KUMBE GOVI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024
  • Baadhi ya makabila mpaka leo yana utamaduni uliopitwa na wakati hasa wanaume kufanyiwa jando... Ila ukiwaona njiani kama watu kweli kumbee...

КОМЕНТАРІ • 453

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 3 місяці тому +36

    Huyu ndio mfalme wa comedy kama una bisha tubishane kwa hoja😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HamisiChipotele-fl8xo
    @HamisiChipotele-fl8xo 3 місяці тому +18

    Majemeni mbona nyie mnapata likes me sipati 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 2 місяці тому

      Unachembe cheme za kufirwa ww mwanamme uko na mambo ya kike like za nn ww punga

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 3 місяці тому +13

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo

  • @Twahamwela-ch5lz
    @Twahamwela-ch5lz 3 місяці тому +10

    Ha ha haha haha ha tangu nizaliwe hii style ya kutaili na chensoo nmeiyona mwaka huu dah!! Hatarii kwa kwel

  • @annaki318
    @annaki318 3 місяці тому +40

    Aweeeeeeeeeeee kama unamkubali joti na govi lake sema awotreeeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mukandamaakbar599
    @mukandamaakbar599 3 місяці тому +98

    Wanduzangu wenye kuomba like tuwe tunatowa maoni wapi wamekosea na wapi wamepatia mambo yakuomba like ayapendezi .Mungu akubariki kua kazi yako unayo ifanya

  • @gentiljabpretty
    @gentiljabpretty 2 місяці тому +5

    From goma DRC ❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @joycerajabu8448
    @joycerajabu8448 2 місяці тому +5

    Never disappoint jotiii😂😂😂😂

  • @truthnafact9081
    @truthnafact9081 3 місяці тому +20

    Dogo mwehu kaka mwehu....."nilikuachia ziwa,ziwa Victoria,ziwa nyasa'

  • @RehemaKaingu-c1z
    @RehemaKaingu-c1z 3 місяці тому +4

    Nimecheka sana😂😂😂alafu baba na mama joti uwa wananifurahisha zaidi nikiwaona😅

  • @KidogeDolie
    @KidogeDolie 18 днів тому

    Sasa😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩nichai iyi team naipenda sana

  • @captainjoseph8131
    @captainjoseph8131 3 місяці тому +6

    Nishaii ntombangile 😂😂 nakubali sanaa

  • @dicksonlipingu5915
    @dicksonlipingu5915 3 місяці тому +3

    Nimeiwahi yamoto moto kabisa...😂❤
    Joti huna mpinzani Aseee 🔥

  • @ZilaboAmbonisye
    @ZilaboAmbonisye 3 місяці тому +4

    Duuuuh ndo mpaka Chesooo kwelii govi limekomaaa😂😂

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 3 місяці тому +6

    Kanyinyi nimekuachia ziwa😂😂😂😂😂

  • @ModricZayumba-ri6ll
    @ModricZayumba-ri6ll 3 місяці тому +30

    mi n wahi lkin sjawai kupewa hata like moja jamn 🎉

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 місяці тому +5

    Safi sana joti:fundisho kwa walikuwa bado❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @Allysapeur
    @Allysapeur 3 місяці тому +10

    Wa kwanza Leo naombeni liké zangu 🙏😂😂

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 3 місяці тому +4

    Chainsaw was necessary 😂😂😂😂😂

  • @besteva499
    @besteva499 3 місяці тому +16

    Timu joti onyesha upendo wenu hapa❤❤

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 місяці тому +10

    Leo nimekuwa wa 106😂😂😂 watu kuwahii tuuu kuomba LIKE AAAAH😂😂😂😂😂

  • @salimseif
    @salimseif 3 місяці тому +2

    Hahaaha leo joti hujapewa upenyo wakuenda mbiooo...😅😅😅😅😅

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 3 місяці тому +1

    Dah😅😅 Una olewa unakutana na hilo balaa😂😂😂😂 Dah

  • @AmCool_
    @AmCool_ 3 місяці тому +1

    Kwa chain saw daaah ... mecheka kifala sana. Govi lilikomaa au 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mengiluwa8377
    @mengiluwa8377 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂 we ndo king uliepaki Tz J

  • @chadrackrunogeza3302
    @chadrackrunogeza3302 3 місяці тому +8

    Toka drc kalemie wa kwanza ❤❤❤❤❤

  • @Khamisi-kipngu
    @Khamisi-kipngu 3 місяці тому +3

    Tim jot tujuane Kwa like ❤❤

  • @IssaHamisi-tf1bf
    @IssaHamisi-tf1bf 3 місяці тому +6

    ❤😂🎉😢😮😅😊😊 umetisha mwambaaaas jotii88iiiiii babaaaaaas

  • @MudiSaid-y7u
    @MudiSaid-y7u Місяць тому

    😂😂😂😂 ubaya ubwela umemkuta 😅😅gomvi joti

  • @haule6japhet
    @haule6japhet 3 місяці тому +2

    Kitu shwiiiiii...shaaaaaaa😂😂

  • @kizarusati6526
    @kizarusati6526 3 місяці тому

    😂😂😂😂😂 joti mkali kabisa. Never disappoint. Love from China ❤❤

  • @liliansauwa8448
    @liliansauwa8448 2 місяці тому

    😂😂😂😂Hilo govi mbona limekua Gogo 😂😂😂, chainsaw na panga juu😂😂🙌🏽

  • @pcthemaster9096
    @pcthemaster9096 2 місяці тому

    Naishi kwa kulibenjuaa.😂😂😂😂 ila joti hatari sana mamaeeeeee

  • @everlynkimaro40
    @everlynkimaro40 3 місяці тому +5

    Wa kwanza leo 👌👌😇

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 3 місяці тому

    😂😂😂lol 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂pole daaahaaaa pole wametoa ngozi 😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅

  • @AmirAbdallah-pr4uq
    @AmirAbdallah-pr4uq 3 місяці тому +1

    Kitu kidogo ni shwiii shwiiii chaaaaaa 😂😂😂

  • @stephanog.493
    @stephanog.493 3 місяці тому

    Et si napenjuaa 😂😂😂😂 Joti mwehu kweli

  • @nahagamshele4092
    @nahagamshele4092 2 місяці тому +1

    Kitu chenyewe ni shwiii😂😂😂

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 місяці тому +1

    NALIBENJUA....🤣🤣🤣🤣.. mtoto joti maku mjue...🤣🤣🤣🤣

  • @clarencekhayira9876
    @clarencekhayira9876 3 місяці тому +9

    Comedian ⭐ MKUBWA Nairobi yetu hii ni Joti Tu 🇰🇪🙏

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 3 місяці тому +1

    Naishi kwa kulibenjua😂😂😂

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 3 місяці тому +28

    Naombeni nijue kwa nn watu wanapenda likes nafanya utafiti na mm mnipe like nione 😅

  • @ZakahModise
    @ZakahModise 3 місяці тому +15

    Ilo govi la joti kiboko mpaka machine y kukata mbao ndio limefanya kazi.....kweli govi sugu

  • @AthumaniMajora-qi7rc
    @AthumaniMajora-qi7rc 3 місяці тому

    zina faida sana kwake anae omba like akifika levo flan zinamnufasha

  • @KaimuKarubandika
    @KaimuKarubandika 2 місяці тому +1

    Daa sio poa unaweza jot

  • @ErickmidoMsodock
    @ErickmidoMsodock 3 місяці тому +2

    From Japan Kuma moto I love u YANGA bingwa 25/26

  • @PonsianMnyangali
    @PonsianMnyangali 2 місяці тому +1

    Eti naishi kwa kulibenjua😂😂😂

  • @naomisamwel18
    @naomisamwel18 3 місяці тому +1

    Leo hujàfanikiwa kukimbia😂😂

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 3 місяці тому +1

    Pis kali ni shwii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @matanobaya619
    @matanobaya619 3 місяці тому

    Jamani huo ni uonevu 😂na ukiukaji wa kibinadamu mjulus wake mwenyewe nyinyi inawauma😂😂😂😂😂 hamjamtendea haki😅

  • @ZackDaniella-wi5ur
    @ZackDaniella-wi5ur 3 місяці тому

    😂😂les congolais manifestez-vous 🇨🇩🇨🇩😂😂😂

  • @Nyalafu
    @Nyalafu 3 місяці тому +2

    Du huyo Dr wa GOVI,ni mwendo wa chemisoo tu

  • @Awadhi-lc8kd
    @Awadhi-lc8kd 3 місяці тому +1

    Nakubali joti fan wako kutoka Kenya

  • @MichaelJacob-f9n
    @MichaelJacob-f9n 2 місяці тому

    Mana umenizaa,unashindwa nambia 💯💯💯😂

  • @gloriaamase9764
    @gloriaamase9764 2 місяці тому

    watching from Qatar🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 3 місяці тому +2

    Mwamba kaingia na chainsaw 😂😂😂

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 2 місяці тому

    Kaaah!!eti kwa kutumia mashine ya kukata miti 😂😂😂😂

  • @debapro6889
    @debapro6889 3 місяці тому

    You are very creative bro am from kenya keep it up bro

  • @remmynchamatwi-dx9hg
    @remmynchamatwi-dx9hg 2 місяці тому

    Duuu!!🤔 Ni Shwaaaaaaa 😂😂😂🙌🙌

  • @Morrismwenda-kr6mk
    @Morrismwenda-kr6mk 2 місяці тому

    The top comedian in Tanzania

  • @eliudmkumbwa5681
    @eliudmkumbwa5681 3 місяці тому +6

    Leo wa kwanza nipeni like🎉

  • @dollardavid955
    @dollardavid955 3 місяці тому +4

    Wakwanza leo, sitaki like hata moja!

  • @BabyCharles-jl3gv
    @BabyCharles-jl3gv 3 місяці тому +2

    Jamni nishai tumemiss ukiwa kiboga 😊

  • @lilianpuka218
    @lilianpuka218 2 місяці тому

    Mama atari swiiiii😂😂😂😂❤❤

  • @ChingaKenboy-fz8yr
    @ChingaKenboy-fz8yr 3 місяці тому +3

    Big up sana washirika kazi ndzuri sana nawakubali nyote 🎉🎉naombeni likes nami zakutosha plz

  • @Awoshy
    @Awoshy 3 місяці тому

    Ila joti😂😂😂😂😂jamani nalibenjua naishi kwa kulibenjua 😂😂😂😂

  • @SeKikoti
    @SeKikoti 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂daaah ila Joti

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 3 місяці тому

    😂😂😂😂Jamaa anatembea na ngozi ya ziada 😂😂😂🙌

  • @Richardmaige038
    @Richardmaige038 3 місяці тому +2

    Kaka ushauli wa bureee badirisha vazi !!tunajuw unatuburudisha miaka sasa

  • @albertykawishe5833
    @albertykawishe5833 3 місяці тому

    Duh ndio mkatie chainsaw kweli 😂😂😂

  • @AbdallahOmar-bp8ij
    @AbdallahOmar-bp8ij 3 місяці тому

    Wallai huyo mama ana chekesha snaaa😂

  • @azizally5283
    @azizally5283 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂nimekuachia ziwa Victoria 😂😂

  • @milnaidowa7973
    @milnaidowa7973 3 місяці тому +2

    Joti he is the one of the best ever

  • @makop6978
    @makop6978 3 місяці тому +9

    leo mimi was kwanza kala unamkubsli nishai wrka like nyingi sanaaa🔥🔥🔥

    • @mwalimuhassani2901
      @mwalimuhassani2901 3 місяці тому

      Ivi tukilike unalipwa na UA-cam nataka nijue na Mimi Ili niwe naomba like mna Hali ngumu mtaani😢

    • @velvethamster9809
      @velvethamster9809 3 місяці тому

      @@mwalimuhassani2901ndio, ukipata like 50 UA-cam wanakutumia dola dola 150 kwenye account yako ya UA-cam. Na kila zikizidi unapata hela zaidi.
      ila like zikifika milioni, wanatuma gari jipya bandarini, unaenda bandarini unawaonyesha jina lako la UA-cam, wanakupa gari.

  • @jacobmelody
    @jacobmelody 2 місяці тому +1

    Kwahiyo ndio Wakuchanje na Chainsaw 😀😀

  • @AmaniRamadhani-rw8jp
    @AmaniRamadhani-rw8jp 3 місяці тому

    Sasa ndio tutumie chenso jamani afu bila ganzi😂😂😂

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 3 місяці тому

    😂😅😂😅😅😂code imezua kizaa zahaah.

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 3 місяці тому

    Joti akifanya mambo yake😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @wiliamkatala6688
    @wiliamkatala6688 3 місяці тому

    Mtombangile leo umetwango na chensooo 😂😂😂😂😂😂

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 3 місяці тому +1

    Nakubali sana master 🎉🎉🎉😂😢😮😅😊

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 3 місяці тому +1

    Ongeza wasanii joti nakushauri ila Kazi nzuri

  • @Petitejollie
    @Petitejollie 3 місяці тому

    Eti naishi kwa kulibenjua hahahahhaa 😂😂😂

  • @nancyfantasia1945
    @nancyfantasia1945 3 місяці тому +8

    Kuomba like tu ku comments aaaaaaahh

  • @LeahRichard-x6t
    @LeahRichard-x6t 3 місяці тому +2

    😂😂😂walikuwa wanakata mti au

  • @ramadhanfakh6925
    @ramadhanfakh6925 3 місяці тому +1

    😂😂😂 joti bhana

  • @geraldndosi2083
    @geraldndosi2083 3 місяці тому

    😂😂😂 unyama umekatwa na chein saw 😂😂 kweli huo ulikuwa mkono mkono wa jinzi

  • @draivonkuranga2031
    @draivonkuranga2031 2 місяці тому

    Ila joti 😅😅😅😅 ko ndio utumie chenso 😂😂

  • @MtaitalianoKipingu
    @MtaitalianoKipingu 3 місяці тому +1

    Nalibenjua😂😂

  • @latifamiluko-gr9iw
    @latifamiluko-gr9iw 3 місяці тому

    Ila Joti chizi kweli😂😂😂😂🙌

  • @pitosjuma7224
    @pitosjuma7224 3 місяці тому +7

    Kwani like Zina maana gani?. Ilituwe na sisi tunaziomba

  • @safarikarisa5912
    @safarikarisa5912 3 місяці тому

    Asalaaaaala😂😂😂😂😂😂😂😂nomasana

  • @wilbaldshayo1222
    @wilbaldshayo1222 2 місяці тому

    Nishwiiiiii😂😂

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂mbona wanaweza kuikata yote maana iyo mashine sio poa

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 3 місяці тому

    Si hua nalibenjuaaa

  • @saadboss5783
    @saadboss5783 2 місяці тому

    Sema ninii Nishai unazinguaaa😂😂😂

  • @justineuswege2012
    @justineuswege2012 2 місяці тому

    Nalibenjua😂😂😂😂😂😂😂

  • @janethndunguru3538
    @janethndunguru3538 2 місяці тому

    Nalibenjua😂😂😂😂😂😂

  • @MaendaEca-j6s
    @MaendaEca-j6s 3 місяці тому

    Haaaaaa kkkkkkkkk niatari 😂😂😂😂😂😂😂

  • @omaryadam6884
    @omaryadam6884 15 днів тому

    Nalibenjua😂😂

  • @Jeysen_lemar
    @Jeysen_lemar 2 місяці тому

    Naishi kwa kulibenjua 😂😂😂😂😂