SHEIKH MSELEM BIN ALY ASOMA MISTARI YA BIBLIYA AWASHA NGAZA WAUMINI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • #AdilAbdallah #SheikhMselemBinAly #DarsaLaShekhShahran
    Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza. Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246

КОМЕНТАРІ • 106

  • @muhamedkhatib4913
    @muhamedkhatib4913 Рік тому

    Mashallah shekh mselem Allah azid kukuhifadh

  • @FaizaSalim-y6v
    @FaizaSalim-y6v Рік тому

    Ameen 🤲 جزاك الله خير

  • @hilmialiomar1983
    @hilmialiomar1983 2 роки тому +1

    Anaongea kwa busara na upole mpaka moyo unafurahi, Mashallah Allah(S.W) akubariki sheikh wetu.

  • @mhinahalfan2694
    @mhinahalfan2694 3 роки тому +3

    Masha Allah, ujumbe mzuri. Mwenyezimungu akuhifadhi na akulipe yaliyo bora duniani na Akhera.

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 3 роки тому +5

    Maa shaa Allah ni maneno mazuri ya kutafakkar kwa kila muisilam.

    • @mohammedissah9917
      @mohammedissah9917 2 роки тому

      Mungu akulipe kila la kher Shekh mselemu ally kwa mawaidha mazuri mungu akuzidishie iman na afya njema aman

  • @jarshekhar8854
    @jarshekhar8854 2 роки тому

    Allah akuweke sheikh maana mmpo wachache

  • @kasamohamed6526
    @kasamohamed6526 3 роки тому +4

    Masha Allah usipomuelewa sheikh wangu hutoelewa mtu mwengine yoyote, Allah atuhifadhie masha Allah

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 3 роки тому +2

    Sheykh
    Huwa nakuelewa Sana
    Baraka llahu fyikaa

  • @kitengeayoub2649
    @kitengeayoub2649 3 роки тому +2

    namuelewa huyu shekh kuliko maelezo. Allah amuhfadh aamiin

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Рік тому

    Ukristu ndiyo Imani yenye umri mkubwa kuliko Imani zingine Kwa sababu hiyo Ina mengi kuliko Imani zingine

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 3 роки тому +1

    MaashaAllah MaashaAllah MaashaAllah

  • @abuorbakar7490
    @abuorbakar7490 3 роки тому +3

    Walio kuweka gerezani walikuwa hawajui thamani yamaneno yako wala uwepa wako maneno yako yanafaida kwawanaozingatia mashaalwah

  • @ramadhanmpungwe9014
    @ramadhanmpungwe9014 3 роки тому +2

    Masha allah ya shekh

  • @HasbunaSubeit
    @HasbunaSubeit 4 місяці тому

    Allahu akbar

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 роки тому

    Shukran
    Sheikh wetu kwa ukumbusho
    Allah akubariki na akuhifadhi

  • @mbarakamaulid2545
    @mbarakamaulid2545 3 роки тому +1

    Shekh uko vizur jazakallah shekh

  • @carlomikki2763
    @carlomikki2763 3 роки тому +3

    Mashaallah

  • @allymarijani6869
    @allymarijani6869 Рік тому

    laillah hailallah

  • @yasminiibwende5221
    @yasminiibwende5221 3 роки тому +2

    Hafidhahullah sheikh wetu

  • @rashadymuhamad6293
    @rashadymuhamad6293 3 роки тому +1

    Shukran sheikh

  • @abuuissa1642
    @abuuissa1642 3 роки тому

    Wallah Allah akuhifadhi sheikh

  • @khalfaniibrahim201
    @khalfaniibrahim201 2 роки тому

    Allah akuzidie ulizi biizinlllah

  • @cholojuma8558
    @cholojuma8558 3 роки тому +1

    Mungu akulinde namabaya shehe mselem bn Ali wewe nibingwa

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 2 роки тому

    ماشاء الله وبارك الله فيك وجزاك الله خيرا

  • @marrymwacha9262
    @marrymwacha9262 2 роки тому

    ALlah akuifaz

  • @nikizaanociata4730
    @nikizaanociata4730 3 роки тому +2

    Kumfwata Yesu njo dini ya Mwenyezi Mungu pekee .

    • @basaulansangu3588
      @basaulansangu3588 3 роки тому +2

      Yesu alikua mtume Kama mitume wengine kumfuata yesu ni kutekeleza yale aliyo yazungumza siyo kumfanya yesu kua ni Mungu au mtoto Wa mungu

    • @sadyomary8256
      @sadyomary8256 3 роки тому

      KASOME INJILI AU BIBLIA UPYA

    • @jumashabani8474
      @jumashabani8474 3 роки тому

      Naona ndio amekufundisha uvae na hivyo

  • @kassimbitogwa6992
    @kassimbitogwa6992 2 роки тому

    mashallah

  • @saidsalim851
    @saidsalim851 3 роки тому +3

    #adil tv wapi sheikh kanukuu vifungu vya bibilia?

  • @pilabiliani9394
    @pilabiliani9394 3 роки тому

    Inshallah

  • @staminahothman4574
    @staminahothman4574 3 роки тому +1

    Mashaallah sheikh kwa ukumbusho

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 3 роки тому +3

    Haya Alhalul bida'a sikilizeni Aya hizo jueni ya kwamba matendo na aamal mnayoyafanya hayana malipo mnapoteza muda katika kutenda matendo ambayo hayana maamrisho katika uislam

    • @allykeita704
      @allykeita704 3 роки тому

      Ina maanisha Nini?

    • @allykeita704
      @allykeita704 3 роки тому

      Unamaanisha nini

    • @allykeita704
      @allykeita704 3 роки тому

      Ameongea vibaya amaaa

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 2 роки тому

      hujamuelewa shekhe hamaanishi hayo yenu,shekhe amaanisha kuwacha qur'an na kushikana na kupeleka matendo kwa siasa za kidemokrasia.

    • @zainabzanzibar1518
      @zainabzanzibar1518 Рік тому

      Wewe unataka tusikilize mapasho kila siku?leo kapashwa shekhe huyu kesho yule sisi shida yetu ni kubata mawaidha na sio mipasho kama mashekhe wengine

  • @matovuabdullah7728
    @matovuabdullah7728 3 роки тому

    Taratiib sans!.

  • @mariammohd3515
    @mariammohd3515 3 роки тому

    Kweli

  • @brightshaka6301
    @brightshaka6301 3 роки тому

    Hahhhhh her ufe kuliko kua Muslim ni msiba mkubwa Allah sw akusimamie inshallah

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 2 роки тому

    Ukweli utabaki kua ni ukweli

  • @mustafamfiringe1266
    @mustafamfiringe1266 2 роки тому

    Ongea mselem

  • @muhammadkazumar5184
    @muhammadkazumar5184 3 роки тому

    Aswaa

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 3 роки тому

    Hujalazimishwa kuwa muislamu eti hiyo ni juuu yako mwenyew Na Mungu kadhihaki kitu gani

  • @111dudi
    @111dudi 3 роки тому

    Sheikh umetoa mifano mibaya ya bara, vizuri. ingekuwa vizuri ukatoa mifano mibaya ya zanzibar vile vile. tujifunze

    • @yunushuden1639
      @yunushuden1639 2 роки тому

      Ina onyesha huja muelewa bin Ally hebu sikiliza kwa makini kasema vp

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 2 роки тому

      Mm ni mbara pia . Lkn hujamuelewa, Rudia kusikiliza tena. Alipokugusani topic ya gerezani alipokua na changmoto zake.

  • @albethmwakatumbula2851
    @albethmwakatumbula2851 3 роки тому +1

    Yameanza tena marumbano ya kindini !chokocho zilitulia ,sasa zimeanza tena

    • @sadyomary8256
      @sadyomary8256 3 роки тому

      HUJAELEWA TU.ULIZA WANAOELEWA

    • @jumashabani8474
      @jumashabani8474 3 роки тому

      Unataka nn.
      Linakuhusu nn we sikiliza tia akilini

  • @allykeita704
    @allykeita704 3 роки тому

    Dini na siasa huwezi kuvitenganisha

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 3 роки тому

    Ukumbusho ulio na hekima.

  • @nikizaanociata4730
    @nikizaanociata4730 3 роки тому +1

    Chamuhimu nikumkubali Yesu sio masharti ya dini .

    • @ramadhanmpungwe9014
      @ramadhanmpungwe9014 3 роки тому

      Elewa vzr ww

    • @omarbilali9529
      @omarbilali9529 3 роки тому

      Umkubali Yesu kama nani....🤔

    • @awadhrmusa28
      @awadhrmusa28 3 роки тому

      Yesu si mtu kama sisi2 anaenda choon

    • @sayidabdillah8505
      @sayidabdillah8505 3 роки тому

      Habar Dada
      Nakuomba ufahamu kuwa yesu mtoto wa Maryam au mtoto wa bikira Maryam ni binadamu sawa na binadamu wanaume wote tofauti yake na binadamu wengine wakiume ni kimoja,yeye yesu alichaguliwa na mungu kuwa mtume kwa wana wa Israel kwa kipndi hicho alicholetwa hakuwa mungu wala mtoto wa mungu
      Kwanza alizaliwa na mungu hazaliwi,alikuwa analala,anakula anakunywa,anakwenda haja kubwa na ndogo,alikuwa anasahau,anasinzia na vitu vyenye sifa ya kibinadamu
      Ambazo sifa hizo mungu hana kwa hiyo yesu hakuwa muungu
      But pia mwanadamu huzaa binadamu,Maryam alikuwa binadamh hakuwa mungu bcoz alizaliwa na baba aneitwa imrani na mama anaeitwa hannani
      Anaekumezesha na kukujenga imani kuwa yesu ni mungu anakuootosha,mungu anabaki kuwa ni mmoja tuu
      Kuna vitu viwili ufahamu
      Unapoambiwa kuwa huyu ni Mwana wa ccm jiulize ccm imezaa au unapoambiwa huyu ni Mwana wa sheitwaani jiulize sheutwani amezaa anaitwa Mwana wa sheutwan bcoz matendo yake ni ya kishetwani
      Na huyu yesu unapoambiwa ni Mwana wa mungu sio kumzaa Bali ni matendo ya yesu yanaendana na mafundisho ya mungu sio kumzaa
      Usipotoshwe na waroma,wapagani,na wagiriki
      Yesu ni mtu au binadamu aliyezaluwa mashariki ya kati

    • @sadyomary8256
      @sadyomary8256 3 роки тому

      YESU HAKUWA NA DINI? YESU HAKUWA NA MASHARTI? LETA HOJA IMARA SI MANENO NA MATAMANIO TU?

  • @mariammohd3515
    @mariammohd3515 3 роки тому +1

    Ila kwani inakua hivi

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 3 роки тому +2

    Dahh...sija sikia hizo aya za bible...una andika vp wew vichwa vya habar...jitahid uweke uhalisia kweny video ndgu usije hamwa...

  • @lastgospel706
    @lastgospel706 3 роки тому +1

    Huyu shehe ametudhihaki wakristo..kweli mi naishangaa hi dini hata sasa....kuliko niwe muislamu heri nifeeeeeeeee🤮🤮🤮🤮

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 роки тому

      kufa tu kwani kuna mtu anakuhitaji

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 3 роки тому

      Amekudhihaki wapi,hebu tueleze.

    • @sharaarabiy858
      @sharaarabiy858 3 роки тому +1

      Kufa tu Kwan lazima uwe muislam khaa we vip....

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 роки тому

      Last Gospel
      Unaushangaa Uislam, na waislamu nao wanawa washangaa wakristo, hivi uwe na akili uwe na mungu anazaliwa na mwanamke, anauawa.
      Kiwango cha mwisho cha ujinga. Wazungu wamewa danganya wasio jitambua, pale walipowasukuma utumwani.

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 3 роки тому

      Hakuna mkristo anaweza kukutajia dini yake dunia hii kama unaijua ya kwako inaitwaje twambie QUR-AN ni kitabu pekee kilichotaja dini ALLAH anayo ikubali 3:19 Qur'an ISLAM ndio ni hakuna nyingini