asante sana mwalimu wangu. nimekuwa nikifuatilia mafunzo haya ya kinanda. ninakushukuru sana kwa kuendelea kunielimisha. nina ombi mwalimu. darasa letu lemifikia sehemu ya kumi na nne ambayo ni ufunguo F, nimekosa kuona funguo G, A, na B. naomba ikiwezekana uziaupload tafathali. asante sana
hongera sana mwalimu kwa kudhubutu kufundisha kwa njia ya mtandao walimu wengi wako nyuma sana katika matumizi ya hii teknolojia ni wakati wa kubadilika sasa.
MWL. #DAUDIMAGINA. MM NAPENDA KUJUA KWAMBA UNASEMA TUNA NAFASI SABA PALE SEHEMU YA KWANZA MPAKA NANE HATA HIZI DOREMIFASOLATIDO ZPO NANE JE MBNA SIJAONA NAMNA YA KUFANYA FANYA APO MPAKA UZICHEZE ZOTE PLIZ APO TUNAFANYAJE?
Ndugu.David Mgina. .ASANTE sana kwa Somo lako... NAOMBA namba YAKO Kaka Au. e-mail yako. kwa mawasiliano ya kuna zaidi. nahitaji kujua Music kwa kweeeli
asante sana mwalimu wangu. nimekuwa nikifuatilia mafunzo haya ya kinanda. ninakushukuru sana kwa kuendelea kunielimisha. nina ombi mwalimu. darasa letu lemifikia sehemu ya kumi na nne ambayo ni ufunguo F, nimekosa kuona funguo G, A, na B. naomba ikiwezekana uziaupload tafathali. asante sana
Thanks sn nipe connection teacher mii natak uniweke kwa glass yako kabs nijuee mwanzo mpak mwisho...
Niseme ahsante kwa somo la kwanza.leo nitakuwa makin zaid
hoohhh tunapata raha ubarikiwe kakaa
Ahsante sana ndugu kwa elimu hii Mungu akubari. Tunaomba mwendelezo wa sehemu ya tatu.
Ndiyo D ,unapatikana wpaud Ubarikiwe Sana
Nina mwanafunz ,tuwasalimian
Tuwasiliane
hongera sana mwalimu kwa kudhubutu kufundisha kwa njia ya mtandao walimu wengi wako nyuma sana katika matumizi ya hii teknolojia ni wakati wa kubadilika sasa.
asante
Aisee somo zuri sana mungu akubaliki nasubilia somo lapili kwashauku kubwa sana
Asante sana kwa somo zuri ila tunaomba ututumie sehemu ya tatu Asante sana.
Ninapenda sana kipiga kinanda,ninashukru sehemu ya kwanza nimefuzu
MUNGU AKUBARKI SANA MM NI MMOJA AMBAE NATAMANI MNO KUJUA KUCHEZA KINANDA NAPMBA DARASA ZAIDI KAMA HUTOJALI BARIKIWA SANA RAFIKI MWEMA
Ahsante sana mwalim kwa somo zuri..naamini IPO siku ntajua kupiga kinanda
Mtumishi asante kwa somo nazidi kujifunzA
Asante Sana Mwl. Zoezi la pili nichangamoto kwangu.
Jambo mwalimu mi nko Nairobi Kenya naningependa unifunze kinanda je tutapatana kivipi
Napenda sana kujifunza kuzeza kinanda asante kwa hili, ok, wacha nitafute kwanza kinanda and then nita omba utaaram
nashukuru sana Kwa mafunzo haya ,natumahi sehemu ya tatu itafika jamani
Niriwenza kupig kwakutumia hapa unavo erekez napiga ira sema bado mukono wakushoto bado hakujawa vizuri yan
Asante sana kwa mafundisho, tunaomba sehemu ya tatuuuuu
Ahsantee sana mkuu, nimelipenda darasa hili
asante tuko pamoja
Amen, Mungu ni mwema nimebarikiwa sana
Safi sana kwetu tunaojifunza kinanda
Safi mwalimu naamin ipo siku na mm nitakujua kupiga
Nilivurugwa kwann unaruka nafas ahsante
Amen natamani nipite uwezo wako kaka😄😄😄😄
Daaaah nataman Sana kupga Kama ww
asante sana mwalimu, napenda sana kujua kukipiga hicho chomba, unapatikana wapi?
Nimetamani masomo haya. Napenda sana sana. Sehemu ya tatu please
Aisee somo zuri Sana
Ndug me natamani sana kujifinza unapatikana wapi
Mkuu Hapo unavyoruka Code Moja ama kidole kimoja Unakuwa unaruka mikono yote au upande mmoja wa kushoto tuu????
Mtumishi ubarikiwe sana
LAKINI TUNASUBILI SEHEMU YA TATU KWA HAMU MNOOOO 🙏🙏🙏🙏🙏
kwa kweli kaka mungu akubariki kwA moyo huo
Barikiwa sana mwalimu kwa moyo wako wa kujitoa
Hi magina naomba utuwekee sehemu ya tatu naona ww nifundi kabisa.
Angeanza kuelekeza keys.
Upo sehemu gani pengine naweza kuja kujifunza live
Ahsante Sana
Nikupongeze sana kwa kujitolea kufundisha darasa hili zuri. Nishauri kama itawezekana ufungue group la Whatsapp
Nimeelewa sana somo lako
asante nimekufuata vizuri.
vizur san nimeipenda san
Uko vzuri sana kaka
😂 😂 😂 😂 Waoooh asante
Beutiful work!!! God bless you
I wanna appreciate your nice job. Would you upload part 3 please? I am looking forward to it!!
Ubarikiwe sana kaka
Zoezi la kwanza Sawa
Naitaji unifundishe mimi nipo dar
Nishingap garama mbakanijue
santee brother tuko pamoja natumain mpaka umalize sessions zote ntatimiza ndoto na kiu yangu ya siku nyingi
Mwalimu asante kwa somo zuri. ila sehemu ya tatu hujatuma!!
Barikiwa
kinandaa cjakinunua bado ila ni ndoto ktk ndoto zng nakipenda mno
Nafuatilia kwa makini sana kaka tuko pamoja
Namba ako kakaa
broo ubarikiwe zoezi la kwanza tayari nakomaa na hili
Mm nishafkaga apo na kuvuka sema niliishia kat nilkuwa nishaanza kupga wimbo ila kwasasa ntakuwa nishasahau
kaka kimya sana somo la 15 nakuendelea tunasubiri
aminaaa❤❤
Safi kabisa
asante nimependa
habari..mwalimu nauliza kupga kinanda kinahusiana na kujua nota?
mwalimu sehemu nyingine vipi hadi nimefika ufunguo G nimesubiri hadi sasa sioni, hapo ndo mwisho? je hizo cd nitazipataje
Mwalimu naomba namba yako tafadhali.
Mwanafunzi atachukua muda gani kuelewa?
Asante kaka Daudi MUNGU akubariki
amina
❤ Music
natamani sana kujua kinanada na siku nikijua nitaringa sana
Nimependa mafunzo yananijenga
Mimi nipo sehemu ya tatu lakini nakata tamaa asee du
Usikate tamaa jitahidi
iko poa sana mkuu
Kati ya walim wanaofundi,ww unafundisha hata kilaza anaelewa mapema,mpaka hapo hatua ya 1-2nimejua kupitia kipindi chako,sehemu ya tatu tafadhari.
Nahitaji kujuq kupiga kinanda.
Naomba mamba mamba yako
Kaka sehemu tunaomba ya tatu tafadhali
Barkiwa sana
Naaombe namba za mwalimu
sehem ya tatu pls
Natamani sana kujua
MWL. #DAUDIMAGINA. MM NAPENDA KUJUA KWAMBA UNASEMA TUNA NAFASI SABA PALE SEHEMU YA KWANZA MPAKA NANE HATA HIZI DOREMIFASOLATIDO ZPO NANE JE MBNA SIJAONA NAMNA YA KUFANYA FANYA APO MPAKA UZICHEZE ZOTE PLIZ APO TUNAFANYAJE?
Kwakweli bila mazoezi hapo, utakuwa unakilaani tuu kinands
Jitahidi ulete Muendelezo wa somo la kindanda pls
Just like the harmonium schule by heinrich bungart
naomba tupate namba yako
najitahidi ila.nashindwaa duu mwl????????????
asante sana kaka ... naomba uweke na video zingine za muendelezo
Ndugu.David Mgina. .ASANTE sana kwa Somo lako... NAOMBA namba YAKO Kaka Au. e-mail yako. kwa mawasiliano ya kuna zaidi. nahitaji kujua Music kwa kweeeli
NAMBA yangu. 0786 460 613
Next
Yu wapi....? Kaka uko wapi...?
Huyu ndugu kapoteza...?
Nakutafuta bro...
Niko pamoja na wewe Niko Kenya
Kaka uko wap nije nijifunze zaid kwa garama yeyote napenda sana kupiga kinanda na ninampango wa kununua changu mwenyewe asee
Daudi nasubiri somo la 3 kwa hamu kubwa
Unapatikana wp
Nice
Kaka nitakupataje nataka kuonana na wewe
I like this session
Mbona mwendelezo hakuna kaka weka mwendezo
Santeee
Unapatikana mkoa gani
Umenifanya nitaman kujua kwa siku moja
Episode ya 3
Duuuuuuuuu wala sijaelewa