SHEKH: MSELEM WA UAMSHO NILIHOFIA KUTOA TALAKA NIKIWA GEREZANI
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- #AdilAbdallah #DarsaLaShekhShahran
Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza. Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246
Woow...woow...fantastic speech..
#SheikhMsllembinAlly...ni mmoja kati ya masheikh ambao Allah kawatunuku ufasaha wa mazungumzo...lafudhwi inayo wasilishwa huaga imenyooka...
Mengi tunajifunza kupitia kwake..Allah akuruzuku umri mrefu wenye kheir nawe uzidi kutupa mafundisho sahih...polen na mitihan kwa ujumla wake
Kama hujamuelewa sheikh mselem. Humumuelewi mtu mwwngine tena
Nakupenda Sana shekh mselem bin Ally kwa niaba ya Allah hakika ww ndo mlisi wa Mtume Muhammad. Sws:
Allah atufanyie wepesi Sisi na masheh wetu wote waliopata mtihani huu na kuekwa jela Allah awape subra na awajaze Imani zaidi Insha'Allah kher.
The golden voice Mselem bin Allii
Swadacta
Sana tu wallah mashallah
Allah atujaalie tukakutane na kipenzi chetu kiongoz wa umma ktk furaha kama hiviii
Masheikh wetu njoo na Pemba mukisha pumzika na sisi tutowe michango yetu
Masha Allah sheikhe mselem jazaka llaahu kheiri
Wallah tunashukuru Allah
Kwa kutolewa masheikh zetu
Shekhe karibuni uraiani mungu hamtupi mjawake mmetoka sasa lile lisheitwani lililo wafanyia hivi allah alipelekee moto kule kule lilipo inshallah
Poleni sana mashekhezetu Mungu atakulipeni zaidi cc zetu dua tu ALLAH bless you
kila nikiona hawa msheikh najiuliza walowafanyia haya kwa sasa wakiwaona hawa watu wanajisikiaje?mlofanya unyama huu tubieni sana hakika mkichelewa mnaadhabu kali sana siku ya kiama.naongea kwa uchungu sababu inauma sana.kibaya zaidi watawala wa wakati huo wote walikuwa waislamu.inauma sana.poleni sana masheikh wetu.maumivu yenu ndio yetu.
Walikua wamezaliwa na wazazi waislam ila wao hawakua na uislam kabisa sababu muislam wa kweli ni yule ambae muislam mwenzake atasalimika kutokana na ulimi wake na mikono yake
Tunaomba kuwe na ratiba ya masheikh kutembelea miskiti katika hili la KUSALIMIA. Inaweza kuongeza hata michango ya watu kwa hilo. Watu wengi wanaweza kuenda eneo ambalo limetangazwa kuwa masheikh watakuwepo.
Allah atufanyie wepesi kwa kila mitihani inayo tukuta na atulinde na atukinge na kila shari.
shekhe wangu kipenzi
Allah akuifadhi na akulipe
MaashaAllah shekh wetu nuru imerudi Alhamdulillah
As.w tunaitaji no za sim
@@suleimaniddi3754 no za nani ndugu
Naam Nancy
Mchango huo uendelee na tuko pamoja na sie tuliiko mbali zitakuja kwa wahusika maana ni wajib wetu sote
Nimekupenda mhamasushaji Allah akuzidishie msimamo na wa kuwasimamia mpaka Allah awasimamishe kwa miguu yao YAARABIY
Mashaallah shekhe wetu Allah atakujaalia kila la heri
Seifu mweupe hukutoa kitu apo muogope mungu
Amiin amiin
Mimi mwenzenu huyu sheikh mselemu hua namuelewaga Sana 🙏
Sisi wewe tu sote
Mashallah machoz yanatutoka wallah😭😭
Ziwekwe namba za simu au ifunguliwe akaunti watu wafanye muamala yao watabaruku
ACOUNTS IPO
Tunakuelewa sanaa shekh wetu Allahh ukupe subra zaid na zaid
wallah napenda tafsir zako za Qur'aan Allah akupe nuru dunian na akhera
Allah atupe kher inshaallh
dah huyu Sheikh huyu ' Allah amueke sana aise
Wallahi huko kwa Allah kutakuwa Kuna mazito makubwa na majuto hayana mfn wallahi tutashuudia
Allah akupen sbra mwalim Wang💔
Waalaikum msalam Warahmatullah Wabarakatuh
Waaleykum salaam warrahmatullah wabarakaatu Allah karim
Darsa la ibrahim igula
Allahumma ameen
Allah Akbar 🙏
Mash Allah
Mashaallah
Asallamu alykum jmn towweni no nas tuchangie hili msipuuzie wa msichukuwe mda mwingi
Salallahu Alaihi Wasalam
Allah Kareem
Ninapendekeza mngeritaja namba zakuwatumia pesa maana hili ni jukumu letu sote waislam sisi tuko mbali jamani na tunahtaj kuwachangia
Hakika tumependa tupate faida tena ktk darsa zake
Naomba number ya kutuma mchango ya voda plz
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Kwa Sisi tuliopo nchi za nje
Tunaweza vipi kuchangia sadaqa zetu??🙏
Upo uongozi maalum kwa ajili ya kuwachangia hawa mashekhe
+255 777 477 101, +255 713 797140
Unaweza kuwachangia kupitia kwa namba hizo… jina Salma Said anakusanya michango ya Masheikh na kuiwasilisha afisi za Jumiki
Daaa walituzulmu sana miaka tisa tumekosa din kubwa
Hii ni Zaid ya ufahamu mchambuaji mwenye kufanya mnyambuliko wa fasiri ya maneno
Sjui hao waliodaiwa talaka walizitoa ?
TUNAZIKUMBUKA ZILE SIKU ZA MADARASA YAKO
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
Hii nchi ya wote, mkianzisha hizo mambo za jihad mtapotea tu, baki na dini yako na baba ako na family yak ka mmechagua, mtuache tule raha nchini kwetu msituletee ishu za msumbiji, hamtabak salama na msifikir hatuwez,tukiliamsha hamtaamini
Kwani nn?
Maneno mazito kwakweli sheni na wenziwe hawapaswi kusamehewa kabisa tumuachie Allah atawalipa hapa hapa duniani
Amini
Mh
Daru hill m
May Allah grant us subra
Sasa mtulie masheikh. Acheni mahubiri ya chuki, mnasikia?
Insha allah Tanzania inchii ya kislamuu
Mahubiri gani ya chuki yaliyosababisha wawekwe ndani kwa muda wote huo?
Na tuliokua mbali na tunataka kuchanga tufanyeje
Upo wp
UPO WAPI HABIBTY
Kwa Salma Said Zanzibar wa DW
Allah akuzidishieni subra na awang'arishe nyuso zenu na atawafunguwa zaidi na kufuzu fauzan adheem a
Tumelia tumuomba Allah kwa dua mlotufundushi wenyewe Alhamdulilah Sheikh wetu mpenzi.