Mfano mie ni mwanamke nyota yangu ni punda .tatizo linakuja kila mwanaume anae kuja ni nyota ya mashuke.nishakataa saaana na umri unaenda sijawahi pata mwanaume tunae endana nae kinyota je nifanyaje niwakubali hao mashuke au nifanyaje naomba ushauri wako
Mungu
Akupe
Maisha
Mareff
Uzd
Kutufahamisha
Zaid
❤
Kabisa unachambua vizuri
Mungu azidi kukupa maisha mlefu Sana kaka ally
Na wewe pia
Nicknames amabazo hutumika sana, kuna uwezekano mtu kuhama kutoka kwa nyota yake ya jina halisi la ID hadi kwa hii ya nickname?
Mungu akubalik sana
Shukrani kaka
Dah mzee unayoyasema yapo
Tunaitaji utafturiye erufi p na n b
Je majina yenu mkipega ikabaki 0
Sawa kaka tumekuelewa🤍🙏
Kaka salamba na aisha je zinaedana
Mfano mie ni mwanamke nyota yangu ni punda .tatizo linakuja kila mwanaume anae kuja ni nyota ya mashuke.nishakataa saaana na umri unaenda sijawahi pata mwanaume tunae endana nae kinyota je nifanyaje niwakubali hao mashuke au nifanyaje naomba ushauri wako
Olewa tu hakuna kinachoshindikana Kwa MUNGU yeye ndio anaweza yote muombe MUNGU songa mbele olewa dada Ang nimekupenda bure swali nzur
Namba 1 kwa ndoa inamaana gani au namba 0
Naitwa mwanakombo Omar nimezaliwa 15,5, nyota yangu niipi
Mm Nina mke saidanti na mi ni simoni vp tutapata mali
Mwanakombo
Naitwa Charles na mke anaitwa Mariam jee tunaendana kinyota?
A na s zinaendana?
Nataka kujua mwenye m anafaa kuoa mwanamke wa erufi gani
S,W,K,I,E,
Kaka mim ni S na mume wanngu ni A je,tunafanan
Stephen na Sarah ndoa inanza vizuri inafika wakati invunjika shida ni iko wapi?
je z na s zinaendana naomba unisaidie
Hapana
S na m ,h mbon hio ndoa inavunjika,?
Jina Said hiyo ni D au S?
Ushasema said jamani
Namba 1 kwa ndoa inamaana gani au namba 0