LAST CARD _ EP 35 (FINAL)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 жов 2024
  • #bintinyoka #kp #kpnazebuu #lastcard #zebuu #kpcomedy #wamangushi

КОМЕНТАРІ • 2,1 тис.

  • @MATOKEOKITAHAGA
    @MATOKEOKITAHAGA 7 місяців тому +134

    Asanteni sana mungu awabariki tunaomba mtuandalie movie nyingine nzuri na kali sana kama au zaidi ya last card wanao ungana nami gonga like hapa🎉❤🎉❤🎉🎉🎉

    • @Edimundingonyani
      @Edimundingonyani 7 місяців тому +2

      nyie nimafund kp shei shei nola na bos wala nola IT mpo good san metish nimemaliza faino sas 2nasubili chuma kingini kwaichi last card mko saf

    • @BenardCharles-w8p
      @BenardCharles-w8p 6 місяців тому +1

      Asante Sana nimeipenda last card mmefan vzr

    • @asumaniangabe
      @asumaniangabe 23 дні тому

      William morning does Michigan University

    • @TitusMutia
      @TitusMutia 19 днів тому

      @@asumaniangabe best bongo movie i have ever watched

  • @ndayicarine2224
    @ndayicarine2224 7 місяців тому +117

    Jamani munikunbuk namimi hata like10basi from Burundi 🇧🇮

  • @charitychadrek
    @charitychadrek 7 місяців тому +103

    Aliyefulahishwa 🎉na game ya nolla na zebuu njoni hapa😂 congratulations 🎉 for this movie kp🎉

  • @lucyellymkate3626
    @lucyellymkate3626 7 місяців тому +30

    Kiukweli movie ni nzuri sana Kwa tuliofuatilia kuanzia mwanzo sheyisheyi,kp na zb pokeeni maua yenu nimependa sana mlivyocheza♥️♥️♥️♥️

  • @tibelmtandi2275
    @tibelmtandi2275 7 місяців тому +32

    Mim ni mvivu wa kucoment, lakn kwa hapa hakika ukweli usemwe tu mmeupiga mwingi, HONGERENI🎉🎉🎉

  • @SofiaKazungu
    @SofiaKazungu 7 місяців тому +93

    Really appreciate much love from saudia Arabia like zangu ata mbili jamani ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @maggietuxh5779
    @maggietuxh5779 7 місяців тому +67

    Wah kazi nzuri sana Kwa kweli last card n kipindi kilikuwa kitamu sana wap likes kw wenye tuliaza mwanzo Ady final much love ❤❤❤❤ kw KP na zebuu pia WA husika wengne kazi zuri sana

  • @birungideborah
    @birungideborah 7 місяців тому +105

    Kazi nzuri saana teena saana jamani, Mungu awabariki piya awape ujuzi zaidi saana. Nimewafuatiliya tangu mwanzo hadi mwisho, naomba likes zangu za Final jamani

  • @vuew309
    @vuew309 7 місяців тому +29

    Congratulations sheila dad kid zebu na kp suraji na likoma na dabozi good good love you guys 🎉🎉❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰next please nisiboeke akiiii😮

  • @tinnahtabani
    @tinnahtabani 7 місяців тому +16

    Hongera norah wewe ni jasir sana ❤❤❤ big up shey sheila kwa kuimaliza game HONGERA ZENU KP NA ZEBUU FAMILY ❤❤❤❤❤ LOVE YOU ALL

  • @witnesstanley6578
    @witnesstanley6578 7 місяців тому +71

    Mim sio wa kwanz ila naomba like mbn mm ni mfatiliaj mzurii tuu hamnipei hata hzo like..

  • @annaki318
    @annaki318 7 місяців тому +247

    Tuliokua tunaifatilia last card kuanzia episode ya kwanza mpaka finally Leo tujuane🎉🎉❤❤❤❤

  • @yuleflexboy494
    @yuleflexboy494 7 місяців тому +89

    Wa Kwanza Leo naombeni likes zangu, last card family, all the way from cape town South Africa

  • @AishaToyi
    @AishaToyi 7 місяців тому +14

    Tunashuru sana mungu awajaliye kwenye kazi zenu nawapenda sana mlicheza vizuri sana hamja wahi kuniangusha hâta Siku moja karibuni kwetu Burundi rumonge tunawakubali sana

  • @komanyapaulo3608
    @komanyapaulo3608 7 місяців тому +15

    Hakika mnajitahid sana kuwa wabunifu
    Kaz nzuri sana
    I like your love story

  • @AnnaShao
    @AnnaShao 7 місяців тому +113

    Waoooo ime pamba moto tulio kuwa tuna isubiria kwa hamu gonga like apa ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 7 місяців тому +72

    Kp jaman hizi move zako zote natazama sijakosa hata moja ya kwanza binti nyoka,ya pili benzema ya tatu mzee wa giza ya inne dada na kaka naya tano last card sote nilianza mwanzo hadi mwisho lakin hata hunipi like zangu na mm kma wenzangu nawapenda sana mungu awajalie vipaji vyenu inshallah 😢😢❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LinusMsimbano-uq1kg
    @LinusMsimbano-uq1kg 7 місяців тому +26

    Yaan nimeisubiili kwa hamu sana dahh waoooo very nice naomben like jamn hata kumi

  • @VenacioKariuki
    @VenacioKariuki 7 місяців тому +12

    Kazi mzuri kabisa.
    Heko kutoka humu kenya 🇰🇪.
    Mpewe TUZO kwa hii jameni.
    Tutazidi kuwafuatilia

  • @UbumwemediaSevenTv
    @UbumwemediaSevenTv 7 місяців тому +42

    wapenzi wanhii movie bongo uya last card nipeni like km mmeipenda sn km mm mtoto wa hapa inchini burundi

  • @gracejastini
    @gracejastini 7 місяців тому +38

    Woooo nmewahi jmooon ambao walikuw wamemisx kumuona xxxx weka like zenu

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv 7 місяців тому +42

    Number one leo ni mimi ❤❤❤❤❤ nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu FROM CONGO Drc

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 7 місяців тому +410

    Km una penda agent xxx (Norah) pita n like kaupiga mwingi km mfanyakazi n mpelelelezi 🎉🎉🎉

  • @assiahmeggah4606
    @assiahmeggah4606 6 місяців тому +8

    Npen like zang tok ianz leo ndo nacomment kw furaha ya hal ya juu big up kw mafunzo mnayotoa mungu awazidishie team kp amiin🎉 chukuen maua yen🎉

  • @SharletElly
    @SharletElly 6 місяців тому +11

    Kicheko chako kinakera kisai from kenya like ata tano ata japo nmechelewa

  • @tobiaschirwa9364
    @tobiaschirwa9364 7 місяців тому +15

    Team kp na zebuu tunawapenda sana ...ila namupenda sana shey shey kwakweli anajuwa kaz yake yupo serious sana namupenda muze likoma na diboz kwakweli mupoke mauwa yenu 🎉🎉🎉 Norah hongela sana nipo south africa asanteni

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 7 місяців тому +55

    Last card ♦️ in last episode
    Man from no where I need some like

  • @mejusimba5393
    @mejusimba5393 7 місяців тому +226

    Norah karata yako leo umeicheza vizuri sana kuliko karata zengine kama unakubaliana na mm gonga like hapa

    • @SarahAimedy-us7if
      @SarahAimedy-us7if 7 місяців тому

      Aise nafuraiya sana eri kwisho kuliko kwazo❤❤❤

    • @BBetrs
      @BBetrs 7 місяців тому

      Good job my siz ❤❤

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 7 місяців тому +10

    Yandio inafikia bazuri ati imeisha waaa kp tutafutie ingine kali kapiza tunakupenda. Nakufwatilia kila movie nikiwa saudi arabia❤❤❤❤❤ sheillah nipe like zenu jamani nyite mwaaaaaaaaaaa

  • @OmoshKijana001
    @OmoshKijana001 7 місяців тому +7

    Waaah nice job nimekuwa nikifuatilia hii kipindi toka mwanzo mpaka leo hii ni mwishowe❤❤❤❤❤much love

  • @DamarisMoraa-ow4wp
    @DamarisMoraa-ow4wp 7 місяців тому +120

    WA kwanza jamani wenye tumemaliza last card gonga like apa

  • @Christopher-xj5fz
    @Christopher-xj5fz 7 місяців тому +15

    One of the best series in this year, congratulations team kp ,kp you deserve it 👏👏keep it up broh coz you can

  • @ChristineMose-v8d
    @ChristineMose-v8d 7 місяців тому +12

    Hongereni kwa kazi yenu nzuri nyote mulio husika, mungu awazidishie maisha marefu ili muendelee kutupa mafunzo mengi na mengi, Chukueni mauwa yenu

  • @LievinNdayizeye-v5t
    @LievinNdayizeye-v5t 7 місяців тому +12

    Malgré tout je vous aime j'ai commencé la série dès le début une film qui donne la solution des problèmes qu'on donne à quelqu'un qui n'est pas intéressé je vous suive encore No stress Ntare7 à Bujumbura Burundi❤❤❤❤❤

  • @juliahmwaka7184
    @juliahmwaka7184 7 місяців тому +6

    ❤❤❤❤wow! Hatimaye tangu mwanzo hadi mwisho. Nipeni hata like moja ya bundle jamani,Alafu Norah alivyokuwa akikonyeza jicho 😘😂😂

  • @janepaul-pu3ds
    @janepaul-pu3ds 7 місяців тому +17

    I appreciate your work team Kp 🎉🎉🎉🎉 good job we are waiting for binti nyoka season 2 may ALLAH bless you abundantly 🙏🙏

  • @Trending_online-2024
    @Trending_online-2024 7 місяців тому +46

    MSINISAHAU NAOMBA NA MI MNIPE LAST LIKE ZANGUUUUU

  • @moseschigombi1128
    @moseschigombi1128 7 місяців тому +30

    Yani nimekuwa wa kwanza alafu bando linakata wakati nmeonywa simu iwe na bando...... nmekimbia dukani kama chizi..... cwez kosa uhondo jamani.... aya dondosha like basi kma unakubaiana nami.....
    Mauwa yako kp 🎉🎉🎉🎉

  • @sabushimikedesire168
    @sabushimikedesire168 7 місяців тому +7

    Hongeleni sana wapendwa. Pokea salamu zangu kutoka Burundi .
    Ndabakeje cane vyimva mutima. Ntamajambo mbona nokoresha mukuvuga uburyo mwampimbaye muburyo mwakinye neza .
    I love you all .keep it up my brothers and sisters u Did well . Nawatakia ALL THE BEST

  • @KhadijaKhadija-v9x
    @KhadijaKhadija-v9x 7 місяців тому +7

    Kazi nzuri sana😂😂😂😂😂 ningependa isiyishe .pole san kisai unakoma.tena una roho mbaya . Nola agonge 🤜🤛 ❤❤❤❤❤ .

  • @josephluomba8807
    @josephluomba8807 7 місяців тому +24

    Likes zangu bado Niko , watching from Zambia ❤❤❤❤

  • @JaguarEscobar
    @JaguarEscobar 7 місяців тому +72

    Wakwanza Leo from tz like zenu jaman

  • @Penielchenda
    @Penielchenda 7 місяців тому +18

    Norah courage bien👍 joué félicitations🎉🎊🎉🎊

  • @BeatriceLigamba
    @BeatriceLigamba 7 місяців тому +6

    Salute c* Nora hakika nafurahi kuona uhalisia hakika mwomba MUNGU hachoki Nawapenda 💗💗💗

  • @HopeTv-v3m
    @HopeTv-v3m 7 місяців тому +5

    Hongereni sana kwa higizo hii lenye viwango viwango vya juu kabisa na inafurahisha kabisa.
    Mungu azidi kuwapa ujuzi zaidi.

  • @AishaJafari-sh4pe
    @AishaJafari-sh4pe 7 місяців тому +397

    Watatu leo alaf ni episode ya mwisho naombeni like jamn ata 10 tu sijawah pewa like tangu last card inaisha❤❤❤❤

  • @Arfa-b5r
    @Arfa-b5r 7 місяців тому +22

    Jamani da kid pia apewe hongera Na mzee likoma na ank surag wote hongereni love you xxx🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv 7 місяців тому +76

    Wa kwanza leo nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯♥️💯♥️💯♥️

  • @yohanajoel2040
    @yohanajoel2040 7 місяців тому +2

    Mm naona nitakua wa mwisho lkn movie ni nzuri inatia hamasa ya kutokukataa tamaa pull up kazi nzuri nanyi msikate tamaa kutupa vitu vizuri 🇹🇿

  • @ramaally6796
    @ramaally6796 6 місяців тому +1

    Best African movie ever...
    Ingekuwa na subtitles za English ingekuwa one of the best duniani.
    Team last card, that's big for u..
    Bravo bravo bravo

  • @luciatungwa4039
    @luciatungwa4039 7 місяців тому +8

    Asante Sana KP nimefurahia sana kuwatch kipindi hiki na nimependezwa nayo mungu azidi kuwapa baraka na nguvu ya kutuandalia kipindi ingine tamu kama hii shukran Sana❤️❤️❤️

  • @mrsnurdinisaidi8945
    @mrsnurdinisaidi8945 7 місяців тому +12

    Sitachoka kurudia hii episode kwakweli imenifurahisha sana❤❤❤❤🎉

  • @justinsimbeye1425
    @justinsimbeye1425 7 місяців тому +12

    Aya finally lakini siyo mwisho najua utaleta tena kitu yamoto kama hizi (binti nyoka)(wamangushi)(na rast ♦️♠️ nawakubali wote mnao shilikina nao nawatakia maandalizi mema ya kp na kundi lote from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 penda sana 🎉🎉🎉

  • @faithnyansera1124
    @faithnyansera1124 7 місяців тому +4

    Walai nimefurahi pia mm congratulations nolaa KAZI nzuri sana 💞 nawapenda sana pia kp, zebuu na shila wako poa sana 💞 na likoma pia na shulac keep it up the good work ❤❤❤❤❤

  • @NTEMI
    @NTEMI 7 місяців тому +2

    Nola hongera sana kp sheishei kazi nzuri zeb pamoja na dar kid kwanza mlio ifanya

  • @DamarisMasese-rh6hy
    @DamarisMasese-rh6hy 7 місяців тому +12

    Hongera sana kwa kazi nzuri kp na Zebuu pia Norah umeicheza vizuri sana next tuletee binti nyoka season 2 much love from Kisii 🇰🇪 💪💪💪💪💥💥💥

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 7 місяців тому +15

    Hongera sana kp na kikosi chako kwakwel mumefanya vzur kwenye hii Last card nimekua nanyi tangu mwanzo adi mwisho kwakwel mpo vzur sana Mungu azidi kuwaongoza katika kazi zenu Much Love from Kenya 🇰🇪❤️❤️

  • @sarahkararinyakinyua3618
    @sarahkararinyakinyua3618 7 місяців тому +40

    Leo si wote wakwanza chefuu,Nora apewe like zote

  • @AnnaKirao
    @AnnaKirao 7 місяців тому +2

    🎉🎉🎉 Norah hongera sana dasa🎉🎉🎉♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️na wapenda Sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FabianoJumanee
    @FabianoJumanee 3 місяці тому +1

    tulio fatilia last card kwanzia episod ya 1 hadi final oyeeeee ushind kwa kp noraty zebuu mrs shei shei na dar kid oyeeeee tupeni nyingine basiiiiiii ilove you to remeber

  • @Isha-q2p6g
    @Isha-q2p6g 7 місяців тому +36

    ❤❤❤ unyamaa mwingi sana honger San nor nip like zang

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud 7 місяців тому +15

    Nora god job congole kweli umecheza vizuri sana

  • @LillianKaijunga-cp1jv
    @LillianKaijunga-cp1jv 7 місяців тому +8

    Final episode ilikuwa fantastic sana🎉Nina hakika mwisho wa utamu ndiyo mwañzo wa vitamiu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FabianoJumanee
    @FabianoJumanee 3 місяці тому +2

    hii move inafundisha sana jamani haki kwa binadam ni jamb la muhimu sana kama mnakubaliana na mimi tia like ata mbili apo

  • @CoretherMalongo
    @CoretherMalongo 7 місяців тому +2

    Jaman nataman Tena nawasalimia group lite pokeen Salam zang kutoka mwanza town napatikana isamilo lete nyingine kp na zebuuu nawapendaaaa😢😢😢😅😅😅😅

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 7 місяців тому +26

    Naona mnapika daku team furus eeeee mie nimewai leo nipeni mauwa yangu mapema Ex Ex Ex❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥

  • @IradukundaEvelyneEvelyne
    @IradukundaEvelyneEvelyne 7 місяців тому +27

    Wakwanza Jaman nipeni like zangu from Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @MariamoAmadeAssane
    @MariamoAmadeAssane 7 місяців тому +31

    Jaman Moçambique Léo sijachelew like zang

  • @PetroJumbe-ey6pr
    @PetroJumbe-ey6pr 7 місяців тому +2

    🎉🎉🎉🎉🎉kwa hakikaa kp una kipaji kikubwa Sana 😁 hongereni Sana hamjamaliza vibaya🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @Layveraa22
    @Layveraa22 6 місяців тому +1

    I'm proud of the winners 🏆 congratulations nawapenda sana shila, nora na zebuu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ much love from kenya wait for another series

  • @AngelinaKinuthia
    @AngelinaKinuthia 7 місяців тому +5

    Waooh congratulations u all kweli baada ya dhiki Ni faraja❤❤I salute you all , Norah wewe Ur more the best ♥️♥️♥️

  • @MlongoChai
    @MlongoChai 7 місяців тому +7

    Waooow mashallah Mashallah Mashallah nimefurahi toka mwanzo had mwisho hongera sana kwa kazi nzuri mungu awazidishie ❤❤❤❤❤❤

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 7 місяців тому +8

    Leo nimewai wa kwanza hahahaha aya tusalimiane team furus team kupambana team WiFi team kazi kazi 🔥🔥 big up KP ❤❤❤❤

  • @princeandalialuke74
    @princeandalialuke74 6 місяців тому +1

    Mm agent wangu kapigwa na bomu sijui akoje.!? Lakini nampenda Bure kabisa ❤❤❤ Sheila

  • @LudeofficialXworldwide
    @LudeofficialXworldwide 7 місяців тому +1

    Appreciate Sana kp nawakubali Sana, unajuwa movie zenu uku mtaan znakubalika sana cc wenye library tunajipiagia hela tu kazi nzuli Sana mungu awajalie uzma, mtuletee chuma kingne chamoto 👍

  • @eligiambigi4884
    @eligiambigi4884 7 місяців тому +21

    Mi wakwanza leo kp bigap sana🎉🎉🎉

  • @jovithatibatekeleza6598
    @jovithatibatekeleza6598 7 місяців тому +12

    Wangapi mnachukia kicheko cha Kisai😂😂😂

  • @ramadhansamson6070
    @ramadhansamson6070 7 місяців тому +40

    Wangapi tulianza mwanzo na kufika mwisho kwenye last card ❤❤❤

  • @PreciousWazir
    @PreciousWazir 6 місяців тому +1

    Naikubali xanaa last card hongeren Xanaaa agent xxx pigaa keleeee Kwa Norah akeee ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MildredNyongesa-g7n
    @MildredNyongesa-g7n 7 місяців тому +3

    Wow good job Norah much love from Kenya.

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 7 місяців тому +7

    Pls kp ombi lang kwenu km hii move imeisha bs Msichelew kutuletea tamthilia nyngn mpy🙏🙏🤝🤝🤝

  • @JoynessMshaija
    @JoynessMshaija 7 місяців тому +22

    Hata Mimi sijawah kuomba like ila Leo naomba maana huko fb nilitabiri kwamba itakuwa ya mwisho 🤣🤣🔥🔥🔥

  • @pendokache2400
    @pendokache2400 7 місяців тому +27

    Leo nimewahi Mimi ndio Norah😂😂😂 like kwa Norah jamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jeanpaulkimana6132
    @jeanpaulkimana6132 7 місяців тому +3

    RESPECT GUYS,,, I wish i may see MR KISAI IN GAIL,,,

  • @iddninga
    @iddninga 7 місяців тому +1

    Hongereni sana
    Tamthilia hii naweza sema ni moja ya tamthilia bora hasa kwa upande wa Cyber security, mmeweza kutoa mafunzo kama yaliyopo katika movie ya Beekeeper.
    Pili ni tamthilia yenye maudhui makubwa ya kijasusi na kipelelezi, mmejitahidinsana kuonyesha viwango vya juu ya upelelezi na tumeona jinsi idara ya Usalama wa Taifa imavyokuwa na mamluki ndani yake
    Pia, mmeonyesha namna vipaji adimu vinavyofanya kazi, tumeona familia ya Likoma ilivyodili na majasusi na hata kuwashinda, mategemeo, kama ikija season tu, basi tunatarajia kuona kuwa mzee likoma alikuwa jasusi mbobezi.
    Hongereni sana sana sana

  • @YvonzaYvonne
    @YvonzaYvonne 7 місяців тому +10

    Ongera sana kp kwa kazi nzuri tulikuwa tumesubiri last card kwa hamu sana

  • @JessyBeauty-h6u
    @JessyBeauty-h6u 7 місяців тому +12

    Wa kwanza jaman leo nipeni like zangu wapendwa, kaz nzur sana wapenzi wetu from Kenya 🇰🇪

  • @salomejames9639
    @salomejames9639 7 місяців тому +14

    Tuliofurahi kumuona shei shei gonga likes hapa😂😂

  • @MugabeMedard-ib5ev
    @MugabeMedard-ib5ev 7 місяців тому +3

    Katika movie kali hiii ni mwisho kabsa nimekubari pia nimeamini kweri watu wanavipachi nawapena zebu,kp wa aquino, dibozi manuva, kisai, my shey shey,dhuraji ,mzee likoma,norrah ,na braiton Mmetufurahisha sana tunasubilia vizuri sana kutoka kweri huku Bujumbura tunawapenda sana

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 5 місяців тому +1

    Shailla wetu well come back with the last card..hongereni sana nyote mlioshiriki hii last card I like this game..

  • @HilkiaMurunga
    @HilkiaMurunga 7 місяців тому +26

    Wakwanza kutoka Kenya. Nipeni likes jamani

  • @EuniceVureze
    @EuniceVureze 7 місяців тому +8

    Yani naisubiri fb na huku mmesha weka,eny way congratulations 🎉❤🎉team last card

  • @IradukundaEvelyneEvelyne
    @IradukundaEvelyneEvelyne 7 місяців тому +9

    Nafika mapema jaman from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇴🇲 final apana jameni mutuongeze

  • @PAULWAORE-z9y
    @PAULWAORE-z9y 7 місяців тому +2

    Musitawache hivo kp na zebuu, I'm really enjoying your movie's

  • @marthajohn6532
    @marthajohn6532 7 місяців тому +1

    Hii haina haja ya season 2 imejitosheleza ahsanteh sana KP mbarikiwe na timu yako yote

  • @NesthKey
    @NesthKey 7 місяців тому +11

    Mimi wa kwanza Leo kutoka Moz,basi gonga likes apa❤

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 7 місяців тому +7

    Kwa kwel kisai anajua kuigiza sana huyu jamaa n nomah sana

  • @FrankLyakurwa
    @FrankLyakurwa 7 місяців тому +6

    Kazi nzuri sana appreciate kwa agent x ,ms Shei Shei Zebu , Mr Diboz mzee likoma ,Dar kid na suraja hakika mmetufanya tujenge furaha na matumain pasipo na njia ,,by next time tunahitaji kazi nzur kama hii.

  • @hyrin653
    @hyrin653 7 місяців тому +1

    Sheila waial nakupenda ❤❤ pia zebuu umecheza vizuri sana na Norah ,ayah kisai kicheko kiko wapi😂😂😂

  • @EdwardTz.
    @EdwardTz. 6 місяців тому +2

    Jaman tusizalauliane kwakumjua mtu kwa mda mfupi akili kumkichwa gonga like zakutoshaa!!