MUME WANGU JOHN KOMBA KANIACHIA WATOTO 6 WA NJE YA NDOA NA ALISEMA NIWALEE KWA UPENDO WA HALI YA JUU
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- MUME WANGU JOHN KOMBA KANIACHIA WATOTO 6 WA NJE YA NDOA NA ALISEMA NIWALEE KWA UPENDO WA HALI YA JUU
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mwalimu wangu Lugalo Primary School Darasa la 7 Miaka ya 93 Mungu Akupe Maisha Marefu Legend
Nakupenda Mwl wangu, Lugalo Pr. School, nakumbuka ulinifundisha geography enzi hizooo za 1981 ....! Mungu aendelee kukutunza.
My mama mwenye moyo wake ubarikiwe mama 🙌
Homgera sana mama kwa kuwa mama mwema na mwenye upendo kwa watoto wote…Mwenyez Mungu aendelee kukutunza mama…hakika wewe ni mama wa kuigwa❤
Madam Salome Ur no.1 in a million.
Mwalimu wangu mama komba alinifundisha hesabati pale lugalo ps mwaka 90 mungu akujaalie mwalimu,,,,nimefurahi kukuona mwalimu wangu ntkuja mbezi sk moja
Mwl wangu shule ya msingi lugalo LY 1989 alikuwa mwalim mzuri sana wa hisabati
Aliempaka huyu mama wanja sijui alíkuwa na kusudi gani
Duh😢
Huyu mama mpole sana nampenda mno
Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi Lugalo
Jamani tuliomaliza Lugalo Pr. School 1983 tujuliane khali......
Hee mie hata mimba yangu aijafikiliwa hapo,hongera cn😂
Mwalimu wangu wa darasa la nne Lugalo
Wangoni ndo walivo. Mm hapa babangu mngoni tupo kama 20 hiv mama tofauti tofauti. Kwa mamangu tulizaliwa watatu. Hao 20 ni ambao mimi nawajua, nna uhakika kuna wengine nisiowajua kwahyo uskute tunafika 28 huko ama 30 kabisa. Ngoni noma.
Hujakosea, umesema ukweli kabisa.😂😂😂😂 Wangoni wana watoto wa nje kama wote.
Duuu30
Mmh 😢
😂😂😂😂😂jaman watan mko vizir japo Mme wangu ni mngon nae unaambiwa mngon muagize mzigo wa pesa utafika salama ila sio mwanamke atamzungusha mpaka amzagamue 😂😂😂😂😂nacheka tu ila
🎉hongera mama mfano mmoja mzuri jamani.tafakari Chukuwa hatua.mama aliukunjua Moyo,,,kabaki amestawi kama uwa la rose🌹
Mm nalea bila shida kbc
Wanawake wa style hii hakuna tena.. subutu.. kizazi chetu cha tiktok na Snapchat.. wanawake wote mavideo vixen akulelee na watoto ulozaa nje ya ndoa?
Basi ni muhimu mwanaume kuacha kuzaa nje. Maana ME ya TZ wanaona kuchepuka ni sawa tuu.😢
Keptani alikuwa mwanaume mngoni na mgoni
😂😂😂hahahahaaa wangon hata kwenye kichaka haon shida
Mmmh wangoni wajomba zanguu shikamonii
Ukapteni hadi kwa pochi manyoya.. alikuwa kamanda hasa
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 kapteni katuwakilisha vzr
😂😂😂😂😂😂pochi manyoya 😂😂😂
huu ndo mfano wa mkristo
Uhuni ni mbaya sana.
Ni changamoto sana.
Mzee alijua kuchepuka
Simchezo
Baba yangu mngoni ndoa yake mke 1 Hana mtoto wa nje na hatuna mama mdogo mbaka Sasa anamiaka 70 nakupenda sn babaangu Mzee haule
Mmmmhhh kajitahidi kuwakataa watoto,😂😂😂
Ila wew nimecheka😂😂😂😂😊@@athumanfuko199
weee huyo c asili ya m'ngoni ,, hao ukifuata history akina haule ni wakuja songea so hako katabia ni haki yake asiwe nako,, lakini hawa akina KOMBA,, NGONYANI,,, MAPUNDA,, MATEMBO,, na wengine wanaofanana na hayo majina ni hatali asipo kufa kaacha watoto kumi nje ya ndoa bac ujue hata wawili tu 😂
Akina Haule sio wangoni OG ni wabena hao
Mimi baba mkwe wangu ni haule na ana mke mmoja tu shughuli ni hawa watoto jaman tema mate😂😂😂😂😂
Kwani hao watoto 6 uliwazaa wewe.Kwa nini uwalee?
Wewe chizi
@@JosephMilinga-nl4zh jibu kwa hoja.Usilete mihemko.
@@JosephMilinga-nl4zhwalelewe na mama zao
Basi na wewe umekuwa zuzu.
Mmh mke kama uyu ayupo tena kalne hii
Atoke wapi nani ataka kulea ujinga huu
😂😂😂@@marymtagwa3065
😂😂😂
@@marymtagwa3065Umenichekesha sanaa😅
😂😂😂😂nimebak mim akiniletea nalea vzuri