MANARA AJISIFU KUJA KUTINGISHA NCHI YANGA DAY / KUTANGAZA UHAMISHO MKUBWA
Вставка
- Опубліковано 25 сер 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
MANARA IS THE MAN OF MODERN FOOTBALL
Haji anajua kukera
Kwa manara mtapata tabu sana
Bless 🙏🙏
Leo manara kama si yeye sasa hivi ngoja aote mapembe utatulia tu bumbuli.
Manara hoyeeeeeee
Kunguru hafugiki
😂😂😂😂😂 wamepanga tarehe ambayo siku hiyo inanyesha mvua simba wakijua awatopata watu kwaio jibu litakuja mvua imeharibu siku hahahahahhahahaha. Haji manara for life yanga oyeeeeee
Inanyesha mvua unaitoa were iyo mvua au anaitoa baba yako mpumbavu wewe
@@aminaally3116 Mbona mhaho my dear
@@abdulmelele7322 Wamepaniki mapema hahahahaha hizi mambo hazihitaji hasira😳
@@missangela6720 Huu mchezo hauhitaj hasira 😂😂
Nice
May whoever watch this be blessed in Gods name
Hahaha😂🙌
Ndo ushapotea kwenye ramani bro.usemaji wa hivyo haupo tena karne hii Manara🙌
Wabamue haji
Simba kwa Hajj sasa lazima wahame nchi hahahahaha😁 Naomba Afande Sirro amlinde sana Manara hahaha
Ameanza kuwakera😬😬😬
Anamkera nani huyo anaejitekenya nakucheka mwenyewe? Hapo kaja kuungana na matapeli wenzake kuongoza timu la mazwazwa kazi yao kudanganywa yanaingia kingi. Simba siyo timu ya maneno au mipasho ni kazi tu. Bakora bakora mpk mtanyoroka Utopolo
Huyu Manara akapimwe mkojo maana kwa mtu wa kawaida hawezi kufanya mambo Kama haya.
ALISHASEMA KIPINDI YUPO SIMBA KWAMBA ''NIKIENDA YANGA MI CHIZI'' SASA KUMPIMA MKOJO NIKUPOTEZA MUDA WAKUHUDUMIA WAGONJWA WENGINE
Jinga Hili li Manara
Msemaji wa yanga na msemaji wa Gsm
Viongozi Waongo,Wazushi,Matapeli kazi kuwadanganya Washabiki nao wamekuwa kama mazombi vile
Naomba sana sana mfungwe mfyuuu na hiyo midomp yenu kama bata yakooome kama alivyosema huyo boya komaaaa we nguruwe mweupe
Daaaa mnakerekaee
Hahaha haji,,,!
Mmechagua Timu dhaifu ili Mpate kuja kujisifia
Timu pekee Duniani yenye wasemaji watatu ,jamaa wamevunja rekodi nyingine
kirusi
HIVI KILO 800 YUPO WAPI KWANI NIMEMMISI SANA
Inamaana Sisi yanga hakuna muamasishaji Hadi muchukue huyu mnyama tukifungwa ataenda kushangilia chooon
Wamepanga Tarehe ya Nvua ili ikibuma Wasingizie Nvua 🤣🤣🤣🤣🤣. Wacharule... All in all mm napenda kuona MAKOLO FC wakitukana maana najua imewaingia kunako Mkunduguyangu.🤣🤣
Wewe ni shogaa tuu tena unadanga Mara simba Mara yanga kuma wew
Jamani matusi ya nini wakati wamemfukuza wenyewe simba sasa utasemaje malaya acha kumtukana mwenzio sote ni wasaka rizki 😥
Matus yann mrembo
Sasa wewe getrude John manara hajazaliwa na likuma wewe ndio unalo Hilo likuma Kama ni laana kuwa likuma Basi wewe ni laana sio manara umekosa neno lingine Kali la kufurahisha moyo wako zaidi ya "kuma"?
Mpira c maneno, mpira ni hela bro
Leo hiyo hahahhahahahahaaaaaaaaaaa
Leo iyo baadae ya kutoka simba mbona alivyokuwa simba mlimuona wa maana 😏
😂🤣🤣😂🤣wametegesha siku zamvua
🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐍🐍🐍🐍🐍🐸🐍
Manara tofautisha mpira na mziki maana mpira ni nguvu na mziki ni maneno na kutoa hits za maaana je kwa yanga wamejipanga kushambulia kabumbu?
Leo hiyo ...wakati anaongea akiwa kwenu hukiliona hili...pyeeeee...makolochochooooooo./kocho
@@rehemaamry4585 hahahahaha ulijuaje mzee lkn huyu si alikuaga mpinzani kitambo ? Na mm nmemjibu kiuhalisia kabisa
$🤪
Tupopamoja
Hanisi wewe albn
Viongozi wa VIBWENGO FC 🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸 wakiwa na Msemaji na msaidizi wa mpili na Kilo 800 Haji manara
Paka mapepe huyo
Mh Jamani nimecheka dah haya
Manara utaua watu wewe