WATOTO WA CHRISTINA SHUSHO WAKANUSHA ISSUE YA WASAFI TV | KILA WIMBO UNAKUWA NA MLENGWA
Вставка
- Опубліковано 23 жов 2024
- Book us for any event @ferdbird1234@gmail.com or Alobo vibes on social media
Subscribe to our channel: / alobovibes
Follow US & GET IN TOUCH
IG, TikTok and FB: @alobo vibes
Copyright © Alobo Vibes TV
#AloboVibes
#WereAfricans
#WereHereForAloboVibes
Good work Christina endelea n kazi ya MUNGU usichoke barikiwa pamoja n uzao wa tumbo lako
Mungu wa huruma mtoto ka fanana baba yake jamani ❤❤😢
Wamejibu vizur ukiona wimbo huajuelewa ujumbe sio wako congratulations 👏
Binti anafanana na baba yake❤❤❤🎉
Sasa mbona camera iko kwa mtangazaji na sio MTU anaehojiwa si tunataka tumuone huyo anaehojiwa
Mteule uwe macho hizi ni siku za mwisho Leo Giza na Nuru zimechanganyana na watu wanashangilia hi ni hatari Sana kwa waovoku wapya Ila Bwana anawajua walio wakwake
Huyu ni copy ya mzee shusho. Hapa christina shusho alikua hajapata bado assignment ya MUNGU 😅😅😅😅😅
Shetani ni mwongo na baba wa huo
@@valeriamtenga3384 kabisaa
😂😂😂😂😂
Watoto Wana sauti ya baba, sura za baba ila kijana ana sura ya mama Kwa mbali....
Mungu tusaidie Ameen
shatani huwa akikupa assigmnt mwisho anaangusha familia. naombea hawa watoto wasije kuwa wasagaji. fatilieni wasanii wakubwa marekani watoto wamegeuka mashoga
Ushirikiano baina ya mtumishi Christina na wasafi. Sisi watu wa nje hatuwezi kufahamu unahusu nini. Hivyo kila mmoja atabeba mzigo wake mwenyewe. Vitu vingine unavitazama kisha unaacha kama vilivyo. Maana kwa upande wangu sioni sababu ya Christina kumshirikisha diamond kwa kiwango kikubwa namna hiyo kwa sababu hata kila mmoja ana aina yake ya mziki kushirikiana hakukataliwi bali mfanane malengo yenu ktk kushirikiana.
Where does shusho and diamond share ideals in music,shusho is a mere business woman not mtumishi as you are cailling her.
Hixi nyimbo zake tulizijua kwa tv na hixo tv wamiliki hatujui huusiano wao na Mungu ...sasa kwa nini asikue na partnerships na wasafi kisa ni media ya diamond...nyinyi mko nyumba sana
Watoto wamekua sana awa
UNAJISKIAJE KUONA MAMA YAKO KUVUNJA NDOA NA BABA YAKO KUISHI SINGLE WAKATI MAMA YAKO YUPO?
Waaaah kumbe ana mtoto mkubwa hivyo hongera sana kwa christina shusho
@jennifer ana watoto wakubwa jamani sio mmoja tu mbona!
Kafanana na baba ake hatari
Wapi wanafana ni mbingu na nchi,DNA test ndio muarobaini the rest utapeli TU.
Odyssey yu afanana na Babake .George naye copy Mama kabisa. 🙏 MWENYEZI MUNGU WABARIKI WATOTO WETU. 🙏 ❤
🙏 GOD CONTINUED BLESSINGS MAN OF GOD PASTOR JOHN SHUSHO
🙏 GOD BLESS YOU ABUNDANTLY MY SISTER IN THE LORD MRS.CHRISTINA SHUSHO ❤ 🙏
🇺🇸 🇰🇪 TWAKUPENDA ❤ 🙏
Watoto wamefanana na baba Yao Hawa duh
Watoto nao tayarii jaman Daaaaaa😢😢😢😢
Mama yenu akaimbe singeri au taatabu , zitampendeza zaidi !!
Hun lolote bimdada, lkn ukweli mamaako yupo ki_biashara
Kijana hajui kutangaza
Light and darkness where to where? Fame and money. Your mother like a true she left your dad? U as children where are u
Is christina shusho a gospel musician or a secular one because diamond isnt a gospel musician,if anything ge us doing business.
Beautiful girl
Mambo ya shatana yanavuta sana...zamani alikuwa hajulikana alikuwa busy na mambo ya mungu sasa wameya za kuwa .arufuku na watoto kwenye mtandawonna mbere ya camera
She is quite
Ndio anafanana na baba yake
Uyu WA kiume copy mama
Mh kazi ngumu hii yaliyomo wanajua wenyewe
Mwandishi huhoji vizur
🎉🎉
Alifana nbabayake sura mbaya
😮
Christina unaumiza watoto
Watoto wameambatana na mama yao,wamekaa na style zao za kidunia kabasa yaani 😢😢😢😢
Ndo watoto wa watumishi hawa kweli?
Ama kweli neno hili?
Yohana 6:44
Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, asipovutwa na Baba aliyenipeleka; nami nitamfufua siku ya mwisho.
Mzee shusho anaumia sana anavyoona hali halisi
Mtumish hazai malaika bado wanaitaj na vijana so wana safar ndefu tuwaombee
Kweli kabisa
Kwani unataka waweje, ili watambulike ni watoto wa mtumishi?
❤❤❤❤
Sorry naomba nsaidie namb y zuwena Mohammed inayopatkana .
Kafanana na baba yake kweli kweli
Hakuna kitu hapa
Mbona unajichekesha vidada vya siku hizi
George anakomaa saanaa
Copy ya babake
Safiiiii kafanana na baba
Kamefanana na baba yake
Ubana sana pua
Baba mtupu
❤❤