Prof. MBARAWA NDANI YA KICHWA CHA TRENI CHA UMEME, AKAGUA MAJARIBIO | “TUTAFUNGA NA MABEHEWA”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 32

  • @mmarandu2417
    @mmarandu2417 10 місяців тому +4

    We miss you JPM. Hizi ngonjera zisingekuwako hadi leo hii. RIP JPM.

  • @t1910j
    @t1910j 9 місяців тому

    Ni ngumu sana kufurahisha watu wakati wote. Watalalamika tu kila wakati na kwa kila jambo. TRC mnafanya kazi nzuri. Heko ✅ 🥳

  • @abdulyabdunuru1476
    @abdulyabdunuru1476 10 місяців тому +5

    Mnatuzingua bhana ahadi Kila siku bwana Toka lini jaman kama imekamilka si mluhusu kazi ianze nini kinasubiliaa hii nyimbo ya TREN kuanza Kaz toka2022 jaman 😢

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 10 місяців тому +2

    Tunataka kichwa cha mchongoko...hatutaki utapeli huo...magu hajaweka orda ya vichwa vya aina hiyo

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 10 місяців тому

      Hicho ni kichwa cha mizigo bandugu ulishawai kuona wapi treni ya mizigo imechongoka?

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 10 місяців тому +2

    Hili zee ndio lilitengeneza mchongo wa bandari kwa mwarabu?

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 10 місяців тому +1

    Kila Leo mnatest vichwa tu,Lini mtajaribu kutest kichwa pampja na mabehewa yake

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 10 місяців тому +2

    Tulikubariana reli mpaka Dodoma mbona sasa imeishia morogoro watanzania mmezoea kutufanya kama wapumbavu sio?

  • @saeedally268
    @saeedally268 10 місяців тому +2

    Kichwa cha hovyo cha kizamani angekuwepo magufuli angekileta cha kisasa

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 10 місяців тому

      We unajali uzuri wa kichwa au speed? kwanza hicho ni kichwa cha mizigo sasa ulishawai kuona watu treni ya mizigo ina kichwa cha mchongoko?😊

  • @curty920
    @curty920 9 місяців тому

    I am Kenyan and I would wish to request for the TZ gov't and ours to construct a line from Nairobi to Dar esalaam and later to other regions in Tz as well

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 10 місяців тому +1

    Treni iko mombasa mpaka Nairobi nyinyi mnatuzingua watanzania

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 10 місяців тому +1

    Mbona kiko kama kicha cha kutumia diesel?

  • @starjay3052
    @starjay3052 10 місяців тому +1

    nauli zitakua bei gani

  • @salvatorybakilana2378
    @salvatorybakilana2378 10 місяців тому +1

    Mtangazaji vaa safety gears

  • @karimkinwary4668
    @karimkinwary4668 10 місяців тому

    Si mlisema December mnaanza safari dar moro kwa nini January mwishoni sabubu kuu ni nini
    Ahadi za uongo kila siku

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 10 місяців тому +1

    Hivi nyie mna matatizo gami, kila siku ni story za kichwa tu, ila safari hazianzi

    • @salehsimba5306
      @salehsimba5306 10 місяців тому +2

      Au labda wanapeleka mbele ili ifikie wakati wa uchaguzi iwe Sehemu Ya kuombea kura kwa wananchi

  • @yasiniswedi8835
    @yasiniswedi8835 9 місяців тому

    Tumepigwa mbona kinafanana nahiki kichwa cha leli ya zamani? Hknatofautikabisa jpm

  • @ombenikweka7222
    @ombenikweka7222 10 місяців тому

    Mpaka uchaguzi ukaribie ndio ianze

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 10 місяців тому

    Lkn mbona ujenzi WA hii reli unasababisha mafuriko he mainjinia hawakuhusishwa, Maji Yana furika majumba yanabomomka Kihonda na kilosa Morogoro, hii hadara atalipa Nani, ni Julio badala ya furaha, he hawakupima nguvu yabmaji kukadiria uwingi wa Maji na makaravati, wahusika wachukuliwe hatua tumepata hasara

  • @timamulituto
    @timamulituto 10 місяців тому

    Mmbona kibaya kichwa chenyewe

  • @starjay3052
    @starjay3052 10 місяців тому

    mana vitengo vya kazi vote mmewapa watoto zenu wala atujawasikia mkitangaza ajila ila umetuonyesha walio itimu mafunzo ya kuudumia watu

  • @salehsimba5306
    @salehsimba5306 10 місяців тому

    Hivi vinajengwa au vinatengenezwa?

  • @sajdashariff
    @sajdashariff 10 місяців тому

    IPO siku itaanza tuu haya 2030

  • @ibrahkimesu2402
    @ibrahkimesu2402 10 місяців тому

    Yaani JK na yalr malori anayoyanunua kupitia GSM, unatarajia kuna siku yarafanikiwa huku? Hii wataihujumu tu. Tangu mwenye maono yake wamuondoe, tunaona tu jinsi mnavyotuzingua huku mnajifanya kama kuna ishu yoyote ya maana mnaifanya. Majambazi waua nchi tutawaangalia tu

  • @yasiniswedi8835
    @yasiniswedi8835 10 місяців тому

    Mbona kichwa chenyewe kimefanana na vichwa vya treni yaleliyazamani ?ambayo hayana spdi jpm lala salama

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 10 місяців тому

      Hicho ni kwa ajili ya mizigo ndugu na kina speed kubwa kuliko vile vya zaman

  • @m.e.ssofttech2806
    @m.e.ssofttech2806 10 місяців тому

    Vichwa vilivyobaki view na spidi ya 360km/h

  • @salehsimba5306
    @salehsimba5306 10 місяців тому

    Mwisho wa January tena?!!! 😂😂😂😂😂

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 10 місяців тому

    Mimi binafsi nataka nione kila kitu kinafanya kazi ndo hvyo