Je suis congolais! Nilijifunza kidogo kuhusu Mwalimu Nyerere. Maintenant, j'ai la chance de le découvrir en profondeur! C'était et ça restera un grand intellectuel, un grand philosophe, un grand Maitre!
The rapport he had with the audience!!!!!!!!!.....the honesty of his ideals and ideas he genuinely had for the Nation !!!! Mwalimu was a very rare exception on the Continent!!!
Hayati Nyerere alikuwa mwalimu, Hayati Magufuli alikuwa mwalimu da Yatupaswa kutafakari walale kwa Amani ma genius hawa Mungu alitupenda watanzania cha ajabu wema hawadumu
Magu alikuwa hana uwezo hata robo kumfikia Nyerere, Nyerere wengi hawamjui kuwa alikuwa hataki ukabila wala ukanda wa ziwa, hakuwa mpendelevu kikabila.
Nadhani hii hotuba ni ya 1.5.1995.Pili,Tanganyika ya Waingereza na ya uhuru wetu bado ni Tanganyika.Tofauti ya jina ni wakati wa Wajerumani na Waarabu au wenyeji.Gavana wa kwanza wa Waingereza Tanganyika ameanza kazi mwaka 1919,Sir Horace Byatt.
Inaonekana hata aliyeipost sidhani kama ameisikiliza vizuri kwani dakika 36:02 Nyerere anasema "Viongozi wanaotaka kuingia katika awamu ya tatu ya uongozi", moja kwa moja hii inaonesha ilikuwa katika vuguvugu la uchaguzi wa 1995
Hiyo hotuba haikuwa mwaka 1969 ilikuwawaka 1995 na Mimi ni miongoni mwa watu waliompokea airport ya zamani.baadaye sokoine Mbeya ambapo alitoa madini hapo Moja kati ya hotuba nzuri kuwahi kutokea.
It is so sad All this Serious Talk as a wake up call was taken as a comedy show and people laughed SO INSANE NO WONDER TANZANIA IS MORE POOR THAN WHEN IT WAS 60years ago lack of seriousness on very important things... Kweli umaskini wa Fikra ni kitu kibaya sana
Gosbert Rwezahura mshenzi huyu kaleta umaskini na umpumbavu wa shule za kimpumbavu na dunian hajulikane kama rais wa maana Bali dictator tu huyu sawa na makufuli tu hakuna maendeleo ya maana kujisifu tu
Yaaa kaleta umaskini tu na katunyima education chama cha majambazi na majangili wakitoka ktk nchi tutapata maendeleo hata Kenya wamebadilisha chama cha upinzani kilishinda Malawi Burundi Rwanda Zambia ss hawa wataachilia serekali whith day
@@ismailnoor6729 Siyo rahisi kwa watanzania kama ulivyosema tumenyimwa elimu ya utambuzi na uthubutu na tumejawa na ubinafsi wa viongozi na watendaji wengi wanafikiria maisha yao wana wasiwasi kikija chama kingine hawatakuwepo walipo ndio maana wanataka chama kishinde kila mara ili waendelee kuwepo walipo kwa faida yao pia katiba haina nguvu ya kuendesha uchaguzi huru na wa haki inapendelea chama kinachokuwa madarakani. Subiri safari hii ushindi kwa CCM itakuwa 100% siyo simple kuitowa CCM
Yassar Suphian ww nn na ccm munalazimisha watu siyasa mbovu umaskini unakusumbua lazima kuwe na mashindano kwenye siyasa siyo kitulazimisha siyasa ya mbumbavu Nyerere na umpumbavu wa wala rushwa kama ww
Hapa ni kutafuta silaha ili makufuli atolewe kwa bunduki na siyasa mbovu za Nyerere Tunakuja na vijana waliyo jitolea muhanga kufa ili ccm itoke ktk serekali yetu kwa bunduki ss
Huyu ameitawala nchi kwa nguvu sana miyaka thelathini NA tano anakataa mtu awe rsisi huko zanzi bari aliua waafrika NA. Waarbu kinyama walizikwa kwenye. Mashimo makuba angalia Google utaona maajabu ni adui wa waaslaam nchi iliendelea baada kifo chake ikawa tajiri NA hapo alipokuja makufuli ameitengeneza nchi NA watu wengi. Walitaka ungereza irudi afathali kuliko huyo rais karurudisha nchi maskini duniani NA usisahau alivamia uganda wakafa elfu ishirini kwa nchi ya uganda raia ameua bila huruma mtu yo yote anasimama mble yake ananghnia uraisi muda mrefu sana sana mpaka mungu amemleteya kensa wa damu akakaa angalia kama mtoto mdogo mwaka mzema nitakufa nitakufa mungu amepa athabu duniani NA ahera itampata mchema kuni
Sipendi kujipendekeza ktk viogozi wanaoleta umaskini African president who wanted ya sell Africa some didn't know how to be president stupid leaders should resign
Acheni kumpongeza huyu mzee yeye kaifanyia nini tanganyika tokea awe raisi ni umasikini tu hadi kafa ,wacheni kumuona mungu hakufanya kitu isipokuwa kuimeza zanzibar tu
Yassar Suphian mama yako mwenye akili finju kumamayo na rais aliyeleta umaskini Tanzania kumalamamazenu na siasa mbovu hamkubali kushidwa wala mshindani siyasa ya ukoloni tutachukua silaha ndiyo tulete mapinduzi nchini
Rainer Mwashu babu yako alifanya kosa la kujipendekeza kwa mchoga menu tv kaweka kwake tu kumalamayake mwenyezi mungu ampe athabu ya milele motoni mshezi kaweka chama cha majambazi kutawala mbaka tupoteee dunia kwa sababu ya wapumbavu Kama nyie stupid thinking Nyerere is only leader but don't forget other leaders who opposed his leadership now kwa sababu ww umepew hela please don't fool people
Je suis congolais! Nilijifunza kidogo kuhusu Mwalimu Nyerere. Maintenant, j'ai la chance de le découvrir en profondeur!
C'était et ça restera un grand intellectuel, un grand philosophe, un grand Maitre!
Napenda sana hotuba za hayati Julius Nyerere. Kama ninavyopeda Hotuba za hayati John Magufuli.
The rapport he had with the audience!!!!!!!!!.....the honesty of his ideals and ideas he genuinely had for the Nation !!!! Mwalimu was a very rare exception on the Continent!!!
Simply brilliant! This is a whole semester of Political Science packed in 30 minutes
Hayati Nyerere alikuwa mwalimu, Hayati Magufuli alikuwa mwalimu da Yatupaswa kutafakari walale kwa Amani ma genius hawa Mungu alitupenda watanzania cha ajabu wema hawadumu
Sauti hii bado inaishi mungu akupe pumzk la milele mzee hakika wema awana maisha
Mwalimu jk nyerere alikuwa anakipawa kutoka kwa mungu
Huu ulikuwa mwaka 1995, Mimi nilimpokea airport na wakati wa hotuba ya Mwalimu Nyerere mimi nilikaa katikati ya sehemu ya eneo la kuchezea mpira
Hongera Sana kwa kumpokea Baba was Taifa
Too much wisdom from Mwalimu...very tough question for the future African leaders..
hakika huyu mh.dkt john pombe magufuli anastahili pongezi kwa kila mtanzania
Dah...! Magufuli anahusikaje hapa tena ?
"Ogopa Kama Ukoma" - Serious Message, People Laugh!!! Sad!
you are one of the best mzee Nyerere
Hongera saaaaaana Rais Magufuli. Una uchungu na nchi ya Tanzania kama Mwalimu alivokuwa. Tunamshukuru Mungu kwa ajili yako.
Gosbert Rwezahura ...
Magu alikuwa hana uwezo hata robo kumfikia Nyerere, Nyerere wengi hawamjui kuwa alikuwa hataki ukabila wala ukanda wa ziwa, hakuwa mpendelevu kikabila.
Nadhani hii hotuba ni ya 1.5.1995.Pili,Tanganyika ya Waingereza na ya uhuru wetu bado ni Tanganyika.Tofauti ya jina ni wakati wa Wajerumani na Waarabu au wenyeji.Gavana wa kwanza wa Waingereza Tanganyika ameanza kazi mwaka 1919,Sir Horace Byatt.
Kiongozi aliyekubali makosa yake na kujisahihisha Mwanga wa milele akuangazie eeh bwana Upumzike kwa Amani.
Ni viema Sana kuhifazi hutuba kama n'a hizi Mwalimu alikua sujaa kweli hongera kuleta uhuru Tanzania
Asante baba wa taifa letu njia ulionyesha,.Hii ni hotuba ya. Mei mosi. 2995 mbeya uwanja sokoine.
Jamani Wahariri mnapotosha watu hii sio hotuba ya mwaka 1969 ni mwaka 1996 baada ya Nyerere kustaafu Urais mwaka 1985 na vyama vingi kuanza tena 1992
Uko makini sanaaa🤗🤗
1995
Ijumatatu Mei mosi 1995
The title is misleading. Nyerere made this speech on May Day 1995
Inaonekana hata aliyeipost sidhani kama ameisikiliza vizuri kwani dakika 36:02 Nyerere anasema "Viongozi wanaotaka kuingia katika awamu ya tatu ya uongozi", moja kwa moja hii inaonesha ilikuwa katika vuguvugu la uchaguzi wa 1995
Wengine hawana utaratibu wa kuuliza hata kama hawajui
Hiyo hotuba haikuwa mwaka 1969 ilikuwawaka 1995 na Mimi ni miongoni mwa watu waliompokea airport ya zamani.baadaye sokoine Mbeya ambapo alitoa madini hapo Moja kati ya hotuba nzuri kuwahi kutokea.
Binafsi mara zote nafarijika sana kuisikia sauti hii.
Lakini nafurahi zaidi kuhusu uwepo wako Yesse Mwakibete katika tukio hilo muhimu katika historia ya Nchi yetu.
Wametuchosha na usambazaji wa historia kwa kubadilisha miaka. Imebakia hao kuanza kusambaza hotuba za Mwalimu wakidai ni ya 1389.
😊 pp@@kelvinjelas3923
Hii ni hotuba ya Jumatatu ya Mei Mosi 1995 na si ya mwaka 1969
It is so sad All this Serious Talk as a wake up call was taken as a comedy show and people laughed SO INSANE NO WONDER TANZANIA IS MORE POOR THAN WHEN IT WAS 60years ago lack of seriousness on very important things...
Kweli umaskini wa Fikra ni kitu kibaya sana
In the world,they are 4 important people,people of all the time:
Martin L king
Mandela,Madiba,Nelson
Ghandi
Nyerere Julius
My brother you have not had from Malcolm x...I'm sure you will be fascinated by him
Mandela no, maybe for the sake of the Imperialists.He handed over everything to the whites.He wasn't a true African hero.
Nkrumah instead of Ghandi who was anti-Africans. Do your research
Hii ni hotuba ya Mei Mosi Mwaka 1995 na sio Mwaka 1969
Kweli kabisa ni 1995 nilikuwamo siku ile ndani ya uwanja wa Sokoine
Vividly explains the whole concept of Exploitation of the Working Class and Class structures of/in Society!!
The Great message
Uyu kweli baba wataifa
Rekebisha, hotuba hii ni ya mwaka 1995 sio 1969
Unforgettable Mwl J K Nyerere mazungumzo hai !!
Mwaka 1995 Mbeya Mei mosi
Akinunua,kanunuliwa.kama amekopa atalipaje?.mwalimu ulikuwa na busara.
Hii haikuwa hotuba ya 1969 bali 1995 Mbeya! Waandishi mnahitaji ku-cross check na ku-vet information yenu kabla hamja-post kwenye mitandao.
that was 1995, not 1969
GENIUS
This speech was in 1995......
1969
Ndio 1995, mtoa posti amedanganya kimakusudi kabisaaa.
Huyu Mzee alikuwa ni zawadi kwa Watanzania na Afrika nzima kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Alikuwa na akili na busara isiyo ya kawaida.
Jamani wa Tanzania mumushukuru Myenyezi Mungu kumpata Maghufuli kama rais sisi wenzenu tunaliya wivu.
Hutuba hii sio ya 1969 ni ya May day 1995 nilikuwepo Mbeya kama Mkuu wa Wilaya
Gosbert Rwezahura mshenzi huyu kaleta umaskini na umpumbavu wa shule za kimpumbavu na dunian hajulikane kama rais wa maana Bali dictator tu huyu sawa na makufuli tu hakuna maendeleo ya maana kujisifu tu
Akili za mchonga meno mpumbavu na hana adabu katuntuma elimu na maendeleo lazima chama chama cha majambazi kitolewe madarakani ili tupate maendeleo
@@ismailnoor6729 Unaelewa unachoandika ndugu?
Ili kukuza ueleea wangu na Busala hua lazima nimsikilize Nyelele..Mandela Kaunda...na Kenyata
KAMA magu vile jamani🤗🤗🤗💞💞💞💞🙏🙏🙏
Kumlinganisha magu na Nyerere ni kama mbingu na dunia,l Nyerere hakuwa mkabila wala gange za kanda.
Mbona mmeondoa sehemu ya hotuba
😂😂😂hapa nimechka walekezeni wa Zanziba ndo kitukindog utasikia Tanganyik
Nyerere M eya
Mwaka 1969, Kwanza kulikua hakuna vyama vingi. Hebu rekebisha hicho kichwa cha habari.
This is NOT 1969! Ulipublish Rekebisha!
Hotuba hiyo haikutolewa 1969 rekebisha mwaka wa hotuba hiyo kwa usahihi wa kumbukumbu
1995 mwandishi bebu jiongeze 1969 nyerere bado alikuwa Raisi wa tz, na speech tu inaonyesha sio raisi wa nchi
Ni shida tu waandishi wa kitanzania wanachotaka tu ni viewers tu ili wapige pesa to you tube hawajali facts
smejko sakari kaleta umaskini tu hakuna elim hakuna chochote kaleta kuma tu
Yaaa kaleta umaskini tu na katunyima education chama cha majambazi na majangili wakitoka ktk nchi tutapata maendeleo hata Kenya wamebadilisha chama cha upinzani kilishinda Malawi Burundi Rwanda Zambia ss hawa wataachilia serekali whith day
@@ismailnoor6729 Siyo rahisi kwa watanzania kama ulivyosema tumenyimwa elimu ya utambuzi na uthubutu na tumejawa na ubinafsi wa viongozi na watendaji wengi wanafikiria maisha yao wana wasiwasi kikija chama kingine hawatakuwepo walipo ndio maana wanataka chama kishinde kila mara ili waendelee kuwepo walipo kwa faida yao pia katiba haina nguvu ya kuendesha uchaguzi huru na wa haki inapendelea chama kinachokuwa madarakani. Subiri safari hii ushindi kwa CCM itakuwa 100% siyo simple kuitowa CCM
Edward Alex Mkwelele hapa kuchukuwa bunduki lzm tu hukuwe bunduki kama boko haram ndiyo tutapata chetu
sawa kabisa
The true son of Africa
dah pumzika Baba wa Taifa mwalimu Nyerere
Mfumo wa vyama vingi hapa Tanzania vilianzishwa 1992, sasa hiyo 1969 ni ipi???
Kuanzishwa rasmi ni 1992 ila vilikuwepo havikutambulika
Cha kimoja tuko China 🇨🇳 makufuli lazima badilisha chama azisha chama kipya
Lazima tulete maendeleo Tanzania na lazima chama cha majambazi kibadilishwe
👍👊✌️
Kumayo na mchonga menu na makufuli nachama cha majambazi hata mufanye nn hamta fikia Kenya
stress zako peleka kuzimu huko mbwa wewe.
Yassar Suphian ww nn na ccm munalazimisha watu siyasa mbovu umaskini unakusumbua lazima kuwe na mashindano kwenye siyasa siyo kitulazimisha siyasa ya mbumbavu Nyerere na umpumbavu wa wala rushwa kama ww
Hapa ni kutafuta silaha ili makufuli atolewe kwa bunduki na siyasa mbovu za Nyerere Tunakuja na vijana waliyo jitolea muhanga kufa ili ccm itoke ktk serekali yetu kwa bunduki ss
Kenya inatuhusu nini sisu si sikiliza hotuba za kenyana kwa mstagabali wa ardhi yenu na ukabila nyerere anaingia vp kenya?
Hii ni hotuba baada ya JKN kustaafu. At 38:08- Sheria imekosea kuzuia wagombea (urais) binafsi...Ni kukosea kwa msingi..
Hekima na busara nyingi za mwalimu Julius k nyerere zimedumisha amani na usalama nchini
Huo mwaka umekosea. Ilikuwa may day 1995
1969????
Majina Jina Haya - Tanganyika Au Zinjibar/Zanzibar Ni Mabandiko Ya
Watawala/Wageni - Wajerumani Na Masultani Kutoka Oman.
Huyu ameitawala nchi kwa nguvu sana miyaka thelathini NA tano anakataa mtu awe rsisi huko zanzi bari aliua waafrika NA. Waarbu kinyama walizikwa kwenye. Mashimo makuba angalia Google utaona maajabu ni adui wa waaslaam nchi iliendelea baada kifo chake ikawa tajiri NA hapo alipokuja makufuli ameitengeneza nchi NA watu wengi. Walitaka ungereza irudi afathali kuliko huyo rais karurudisha nchi maskini duniani NA usisahau alivamia uganda wakafa elfu ishirini kwa nchi ya uganda raia ameua bila huruma mtu yo yote anasimama mble yake ananghnia uraisi muda mrefu sana sana mpaka mungu amemleteya kensa wa damu akakaa angalia kama mtoto mdogo mwaka mzema nitakufa nitakufa mungu amepa athabu duniani NA ahera itampata mchema kuni
Saws kabisa
Edit huo mwaka please
Nice
Huyu kwel baba wa taifa
Huyu kwel baba wa taifa
huyu kweli mungu ampumzishe mahali pema amina amana alifanya kazi yake vilivyo hakika tutamkumbuka daima
🔥🔥🔥🔥
Mwaka 1969 hakukuwa na OTTU
Kichwa cha Afrika.
How 1969
Hatuna budi kuyaenzi maono yake
Siyo mwaka 1969 ila ilikuwa 1986 nadhani
Wengi wanafatilia vityu visvyo vya muhimu
Mwalimweweulikuajembe
Huyu mpumbavu rais nn matatizo yake lazima tu Amin maendeleo yaletwe na yeye sindio rais
Hahahaha unatakiwa uwe na roho ngumu kutoa majubu haya
..
Its 1995
Haikuwa mwaka 1969 rudia kumbukumbu zako kama si 1990 basi 1995
Mfumo wa vyama vingi vilianzishwa1992
60billion
Sipendi kujipendekeza ktk viogozi wanaoleta umaskini African president who wanted ya sell Africa some didn't know how to be president stupid leaders should resign
hacha ujinga wew ni nani atakuletea maendeleo yako kama si wewe mwenyewe
1969?
Nimejiuliza swali hilo hilo ?
Ni hotuba ya maymosi 1995 mbeya
Jamani hotuba ya 1969? Na kwa nini nywele za rais ni za rangi ya kijani?
Ni ya mwaka 1996 sio 1969
Hii sio hotuba ya 1969 nihotuba ya may day 1995
Mimi ni shahidi nilikuwa Mkuu wa wilaya ya Mbeya
1995
Huyu mpumbavu siyo baba wala babu ni mshenzi tu huyu
Acheni kumpongeza huyu mzee yeye kaifanyia nini tanganyika tokea awe raisi ni umasikini tu hadi kafa ,wacheni kumuona mungu hakufanya kitu isipokuwa kuimeza zanzibar tu
Mungu akusamehe
Natamani ningejua umezaliwa mwaka gani. ila hata kama umezaliwa 2002 bado akili yako haina akili.
Wewe mzima Kweli?
Soma vizuri historia kabla hujaongea 'mdogo wangu'!
Mpaka leo hii hujajua roles Za nyerere? Kwanini ulikimbia shule?
Mshenzi huyu
mshenzi ni babako aliye kuzaa tu
Kama sio upumbavu wa Nyerere Tanzania 🇹🇿 egekuwa kama misr au Egypt
Ameondoka miaka zaidi ya 30 iliyopita sasa mbona haijawa kama Misri acha uongo na Misri yenyewe pia haina tofauli sana na Tanzania hata kwa sasa
naona we jamaa nina uhakika kabisa aidha una akili pungufu au umerogwa
Yassar Suphian mama yako mwenye akili finju kumamayo na rais aliyeleta umaskini Tanzania kumalamamazenu na siasa mbovu hamkubali kushidwa wala mshindani siyasa ya ukoloni tutachukua silaha ndiyo tulete mapinduzi nchini
Pole Sana kk najua Usha olewa huko
Isack Richard Pokea. Salaam za mume wako kotoka makaburini julias k Nyerere anataka kujufira kwa kutumia tech ya ss
Mshezi huyu
Mshenzi baba yako.. Alipaswa kuvaa condom
Rainer Mwashu kumalamayako ndiyo lilifanya kosa
Rainer Mwashu wajipendekeza kwa baba yako kuma tu. Yeye and you just numbered nothing more
Tatizo ni malezi
Rainer Mwashu babu yako alifanya kosa la kujipendekeza kwa mchoga menu tv kaweka kwake tu kumalamayake mwenyezi mungu ampe athabu ya milele motoni mshezi kaweka chama cha majambazi kutawala mbaka tupoteee dunia kwa sababu ya wapumbavu Kama nyie stupid thinking Nyerere is only leader but don't forget other leaders who opposed his leadership now kwa sababu ww umepew hela please don't fool people