WATANZANIA WANAZIDI KUZIPAMBANIA FURSA WAKIWA CHINA
Вставка
- Опубліковано 24 вер 2024
- #YIWUCHINA#FUTIAN#SILENTOCEAN#MILLARDAYO
Kampuni ya Kitanzania ya SILENT OCEAN inayofanya kazi zake za kusafirisha mizigo kutoka China na Dubai kuja Afrika kiwemo Tanzania inaendelea kuwahudumia Watanzania kwa kuweka matawi kwenye nchi ya China hapa ni mji wa Yiwu sehemu lilipo soko la Futian.
Hii safi sana kwa sisi wapambanaji, vipi sasa kuhusu mawasiliano ya huko mkuu maana wengine tunaweza tusifike ila tukawa tunaagiza tu tuweke sawa hapo kaka
Kati ya siku ulionipa raha nileo milady ayo yaan umenipa mwanga mkubwa kuhusu mwanzo wa mtaji wa biashara na usafirishaji wa mizigo kupitia hii kampuni yetu ya kitanzania tunajivunia ugenini kua na wenyeji wetu shukran sana.
Kweli
Million 5 mbona mtaji wa kawaida Sana ngoja Mimi nitajitahidi nianze biashara ya kusafirisha mizigo kutoka China kupeleka Tanzania
Meneja anajieleza uzuri huyu,halafu anamtanguliza Mungu kila anachosema " namshukuru Mungu"
This is great opportunity
Karibuni Sanaa China Silent Ocean Yiwu
Uko china wewe?
Hi you
@@ayadkishuga6271 yeah Nipo China
@@muhammehusna3384 hello
@@OmarBaabdeTz yes
Safi sana,ngoja nika renew passport yangu nije huko
Namba za simu za silent ocean
Mara ya kwanza kuingia chine niliteseka sana mawasiliano ila hawa jamaa salute kwao
Njoo unisaidie namm
Kaz nzuri sana kijana endelea kutuelimisha sis watanzania wenzako vijana wenzako mi nimmoja kati ya wanaopata elimu yako nakuifanyia kz tupo pamoja kaka asante sana.
Ahsante greetings from Uganda
Naomba namber ya selent ocean🇲🇿
uki chukua
vtu vya milion 5 naul mpka tz bei gani
Haya ndio mambo yakutuletea sio mtuletee upumbafu tu
safi san kwa hbr hii
Good news, Millard ago, Good happy on yes.
Naweza kufanya biashara yakuàgiza mizgo kutoka china mpaka tanzania kwa mfumo wa mawasiliano nikiwa tanzania bira kufka china
Contact zao za silent ocean
Ahsante sana brother, kwa kutujuuza jambo hilii. Lkn mm nahitaji number ya cimu! Au mawasiliano ili tiwasiliane vyema.
nimeipenda sana
I am dealing with stationeries, i would like one day to vist this place and correct items.
Nimejifunza mengi, nakumbuka mwaka juzi (2018) nimeibiwa kama tsh 10M nilikuwa najaribu kuagiza a4 copy paper from china, sitosahau, iliniumiza kwa namna nilivyokuwa nimeikusanya hiyo hela. Na sikujaribu tena, nahisi nitajaribu tena kupitia hawa silent ocean. Nashukuru millard ayo.
Muda mchache insha Allah nitaruka kuja huko
Conact za silent ocean na je zanzibar mizigo inafika
😁😂😁
@@fahadalismaily9370 inafika
Naweza kuagiza mali (bidhaa) toka China zikafika Tanzania na nikazipata zikiwa salama hebu wahusika nipen jibu sahihi.
Good
Dickson Ulotu umepata hio no yao
Huyu ni Mwarabu au Mpemba guys?
MILLAND AYO UNA KAZI NZURI ILA NOMBER ZAO NDIO HUWEKI
garama ya kwenda na kurudi china nauli sh.ngap
Safi sana
Naomba namba kabisa
Naomba Namba Yako boss
Ume tusaidia sa ila naomba namba za mawasiano
Naishi musumbiji ila dar aingia Kila mara
Leo ndosiku umenipa mwanga uko vizur
Zanzibar vipi pia mnatuma mzigo
Du! Sasa nimeelewa aise, ninabiashara hiyo ya hardware,tunapigwa saana, nimeelewa sasa,
Mchawi tra kwa hapa nyumbani
nenda soko la simu
Asante kwa elim brother
Millions 5 ! Kumbe nakuja!
China taifa kubwa Asant xn China kwa kutupigania Africa Leo hii ata wale raia daraja la chini wanaweza kununua simu na nk
Wewe Millard tuletee mambo km haya babalao
AWEKE NA NOMBER ZAO PIA
@@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 Fine
Tuwekee namba zao za simu
mawasiliano ya sm zao mbona ujaweka
Naomba number yako boss
Chief wangu hapo unatakiwa ufuatilie kupita tovuti yao
jaman mm nataka nijue nauli ya kuja na kurud tanznaia to china
NAONA KAMA CORONA IMEISHA UKO SIONI HATA BARAKOA YA LINI HII
are you sure yiwu iko north of china?au huna uhakika
Huyo jamaa anaweza patikana kwa nambari gani?
Hii iko poa saaana,Ndugu mtangazaji turushie emails na simu zao tufanye kazi Sasa maana uoga kwisha
Ndugu mtangazaji turushie simu namba
Millard nisaidienamba za haojamaa
Na kwa mtu binafusi km sio biashara lkn n mizo ya nyumba je mwabeba au
Wanabeba silent ocean hata vibox vidogo wanabeba
Kumbe naweza kufanya hiyo.
Namba yake ya simu aujatupatia
Naomba mtu yoyote mwenyeuzoefu wa kusafiri huko anicheki mesenja
Contact please
asante sana milady ayo God bless you
Asante
Namba za simu za kampuni unasahau kuzitoa
Contact
Nashukuru nambanimeipata kilichobaki sasa masndariz ya kuja
Tupe na sisi namba yao
O654928085 nitafute Wasap nikupe
Tupe nmba
Mbona sioni hizo barakoa ina maana hii ni ya kipindi hata corona bado?
Hhhhhy
Natamani kufika huko one day
Good, Gooder, Goodest 🤣🤣🤣🤣
Pia usisahau goodiest goodiester na goodiestest ! Na kuendelea
Olingi kwokye santeh kupambania fulusa la china
Nauli shingapi
Ingia kwenye mtandao utaipata
Ninashida nanambazao hao jamaa
Mawasiliyano tunayapataje ili tuweze kuwasiliana kabla yakwenda hukoo
Naulikiasi gani
Kaka nitumie namba zao
Naomba namba za wasap niagize mzigo
Namba za simu za silent ocean