Je mfano....mume wangu mm A na mm jina langu A jina nililopewa na wazazi...la ndoa nilivyo badili dini jina nikapewa lenye heruf M ...hapo naona wate moto au punda so hapo vp tutatoboa kweli
Najuaje siku yangu bahati jina langu ni s na je kuna uhalisia gani kati ya siku yako ya bahati na kubahatisha na muda gani sahihi wa kufanya maombi ikiwa umejua siku yako ya bahati Jina langu linaanza na s nyota ni Ng’e
Nimefanya utafiti sana unayoongea yote yanatimilika na jina la pili yaani la dini.yaani kama mtu anaitwa s jina lautoto lakini unayoyapitia ni ya herufi t ambalo ni jina la pili
Sasa unasema kuwa jina linalosemwa ni lile la kwanza kuitwa ila mbona tumefanya utafiti jina hili la pili la dini ndio linaendana haswa na unayoongea??
Mimi subila jenaweza kuwoana na mchumba wangu abuu nyota zetu zinaendana
Ubarikiwe tunakufahamu uzuti sana
Nimependa mafundishi yako kaka asante ❤❤
Ahsante sana.. vp kama wote nyota zenu zinafanana yani moja mfano S na C kwenye ndoa na mafanikio
Fuatilia hapo majibu yanakuja
Good
Kaka umeongea kweli kabisa kuhusu wanaume wa herufi C
Niliolewa na herufi c na mimi ni c tuliachana after 25yrs pamoja
Je mfano....mume wangu mm A na mm jina langu A jina nililopewa na wazazi...la ndoa nilivyo badili dini jina nikapewa lenye heruf M ...hapo naona wate moto au punda so hapo vp tutatoboa kweli
Je sayar ya upepo na upepo inafaa kuoana
Nisaidie mm ni binti a naweza kuolewa na i
Ila uyo mchumba wangu mke wake ni nyota Adui herufi N, naomba ushauri wako hapo kaka yangu
Haina shida Sana kwako ila kweke mchumba wako
@@allykk1459 asante
Me mwanamke jina langu linaanza na w mwanaume Wang jina linaanza na A je sahihi kuwa nae
Ndio
Kabisa tusaidie bro
Najuaje siku yangu bahati jina langu ni s na je kuna uhalisia gani kati ya siku yako ya bahati na kubahatisha na muda gani sahihi wa kufanya maombi ikiwa umejua siku yako ya bahati Jina langu linaanza na s nyota ni Ng’e
Pekua hapo clip zipo zote siku zaka kila herufi na kazi zao .
Angalia clip ilioandikwa itumie siku ya ijumaa
Sawa mwalimu nitafanya hvyo, katika watu waliofanya niielewe Elimu hii ni wewe
Mimi jina la ni s na nimeolewa na Mt mwenye j tunaweza ish
Shukn
❤❤
Kwel kaka nmeona wanawake wa herifi E hawaogop waume zao
A na A je tunaweza kuoana doctor
Futilia
Kwel kaka yangu alitakaga kujiuwa naye ni k
Kundi la UPEPO nikimpata kundi la UPEPO yaani, G kwa G, au S, W, C, O, &K. Kuna Tatizo Kaka?
Kama mimi mtarajiwa wangu ni k mimi ni s sasa hajazifafafanua hizo herufi
@@jumafundi3133 Ndio, Brother azungumzie pia Kama Kuna athari ya kuwa kwenye mahusiano watu mliopo kwenye kundi Moja (UPEPO) ,G, S, C, O, W, K
@@giftfungo1404 pengine atafafanua maana nilazima azifafanue ainazote za nyota na frufi kwa herufi
kun seem nlisikiliza et walisem sio sahihi
@@salomeraymond2051 sehem ganihio ili tupate uhakika.
Je g na d wanaweza oana na wakawa na mafanikio na ndoa yao ikawa haina migogoro
Nimefanya utafiti sana unayoongea yote yanatimilika na jina la pili yaani la dini.yaani kama mtu anaitwa s jina lautoto lakini unayoyapitia ni ya herufi t ambalo ni jina la pili
Yani jina uliloaziniwa
Nyota ya upep0 na upep0 nini kinatokea mkiwa wachumba.
kaka sasa c na k nayo
Kama muislam jina uliloaziniwa,, kama kiristo maana yake jina ulilopewa ukiwa mdogo,,
Je s na c wanaweza kupona?
Mm mchumba wngu herufu yke n mm mwanaume m apo vp
Sasa unasema kuwa jina linalosemwa ni lile la kwanza kuitwa ila mbona tumefanya utafiti jina hili la pili la dini ndio linaendana haswa na unayoongea??
J na c zinaendan au ni uadui
Kakangu nisaidie tafadhali usinipuze mm ni M na wangu ni A je tunaeza owana kweli??? 🤔
Fuatilieni hapo majibu yanakuja
M na M hapo vipi
Kaka Ally mimi ni M na mchumba wangu ni A apo vipi?
Iko poa
@@allykk1459 nakupenda bure
Sorry je sayari ya Moto na Moto