Mafunzo ya Kinanda Sehemu 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 139

  • @douglasobanda1954
    @douglasobanda1954 4 роки тому

    asante sana mwalimu wangu. nimekuwa nikifuatilia mafunzo haya ya kinanda. ninakushukuru sana kwa kuendelea kunielimisha. nina ombi mwalimu. darasa letu lemifikia sehemu ya kumi na nne ambayo ni ufunguo F, nimekosa kuona funguo G, A, na B. naomba ikiwezekana uziaupload tafathali. asante sana

  • @EzekielJoseph-c8v
    @EzekielJoseph-c8v 4 дні тому

    Thanks sn nipe connection teacher mii natak uniweke kwa glass yako kabs nijuee mwanzo mpak mwisho...

  • @theophilmilanz8377
    @theophilmilanz8377 2 роки тому +1

    Niseme ahsante kwa somo la kwanza.leo nitakuwa makin zaid

  • @ObbyAlpha
    @ObbyAlpha 5 років тому +2

    hoohhh tunapata raha ubarikiwe kakaa

  • @ombenikyando9512
    @ombenikyando9512 6 років тому +2

    Ahsante sana ndugu kwa elimu hii Mungu akubari. Tunaomba mwendelezo wa sehemu ya tatu.

  • @marymataya3474
    @marymataya3474 Рік тому +1

    Ndiyo D ,unapatikana wpaud Ubarikiwe Sana

  • @emanuelmwakipesile4552
    @emanuelmwakipesile4552 7 років тому

    hongera sana mwalimu kwa kudhubutu kufundisha kwa njia ya mtandao walimu wengi wako nyuma sana katika matumizi ya hii teknolojia ni wakati wa kubadilika sasa.

  • @isackabely8078
    @isackabely8078 3 роки тому

    Aisee somo zuri sana mungu akubaliki nasubilia somo lapili kwashauku kubwa sana

  • @denisprudence9
    @denisprudence9 7 років тому +2

    Asante sana kwa somo zuri ila tunaomba ututumie sehemu ya tatu Asante sana.

  • @lucylameck8580
    @lucylameck8580 4 роки тому +1

    Ninapenda sana kipiga kinanda,ninashukru sehemu ya kwanza nimefuzu

  • @experykinabo641
    @experykinabo641 5 місяців тому

    MUNGU AKUBARKI SANA MM NI MMOJA AMBAE NATAMANI MNO KUJUA KUCHEZA KINANDA NAPMBA DARASA ZAIDI KAMA HUTOJALI BARIKIWA SANA RAFIKI MWEMA

  • @rodahmbushi3477
    @rodahmbushi3477 6 років тому +2

    Ahsante sana mwalim kwa somo zuri..naamini IPO siku ntajua kupiga kinanda

  • @PaulMaskat
    @PaulMaskat 2 місяці тому

    Mtumishi asante kwa somo nazidi kujifunzA

  • @mgeamagdalena5976
    @mgeamagdalena5976 3 роки тому

    Asante Sana Mwl. Zoezi la pili nichangamoto kwangu.

  • @felixonchiri6169
    @felixonchiri6169 4 роки тому

    Jambo mwalimu mi nko Nairobi Kenya naningependa unifunze kinanda je tutapatana kivipi

  • @johnkomba1639
    @johnkomba1639 4 роки тому

    Napenda sana kujifunza kuzeza kinanda asante kwa hili, ok, wacha nitafute kwanza kinanda and then nita omba utaaram

  • @emmanuelteddy1371
    @emmanuelteddy1371 6 років тому +1

    nashukuru sana Kwa mafunzo haya ,natumahi sehemu ya tatu itafika jamani

  • @EfuraimuEriya
    @EfuraimuEriya 3 місяці тому

    Niriwenza kupig kwakutumia hapa unavo erekez napiga ira sema bado mukono wakushoto bado hakujawa vizuri yan

  • @isayamziwanda4768
    @isayamziwanda4768 6 років тому

    Asante sana kwa mafundisho, tunaomba sehemu ya tatuuuuu

  • @petrochristopherkabika1406
    @petrochristopherkabika1406 7 років тому

    Ahsantee sana mkuu, nimelipenda darasa hili

  • @fikirimchiwa7259
    @fikirimchiwa7259 4 роки тому

    Amen, Mungu ni mwema nimebarikiwa sana

  • @josephmalale7311
    @josephmalale7311 Рік тому

    Safi sana kwetu tunaojifunza kinanda

  • @vitusdani4001
    @vitusdani4001 4 роки тому

    Safi mwalimu naamin ipo siku na mm nitakujua kupiga

  • @theophilmilanz8377
    @theophilmilanz8377 2 роки тому

    Nilivurugwa kwann unaruka nafas ahsante

  • @johnraphael1326
    @johnraphael1326 2 роки тому

    Amen natamani nipite uwezo wako kaka😄😄😄😄

  • @yonalukas4981
    @yonalukas4981 2 роки тому

    Daaaah nataman Sana kupga Kama ww

  • @reginalddamiano4330
    @reginalddamiano4330 7 років тому +2

    asante sana mwalimu, napenda sana kujua kukipiga hicho chomba, unapatikana wapi?

  • @katethyadavid1928
    @katethyadavid1928 6 років тому +1

    Nimetamani masomo haya. Napenda sana sana. Sehemu ya tatu please

  • @MichaelMtonyole
    @MichaelMtonyole 2 місяці тому

    Aisee somo zuri Sana

  • @BahatiKyando-ij4mt
    @BahatiKyando-ij4mt 8 місяців тому

    Ndug me natamani sana kujifinza unapatikana wapi

  • @albanodesabino8411
    @albanodesabino8411 4 роки тому +3

    Mkuu Hapo unavyoruka Code Moja ama kidole kimoja Unakuwa unaruka mikono yote au upande mmoja wa kushoto tuu????

  • @rainardkinyamagoha9015
    @rainardkinyamagoha9015 4 роки тому

    Mtumishi ubarikiwe sana
    LAKINI TUNASUBILI SEHEMU YA TATU KWA HAMU MNOOOO 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Justinkiraba
    @Justinkiraba 7 років тому +1

    kwa kweli kaka mungu akubariki kwA moyo huo

  • @seniorfikiry3326
    @seniorfikiry3326 7 років тому

    Barikiwa sana mwalimu kwa moyo wako wa kujitoa

  • @niyonsabadieudonnee7947
    @niyonsabadieudonnee7947 5 років тому +1

    Hi magina naomba utuwekee sehemu ya tatu naona ww nifundi kabisa.

  • @petroprenge8716
    @petroprenge8716 4 роки тому

    Angeanza kuelekeza keys.

  • @Angelsalum-er3lm
    @Angelsalum-er3lm 3 місяці тому

    Upo sehemu gani pengine naweza kuja kujifunza live

  • @JoyceHaule-o7b
    @JoyceHaule-o7b Місяць тому

    Ahsante Sana

  • @benedictfmbwiga1867
    @benedictfmbwiga1867 3 роки тому

    Nikupongeze sana kwa kujitolea kufundisha darasa hili zuri. Nishauri kama itawezekana ufungue group la Whatsapp

  • @mathiaswande2976
    @mathiaswande2976 4 роки тому +1

    Nimeelewa sana somo lako

  • @josephkikuni9631
    @josephkikuni9631 4 роки тому

    asante nimekufuata vizuri.

  • @COX9-de2gk
    @COX9-de2gk 7 місяців тому

    vizur san nimeipenda san

  • @thecreater4671
    @thecreater4671 4 роки тому

    Uko vzuri sana kaka

  • @obedymwilenga7490
    @obedymwilenga7490 Рік тому

    😂 😂 😂 😂 Waoooh asante

  • @zippymwaniki6938
    @zippymwaniki6938 4 роки тому

    Beutiful work!!! God bless you

  • @jonaskase871
    @jonaskase871 7 років тому +2

    I wanna appreciate your nice job. Would you upload part 3 please? I am looking forward to it!!

  • @pierreluundo6654
    @pierreluundo6654 4 роки тому

    Ubarikiwe sana kaka

  • @mgeamagdalena5976
    @mgeamagdalena5976 3 роки тому

    Zoezi la kwanza Sawa

  • @yusuphgodfrey3937
    @yusuphgodfrey3937 2 роки тому

    Naitaji unifundishe mimi nipo dar
    Nishingap garama mbakanijue

  • @kwayakatolikitza
    @kwayakatolikitza 7 років тому +6

    santee brother tuko pamoja natumain mpaka umalize sessions zote ntatimiza ndoto na kiu yangu ya siku nyingi

  • @christinemganga8904
    @christinemganga8904 7 років тому +1

    Mwalimu asante kwa somo zuri. ila sehemu ya tatu hujatuma!!

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 7 років тому +1

    kinandaa cjakinunua bado ila ni ndoto ktk ndoto zng nakipenda mno

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 4 роки тому

    Nafuatilia kwa makini sana kaka tuko pamoja

  • @ramakatonyongo1389
    @ramakatonyongo1389 3 роки тому

    Namba ako kakaa

  • @ericksanga9175
    @ericksanga9175 7 років тому +1

    broo ubarikiwe zoezi la kwanza tayari nakomaa na hili

  • @danielwillbard8107
    @danielwillbard8107 3 роки тому

    Mm nishafkaga apo na kuvuka sema niliishia kat nilkuwa nishaanza kupga wimbo ila kwasasa ntakuwa nishasahau

  • @annaelly9722
    @annaelly9722 4 роки тому

    kaka kimya sana somo la 15 nakuendelea tunasubiri

  • @GodfreyYohana-tb8uh
    @GodfreyYohana-tb8uh 3 місяці тому

    aminaaa❤❤

  • @hefsbapetro1666
    @hefsbapetro1666 2 роки тому

    Safi kabisa

  • @renatachuwa5769
    @renatachuwa5769 3 роки тому

    asante nimependa

  • @peterpaul6665
    @peterpaul6665 4 роки тому

    habari..mwalimu nauliza kupga kinanda kinahusiana na kujua nota?

  • @pambacharles8149
    @pambacharles8149 4 роки тому

    mwalimu sehemu nyingine vipi hadi nimefika ufunguo G nimesubiri hadi sasa sioni, hapo ndo mwisho? je hizo cd nitazipataje

  • @SWATY63
    @SWATY63 4 роки тому

    Mwalimu naomba namba yako tafadhali.

  • @orgenesslema8768
    @orgenesslema8768 2 роки тому

    Mwanafunzi atachukua muda gani kuelewa?

  • @dennisbernard3190
    @dennisbernard3190 7 років тому +2

    Asante kaka Daudi MUNGU akubariki

  • @allendaudi
    @allendaudi Рік тому

    ❤ Music

  • @linussepetu3890
    @linussepetu3890 5 років тому

    natamani sana kujua kinanada na siku nikijua nitaringa sana

  • @selevestapeche5578
    @selevestapeche5578 4 роки тому

    Nimependa mafunzo yananijenga

  • @WinfridaMichael-le7fy
    @WinfridaMichael-le7fy 5 місяців тому

    Mimi nipo sehemu ya tatu lakini nakata tamaa asee du

  • @bonajibalama7487
    @bonajibalama7487 6 років тому

    iko poa sana mkuu

  • @paulnganguli1195
    @paulnganguli1195 6 років тому +2

    Kati ya walim wanaofundi,ww unafundisha hata kilaza anaelewa mapema,mpaka hapo hatua ya 1-2nimejua kupitia kipindi chako,sehemu ya tatu tafadhari.

  • @PastormarcoMarwa-fg9uo
    @PastormarcoMarwa-fg9uo Рік тому

    Nahitaji kujuq kupiga kinanda.

  • @deorwebangila4499
    @deorwebangila4499 3 роки тому

    Naomba mamba mamba yako

  • @alphakomba1348
    @alphakomba1348 6 років тому +1

    Kaka sehemu tunaomba ya tatu tafadhali

  • @danielsinkamba5079
    @danielsinkamba5079 4 роки тому

    Barkiwa sana

  • @LucyPetro-t4t
    @LucyPetro-t4t 2 місяці тому

    Naaombe namba za mwalimu

  • @rashidsalinja4252
    @rashidsalinja4252 Рік тому

    sehem ya tatu pls

  • @petertarihwa7561
    @petertarihwa7561 6 років тому

    Natamani sana kujua

  • @marumbojames7218
    @marumbojames7218 4 роки тому

    MWL. #DAUDIMAGINA. MM NAPENDA KUJUA KWAMBA UNASEMA TUNA NAFASI SABA PALE SEHEMU YA KWANZA MPAKA NANE HATA HIZI DOREMIFASOLATIDO ZPO NANE JE MBNA SIJAONA NAMNA YA KUFANYA FANYA APO MPAKA UZICHEZE ZOTE PLIZ APO TUNAFANYAJE?

  • @kimmtorobo3870
    @kimmtorobo3870 4 роки тому

    Kwakweli bila mazoezi hapo, utakuwa unakilaani tuu kinands

  • @theprovitionofnature9188
    @theprovitionofnature9188 6 років тому

    Jitahidi ulete Muendelezo wa somo la kindanda pls

  • @emmanuelisanda1449
    @emmanuelisanda1449 7 років тому +1

    Just like the harmonium schule by heinrich bungart

  • @lindasonsamwel4290
    @lindasonsamwel4290 4 роки тому

    naomba tupate namba yako

  • @lobalobaanase438
    @lobalobaanase438 5 років тому +2

    najitahidi ila.nashindwaa duu mwl????????????

  • @fredrickvituskebero5071
    @fredrickvituskebero5071 7 років тому

    asante sana kaka ... naomba uweke na video zingine za muendelezo

    • @dr.revocatusmganilwa577
      @dr.revocatusmganilwa577 7 років тому

      Ndugu.David Mgina. .ASANTE sana kwa Somo lako... NAOMBA namba YAKO Kaka Au. e-mail yako. kwa mawasiliano ya kuna zaidi. nahitaji kujua Music kwa kweeeli

    • @dr.revocatusmganilwa577
      @dr.revocatusmganilwa577 7 років тому

      NAMBA yangu. 0786 460 613

  • @leonardmichael6665
    @leonardmichael6665 Рік тому

    Next

  • @dannymatanda3816
    @dannymatanda3816 4 роки тому +1

    Yu wapi....? Kaka uko wapi...?

  • @TurkanaMedia
    @TurkanaMedia 5 років тому

    Niko pamoja na wewe Niko Kenya

  • @paschalkisimba8986
    @paschalkisimba8986 6 років тому

    Kaka uko wap nije nijifunze zaid kwa garama yeyote napenda sana kupiga kinanda na ninampango wa kununua changu mwenyewe asee

  • @jamestweve7080
    @jamestweve7080 7 років тому +1

    Daudi nasubiri somo la 3 kwa hamu kubwa

  • @ElirehemaSimoni
    @ElirehemaSimoni Рік тому

    Unapatikana wp

  • @ibrahimkonzo5324
    @ibrahimkonzo5324 2 роки тому

    Nice

  • @japhetidaudi2268
    @japhetidaudi2268 4 роки тому

    Kaka nitakupataje nataka kuonana na wewe

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 4 роки тому

    I like this session

  • @tollesmbekwe1742
    @tollesmbekwe1742 6 років тому

    Mbona mwendelezo hakuna kaka weka mwendezo

  • @alexedward408
    @alexedward408 3 роки тому

    Santeee

  • @dottosimon682
    @dottosimon682 Рік тому

    Unapatikana mkoa gani

  • @charleschaula698
    @charleschaula698 4 роки тому

    Umenifanya nitaman kujua kwa siku moja

  • @cornelmpanda624
    @cornelmpanda624 6 місяців тому

    Episode ya 3

  • @rafabahezwa9368
    @rafabahezwa9368 5 років тому

    Duuuuuuuuu wala sijaelewa