n mijadala hakuna malipo elim Kwa mweny kuisom kwaajili y midahalo mtume asema akhy اتق الله😢
Hamna point hapo sasa hivi habari zinasafiri kwa umeme mzeee sio dunia ya zamani hiii habari kutoa Amerika mpaka Afrika kusini inachukua sekunde moja na Allah alijua ndio maana akatutayarishia urahisi wa kueleka habari
Kumbe mnaendesha dini kwa Umeme, poleni sana
@@zimammbaruk4231 kwani kwa akili yako umeme umeumbwa na nani? na umeletwa hapa ulimwenguni ili utumiwe na nani ? na kwafaida ipi ? nyie itabidi muache uvivu wa kusoma na kuuelewa Uislaam uislam sio dini ya mabubusa ni dini ya Ulil-Albabu(wenye kutumia akili) akama alivyosema mwenyewe Allah
kwaiyo ni Bid'a? au bid'a ni Maulid tu? maana wakati wa Mtume hapakuwa na kitu hicho wala masahaba wake!
@@zimammbaruk4231 sio dini tu hata wewe unaendeshwa kwa umeme Allah hawezi kuumba kitu kisichokua na manufaa kwa binaadamu na dini yake
Shida sio habari inaenezwa je, shida ni kwamba itabidi Tanzania tusiangalie mwezi kwa sababu haiwezekani Tanzania ione mwezi kabla USA au Uarabuni nk. Hoja yako ingekuwa sahihi kama mwezi unaonekana "randomly" yaani tuulizane duniani kote mwezi umeonekana wapi, lakini kwa hivi inabidi kila siku Watanzania wawaulize wengine. Kila mmoja afuate alichoamini!
Mi sjaerewa kwani mtu akisafiri siku saba ndiyo hawezi kufika kwa mtume wakati wa insha na VP kuhusu hijja tutafuata mwezi gani mi nimeona shida kwa shehe wetu huyo anavojiapiza kuwa yeye atafuata anachokijua Hadi kufa uislam hauko hivyo uislam inapokujia haki ni kuifuata