SHEIKH MSELEM BIN ALY ASOMA MISTARI YA BIBLIYA AWASHA NGAZA WAUMINI
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- #AdilAbdallah #SheikhMselemBinAly #DarsaLaShekhShahran
Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza. Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246
Mashallah shekh mselem Allah azid kukuhifadh
Ameen 🤲 جزاك الله خير
Anaongea kwa busara na upole mpaka moyo unafurahi, Mashallah Allah(S.W) akubariki sheikh wetu.
Masha Allah, ujumbe mzuri. Mwenyezimungu akuhifadhi na akulipe yaliyo bora duniani na Akhera.
Maa shaa Allah ni maneno mazuri ya kutafakkar kwa kila muisilam.
Mungu akulipe kila la kher Shekh mselemu ally kwa mawaidha mazuri mungu akuzidishie iman na afya njema aman
Allah akuweke sheikh maana mmpo wachache
Masha Allah usipomuelewa sheikh wangu hutoelewa mtu mwengine yoyote, Allah atuhifadhie masha Allah
Sheykh
Huwa nakuelewa Sana
Baraka llahu fyikaa
namuelewa huyu shekh kuliko maelezo. Allah amuhfadh aamiin
Ameen
Ukristu ndiyo Imani yenye umri mkubwa kuliko Imani zingine Kwa sababu hiyo Ina mengi kuliko Imani zingine
MaashaAllah MaashaAllah MaashaAllah
Walio kuweka gerezani walikuwa hawajui thamani yamaneno yako wala uwepa wako maneno yako yanafaida kwawanaozingatia mashaalwah
Nikweli ndugu yangu.
Masha allah ya shekh
Allahu akbar
Shukran
Sheikh wetu kwa ukumbusho
Allah akubariki na akuhifadhi
Shekh uko vizur jazakallah shekh
Mashaallah
laillah hailallah
Hafidhahullah sheikh wetu
Shukran sheikh
Wallah Allah akuhifadhi sheikh
Allah akuzidie ulizi biizinlllah
Mungu akulinde namabaya shehe mselem bn Ali wewe nibingwa
ماشاء الله وبارك الله فيك وجزاك الله خيرا
ALlah akuifaz
Kumfwata Yesu njo dini ya Mwenyezi Mungu pekee .
Yesu alikua mtume Kama mitume wengine kumfuata yesu ni kutekeleza yale aliyo yazungumza siyo kumfanya yesu kua ni Mungu au mtoto Wa mungu
KASOME INJILI AU BIBLIA UPYA
Naona ndio amekufundisha uvae na hivyo
mashallah
#adil tv wapi sheikh kanukuu vifungu vya bibilia?
Inshallah
Mashaallah sheikh kwa ukumbusho
Haya Alhalul bida'a sikilizeni Aya hizo jueni ya kwamba matendo na aamal mnayoyafanya hayana malipo mnapoteza muda katika kutenda matendo ambayo hayana maamrisho katika uislam
Ina maanisha Nini?
Unamaanisha nini
Ameongea vibaya amaaa
hujamuelewa shekhe hamaanishi hayo yenu,shekhe amaanisha kuwacha qur'an na kushikana na kupeleka matendo kwa siasa za kidemokrasia.
Wewe unataka tusikilize mapasho kila siku?leo kapashwa shekhe huyu kesho yule sisi shida yetu ni kubata mawaidha na sio mipasho kama mashekhe wengine
Taratiib sans!.
Kweli
Hahhhhh her ufe kuliko kua Muslim ni msiba mkubwa Allah sw akusimamie inshallah
Sijakuelewa unasemaje?
Ukweli utabaki kua ni ukweli
Ongea mselem
Aswaa
Hujalazimishwa kuwa muislamu eti hiyo ni juuu yako mwenyew Na Mungu kadhihaki kitu gani
Sheikh umetoa mifano mibaya ya bara, vizuri. ingekuwa vizuri ukatoa mifano mibaya ya zanzibar vile vile. tujifunze
Ina onyesha huja muelewa bin Ally hebu sikiliza kwa makini kasema vp
Mm ni mbara pia . Lkn hujamuelewa, Rudia kusikiliza tena. Alipokugusani topic ya gerezani alipokua na changmoto zake.
Yameanza tena marumbano ya kindini !chokocho zilitulia ,sasa zimeanza tena
HUJAELEWA TU.ULIZA WANAOELEWA
Unataka nn.
Linakuhusu nn we sikiliza tia akilini
Dini na siasa huwezi kuvitenganisha
Ukumbusho ulio na hekima.
Chamuhimu nikumkubali Yesu sio masharti ya dini .
Elewa vzr ww
Umkubali Yesu kama nani....🤔
Yesu si mtu kama sisi2 anaenda choon
Habar Dada
Nakuomba ufahamu kuwa yesu mtoto wa Maryam au mtoto wa bikira Maryam ni binadamu sawa na binadamu wanaume wote tofauti yake na binadamu wengine wakiume ni kimoja,yeye yesu alichaguliwa na mungu kuwa mtume kwa wana wa Israel kwa kipndi hicho alicholetwa hakuwa mungu wala mtoto wa mungu
Kwanza alizaliwa na mungu hazaliwi,alikuwa analala,anakula anakunywa,anakwenda haja kubwa na ndogo,alikuwa anasahau,anasinzia na vitu vyenye sifa ya kibinadamu
Ambazo sifa hizo mungu hana kwa hiyo yesu hakuwa muungu
But pia mwanadamu huzaa binadamu,Maryam alikuwa binadamh hakuwa mungu bcoz alizaliwa na baba aneitwa imrani na mama anaeitwa hannani
Anaekumezesha na kukujenga imani kuwa yesu ni mungu anakuootosha,mungu anabaki kuwa ni mmoja tuu
Kuna vitu viwili ufahamu
Unapoambiwa kuwa huyu ni Mwana wa ccm jiulize ccm imezaa au unapoambiwa huyu ni Mwana wa sheitwaani jiulize sheutwani amezaa anaitwa Mwana wa sheutwan bcoz matendo yake ni ya kishetwani
Na huyu yesu unapoambiwa ni Mwana wa mungu sio kumzaa Bali ni matendo ya yesu yanaendana na mafundisho ya mungu sio kumzaa
Usipotoshwe na waroma,wapagani,na wagiriki
Yesu ni mtu au binadamu aliyezaluwa mashariki ya kati
YESU HAKUWA NA DINI? YESU HAKUWA NA MASHARTI? LETA HOJA IMARA SI MANENO NA MATAMANIO TU?
Ila kwani inakua hivi
Inakuwa hivi nini
Dahh...sija sikia hizo aya za bible...una andika vp wew vichwa vya habar...jitahid uweke uhalisia kweny video ndgu usije hamwa...
Kabisa
Shida iko wapi
Huyu shehe ametudhihaki wakristo..kweli mi naishangaa hi dini hata sasa....kuliko niwe muislamu heri nifeeeeeeeee🤮🤮🤮🤮
kufa tu kwani kuna mtu anakuhitaji
Amekudhihaki wapi,hebu tueleze.
Kufa tu Kwan lazima uwe muislam khaa we vip....
Last Gospel
Unaushangaa Uislam, na waislamu nao wanawa washangaa wakristo, hivi uwe na akili uwe na mungu anazaliwa na mwanamke, anauawa.
Kiwango cha mwisho cha ujinga. Wazungu wamewa danganya wasio jitambua, pale walipowasukuma utumwani.
Hakuna mkristo anaweza kukutajia dini yake dunia hii kama unaijua ya kwako inaitwaje twambie QUR-AN ni kitabu pekee kilichotaja dini ALLAH anayo ikubali 3:19 Qur'an ISLAM ndio ni hakuna nyingini