LAST CARD _ EP 35 (FINAL)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • #bintinyoka #kp #kpnazebuu #lastcard #zebuu #kpcomedy #wamangushi

КОМЕНТАРІ • 2,3 тис.

  • @ndayicarine2224
    @ndayicarine2224 10 місяців тому +135

    Jamani munikunbuk namimi hata like10basi from Burundi 🇧🇮

  • @MATOKEOKITAHAGA
    @MATOKEOKITAHAGA 10 місяців тому +151

    Asanteni sana mungu awabariki tunaomba mtuandalie movie nyingine nzuri na kali sana kama au zaidi ya last card wanao ungana nami gonga like hapa🎉❤🎉❤🎉🎉🎉

    • @Edimundingonyani
      @Edimundingonyani 10 місяців тому +3

      nyie nimafund kp shei shei nola na bos wala nola IT mpo good san metish nimemaliza faino sas 2nasubili chuma kingini kwaichi last card mko saf

    • @BenardCharles-w8p
      @BenardCharles-w8p 10 місяців тому +2

      Asante Sana nimeipenda last card mmefan vzr

    • @asumaniangabe
      @asumaniangabe 4 місяці тому +1

      William morning does Michigan University

    • @TitusMutia
      @TitusMutia 4 місяці тому +1

      @@asumaniangabe best bongo movie i have ever watched

  • @witnesstanley6578
    @witnesstanley6578 10 місяців тому +76

    Mim sio wa kwanz ila naomba like mbn mm ni mfatiliaj mzurii tuu hamnipei hata hzo like..

  • @lucyellymkate3626
    @lucyellymkate3626 10 місяців тому +37

    Kiukweli movie ni nzuri sana Kwa tuliofuatilia kuanzia mwanzo sheyisheyi,kp na zb pokeeni maua yenu nimependa sana mlivyocheza♥️♥️♥️♥️

    • @salomeswai3148
      @salomeswai3148 14 годин тому

      Jamani patapoyaa mmakwenda mno slow.. toeni episode haraha hataka kama
      wengiaane

  • @AishaToyi
    @AishaToyi 10 місяців тому +17

    Tunashuru sana mungu awajaliye kwenye kazi zenu nawapenda sana mlicheza vizuri sana hamja wahi kuniangusha hâta Siku moja karibuni kwetu Burundi rumonge tunawakubali sana

  • @maggietuxh5779
    @maggietuxh5779 10 місяців тому +71

    Wah kazi nzuri sana Kwa kweli last card n kipindi kilikuwa kitamu sana wap likes kw wenye tuliaza mwanzo Ady final much love ❤❤❤❤ kw KP na zebuu pia WA husika wengne kazi zuri sana

  • @SofiaKazungu
    @SofiaKazungu 10 місяців тому +96

    Really appreciate much love from saudia Arabia like zangu ata mbili jamani ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

    • @Advera-ki8do
      @Advera-ki8do 10 місяців тому +1

      Noraumefanyakazinzuri

  • @birungideborah
    @birungideborah 10 місяців тому +108

    Kazi nzuri saana teena saana jamani, Mungu awabariki piya awape ujuzi zaidi saana. Nimewafuatiliya tangu mwanzo hadi mwisho, naomba likes zangu za Final jamani

  • @vuew309
    @vuew309 10 місяців тому +34

    Congratulations sheila dad kid zebu na kp suraji na likoma na dabozi good good love you guys 🎉🎉❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰next please nisiboeke akiiii😮

  • @tinnahtabani
    @tinnahtabani 10 місяців тому +22

    Hongera norah wewe ni jasir sana ❤❤❤ big up shey sheila kwa kuimaliza game HONGERA ZENU KP NA ZEBUU FAMILY ❤❤❤❤❤ LOVE YOU ALL

  • @charitychadrek
    @charitychadrek 10 місяців тому +112

    Aliyefulahishwa 🎉na game ya nolla na zebuu njoni hapa😂 congratulations 🎉 for this movie kp🎉

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 10 місяців тому +75

    Kp jaman hizi move zako zote natazama sijakosa hata moja ya kwanza binti nyoka,ya pili benzema ya tatu mzee wa giza ya inne dada na kaka naya tano last card sote nilianza mwanzo hadi mwisho lakin hata hunipi like zangu na mm kma wenzangu nawapenda sana mungu awajalie vipaji vyenu inshallah 😢😢❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @gracejastini
    @gracejastini 10 місяців тому +42

    Woooo nmewahi jmooon ambao walikuw wamemisx kumuona xxxx weka like zenu

  • @assiahmeggah4606
    @assiahmeggah4606 10 місяців тому +10

    Npen like zang tok ianz leo ndo nacomment kw furaha ya hal ya juu big up kw mafunzo mnayotoa mungu awazidishie team kp amiin🎉 chukuen maua yen🎉

  • @VenacioKariuki
    @VenacioKariuki 10 місяців тому +15

    Kazi mzuri kabisa.
    Heko kutoka humu kenya 🇰🇪.
    Mpewe TUZO kwa hii jameni.
    Tutazidi kuwafuatilia

  • @LinusMsimbano-uq1kg
    @LinusMsimbano-uq1kg 10 місяців тому +30

    Yaan nimeisubiili kwa hamu sana dahh waoooo very nice naomben like jamn hata kumi

  • @tibelmtandi2275
    @tibelmtandi2275 10 місяців тому +40

    Mim ni mvivu wa kucoment, lakn kwa hapa hakika ukweli usemwe tu mmeupiga mwingi, HONGERENI🎉🎉🎉

    • @Treezer_85
      @Treezer_85 4 місяці тому +1

      Wapewe maua yao😊

  • @yuleflexboy494
    @yuleflexboy494 10 місяців тому +92

    Wa Kwanza Leo naombeni likes zangu, last card family, all the way from cape town South Africa

  • @UbumwemediaSevenTv
    @UbumwemediaSevenTv 10 місяців тому +46

    wapenzi wanhii movie bongo uya last card nipeni like km mmeipenda sn km mm mtoto wa hapa inchini burundi

  • @SharletElly
    @SharletElly 10 місяців тому +22

    Kicheko chako kinakera kisai from kenya like ata tano ata japo nmechelewa

    • @maggiewangui5364
      @maggiewangui5364 3 місяці тому

      Walai anaboo

    • @MauwaDena
      @MauwaDena Місяць тому

      Kweli kabisa

    • @doreenriwa8765
      @doreenriwa8765 23 дні тому

      Anaboa sanaaa

    • @Phylismugeni
      @Phylismugeni 17 днів тому

      Mm hua ananiboo sana na kicheko alafu ako na kelele nyingi mno, hua nafurahia akishindwa mwisho wa filami

  • @AnnaShao
    @AnnaShao 10 місяців тому +117

    Waoooo ime pamba moto tulio kuwa tuna isubiria kwa hamu gonga like apa ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @tobiaschirwa9364
    @tobiaschirwa9364 10 місяців тому +17

    Team kp na zebuu tunawapenda sana ...ila namupenda sana shey shey kwakweli anajuwa kaz yake yupo serious sana namupenda muze likoma na diboz kwakweli mupoke mauwa yenu 🎉🎉🎉 Norah hongela sana nipo south africa asanteni

  • @komanyapaulo3608
    @komanyapaulo3608 10 місяців тому +17

    Hakika mnajitahid sana kuwa wabunifu
    Kaz nzuri sana
    I like your love story

  • @OmoshKijana001
    @OmoshKijana001 10 місяців тому +9

    Waaah nice job nimekuwa nikifuatilia hii kipindi toka mwanzo mpaka leo hii ni mwishowe❤❤❤❤❤much love

  • @bethtai
    @bethtai 2 місяці тому +3

    ndio naendelea kufwatilia vipindi na michezo yenu,,nashukuru na kuwapenda sana toka Kenya,hakika tunajifunza mengi pia na muendelee kuact ❤❤❤❤❤

  • @ChristineMose-v8d
    @ChristineMose-v8d 10 місяців тому +15

    Hongereni kwa kazi yenu nzuri nyote mulio husika, mungu awazidishie maisha marefu ili muendelee kutupa mafunzo mengi na mengi, Chukueni mauwa yenu

  • @mejusimba5393
    @mejusimba5393 10 місяців тому +238

    Norah karata yako leo umeicheza vizuri sana kuliko karata zengine kama unakubaliana na mm gonga like hapa

    • @SarahAimedy-us7if
      @SarahAimedy-us7if 10 місяців тому

      Aise nafuraiya sana eri kwisho kuliko kwazo❤❤❤

    • @BBetrs
      @BBetrs 10 місяців тому

      Good job my siz ❤❤

  • @moseschigombi1128
    @moseschigombi1128 10 місяців тому +33

    Yani nimekuwa wa kwanza alafu bando linakata wakati nmeonywa simu iwe na bando...... nmekimbia dukani kama chizi..... cwez kosa uhondo jamani.... aya dondosha like basi kma unakubaiana nami.....
    Mauwa yako kp 🎉🎉🎉🎉

    • @Liliqn
      @Liliqn 10 місяців тому

      😂😂😂

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 10 місяців тому

      😃😃😃😃

    • @SuzanaMgoja
      @SuzanaMgoja 10 місяців тому

      😂😂😂😂

    • @iptisamismaill-f6h
      @iptisamismaill-f6h 10 місяців тому

      Watu watumia wifi siku iz we upo mwaka gan 😂😂😂

    • @KavughoLajoie
      @KavughoLajoie Місяць тому

      NiAye kwe ukonafata ❤❤❤❤❤

  • @juliahmwaka7184
    @juliahmwaka7184 10 місяців тому +7

    ❤❤❤❤wow! Hatimaye tangu mwanzo hadi mwisho. Nipeni hata like moja ya bundle jamani,Alafu Norah alivyokuwa akikonyeza jicho 😘😂😂

  • @BeatriceLigamba
    @BeatriceLigamba 10 місяців тому +7

    Salute c* Nora hakika nafurahi kuona uhalisia hakika mwomba MUNGU hachoki Nawapenda 💗💗💗

  • @babynaash
    @babynaash 10 місяців тому +267

    Tuliokua tunaifatilia last card kuanzia episode ya kwanza mpaka finally Leo tujuane🎉🎉❤❤❤❤

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 10 місяців тому +415

    Km una penda agent xxx (Norah) pita n like kaupiga mwingi km mfanyakazi n mpelelelezi 🎉🎉🎉

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 10 місяців тому +12

    Yandio inafikia bazuri ati imeisha waaa kp tutafutie ingine kali kapiza tunakupenda. Nakufwatilia kila movie nikiwa saudi arabia❤❤❤❤❤ sheillah nipe like zenu jamani nyite mwaaaaaaaaaaa

  • @FabianoJumanee
    @FabianoJumanee 7 місяців тому +4

    hii move inafundisha sana jamani haki kwa binadam ni jamb la muhimu sana kama mnakubaliana na mimi tia like ata mbili apo

  • @HopeTv-v3m
    @HopeTv-v3m 10 місяців тому +6

    Hongereni sana kwa higizo hii lenye viwango viwango vya juu kabisa na inafurahisha kabisa.
    Mungu azidi kuwapa ujuzi zaidi.

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv 10 місяців тому +44

    Number one leo ni mimi ❤❤❤❤❤ nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu FROM CONGO Drc

  • @Christopher-xj5fz
    @Christopher-xj5fz 10 місяців тому +17

    One of the best series in this year, congratulations team kp ,kp you deserve it 👏👏keep it up broh coz you can

  • @janepaul-pu3ds
    @janepaul-pu3ds 10 місяців тому +21

    I appreciate your work team Kp 🎉🎉🎉🎉 good job we are waiting for binti nyoka season 2 may ALLAH bless you abundantly 🙏🙏

  • @faithnyansera1124
    @faithnyansera1124 10 місяців тому +5

    Walai nimefurahi pia mm congratulations nolaa KAZI nzuri sana 💞 nawapenda sana pia kp, zebuu na shila wako poa sana 💞 na likoma pia na shulac keep it up the good work ❤❤❤❤❤

  • @NTEMI
    @NTEMI 10 місяців тому +4

    Nola hongera sana kp sheishei kazi nzuri zeb pamoja na dar kid kwanza mlio ifanya

  • @DamarisMoraa-ow4wp
    @DamarisMoraa-ow4wp 10 місяців тому +123

    WA kwanza jamani wenye tumemaliza last card gonga like apa

  • @sabushimikedesire168
    @sabushimikedesire168 10 місяців тому +10

    Hongeleni sana wapendwa. Pokea salamu zangu kutoka Burundi .
    Ndabakeje cane vyimva mutima. Ntamajambo mbona nokoresha mukuvuga uburyo mwampimbaye muburyo mwakinye neza .
    I love you all .keep it up my brothers and sisters u Did well . Nawatakia ALL THE BEST

  • @LievinNdayizeye-v5t
    @LievinNdayizeye-v5t 10 місяців тому +15

    Malgré tout je vous aime j'ai commencé la série dès le début une film qui donne la solution des problèmes qu'on donne à quelqu'un qui n'est pas intéressé je vous suive encore No stress Ntare7 à Bujumbura Burundi❤❤❤❤❤

  • @VictoriaDawiteh
    @VictoriaDawiteh 3 місяці тому +3

    Dah hakika nimejifunza vitu vingi sana walio jifunza kama mm mko kweli ❤❤❤❤❤❤

  • @ramaally6796
    @ramaally6796 10 місяців тому +1

    Best African movie ever...
    Ingekuwa na subtitles za English ingekuwa one of the best duniani.
    Team last card, that's big for u..
    Bravo bravo bravo

  • @KhadijaKhadija-v9x
    @KhadijaKhadija-v9x 10 місяців тому +9

    Kazi nzuri sana😂😂😂😂😂 ningependa isiyishe .pole san kisai unakoma.tena una roho mbaya . Nola agonge 🤜🤛 ❤❤❤❤❤ .

  • @luciatungwa4039
    @luciatungwa4039 10 місяців тому +9

    Asante Sana KP nimefurahia sana kuwatch kipindi hiki na nimependezwa nayo mungu azidi kuwapa baraka na nguvu ya kutuandalia kipindi ingine tamu kama hii shukran Sana❤️❤️❤️

  • @justinsimbeye1425
    @justinsimbeye1425 10 місяців тому +13

    Aya finally lakini siyo mwisho najua utaleta tena kitu yamoto kama hizi (binti nyoka)(wamangushi)(na rast ♦️♠️ nawakubali wote mnao shilikina nao nawatakia maandalizi mema ya kp na kundi lote from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 penda sana 🎉🎉🎉

  • @zabronmagoko
    @zabronmagoko 3 місяці тому +5

    Kp nakubali unajitahdi xan mungu akubalik katka kaz zko🙏🙏🙏🙏

  • @PhaniceNelima-os8wq
    @PhaniceNelima-os8wq 2 місяці тому +1

    Wooow so amazing!❤enyewe nmefuatilia mpaka nkaiona hio last card pia...with very big life lessons which i can't explain them all...kila mmoja wenu ameper4m vizuri...haswa "Sheyshey"-you deserve to be a Mwanasheria"...(napenda ujasiri wako na utendakazi wako)..pili "Zebuu na kp"-mmenifunza mengi kuhusiana na mapenzi na jinsi ya kuteteana kwa kila hali..hata mi natamani nipate mume ambaye tutacheza naye na kudefend each other kama nyie..nawapenda...Norah-gd job ulikua unamhelp Kp kwa kumficha.Dar kid good job..Dibozi gd job bt next tym be very keen ..Suraj & Likoma..pia gd job..please leteni new episode twaingoja sana...❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉congratulations to you all..watching from Kenya Bungoma County 049.

  • @Trending_online-2024
    @Trending_online-2024 10 місяців тому +47

    MSINISAHAU NAOMBA NA MI MNIPE LAST LIKE ZANGUUUUU

  • @JaguarEscobar
    @JaguarEscobar 10 місяців тому +74

    Wakwanza Leo from tz like zenu jaman

  • @DamarisMasese-rh6hy
    @DamarisMasese-rh6hy 10 місяців тому +13

    Hongera sana kwa kazi nzuri kp na Zebuu pia Norah umeicheza vizuri sana next tuletee binti nyoka season 2 much love from Kisii 🇰🇪 💪💪💪💪💥💥💥

  • @EdwardTz.
    @EdwardTz. 10 місяців тому +3

    Jaman tusizalauliane kwakumjua mtu kwa mda mfupi akili kumkichwa gonga like zakutoshaa!!

  • @thadeobinga
    @thadeobinga 3 місяці тому +3

    Hii movie ni baraa Hawa watu wameiunda kiundani Zaid yaan kp na timu yako mnajua mpaka mnakera sichoki kuwaangalia🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @Penielchenda
    @Penielchenda 10 місяців тому +21

    Norah courage bien👍 joué félicitations🎉🎊🎉🎊

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 10 місяців тому +16

    Hongera sana kp na kikosi chako kwakwel mumefanya vzur kwenye hii Last card nimekua nanyi tangu mwanzo adi mwisho kwakwel mpo vzur sana Mungu azidi kuwaongoza katika kazi zenu Much Love from Kenya 🇰🇪❤️❤️

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 10 місяців тому +56

    Last card ♦️ in last episode
    Man from no where I need some like

  • @yohanajoel2040
    @yohanajoel2040 10 місяців тому +3

    Mm naona nitakua wa mwisho lkn movie ni nzuri inatia hamasa ya kutokukataa tamaa pull up kazi nzuri nanyi msikate tamaa kutupa vitu vizuri 🇹🇿

  • @Frank-l2k
    @Frank-l2k 3 місяці тому +3

    Waa hapa Nora amecheza poa kweli, I say congratulations 12:03

  • @MlongoChai
    @MlongoChai 10 місяців тому +7

    Waooow mashallah Mashallah Mashallah nimefurahi toka mwanzo had mwisho hongera sana kwa kazi nzuri mungu awazidishie ❤❤❤❤❤❤

  • @LillianKaijunga-cp1jv
    @LillianKaijunga-cp1jv 10 місяців тому +9

    Final episode ilikuwa fantastic sana🎉Nina hakika mwisho wa utamu ndiyo mwañzo wa vitamiu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sarahkararinyakinyua3618
    @sarahkararinyakinyua3618 10 місяців тому +43

    Leo si wote wakwanza chefuu,Nora apewe like zote

  • @AnnaKirao
    @AnnaKirao 10 місяців тому +3

    🎉🎉🎉 Norah hongera sana dasa🎉🎉🎉♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️na wapenda Sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @PetroJumbe-ey6pr
    @PetroJumbe-ey6pr 10 місяців тому +3

    🎉🎉🎉🎉🎉kwa hakikaa kp una kipaji kikubwa Sana 😁 hongereni Sana hamjamaliza vibaya🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @AishaJafari-sh4pe
    @AishaJafari-sh4pe 10 місяців тому +423

    Watatu leo alaf ni episode ya mwisho naombeni like jamn ata 10 tu sijawah pewa like tangu last card inaisha❤❤❤❤

  • @Arfa-b5r
    @Arfa-b5r 10 місяців тому +24

    Jamani da kid pia apewe hongera Na mzee likoma na ank surag wote hongereni love you xxx🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @josephluomba8807
    @josephluomba8807 10 місяців тому +26

    Likes zangu bado Niko , watching from Zambia ❤❤❤❤

  • @FabianoJumanee
    @FabianoJumanee 7 місяців тому +4

    tulio fatilia last card kwanzia episod ya 1 hadi final oyeeeee ushind kwa kp noraty zebuu mrs shei shei na dar kid oyeeeee tupeni nyingine basiiiiiii ilove you to remeber

  • @Mauline-ef5vr
    @Mauline-ef5vr 3 місяці тому +2

    KP na jeshi lako pokea 🥀🥀🥀🥀 Kwa ajili ya kazi yenu safi.

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud 10 місяців тому +17

    Nora god job congole kweli umecheza vizuri sana

  • @AngelinaKinuthia
    @AngelinaKinuthia 10 місяців тому +5

    Waooh congratulations u all kweli baada ya dhiki Ni faraja❤❤I salute you all , Norah wewe Ur more the best ♥️♥️♥️

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 10 місяців тому +8

    Leo nimewai wa kwanza hahahaha aya tusalimiane team furus team kupambana team WiFi team kazi kazi 🔥🔥 big up KP ❤❤❤❤

  • @MorineAbok
    @MorineAbok 3 місяці тому +2

    Aki mbona hii episodes imeisha,,,,nimeenjoy sana hii video kwa hakika nawaoenda hawa wahusika wa hii video mojawapo kp na zebu nawapenda sana,,,,,,napenda video zenu na Mungu Awabariki pia

  • @CoretherMalongo
    @CoretherMalongo 10 місяців тому +3

    Jaman nataman Tena nawasalimia group lite pokeen Salam zang kutoka mwanza town napatikana isamilo lete nyingine kp na zebuuu nawapendaaaa😢😢😢😅😅😅😅

  • @eligiambigi4884
    @eligiambigi4884 10 місяців тому +22

    Mi wakwanza leo kp bigap sana🎉🎉🎉

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv 10 місяців тому +76

    Wa kwanza leo nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯♥️💯♥️💯♥️

  • @mrsnurdinisaidi8945
    @mrsnurdinisaidi8945 10 місяців тому +14

    Sitachoka kurudia hii episode kwakweli imenifurahisha sana❤❤❤❤🎉

  • @MiliamSamuel
    @MiliamSamuel 2 місяці тому +1

    Nimefrah Sana kuangalia hii story nzur sanaaa hongeren kp na zebuu mnakipaji Mungu awalinde

  • @SwabraSalum-f2z
    @SwabraSalum-f2z 10 місяців тому

    Mashallah kazi nzuri Ahsanteni sana tuna subiri kitu kipya chengine sasa kama ulivyo sema kp kwamba hakuna kulala ni kaz tu swabra from zanzibar

  • @YvonzaYvonne
    @YvonzaYvonne 10 місяців тому +10

    Ongera sana kp kwa kazi nzuri tulikuwa tumesubiri last card kwa hamu sana

  • @IradukundaEvelyneEvelyne
    @IradukundaEvelyneEvelyne 10 місяців тому +29

    Wakwanza Jaman nipeni like zangu from Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @Isha-q2p6g
    @Isha-q2p6g 10 місяців тому +38

    ❤❤❤ unyamaa mwingi sana honger San nor nip like zang

  • @DeborahMulyaseya
    @DeborahMulyaseya 3 місяці тому +1

    Kazi nzuri kabisa yani mimi mapenzi ya kp na zebuu ndo yana ni kosha miye paka na tamani jamani

  • @SamiaLove-cw6nj
    @SamiaLove-cw6nj 3 місяці тому +1

    Jamani uwongozambi achatu niseme kisai sijampenda hata robo mungu anisamehe kwailibhua nampenda akiwa kwenye sekta ya ugangatu

  • @JoynessMshaija
    @JoynessMshaija 10 місяців тому +23

    Hata Mimi sijawah kuomba like ila Leo naomba maana huko fb nilitabiri kwamba itakuwa ya mwisho 🤣🤣🔥🔥🔥

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 10 місяців тому +28

    Naona mnapika daku team furus eeeee mie nimewai leo nipeni mauwa yangu mapema Ex Ex Ex❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 10 місяців тому +4

    Hohohohohoho norah basi agent hohohhoho kazi nzuri sana bg up kwenu mpo vizur

  • @kambale-xl6cu
    @kambale-xl6cu 10 місяців тому

    Enchanté mai cher frère Un sœur merci ku maonyo kazi njema, tulikuwa nawafuata 5juya5 toka congo drc goma asante kwa kazi

  • @LudeofficialXworldwide
    @LudeofficialXworldwide 10 місяців тому +1

    Appreciate Sana kp nawakubali Sana, unajuwa movie zenu uku mtaan znakubalika sana cc wenye library tunajipiagia hela tu kazi nzuli Sana mungu awajalie uzma, mtuletee chuma kingne chamoto 👍

  • @JohnKarabu-dx5lj
    @JohnKarabu-dx5lj 10 місяців тому +6

    Hii ndio tulikuwa nangoja hongera kwa kazi nzuri

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 10 місяців тому +7

    Pls kp ombi lang kwenu km hii move imeisha bs Msichelew kutuletea tamthilia nyngn mpy🙏🙏🤝🤝🤝

  • @FrankLyakurwa
    @FrankLyakurwa 10 місяців тому +6

    Kazi nzuri sana appreciate kwa agent x ,ms Shei Shei Zebu , Mr Diboz mzee likoma ,Dar kid na suraja hakika mmetufanya tujenge furaha na matumain pasipo na njia ,,by next time tunahitaji kazi nzur kama hii.

  • @iddninga
    @iddninga 10 місяців тому +1

    Hongereni sana
    Tamthilia hii naweza sema ni moja ya tamthilia bora hasa kwa upande wa Cyber security, mmeweza kutoa mafunzo kama yaliyopo katika movie ya Beekeeper.
    Pili ni tamthilia yenye maudhui makubwa ya kijasusi na kipelelezi, mmejitahidinsana kuonyesha viwango vya juu ya upelelezi na tumeona jinsi idara ya Usalama wa Taifa imavyokuwa na mamluki ndani yake
    Pia, mmeonyesha namna vipaji adimu vinavyofanya kazi, tumeona familia ya Likoma ilivyodili na majasusi na hata kuwashinda, mategemeo, kama ikija season tu, basi tunatarajia kuona kuwa mzee likoma alikuwa jasusi mbobezi.
    Hongereni sana sana sana

  • @NuruYassin-l5k
    @NuruYassin-l5k 10 місяців тому

    Hakika mnaweza , mmetufundisha meng sana ikiwemo uvumilivu ndy iliyobeba apo, na usimdharau mtu usiyemjua iliyokuwa kwa bhn nora haikuwa rais kuaminika ila imekuwa imekwisha vizur sana❤️❤️,tupo p1 nanyi mtuandalie kingne kigongo kushinda hii like zenu kama mnaipenda hii tm ya kp na zebu

  • @TeodesiaFaustin
    @TeodesiaFaustin 10 місяців тому +34

    Naomben na mim maana tangu last card ianze cjawah kuwaomba like mnipe jaman kwa moyo wa mungu

    • @michaelmkubwa8050
      @michaelmkubwa8050 10 місяців тому +1

      Duu Yan Hadi unamshilikish mung utafikl hizo like ni chakula

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 10 місяців тому +7

    Kwa kwel kisai anajua kuigiza sana huyu jamaa n nomah sana

  • @JessyBeauty-h6u
    @JessyBeauty-h6u 10 місяців тому +13

    Wa kwanza jaman leo nipeni like zangu wapendwa, kaz nzur sana wapenzi wetu from Kenya 🇰🇪

  • @Finamontez
    @Finamontez 4 місяці тому

    Dar kid ,ah excellent,n for you agent x,wavutia sana,zebuu the beutiful one napenda movie zenu sana,patrick munguti Nairobi kenya

  • @Francinekahisa
    @Francinekahisa 10 місяців тому

    Safi sana tunashukuru Sana Mungu aendeleye kuwaongezeya nguvu tumejifunza mengi kupitiya last card kisai akuna kisecho fika mwisho Léo mabaya yako yameonekana hazarani nawapenda Sana Mimi Niko Congo Bukavu