Kwa sasa nashauriwa ni watu wengi nisimamie kitu cha muwakilishi wadi mana mimi nkiingia kwenye makundi najikuta napewa tu uongozi.kwa sasa nashauriwa kusimamia kiti cha uwakilishi wadi.je naweza kujaribu uchaguzi ujao
Kaka ally tunaomba utwambia pia siku Gani mbaya kwetu sisi S na G maana kwamfano mimi Kila ikifika jumatano naonaga kama ni mbaya kwangu kwasababu kunakuwa kunatokea mambo mengi mabaya sometimes nakuwa naumwa yani ki ufupi inakuwaga siku mbaya kwangu sasa sijajua shida ni nini?
Mimi nina herufi s manake naitwa 'SALIM' lakini ki ukweli nimekuwa mwalim wa PTA lakini walimu wananiona kana kwamba mimi nlienda course lakini sikuenda
😅umeongea kwel bro Mimi nacheza namba 7 uwanjn na tangu naanz kuchez mpira sijawah kubadili namb Saba na jeaz navaa 7 na majeruh ni mengi sana apa yenyewe Nina majeruh na ninaumia ovyo uwanjn 😅😅🤣🤣🤣🤣
🙏🙏🙏❤️nimejifunza sana asnte
فتح الله وزد عليك علما الذي ينفعنا في الدنيا والآخرة.
Asante kaka ally... ubarikiwe sana
Asante kaka kwa ufafanuzi nimekuelewa ubarikiwe
Very nice
Mtafit nimekuerewa sana mungu akulinde❤❤
Asante kwa ushauri ubarikiwe sasa napunguza kupenda 😄 😄 🤣 maana duh kama umejua kiundan mwangu
Thank you kaka ubarkiw
Shukrani Brother be blessed 🙏
Nachukua UALIMU (BAED) iko vipi?
Asante
Salut sana bro!!!!
Majina yap ya kiume yanayo anza na heruf G?
Godfrey, Goodluck,Gwajima,Godson,Godwin,
@@JacklinaMteigaudes gamondi gasipa
herufi S na S zinaendana
Nakupenda dr duuuuh...ni uyu MIMI SASA mama la mama😂😂
Asante
Asante
😂😂ila hii video nairudia sana dah akina G huyu broo kaongea kama vile Yuko kweny maish yangu😵
Yaani acha tu
Je kaka NG'walu yupo kundi gani???
Ukisema humri mudogo hunamaanisha myaka ngapi???????
Kumi
Kumi na tano mpaka 30
Kwa sasa nashauriwa ni watu wengi nisimamie kitu cha muwakilishi wadi mana mimi nkiingia kwenye makundi najikuta napewa tu uongozi.kwa sasa nashauriwa kusimamia kiti cha uwakilishi wadi.je naweza kujaribu uchaguzi ujao
Ndio ni sehemu ya kazi yako
Mtafiti mm naitaji kujua mm ni erufi s napia nko na ndevu chache naomba unisaidie nijue niko fungu gani
Brother kwa Kweli ume busa kwangu so na hitaji kuongea na wewe brother sorry
Sawa nipigie whatspp
A aleikum na Kama washughulika juu ya biashara Kama cafe restaurant
Ama kufanya kazi ya matatu ya kununuwa gari kufanya kazi nalo 😊
Wee jamaa jiniaz saana
Asante
Niukweli
Kaka ally tunaomba utwambia pia siku Gani mbaya kwetu sisi S na G maana kwamfano mimi Kila ikifika jumatano naonaga kama ni mbaya kwangu kwasababu kunakuwa kunatokea mambo mengi mabaya sometimes nakuwa naumwa yani ki ufupi inakuwaga siku mbaya kwangu sasa sijajua shida ni nini?
Asant kk
Mimi nina herufi s manake naitwa 'SALIM' lakini ki ukweli nimekuwa mwalim wa PTA lakini walimu wananiona kana kwamba mimi nlienda course lakini sikuenda
Mimi naiwta salha shaibu hapa nilipo sio seem sahihi niktamka ayo maneno Haina shida nipo omani shukurani
Pete hii naipata wap na kuitengeneza wapi
Nahitaji hyn pete nisaidie tafadhali
Unaweza kuja au ukajiandalia mwenyewe
Naomba namba zako cm nashida ya kunitengezea iyo Pete, naitwa Sumaiyyah,
Namba zipo hapo 0765559042
@@allykk1459 asante
Nimeelewa kaka @Ally kk
Nilikuwa na ombi
Je, NAWEZA ENDANA NA HERUFI GANI KINDOA YAANI MWANAMKE WA KUISHI NAE??
Majibu yapo hapo kwenye cahaneli yangu tafuta utapata majibu yote hapo
Herufi S ni ya ainagani kwa mfano ng'e
Mizani
😅umeongea kwel bro Mimi nacheza namba 7 uwanjn na tangu naanz kuchez mpira sijawah kubadili namb Saba na jeaz navaa 7 na majeruh ni mengi sana apa yenyewe Nina majeruh na ninaumia ovyo uwanjn 😅😅🤣🤣🤣🤣
Kweny G hauja kosea umeongea na ndo naishi ivyo ivyo
Asante pia pole kwa majeraha
Mimi ni S nipo chuo nasomea mambo yanayohusiana na usafirishaji kwa ujumla vp hapo Kaka?
IPO sawa
@@allykk1459 asante🙏
@@allykk1459 B na S wanaweza ishi pamoja kindoa?
Nauliza. Ni. herufi. Ya. Kwanza. Ya. Jina. Ya. Pili. Hau. Jina. La. Kwanza
JINA LILILOKULEA LINAVYO TAMKIKA HERUFI YA KWANZA NA BAAZI NI ZAMBELE LAKINI NIME FAFANUA
Hizo Pete unazo
Kaka,,Je,mwasiti,yupo,kundi,gan?
Mwasiti ni s huyo
S