Sijui mengi ya Siti biti Sadi. Lakini jina lake nalikumbuka sana. Nikiwa kijana tulikuwa na msemo usemao; Siti biti Sadi kama si sauti ungekula nini leo. Shukrani kwa Elimu. Bibi Titi awe kwenye historia ya nchi hii na Oscar Kambona. Hawa ni kati ya mashujaa wakuu wa nchi hii.
Allah akulipe mzee wetu Wazungu walimtuma nyerere awafute kwa maksudi lengo ni kupoteza nembo ya kuonekana kwamba hii nchi ni ya kiisilamu ndio maana wakamuandikia historiya ya uongo ya kuzua
Wanawake kila mara wamekuwa wakilalamikia mfumo dume si kweli wanawake wenyewe walikuwa hawajihamini kama bibi titi muhamed alikuwa anaweza kusimama mbele ya wanaume eakaweza kumsikiliza wakati wa kutafuta uhuru na wanaume hawakumbeza hata siku Moja vipi wanawake mwalahani kuwa wanaume Wana mfumo dume sio kweli wanawake wenyewe walijidharau na tabia ya kusodoana Hadi Leo tabia hiyo ipo na kitojiham ini waache kusi ngizia mfumo dume
Mchango wa kalamu yako katika uandishi wa historia ya Tanganyika sheikh Mohamed Said haukadiriki. Umefanya utafiti wa kutosha na wenye kina usio na shaka ambao haupingiki
Hajamchukia na wala hamchukii ispokua anaeleza yale yalojiri kosa kubwa lilitokea ni kwa miaka mingi kuonesha Kua ni Nyerere peke yake ndio aliofanya harakati za uhuru kitu ambacho si kweli Huyu ndio anaweka wazi wa yale yalioachwa kusemwa
Sijui mengi ya Siti biti Sadi. Lakini jina lake nalikumbuka sana. Nikiwa kijana tulikuwa na msemo usemao;
Siti biti Sadi kama si sauti ungekula nini leo. Shukrani kwa Elimu.
Bibi Titi awe kwenye historia ya nchi hii na Oscar Kambona. Hawa ni kati ya mashujaa wakuu wa nchi hii.
Siti Binti Saad na Bi Titi Mohamed ni watu wawili tofauti.
Wahenga waandishi mupewe maua yenu. Hongera mzee wetu.
Allah akulipe mzee wetu Wazungu walimtuma nyerere awafute kwa maksudi lengo ni kupoteza nembo ya kuonekana kwamba hii nchi ni ya kiisilamu ndio maana wakamuandikia historiya ya uongo ya kuzua
Sio nchi ya kiislam,tuna tamaduni zetu kama waafrika,uislam ,ukristo Ni tamaduni Za kigeni,hivyo kwangu haina maana yoyote.
Nchi hii ni ya wote, wenye dini na wasio na dini.
ALLAH Akuweke, kisima cha Simulizi za kihistoria ambazo hatuzipati mashuleni.
Shukran sana Mzee wetu
Asante sana , Mzee Mohammed kutuelimisha. Nimefurahi na kusikitika pia. Tufanyeje ili tuishi kama zamani ambapo tulikuwa wamoja na wenye kuheshimiana?
Ndugu Mohammed Naomba namba zako za cm please mm naitwa Mfundo from Germany
Wanawake kila mara wamekuwa wakilalamikia mfumo dume si kweli wanawake wenyewe walikuwa hawajihamini kama bibi titi muhamed alikuwa anaweza kusimama mbele ya wanaume eakaweza kumsikiliza wakati wa kutafuta uhuru na wanaume hawakumbeza hata siku Moja vipi wanawake mwalahani kuwa wanaume Wana mfumo dume sio kweli wanawake wenyewe walijidharau na tabia ya kusodoana Hadi Leo tabia hiyo ipo na kitojiham ini waache kusi ngizia mfumo dume
Kweli kaka huko Shuleni kwenyewe wakijitahidi kujua hiyo history basi wanaanzia kwa nyerere wakati nyerere mwenyewe kuna wajanja waliompokea mjini
Hao wajanja walishindwaje kudai uhuru mpaka Nyerere akawaongoza?
Kambona ,Na Bibi Titi nawengi inatakiwa wajulikane,kuwe na Historia yao
Asante sheikh
Mchango wa kalamu yako katika uandishi wa historia ya Tanganyika sheikh Mohamed Said haukadiriki. Umefanya utafiti wa kutosha na wenye kina usio na shaka ambao haupingiki
Huyu bwana anamchukia Nyerere.?
Hajamchukia na wala hamchukii ispokua anaeleza yale yalojiri kosa kubwa lilitokea ni kwa miaka mingi kuonesha Kua ni Nyerere peke yake ndio aliofanya harakati za uhuru kitu ambacho si kweli Huyu ndio anaweka wazi wa yale yalioachwa kusemwa
Ukweli unauma ukiwekwa wazi ndio inakuwa Anamchikia