HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 196

  • @FK-cr4sw
    @FK-cr4sw Рік тому +8

    Je suis congolais! Nilijifunza kidogo kuhusu Mwalimu Nyerere. Maintenant, j'ai la chance de le découvrir en profondeur!
    C'était et ça restera un grand intellectuel, un grand philosophe, un grand Maitre!

  • @gjmedia5031
    @gjmedia5031 26 днів тому +1

    Napenda sana hotuba za hayati Julius Nyerere. Kama ninavyopeda Hotuba za hayati John Magufuli.

  • @richardgaya3965
    @richardgaya3965 Рік тому +3

    The rapport he had with the audience!!!!!!!!!.....the honesty of his ideals and ideas he genuinely had for the Nation !!!! Mwalimu was a very rare exception on the Continent!!!

  • @theblackstarnews9448
    @theblackstarnews9448 Місяць тому

    Simply brilliant! This is a whole semester of Political Science packed in 30 minutes

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 3 роки тому +2

    Hayati Nyerere alikuwa mwalimu, Hayati Magufuli alikuwa mwalimu da Yatupaswa kutafakari walale kwa Amani ma genius hawa Mungu alitupenda watanzania cha ajabu wema hawadumu

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 5 років тому +7

    Sauti hii bado inaishi mungu akupe pumzk la milele mzee hakika wema awana maisha

  • @johnramadhani3241
    @johnramadhani3241 4 роки тому +5

    Mwalimu jk nyerere alikuwa anakipawa kutoka kwa mungu

  • @leonardchoma3765
    @leonardchoma3765 10 місяців тому +1

    Huu ulikuwa mwaka 1995, Mimi nilimpokea airport na wakati wa hotuba ya Mwalimu Nyerere mimi nilikaa katikati ya sehemu ya eneo la kuchezea mpira

  • @calvindete6577
    @calvindete6577 5 років тому +7

    Too much wisdom from Mwalimu...very tough question for the future African leaders..

  • @dothomswata4407
    @dothomswata4407 5 років тому +5

    hakika huyu mh.dkt john pombe magufuli anastahili pongezi kwa kila mtanzania

  • @ABSTemu
    @ABSTemu Рік тому +1

    "Ogopa Kama Ukoma" - Serious Message, People Laugh!!! Sad!

  • @ibrajust3464
    @ibrajust3464 5 років тому +6

    you are one of the best mzee Nyerere

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 5 років тому +3

    Hongera saaaaaana Rais Magufuli. Una uchungu na nchi ya Tanzania kama Mwalimu alivokuwa. Tunamshukuru Mungu kwa ajili yako.

    • @sendamalweyo791
      @sendamalweyo791 4 роки тому

      Gosbert Rwezahura ...

    • @salvatorymtunga2802
      @salvatorymtunga2802 2 роки тому

      Magu alikuwa hana uwezo hata robo kumfikia Nyerere, Nyerere wengi hawamjui kuwa alikuwa hataki ukabila wala ukanda wa ziwa, hakuwa mpendelevu kikabila.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 11 днів тому

    Nadhani hii hotuba ni ya 1.5.1995.Pili,Tanganyika ya Waingereza na ya uhuru wetu bado ni Tanganyika.Tofauti ya jina ni wakati wa Wajerumani na Waarabu au wenyeji.Gavana wa kwanza wa Waingereza Tanganyika ameanza kazi mwaka 1919,Sir Horace Byatt.

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 3 роки тому +3

    Kiongozi aliyekubali makosa yake na kujisahihisha Mwanga wa milele akuangazie eeh bwana Upumzike kwa Amani.

  • @makasimuhindo3448
    @makasimuhindo3448 Рік тому

    Ni viema Sana kuhifazi hutuba kama n'a hizi Mwalimu alikua sujaa kweli hongera kuleta uhuru Tanzania

  • @nickosisto5144
    @nickosisto5144 2 роки тому

    Asante baba wa taifa letu njia ulionyesha,.Hii ni hotuba ya. Mei mosi. 2995 mbeya uwanja sokoine.

  • @ayubunsajigwa3935
    @ayubunsajigwa3935 5 років тому +5

    Jamani Wahariri mnapotosha watu hii sio hotuba ya mwaka 1969 ni mwaka 1996 baada ya Nyerere kustaafu Urais mwaka 1985 na vyama vingi kuanza tena 1992

  • @BeatusKLeon
    @BeatusKLeon 2 роки тому +4

    The title is misleading. Nyerere made this speech on May Day 1995

    • @agustinothadeus
      @agustinothadeus 2 роки тому +1

      Inaonekana hata aliyeipost sidhani kama ameisikiliza vizuri kwani dakika 36:02 Nyerere anasema "Viongozi wanaotaka kuingia katika awamu ya tatu ya uongozi", moja kwa moja hii inaonesha ilikuwa katika vuguvugu la uchaguzi wa 1995

    • @bakarikhatib7410
      @bakarikhatib7410 Рік тому

      Wengine hawana utaratibu wa kuuliza hata kama hawajui

  • @yessemwakibete2458
    @yessemwakibete2458 Рік тому +2

    Hiyo hotuba haikuwa mwaka 1969 ilikuwawaka 1995 na Mimi ni miongoni mwa watu waliompokea airport ya zamani.baadaye sokoine Mbeya ambapo alitoa madini hapo Moja kati ya hotuba nzuri kuwahi kutokea.

    • @kelvinjelas3923
      @kelvinjelas3923 10 місяців тому

      Binafsi mara zote nafarijika sana kuisikia sauti hii.

    • @kelvinjelas3923
      @kelvinjelas3923 10 місяців тому

      Lakini nafurahi zaidi kuhusu uwepo wako Yesse Mwakibete katika tukio hilo muhimu katika historia ya Nchi yetu.

    • @BS-kl9yf
      @BS-kl9yf 6 місяців тому

      Wametuchosha na usambazaji wa historia kwa kubadilisha miaka. Imebakia hao kuanza kusambaza hotuba za Mwalimu wakidai ni ya 1389.

    • @fitinamagambo7014
      @fitinamagambo7014 4 місяці тому

      😊 pp​@@kelvinjelas3923

  • @williamshao7893
    @williamshao7893 3 роки тому +2

    Hii ni hotuba ya Jumatatu ya Mei Mosi 1995 na si ya mwaka 1969

  • @worshipandmeditation8273
    @worshipandmeditation8273 3 роки тому +2

    It is so sad All this Serious Talk as a wake up call was taken as a comedy show and people laughed SO INSANE NO WONDER TANZANIA IS MORE POOR THAN WHEN IT WAS 60years ago lack of seriousness on very important things...
    Kweli umaskini wa Fikra ni kitu kibaya sana

  • @hangiroetincelle8167
    @hangiroetincelle8167 3 роки тому +3

    In the world,they are 4 important people,people of all the time:
    Martin L king
    Mandela,Madiba,Nelson
    Ghandi
    Nyerere Julius

    • @samsonkayioni2218
      @samsonkayioni2218 3 роки тому

      My brother you have not had from Malcolm x...I'm sure you will be fascinated by him

    • @leonardchoma3765
      @leonardchoma3765 8 місяців тому

      Mandela no, maybe for the sake of the Imperialists.He handed over everything to the whites.He wasn't a true African hero.

    • @theblackstarnews9448
      @theblackstarnews9448 Місяць тому

      Nkrumah instead of Ghandi who was anti-Africans. Do your research

  • @lemburismollel2393
    @lemburismollel2393 3 роки тому +3

    Hii ni hotuba ya Mei Mosi Mwaka 1995 na sio Mwaka 1969

    • @abdalahmrisho3076
      @abdalahmrisho3076 Рік тому

      Kweli kabisa ni 1995 nilikuwamo siku ile ndani ya uwanja wa Sokoine

  • @richardgaya3965
    @richardgaya3965 Рік тому

    Vividly explains the whole concept of Exploitation of the Working Class and Class structures of/in Society!!

  • @danfordmageche5806
    @danfordmageche5806 2 роки тому +1

    The Great message

  • @lilianrobet9045
    @lilianrobet9045 5 років тому +6

    Uyu kweli baba wataifa

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 3 роки тому +7

    Rekebisha, hotuba hii ni ya mwaka 1995 sio 1969

  • @simbaamani1318
    @simbaamani1318 4 роки тому +2

    Unforgettable Mwl J K Nyerere mazungumzo hai !!

  • @mtumishimtumishi3828
    @mtumishimtumishi3828 4 роки тому +3

    Mwaka 1995 Mbeya Mei mosi

  • @masikaraphael2823
    @masikaraphael2823 4 роки тому +3

    Akinunua,kanunuliwa.kama amekopa atalipaje?.mwalimu ulikuwa na busara.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 8 місяців тому

    Hii haikuwa hotuba ya 1969 bali 1995 Mbeya! Waandishi mnahitaji ku-cross check na ku-vet information yenu kabla hamja-post kwenye mitandao.

  • @gracaconceicao4635
    @gracaconceicao4635 2 роки тому +2

    that was 1995, not 1969

  • @prosperfrumence4342
    @prosperfrumence4342 3 роки тому +1

    GENIUS

  • @musanap
    @musanap 5 років тому +6

    This speech was in 1995......

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 5 років тому +4

    Huyu Mzee alikuwa ni zawadi kwa Watanzania na Afrika nzima kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Alikuwa na akili na busara isiyo ya kawaida.

    • @vickyabdul4812
      @vickyabdul4812 5 років тому +1

      Jamani wa Tanzania mumushukuru Myenyezi Mungu kumpata Maghufuli kama rais sisi wenzenu tunaliya wivu.

    • @elastonmbwilo3581
      @elastonmbwilo3581 5 років тому +1

      Hutuba hii sio ya 1969 ni ya May day 1995 nilikuwepo Mbeya kama Mkuu wa Wilaya

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Gosbert Rwezahura mshenzi huyu kaleta umaskini na umpumbavu wa shule za kimpumbavu na dunian hajulikane kama rais wa maana Bali dictator tu huyu sawa na makufuli tu hakuna maendeleo ya maana kujisifu tu

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Akili za mchonga meno mpumbavu na hana adabu katuntuma elimu na maendeleo lazima chama chama cha majambazi kitolewe madarakani ili tupate maendeleo

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 4 роки тому

      @@ismailnoor6729 Unaelewa unachoandika ndugu?

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 3 роки тому

    Ili kukuza ueleea wangu na Busala hua lazima nimsikilize Nyelele..Mandela Kaunda...na Kenyata

  • @johanesbina1302
    @johanesbina1302 2 роки тому

    KAMA magu vile jamani🤗🤗🤗💞💞💞💞🙏🙏🙏

    • @salvatorymtunga2802
      @salvatorymtunga2802 2 роки тому

      Kumlinganisha magu na Nyerere ni kama mbingu na dunia,l Nyerere hakuwa mkabila wala gange za kanda.

  • @ramadhankayaya5484
    @ramadhankayaya5484 3 роки тому

    Mbona mmeondoa sehemu ya hotuba

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 3 місяці тому

    😂😂😂hapa nimechka walekezeni wa Zanziba ndo kitukindog utasikia Tanganyik

  • @PatrickJoseph-vw2tn
    @PatrickJoseph-vw2tn 6 місяців тому

    Nyerere M eya

  • @vince_vinson.2083
    @vince_vinson.2083 5 років тому +2

    Mwaka 1969, Kwanza kulikua hakuna vyama vingi. Hebu rekebisha hicho kichwa cha habari.

    • @ABSTemu
      @ABSTemu Рік тому

      This is NOT 1969! Ulipublish Rekebisha!

  • @leonardndossy560
    @leonardndossy560 2 роки тому

    Hotuba hiyo haikutolewa 1969 rekebisha mwaka wa hotuba hiyo kwa usahihi wa kumbukumbu

  • @sakarimomoi7040
    @sakarimomoi7040 4 роки тому +3

    1995 mwandishi bebu jiongeze 1969 nyerere bado alikuwa Raisi wa tz, na speech tu inaonyesha sio raisi wa nchi

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 4 роки тому

      Ni shida tu waandishi wa kitanzania wanachotaka tu ni viewers tu ili wapige pesa to you tube hawajali facts

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      smejko sakari kaleta umaskini tu hakuna elim hakuna chochote kaleta kuma tu

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Yaaa kaleta umaskini tu na katunyima education chama cha majambazi na majangili wakitoka ktk nchi tutapata maendeleo hata Kenya wamebadilisha chama cha upinzani kilishinda Malawi Burundi Rwanda Zambia ss hawa wataachilia serekali whith day

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 4 роки тому

      @@ismailnoor6729 Siyo rahisi kwa watanzania kama ulivyosema tumenyimwa elimu ya utambuzi na uthubutu na tumejawa na ubinafsi wa viongozi na watendaji wengi wanafikiria maisha yao wana wasiwasi kikija chama kingine hawatakuwepo walipo ndio maana wanataka chama kishinde kila mara ili waendelee kuwepo walipo kwa faida yao pia katiba haina nguvu ya kuendesha uchaguzi huru na wa haki inapendelea chama kinachokuwa madarakani. Subiri safari hii ushindi kwa CCM itakuwa 100% siyo simple kuitowa CCM

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Edward Alex Mkwelele hapa kuchukuwa bunduki lzm tu hukuwe bunduki kama boko haram ndiyo tutapata chetu

  • @muftybawesy
    @muftybawesy 4 роки тому +1

    sawa kabisa

  • @edwardmajanga3977
    @edwardmajanga3977 Рік тому

    The true son of Africa

  • @mwasisobajohan7641
    @mwasisobajohan7641 2 роки тому

    dah pumzika Baba wa Taifa mwalimu Nyerere

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 роки тому +2

    Mfumo wa vyama vingi hapa Tanzania vilianzishwa 1992, sasa hiyo 1969 ni ipi???

    • @mussamgonola3983
      @mussamgonola3983 3 роки тому

      Kuanzishwa rasmi ni 1992 ila vilikuwepo havikutambulika

  • @ismailnoor6729
    @ismailnoor6729 4 роки тому +1

    Cha kimoja tuko China 🇨🇳 makufuli lazima badilisha chama azisha chama kipya

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Lazima tulete maendeleo Tanzania na lazima chama cha majambazi kibadilishwe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 місяців тому

    👍👊✌️

  • @ismailnoor6729
    @ismailnoor6729 4 роки тому +1

    Kumayo na mchonga menu na makufuli nachama cha majambazi hata mufanye nn hamta fikia Kenya

    • @yassarsuphian5599
      @yassarsuphian5599 4 роки тому

      stress zako peleka kuzimu huko mbwa wewe.

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Yassar Suphian ww nn na ccm munalazimisha watu siyasa mbovu umaskini unakusumbua lazima kuwe na mashindano kwenye siyasa siyo kitulazimisha siyasa ya mbumbavu Nyerere na umpumbavu wa wala rushwa kama ww

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Hapa ni kutafuta silaha ili makufuli atolewe kwa bunduki na siyasa mbovu za Nyerere Tunakuja na vijana waliyo jitolea muhanga kufa ili ccm itoke ktk serekali yetu kwa bunduki ss

    • @macknonkibona2401
      @macknonkibona2401 4 роки тому

      Kenya inatuhusu nini sisu si sikiliza hotuba za kenyana kwa mstagabali wa ardhi yenu na ukabila nyerere anaingia vp kenya?

  • @kiatu
    @kiatu 5 років тому +1

    Hii ni hotuba baada ya JKN kustaafu. At 38:08- Sheria imekosea kuzuia wagombea (urais) binafsi...Ni kukosea kwa msingi..

    • @khalfanmashamba9936
      @khalfanmashamba9936 3 роки тому

      Hekima na busara nyingi za mwalimu Julius k nyerere zimedumisha amani na usalama nchini

  • @danielmwanjali2449
    @danielmwanjali2449 2 роки тому

    Huo mwaka umekosea. Ilikuwa may day 1995

  • @Salisalum
    @Salisalum Рік тому

    1969????

  • @nidalhimidi1890
    @nidalhimidi1890 5 років тому +1

    Majina Jina Haya - Tanganyika Au Zinjibar/Zanzibar Ni Mabandiko Ya
    Watawala/Wageni - Wajerumani Na Masultani Kutoka Oman.

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 4 роки тому

      Huyu ameitawala nchi kwa nguvu sana miyaka thelathini NA tano anakataa mtu awe rsisi huko zanzi bari aliua waafrika NA. Waarbu kinyama walizikwa kwenye. Mashimo makuba angalia Google utaona maajabu ni adui wa waaslaam nchi iliendelea baada kifo chake ikawa tajiri NA hapo alipokuja makufuli ameitengeneza nchi NA watu wengi. Walitaka ungereza irudi afathali kuliko huyo rais karurudisha nchi maskini duniani NA usisahau alivamia uganda wakafa elfu ishirini kwa nchi ya uganda raia ameua bila huruma mtu yo yote anasimama mble yake ananghnia uraisi muda mrefu sana sana mpaka mungu amemleteya kensa wa damu akakaa angalia kama mtoto mdogo mwaka mzema nitakufa nitakufa mungu amepa athabu duniani NA ahera itampata mchema kuni

  • @edwardmajanga3977
    @edwardmajanga3977 Рік тому

    Saws kabisa

  • @zingibarofficinale8351
    @zingibarofficinale8351 3 роки тому

    Edit huo mwaka please

  • @mustafamatu5508
    @mustafamatu5508 5 років тому +1

    Nice

    • @mtumishiwangu7683
      @mtumishiwangu7683 5 років тому

      Huyu kwel baba wa taifa

    • @mtumishiwangu7683
      @mtumishiwangu7683 5 років тому

      Huyu kwel baba wa taifa

    • @dothomswata4407
      @dothomswata4407 5 років тому

      huyu kweli mungu ampumzishe mahali pema amina amana alifanya kazi yake vilivyo hakika tutamkumbuka daima

  • @doktamathew
    @doktamathew Рік тому

    🔥🔥🔥🔥

  • @bakarikhatib7410
    @bakarikhatib7410 Рік тому

    Mwaka 1969 hakukuwa na OTTU

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Рік тому

    Kichwa cha Afrika.

  • @shabantelack5716
    @shabantelack5716 2 роки тому

    How 1969

  • @koleshntagwa2368
    @koleshntagwa2368 2 роки тому

    Hatuna budi kuyaenzi maono yake

  • @francismapugilo2435
    @francismapugilo2435 2 роки тому

    Siyo mwaka 1969 ila ilikuwa 1986 nadhani

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 5 років тому

    Wengi wanafatilia vityu visvyo vya muhimu

  • @robertlyaunga3262
    @robertlyaunga3262 2 роки тому

    Mwalimweweulikuajembe

  • @ismailnoor6729
    @ismailnoor6729 4 роки тому

    Huyu mpumbavu rais nn matatizo yake lazima tu Amin maendeleo yaletwe na yeye sindio rais

  • @dicksonmhilu1121
    @dicksonmhilu1121 5 років тому

    Hahahaha unatakiwa uwe na roho ngumu kutoa majubu haya

  • @zingibarofficinale8351
    @zingibarofficinale8351 3 роки тому +1

    ..

  • @rashidmkwinda23
    @rashidmkwinda23 5 років тому +1

    Its 1995

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 4 роки тому

    Haikuwa mwaka 1969 rudia kumbukumbu zako kama si 1990 basi 1995

  • @pascaljumanne1179
    @pascaljumanne1179 6 років тому +1

    60billion

  • @ismailnoor6729
    @ismailnoor6729 4 роки тому

    Sipendi kujipendekeza ktk viogozi wanaoleta umaskini African president who wanted ya sell Africa some didn't know how to be president stupid leaders should resign

    • @neteregines3941
      @neteregines3941 4 роки тому

      hacha ujinga wew ni nani atakuletea maendeleo yako kama si wewe mwenyewe

  • @semeninyerere3573
    @semeninyerere3573 5 років тому

    1969?

  • @oleiei434
    @oleiei434 5 років тому

    Jamani hotuba ya 1969? Na kwa nini nywele za rais ni za rangi ya kijani?

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 4 роки тому +2

    Acheni kumpongeza huyu mzee yeye kaifanyia nini tanganyika tokea awe raisi ni umasikini tu hadi kafa ,wacheni kumuona mungu hakufanya kitu isipokuwa kuimeza zanzibar tu

    • @issaguyashi8321
      @issaguyashi8321 4 роки тому

      Mungu akusamehe

    • @petermabiki7798
      @petermabiki7798 3 роки тому +1

      Natamani ningejua umezaliwa mwaka gani. ila hata kama umezaliwa 2002 bado akili yako haina akili.

    • @stanfordjoseph1585
      @stanfordjoseph1585 3 роки тому

      Wewe mzima Kweli?

    • @medardsotta5211
      @medardsotta5211 3 роки тому

      Soma vizuri historia kabla hujaongea 'mdogo wangu'!

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule 3 роки тому

      Mpaka leo hii hujajua roles Za nyerere? Kwanini ulikimbia shule?

  • @ismailnoor6729
    @ismailnoor6729 4 роки тому

    Mshenzi huyu

  • @ismailnoor6729
    @ismailnoor6729 4 роки тому

    Kama sio upumbavu wa Nyerere Tanzania 🇹🇿 egekuwa kama misr au Egypt

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 4 роки тому +1

      Ameondoka miaka zaidi ya 30 iliyopita sasa mbona haijawa kama Misri acha uongo na Misri yenyewe pia haina tofauli sana na Tanzania hata kwa sasa

    • @yassarsuphian5599
      @yassarsuphian5599 4 роки тому

      naona we jamaa nina uhakika kabisa aidha una akili pungufu au umerogwa

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Yassar Suphian mama yako mwenye akili finju kumamayo na rais aliyeleta umaskini Tanzania kumalamamazenu na siasa mbovu hamkubali kushidwa wala mshindani siyasa ya ukoloni tutachukua silaha ndiyo tulete mapinduzi nchini

    • @isackrichard9632
      @isackrichard9632 4 роки тому +1

      Pole Sana kk najua Usha olewa huko

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Isack Richard Pokea. Salaam za mume wako kotoka makaburini julias k Nyerere anataka kujufira kwa kutumia tech ya ss

  • @ismailnoor6729
    @ismailnoor6729 5 років тому

    Mshezi huyu

    • @rmwashu
      @rmwashu 4 роки тому

      Mshenzi baba yako.. Alipaswa kuvaa condom

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Rainer Mwashu kumalamayako ndiyo lilifanya kosa

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Rainer Mwashu wajipendekeza kwa baba yako kuma tu. Yeye and you just numbered nothing more

    • @rmwashu
      @rmwashu 4 роки тому

      Tatizo ni malezi

    • @ismailnoor6729
      @ismailnoor6729 4 роки тому

      Rainer Mwashu babu yako alifanya kosa la kujipendekeza kwa mchoga menu tv kaweka kwake tu kumalamayake mwenyezi mungu ampe athabu ya milele motoni mshezi kaweka chama cha majambazi kutawala mbaka tupoteee dunia kwa sababu ya wapumbavu Kama nyie stupid thinking Nyerere is only leader but don't forget other leaders who opposed his leadership now kwa sababu ww umepew hela please don't fool people