CHEKI DIAMOND ALICHO KIFANYA KWA CHRISTINA SHUSHO MBELE YA MAASKOFU, ZUCHU ANUNA
Вставка
- Опубліковано 8 сер 2024
- #Mwanahabari digital Fuatilia Channel ya habari za kijamii,siasa zinazohusu Tanzania
Akaunti zetu za mitandao ya kijamii
Instagram: habari_digital,
Facebook:Mwanahabari digital
Twitter:HabariDigital
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Mimi kama mchungaji kutoka Kenya nasema hivi, wengi wa wasanii wa nyimbo za injili sio Tanzania tu bali ata hapa kenya, walianza na Roho lakini sasa wanamaliza kwa mwili kwa sababu ya pesa . Tumhofu Mungu jameni
Vivyo hivyoo ilivyoo kwa Wachunganji pia na ndio maana makanisa yamejaa kila pahali juu kila mmoja ataka hicho chondo cha toleo...... Mala fungu lakumi mara toa thabihu mala toleo lakujikinga mala toleo la shukrani makanisa yamembaki na matoleo kuliko vile neno takatifu la Mungu Sasa YESU akasema Msinililie Mimi njililieni nyinyi wamo duniani..... Kila Mtu ajililie ajikosoe anapo kuja kumkosoa mwenzio... Ahsante Ahsante sana
Nashangaa sana jinsi wasanii wa nyimbo za injili wanaona ni sawa kushirikiana na wale wa nyimbo za kidunia,some I maandiko vizuri
Someni maandiko vizuri
Light and darkness cannot be together not unless they are both dark,I rest my case
Tusihukumu wengine tusije kuhukumiwa sisi, Mathayo 7:1-5
Tukisema sana pia tutakosea mungu anawajua walio wake
Ww unasoma biblia gani..primatto tutawajua kwa matunda yao
Amina
Hakika....
Rudi malangoni mwa Mungu nyimbo zako hazivutiye tena kama Zamani ulikuwa naimba na watu wanaingiya kiroho
Hapa nyavu ya yesu kashika diamond Amen Hallelujah
Katika Uinjilisti Christina ako Sawa Wacha Watu Wote wajue Habari ya Mungu.. Mungu anawataka Wote tumjue na Tumtukuze ❤️👍🙏
Christina i really love your Ministry you're such a great Woman of God hua naomba tu Siku Moja kuongea nawe i love you shusho
Christina was so humble in the past nowadays she is so proud 😢
Na nguo tight kwa mwili kweli
May God save diamond that when his days draw near...can acknowledge Christ for his future eternity...
I Iong for the days that I wasn't yet born again but I could just put wakuabudiwa. The spirit of God was in her old songs. Nowadays, wah! Mungu atusaidie. Let's notie to the Most high
She was real a worshiper, but now days, too much of Worldly desire.
But all in all Jesus the King. 👑
Plain truth Pauline
I still put wakuabudiwa upto date and it s still spirit filled but huko kwingine weeeh
I can’t believe that this is the once humble and pious Christina Shusho, who once criticized Kenyan gospel singers for being worldly and who is now even dressed like a mermaid! God have mercy. 😢😢
Ukwel kumbe pia waona
Christina shusho nakupenda sana nyimbo zako nzuri endeleza upendo kwa wote maana yesu hakubaguwa aliwalisha wote neno la mungu wa milele
mond brand kubwa mno, haipingiki. big up
Diamond platnam simba mwenyewe hata ujanguruma lkn imejulikana upo. Wakuache miaka 800 . Mungu akubariki sana diamond
Papa Jesus,I'm really happy for this son of God.
God is the ultimate judge..i leave it to Him to decide
Mungu ni mwema kwa kweli.. binafsi nimependezwa na hili jambo!
Hongera sana Christina Shusho, nimeuona ujasiri.. watu wanaoongea ya kuongea, Wao kama wao wasingeweza hata kuongea na kumuwasilisha Mungu mbele ya Watu wakuu kama hawa, Kudos sanaaa!!🙌🙌🌟🔥
Kamuwakilisha kwa namna Ili?
Ila tukiangalia Kwa jicho la pili Christina shusho kamtangaza MUNGU katika ya watu wasio mjua MUNGU, huu ni uinjilisti mkubwa sana God keep you
Huyo ambaye Amjui Mungu labda wewe Acha Uongo potea mbali wana Wa Uasi
dah jmni dada wa watu Mungu wtu aendelee kumnyanyua. maana yeye anawafikia hao wengine ni ngumu. ni muwakilishi wa Ufalme Wake Mungu wtu
Yupo vzur
Nadhani huelewi, ukielewa utauliza, niko wapi huku?
Uijilisti wa kishetani
❤️❤️ safi sana maman Christine anapo kua karibu na mtu wetu DIAMOND PLATNUMZ SIMBA tuna sikiya furaha mingi sana kwakweli mungu awabariki na aendelee kuwapa afia bora milele na nguvu yakuendekea kuimba nyimbo nzuri ♥️♥️
Dr Bukavu j bcp ma sœur Christina shusho
Precious people of GOD ALMIGHTY, let us repent and go back to the old rugged cross of JESUS. We should not modernize the cross of JESUS by mixing light and darkness that's apostasy.JESUS is coming let us repent and prepare the way.
Your such a wonderful woman of God hivo ndio tutawakomboa waliofungwa kufunguliwa watoke kwa minyororo ya Giza but if your a man of woman of God na umejichanganya usijaribu hii cause kitakuramba vibaya rem Paulo na sila katika matendo ya mitume chapter 16 walipomufunguwa aliye fungwa majaribu walipata sio kidogo but because walijujua wanatumika kwa roho na kweli waliweza kushinda majaribu so kwa wale watumishi munapitia changamoto na munapitelea ndani jiite kamukutano huwezi kua mfungwa na umfungue mfungwa mwenzako
I love this guy,diamond platnumz❤
Great ministry you are doing,injili kwa wasio mjua wamjue
Christina shusho jitafakari upya ni mwimbaji mzuri Sana laki Hadi hapo unakatisha tamaa mungu akurejeshe upya maana du
Hongereni sana sana
I myself l love Christina shusho so much ,continue with that heart mamy
AMEN you are right about that pr.
When a married woman starts praising another man forgetting that the husband is more important than the other men !! That's a red flag ! It's a shame.
Nampenda waziri wangu majaliwa every time smiling ataishi sana
Mungu ni WA wote piga kazi usiangalie maneno yao
Mungu ni wa wote, hana ubaguzi. Piga kazi Christine.❤
From kenya I fill good coz I ❤ them all watu muwacha kujifanya malaika na kukashifu wengine kama mungu angekuawa binadamu wengi wetu tungeishi mungu habagua yeye ndiye hujua nafsi zetu
Speaking of gospel diamond
I love your ministry Christina.....may The Lord keep you.......above all let our speech be with grace...amen
Acheni kuzusha ubaya kwa huyu m2 jamani Yesu anawapenda hvohvo, walivo mana alikufa kwaajili yao, na ananjia nyingi za kumwongoa m2, huenda hyo ikawa mojawapo nan ajiaye, Christina piga injili ila ucmnyenyekee m2, kwaajili ya kipato chake, yangu ni hayo2🙏🙏🙏
Kupedwa sio shida shida lazima arudi njia kuu
@@jukaelyelisha6311 hakuna aliye mkamilifu, shida ni kujua kama unakosea af ukapuuzia Toba... We ukiona mwenzio kajikwaa kwa kosa fulan mwombee, nawewe huenda una kakwako ambako hujui ila watu wanakushangaa kwacho ko ni kuombeana tu, safar ngumu ina milima na mabonde...
Hajamnyenyekea amemuheshimu
What does light got to do with darkness. There's a big problem. Two cannot walk together except they agree!
Nowadays paraffin and water are missible
Sasa huyu mama anaanza kupotea kabisa.
Mimi nilikua nazani kwa mba ana muimbia Mungu kumbe ni unafki tu. Anatumikia shetani mu jina la Mungu pole sana. Nuru na giza hakuna ushirika. Pesa zita kuponza usijali unaweza kimbia lakini huezi jificha Mungu. Sitawahi sikiza nyimbo za hawa wanafki.
Alishapotea, Ile tu kusema ya kuwa ameachana na mume wake ili amtumikie Mungu ni jambo la kushangaza sana
Maandiko yanasema ,ujiangalie sana ,na Mungu haangalii mwanzo wako bali anaangalia ,mwisho wa mtu..Mungu awasaidie watumishi wake kumaliza vizuri
i pray that God may remember you christina shusho, u used to lift our hearts, in east africa you made Jesus be known, consider the old things and repend, for you are aware what you are doing. darkness and light can not dwell together. i pray for you always. 😢😢😢😢😢
Christina Shusho ulianza na Roho, mbona ukamaliza na mwili?
You uplifted our souls with your former songs like Mtetezi wangu Yesu anaishi, Wakuabudiwa, Ee Bwana umenichinguza na kunijua n.k.
Why did you change my sister?
What living testimony can you testify to the current generation?
May God bring a U turn to the former you😢
I even don't feel moved by her songs these days 😢
Kaimba nyimbo nyingi sana nzur lakn yy mwenyew hazijamfunza chochote, nimejikuta nafuta nyimbo zote kwa gari yangu..
Christina ameiaibisha kazi ya msalaba. Nilimpenda sana Christine lakini kwa hili hatasitakikusikiliza nyimbo zake.
Imetupasa kuhubiri inji kama ikibidi kwa maneno.
Hata yesu walimshangawa na wanafunzi maana alikuwa akikaa na wasio watakatifu . Ko mpendwa kukaa na wasiowatatakifi kulianza na yesu mwenyewe lengo no kuwaokoaa.
Shusho hongera sana upo na viwango wacha mungu akutumie
Wewe ni mmoja wa baharini Christine,Mungu alikuondoa kwenye maisha ya shusho sababu alionelea utamwingiza pabaya.
This should have hit 1m views in 2days ..
🎉❤ lovers of Christina Shisho and Diamond platinum music 🎵,lets gather here and listen to this new reigning hottest heavenly sound on UA-cam channel, it's title is Beautiful God by Minister Emelie OD
Christina Upo na MUNGU USIMIANGALIE WALA KUMSIKILIZA MTU...SONGA MBELE MTU WA MUNGU...DUNIA INAJUABUPO MTOTO WA MUNGU MWENYE UPENDO WA MOYONI...
wewe ni kipofu. soma 1 wakorintho 15:33 Mtu asiwadanga nye, “Ushirika na watu wabaya huharibu tabia njema.2 wakorintho 6:14 Msiambatane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? 15 Kuna kuelewana gani kati ya Kristo na shetani? Mwamini ana uhusiano gani na asiyeamini?
Pwagu kampata pwaguzi
Kipofu kaongoza kipofu😢.. lazima ujue Mungu ni mtakatifu
May God be with you 🙏🙏
Kuna watu mnajiona km malaika mmesahau kwamba Mungu anamtumia yeyote kumwokoa yoyote kwa wakat na namna yake, wacheni kujudge watu🤔🤔mnajua Paulo alifanya nn kabla ya kuwa Paulo? wachen mambo yenu bhn kwanza Mungu hana shida na watakatifu anatafuta ambae hajawa mtakatifu amfanye mtakatifu👌👌👌😂kuna watu mtafika mbinguni kwa taabu sana kwa kujitakia
Wewe ujuwi kitu
True
Watu watajipenda sana Siku za mwisho
Wacha uongo bibilia inasema love of many will grow cold
Ukweli usemwe,njia za Mungu zashinda wengi na kurudi maisha ya kidunia.
Shusho hizo Pete ni za Nini?kwani umeingia chama ama? you are heading to the wrong direction,you started well but...watu SI wajinga
Kwan mbona hamuulizi na hzo hellen ni za nn, ila watu we amini tu kuwa ni urembo, hayo mengine Mungu ndo anaju, tuombeane tu, mana hakuna aliye mkamilifu
Nawapenda otee❤
Compare diamond hapa na ile wimbo yake ya tetema
Christina tafadhali vaa nguo ya adabu unapo simama mbele ya wanaume..hao waislamu unasifu hawaezi kukubali mama wakiislamu asimame mbele yao akiwa amevaa hivi...tunaaibisha dini yetu sana...pls can we respect our God🙏
Waimbaji wengi wainjili wameasi Mungu Hadi vichapo vyawaandama,Shusho kuwa kama vile awali ulijiheshimu mwanzoni,.
Samsoni pia katika nyakati zake za mwisho alitaka kuamka kimwili akajipata kumbe Mungu mwenye Nguvu kamwacha kitaaaaaambo. Pole kwa msiba huu wa kiroho dada.
Haujaelewa shushu amevaa nguo ya marine kingdom amesha jiunga na kina diamond ma freemasons
@@Keringalex p lol
Shristina shusho ulikuwa mwimbaji mzuri sana ila umeanza kumkosea Mungu, umebeezi kweny hela
Mm nakuombea mema christina shusho
songa mbele wala usipepese macho kutazama watu wanasema nn...
Mtumikie Mungu dear ,Mungu ndiye anagawa baraka,na ndiye mhukumu na c mwingine love❤
Kweli Mungu atusaidie....dada Shusho heshima yako imeisha kabisa .huna uwepo kabisa...
Usipede kuhukumu usije hukumiwa
Ameishaa kabisaa na hatuhukumuu arudi kwa Mungu
Hata mavazi ya kutoa figure aaaah Mungu hayuko hapo
Mtoto anayechapwa ndiye anayependwa,Shusho anapendwa lazima arekebishwe alikoteleza.
Mwisho wa safari ni bora kuliko mwanzo.
Kiristinakistina usimwache huyu mumeo rahana itakumariza dada angu mungu siyo mzarimu
Nilipenda sana huyu dada. Lakini sasa ninahuzuni sana. Please turudi vile tulikuwa zamani, tumuogope Mungu sana sana 😢
Unaomba wazir mkuu kumchezea mungu unautani na kumsifu mung we dada
Nowadays her dress code is so revealing, i love her old songs
No sound part ya mwisho why
Bora aende secular straight away
Mpenzi wetu Christina chunga sana, Mungu kampa kila mtu Néema tofauti, Watu kama nasibu Mungu anaweza kuwapa Néema hata dk za mwisho, wewe Christina najua kweli ila kwa ridhaa yako umechagua giza. Nakupenda, na nakuambia kweli,. Wakati tunaendelea kukuombea, jitafakari Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema. Usije shangaa ukamkuta nasibu amelala kwenye ubavu wa Ibrahim na wewe unamwktisha maji kama lazaro na tajiri. Siku nasibu akiujua kweli, utashamshangaa Mungu. Karibu kwa Yesu Nasibu. I know kuna siku tu. Mungu anayaweza yote🙏napita tu jamani🏃tena napita mbio🏃🏃
Christina rudi ,unakoenda si salama ,wewe unajua na watu wanajua na Mungu anajua.Umaarufu ,utajiri na heshima ni za hapa Duniani tu.Rudi rudi ruuudi .
🙏🙏🙏asikie
Shusho umepotea ki Roho, anza tu kuimba nyimbo za wasani ya Mungu aikufai tena, ni eri mwisho muzuri kuliko mwanzo.
Mungu huwajua walio wake na si kila atajae Yesu ni mtakatifu wengine ni siri baina ya mtu na Mungu muhimu wewe na mimi kila mmoja kujisimamia kwa kujua njia yake ni ipi
Don't judge people are you God.the same God created nasibu na shusho anawajua vyema kutuliko.barikiweni sana diamond na christina
Very true shusho alipotea njia coz hata Kwa mavasi anayo vaa sio inapendeza mungu inapendeza walimwengu
Shusho has lost it. I miss the old shusho.
May God have mercy on us
Unyama sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Sema Hu Mshangaz Shusho Nauelewaga..😍😍😍
Hahahaha
❤❤❤
Wenye kuhukumu mungu awarehemu sana yesu alikuja kwa waliokuwa wabaya wachieni mungu kazi yake siku moja wataokoka.
Kuna mtu aliniabia hatupendi Mungu tunapenda vitu vyake ,I agree.
We praise people more than God its a pitty that we Look upon men than God
May God have mercy on us❤
Christina Shusho like many who've been before her, started in the spirit and is finishing in the flesh. Light and darkness can NEVER mix The Bible warns of being equally yoked with the non believers!
😢😢😢😢😢😢 Christina alishapelekwaa jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 kwa sababu ya Pesa tuu akiweee 😢😢😢😢😢
Mimi ndasema ukweli,,, Christina Shusho umeanza kumkosea Roho,,, jifikirie vizuri na umrudie Mungu
Kweli kabisa
Tumuombee maana mm zamani nyimbo zake zilinibariki sana
Kwaiyo ww nani unayejua makosa ya mtu
Kumbuka mema yake ayakuingizi ww peponi muache afanye anachoona yeye sahihi ameshakaa sana kwenye game
@@shabaniismaily1470 Mimi ni mkristu kaaa wengine ninayemwomba Mungu anayeyafungua macho kuyaona yote yamchukizayo,,, kuna wengine pia wanaona haya,,,, ila Mimi sinyamazi,,, namwombea pia huku nikisema ukweli
Ukweli wa Christina anaujua Mungu tupunguze kumjudge huyu dada maana macho yetu yana ukomo
Hakuna haja ya kuwanyoshea vidole na kuwatenga ndugu zetu katika kristo(God's ministers). Ibilisi amelivamia kanisa kwa hivyo ni jukumu letu KUOMBEANA mungu pekee anaweza kutupigania
Nahofia Diamond amefanya kitu Kwa huyu Shusho~ Freemason loaded 😢
Hatari sana
Mungu anasemaje; na kondoo wengine ninao ambao si wa zizi hili. Na mahali pengine Yesu anasema nikipaa juu nitawavuta wote waje kwangu. Nawauliza swali je mnajua ni njia gani ataitumia??????
if the anointing on you cannot frek sinners then, you are just like them
I support Christina period. Those judging her can you stand up and do better.
Here we stand.
Biblia imetuonya tusiwe uvuguvugu, si baridi wala moto. The same bible says chagua hivi leo ni bwana yupi utamtumikia. Jitafakari dada Christina!!
Nguo ye nyewe mfano wa nyoka,tulio katika roho tunawaelewa hatuitaji kuambiwa,mulianza rohoni mwamalizia mwilini,yesu yu mlangoni
Mungu akubadilishe shusho
Christina hajui kuwa ashakua bibi et Binti yako😂😂😂😂😂
Hata uwe mzee vipi mzazi lzm ukuite binti
Kwa hiyo shusho analingana na majaliwa
Mm hawezi,
Eti anajiita binti😂😂😂
Mmh! Mbona hapo mwanzo alipoanza uimbaji wa nyimbo za injili alikuwa akijisitiri kwa mavazi yenye heshima?
Kichwa cha habari na habari. Mwandishi nimekusamehe
Kwan christina kafanya nn jaman mbona mm sielew yesu alikula na watoza ushuru na alipakwa marhamu na nywele za kahaba sasa mnachooongea ni nn sasa hiv
Hakika ww unasoma maandiko, mi cion kosa lake, af usihukumu ucje ukahukumiwa we unajuaje usir wa m2 ma Mungu wake, ila sishangai, hata yesu hawakumwelewa mana aliketi na waovu na aliwapenda sana mana alikuja kwaajilo yao
Nimependa comment yako from kenya
Hii ni kweli kabisa. Lakini comment section imejaa mahakimu. Yesu alikuja kwa waliopotea sio ajabu upate Diamond kanisani miaka ijayo akihubiri injili.
Mimi Naomba Mungu Asikuwe Anapatiya Wanawake Pesa n'a Kazi za mishala Kubwa Maombi Yangu Mungu Apatie Wanawake, Kazi ya Kuuza Nyanya Kusudi Wabaki Waaminifu kwa Ndoa Zao
😢😢😢
May the Lord be with you ❤️
Your belief is different.
How can light be with darkness 😔😢😢
Ni Nini tu kimekupa kukengeuka upesi kiasi hicho umeanza kiroho Sasa unamalizia kimwili uzoefu wa kuongea usikuponze umeshapoteza tangu ulipoomba kusapotiwa kuzindua albam
Mungu akutazame kwahaya mambo
❤❤Hongera