DADA NA KAKA FINAL

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 391

  • @kibikigenus1573
    @kibikigenus1573 Рік тому +8

    Hongeleni sana Mimi nawafatilia toka mwezi wa tatu bint nyoka wamangushi mzee wa Giza benzemaa mmetisha na nimewapenda sana ongezeni bidii.

  • @everlynlyn7863
    @everlynlyn7863 Рік тому +11

    Inauma sana😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ila nimejifunza kitu pia naomba hata za kuhebu basi from Kenya nawapenda

  • @alinenzeyimana5987
    @alinenzeyimana5987 Рік тому +114

    Wanaopenda jinsi kp acacheza bs like hata 10

    • @ElishaNsiku
      @ElishaNsiku 11 місяців тому

      Ujfififfiirkgujcgkgrigkxf😅😮🎉🎉😂❤❤❤ 12:04 ffif 12:07 12:08 e

    • @ElishaNsiku
      @ElishaNsiku 11 місяців тому

      Jgkxufkgiruwwjgrkfrkrtkgifjeugjrufqdjxfbfjjkhjhr😢❤

  • @salmasalam3268
    @salmasalam3268 Рік тому +4

    Aki na mm Leo mnipe maua yangu tu 🎉🎉🎉wale mnatamn movie itokee kila sku piteni apa❤

  • @vivinenibitanga8529
    @vivinenibitanga8529 Рік тому +5

    Nimelia hadhi kupasuka😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Eee Mwenyezi Mungu usameh wazazi wetu👏Pia sisi wasichana utusamehe pia tunapitia kwenye mengi mno😢😢😢😢

  • @RaiyaMbissa-kh9fv
    @RaiyaMbissa-kh9fv Рік тому +4

    Nimewaelewa mpaka nmewaelewa tena, aisee nyie ni🔥🔥🔥🔥

  • @lydiawaweru6391
    @lydiawaweru6391 Рік тому +2

    Napenda sana KP n zebuu Mzee likoma n Sheila ❤❤❤❤❤❤❤❤ much love guys ila zebuu hameshidwa kufumilia❤❤❤❤

  • @gweremuhidini4204
    @gweremuhidini4204 Рік тому +3

    Imeanza vizuri na imeisha katika fundisho kubwa mungu awabarik san

  • @NizigiyimanaEmmanuel-c7f
    @NizigiyimanaEmmanuel-c7f Рік тому +1

    Dada na kaka njo inaisha ivo tutegemee kingin kitu kipyaaa kutoka kp na zebuu nawakubali sana mno nawafuatilia tamthilia zenu uwa zinamafunzo tere from Quatar@Burundi

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 Рік тому +2

    Kwakwel hapa palikua mwisho ila nimejufunza mengi sana na pia nivitu ambavo vishawai kunitokezea ila mm sikuchukua wowote bali na kuumia moyo😢more love guys @saudia,,, kenya ❤❤❤

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r Рік тому +4

    Jebe langu mzee likoma sijachelewa sna nipeni hata like 10 tu 😂😂😂

  • @Maryamu255
    @Maryamu255 Рік тому +3

    Wenye walifatilia tango mwanzo muko wap😂❤❤❤

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- Рік тому +6

    Daaah imeisha mapema san ila funzo tumelipata na na hisi move zote mwataka kuzimaliza maan hata wamangushi naon kam yaisha ila hongereni kwa burudani twa enjoy san✔️✔️✔️

    • @kpwaaquino
      @kpwaaquino Рік тому +3

      Shukran tunaleta mpya

    • @faridahally6314
      @faridahally6314 Рік тому

      Nzur sna n iko n mafunzo hongereni ila imeisha mapema

    • @kura.the.boy-
      @kura.the.boy- Рік тому +2

      @@kpwaaquino saw boss twaisubir kwa hamu hamna kazi mbovu

  • @LukimbaEster
    @LukimbaEster Рік тому +2

    Pole zebuu uliachwa peke Yako aukua na mtu wakukupa moyo❤❤❤ you

  • @africanacyber3040
    @africanacyber3040 Рік тому +1

    wee hii final ni kali sana watching from kenya💯💯💯👍👍👍

  • @Daestoto
    @Daestoto Рік тому +4

    Inauma sana hki, lkn n funzo pia kwa watu wengine

  • @khadija2113
    @khadija2113 Рік тому +1

    KP ZANGU JAMAN😢 NATAMANI IENDELEE ISIWE MWISHO ASANTENI SANA VIPENZI VYANGU NAWAPENDA WOTE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @pamelaemmy8180
    @pamelaemmy8180 Рік тому +4

    Weeeee kp na zebuu wamefika mbinguni hebu tuambieni uzuri wa mbinguni jamani

  • @KhalfaniMkanya
    @KhalfaniMkanya Рік тому +2

    Kiukwel kabc hii final imenhuzunsha sana,tumejifunza kitu,asanten sana

  • @zaykham155
    @zaykham155 Рік тому +1

    Yuhuuuuuuu ❤🎉🎉🎉 mm wa 6 leo nmewahi san 🥰🥰🥰😘😘 nawapend timu kp na zebuuu wapewe maua yao🥳🥳🥳🥳🥳

  • @rozamabagala6242
    @rozamabagala6242 Рік тому +1

    Ujumbe mzuri sana😊😊😊
    Hongereni kwa elimu nzuri

  • @janegati6031
    @janegati6031 Рік тому

    Asante kwa fundisho hili hakika nimejifuza 😢😢😢kp zebu mungu awe pamoja na nyie nawapenda sana, Asanteni yote kwaujumla

  • @maburudani1234
    @maburudani1234 Рік тому +1

    Kazi nzuri zebuu
    Ila napenda sheilaa queen maza😂😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @ElizabethKarisa-r2k
    @ElizabethKarisa-r2k Рік тому +1

    Hongera sana.... nmejifunza kitu hapa....🎉🎉

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Рік тому +1

    As ante Sana kea mafuzo mazuli kipenzi akika mungu azidi kuwalinda daima ili tuzidi kuinjoy❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @charlesbalinda4410
    @charlesbalinda4410 Рік тому +4

    Hongereni vijana mnafanya kazi nzuri,
    Ila naona kwenye barua ya Zebuu, Kuna mambo ambayo mnaweza kusahihisha pengine hata kwenye kazi nyingine hali hii isiwe inajirudia,
    Barua ni kama vile ameiandika akiwa ameshafariki, na pia haioneshi kama ameiandika kabla ya kwenda hospita kutoa mbimba ingawa inaonesha imekutwa chumbani kwake, haioneshi kama ameiandika akiwa hospital pengine baada ya kuona hamna uwezekano wa kupona, n.k, nafikiri mmenielewa kile najaribu kusema.
    Yote kwa yote, kazi nzenu ni nzuri

  • @Faith-pl3ie
    @Faith-pl3ie Рік тому

    Atii kipindi kimeisha 😂😂😂😂😂😂😂na vile kilikuwa kinabamba sana much love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kp na zebuu i'm watching you guys Faith from Kenya 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @derek-madreeksentlove6014
    @derek-madreeksentlove6014 Рік тому

    Bambi thanks ba dear its a very great lesson to all parents and youths thanks a lot again

  • @SakinawalyokaMamafuxokin-dq4vo

    Wanaopenda zeb anavyolia like hata tano❤

  • @BahatiFaustin-c2x
    @BahatiFaustin-c2x Рік тому

    Nawapenda sana kp na zebuu n'a wafwatilia sana Emmanuel kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @Mwanamkasi-s5e
    @Mwanamkasi-s5e Рік тому

    Kweli kipendacho roho n dawa,ila imefunza kw waume n wdda pia,mungu abarki kz yenu❤❤❤❤

  • @marleymukangwa8955
    @marleymukangwa8955 Рік тому +2

    Franchement ce film est une leçon, merci à toute l'équipe et spécialement à vous KP, ZEBUU et le papa à ZEBUU... Vous êtes extraordinaire. Coup de chapeau à vous!!!
    Nawapenda sana jamani... 🎉

  • @CatherineSakari
    @CatherineSakari Рік тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mapenzi iendelee kule mbinguni

  • @twalihamohamedi898
    @twalihamohamedi898 Рік тому +2

    Duuuh hongeren sana watunzi story inafundisha sana aseee

  • @amishmusungu453
    @amishmusungu453 Рік тому +2

    Kp na zebuu wamekutana Akhera😂😂❤

  • @SjbwvXhbdddhdj-hw3kv
    @SjbwvXhbdddhdj-hw3kv Рік тому +1

    Ila mliichelewesha sana ❤❤❤aki nawapenda sana

  • @winnymbula
    @winnymbula Рік тому +4

    Zebuuu unakufa aje hii mapenzi hadi mbiguni wah

  • @Desdelia
    @Desdelia Рік тому +1

    Mmekutana tena mbinguni Safi sana❤❤❤

  • @MerlinamerlinasPhalikia
    @MerlinamerlinasPhalikia Рік тому +1

    Much love from Mombasa Kenya ❤❤❤

  • @rosewafula915
    @rosewafula915 Рік тому +1

    Wow really amazing ❤❤❤

  • @SabrinaMwalimu
    @SabrinaMwalimu Рік тому +2

    Jaman mapema imesha Sana jaman. au siyo mashabiki

  • @Lidya-e1i
    @Lidya-e1i Рік тому

    ❤❤❤❤aki iendelee uko mbinguni waaah n tamu aki

  • @MathierMvuyekure
    @MathierMvuyekure 6 місяців тому +3

    Jaman kwann kp n'a zebuu wafe nawakat wanapendana

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2ml Рік тому +2

    Ujumbe mzuri sana barikiwa sana

  • @ezinahsarange8782
    @ezinahsarange8782 Рік тому

    Nimelia yangu yote 😢😢 lakini nimefurahi kuwaona mkiwa heaven wote ❤❤ nawapenda sana ♥

  • @TeddyPaul-h4k
    @TeddyPaul-h4k Рік тому

    uwaoooh 😢😢 but nice jmni dahh mungu kawapa kipaji na2apend sana

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- Рік тому

    Nakubali sana kazi nzuri san nawakubali kutoka moyoni mwangu

  • @SamwelKhisa-l2e
    @SamwelKhisa-l2e Рік тому +1

    Nimeipenda kipindi tangu mwanzo hadi mwisho na kiukweli nimejifunza mambo ambayo kama kifamilia inapaswa kujifunza ni vyema familia kujuana kila mmoja nawapenda nyote 4rm🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @fatuma46ramadhan18
    @fatuma46ramadhan18 Рік тому +1

    Duuu tamu japo inaumiza 😊😊😊

  • @purity134
    @purity134 Рік тому

    Zebuu kafanya vizuri,baba ana makosa makubwa sana kwa kutowatambulisha mapema.lea mimba yko Zebuu

  • @MuzzamilAli-zn9le
    @MuzzamilAli-zn9le Рік тому +4

    Wa kwanzaaaaa

  • @hometv6363
    @hometv6363 Рік тому +1

    Nawapenda chukuene mawua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BahatiMatabishi-m2z
    @BahatiMatabishi-m2z Рік тому +3

    Ila nyiye wa bongo nitakuja hasha kutazama mobie zenu ,Zebuu kafa ila musalaba wa kazu😂 ndo umewekwa😅

  • @aganzejules7165
    @aganzejules7165 Рік тому +1

    Kp na weye zb munanifurahisha sana.

  • @Chebet254
    @Chebet254 Рік тому

    ❤❤❤❤🎉🎉Mbona kaisha sasa anyway nawapenda sana nyie wote❤❤❤

  • @nassorseif7621
    @nassorseif7621 Рік тому

    Well done, kwa kwel hii ni movie ya mwaka huu🎤🌹🥀

  • @saidihysn2212
    @saidihysn2212 Рік тому

    Zebuu na kp mlitakiwa isiishie hapa coz history ni nzuri sana na kubuni kupata story kama hii ni kazi sana so mapema sana mngezidi kutengeneza jina zaidi kupitia movie hii

  • @hawahawa8441
    @hawahawa8441 Рік тому

    😢😢dah! Jmn zebuu 😢 nawapongeza sn kazi nzur❤

  • @AnnyAnitha-dj6uv
    @AnnyAnitha-dj6uv Рік тому +1

    Mbn imeish mapema sana jmn🎉

  • @eliphasethobias1133
    @eliphasethobias1133 Рік тому

    😢😢😢imenihuzunisha hatariiiiiii
    Nimejikuta machozi yanabubujika 😢😢 dahhhh sawa bwana

  • @adonightkerush6875
    @adonightkerush6875 Рік тому +2

    Love it 😍

  • @HazinaSaid-ze8lk
    @HazinaSaid-ze8lk Рік тому

    Jamani mbna imeisha mapema ivo..hongereni sana jamani nawapenda❤

  • @pamelaemmy8180
    @pamelaemmy8180 Рік тому +2

    KP SIJAPENDA KABISA 😭😭😭POLE ZEBUU WANGU

  • @tobiaschirwa9364
    @tobiaschirwa9364 Рік тому +3

    Imeniumiza sana ........😭😭😭😭😭.......ongereni sana lakini nimejikuta ninalia tu ❤❤❤❤❤❤

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Рік тому

    We baba mzee likoma. Usilolijua nisawa na usiku wa giza 😊😊 masikin we zebuu😢😢😢

  • @FaimaMfinanga
    @FaimaMfinanga Рік тому +1

    Mbn xheila anapenda nguo nyeusi ivoo🙃🙂🙂

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 Рік тому

    Funzo kubwa san wallah ❤❤❤maajabu 😂😂😂😂😂😂

  • @ViolaJepkoech-u3b
    @ViolaJepkoech-u3b 15 днів тому

    Kwani ulijua aje utafariki😮poleni sana

  • @puritydavid9003
    @puritydavid9003 Рік тому +3

    Na ulipo fika ukimtaka zebuu mzee alikataa

  • @Zamdaabdalla
    @Zamdaabdalla Рік тому +1

    Hakika jamn nifunzo zuri sana

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Рік тому

    Nawapenda sana zebuu na kp mubarikiwe sana❤❤❤🎉

  • @MeimosiGailanga
    @MeimosiGailanga Рік тому +1

    Daaaaah inaumaaa snaaaa 😂😂

  • @RachelMhalae-mb5ol
    @RachelMhalae-mb5ol Рік тому +1

    Nimemuonea huruma sana zebuuu jaman

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Рік тому +3

    Machozi band😆😆😆😆

  • @Vanessamirabelle-r5c
    @Vanessamirabelle-r5c Рік тому +3

    Yaan me nadhania ndo wa kanza kumbe mshafika jamani nipee likes basi ata kumi tu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu Рік тому +1

    🤔🤔haya asanten team Kp and Zebuu kwa movie yenye mafunzo

  • @AsumaniMAtanga
    @AsumaniMAtanga 5 місяців тому +3

    You doing ok today ❤️❤️❤️ is good for us too but

  • @esthjohn545
    @esthjohn545 Рік тому +4

    Jamani. Zebuu kafeya kwa dada na Kaká kwayo atutamwona tena

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- Рік тому

    Hakika ni hamna move mbaya ni safi san

  • @antoniadudus7917
    @antoniadudus7917 Рік тому

    Asanten sana kwa kazi nzuri hakika nimejifunza kitu😢

  • @juldasnikwibitanga4661
    @juldasnikwibitanga4661 Рік тому +1

    Big tena kpvs zbu

  • @jailosibrahim88
    @jailosibrahim88 Рік тому

    Yaan Kp na Zebuu mnajipendelea yaani mjiuwe kisha muende mbinguni kweli😂😂

  • @lovnell6462
    @lovnell6462 Рік тому +2

    Nawapenda xn kp na zebu naomba like zenyu jameni 🎉🎉

  • @Eunicekmuendi5
    @Eunicekmuendi5 Рік тому

    Good job from Kenya 🇰🇪🇰🇪😘

  • @rozeyousef9823
    @rozeyousef9823 Рік тому

    Mala paaaa mwenye kabuli lake anaamka😂😂

  • @najmahnajmah2165
    @najmahnajmah2165 Рік тому +1

    Have never cried like today 😭😭😭😭

  • @ZenaAthman-q4m
    @ZenaAthman-q4m Рік тому +1

    Hap nimewaelew short and clear lkn how about mzee wa giza

  • @Amal-iq1wg
    @Amal-iq1wg Рік тому +1

    Funzoo zurii sanaa❤❤

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 Рік тому +1

    Nimejikuta natokwa na machozi😢😢😢😢

  • @furahakalyfurahakaly4901
    @furahakalyfurahakaly4901 Рік тому

    Kp hapa umecheza jameni mpaka niketokwa machozi pia🇰🇪🇰🇪

  • @safinanema-bd9qe
    @safinanema-bd9qe Рік тому +1

    Kutoka Burundi nawapenda sana

  • @maxmilianimwakaniki2671
    @maxmilianimwakaniki2671 Рік тому

    Kazi Moja nzuri sana umetisha sana

  • @BrightonEvaristi
    @BrightonEvaristi Рік тому +1

    Hiii nzuri nimeirewa

  • @MarthaFocus-q8u
    @MarthaFocus-q8u Рік тому

    Jamani. Nawapenda kp na zubuu sofiaa

  • @MabulaGamaya-l9r
    @MabulaGamaya-l9r Рік тому +3

    Bado hamjasema imeishaje

  • @JaphethTumbu-ff3kn
    @JaphethTumbu-ff3kn Рік тому

    Jamani zebu uwez ukafa kabis bad 2nakupenda na kp maisha yaendeleeee

  • @winniemwaka3202
    @winniemwaka3202 4 дні тому

    Kp😢pole

  • @haluwahavla9740
    @haluwahavla9740 Рік тому

    Very very interesting story for really nmejifunza ktu kupitia hii story yenu kp na zebuu be blessed 🙏🙏

  • @evodiadominicpaul5006
    @evodiadominicpaul5006 Рік тому +2

    Nimelia haki hii movie Zebuu umesikitisha sana

  • @Lailaty973
    @Lailaty973 Рік тому +1

    😢😢😢😢inauma jmn zebu pole😢