Ila mtoto wa sheta ana kitu atakuja kuwa mtu mkubwa sana,mara nyingi watu wasio na watu wa kuwasemea huwa wanatetewa na Mungu mwenyewe na ubora wao huja kuonekana mbeleni, cha msingi watu wake wakaribu waendelee kumjengea uwezo wa kujibu maswali na kuzidi kujiamini❤
Unamjenga huko ukiwa na chaneli kutoka wapi ndugu tuulize sisi tunaokaa MAISHA ya chini ndio utapata majibu sahihi,wengi wanakosa nafasi Kwa kukosa watu huko juu, ndugu Kuna watu wana vipaji vya Hali ya juu LAKINI wapo wapo....mfano HATA huyo mtoto hapo hiyo nafasi amepata LAKINI uliza chaneli yake Kuna watoto wengi wamemzidi uwezo LAKINI kachaguliwa yeye.
Ni vizuri. Wazazi wajitahidi kuwarithisha kazi zao watoto wao. Waalimu watoto wao wawe waalimu. Askari watoto wao wawe askari na pia majambazi watoto wawe majambazi.
HAJUI KUONGEA, HAJUI KUJIELEZEA ANACHOULIZWA SICHO HAWEZI KUJIELEZEA, BY THE WAY HONGERA KWA WOTE WALIOCHEZA MCHEZO MCHAFU WA KUMTENDA VIBAYA MTOTO WETU ALVIN.
acheni maneno ya kashifa kwa mtoto na matusi ,kila mtu uzaliwa bila kujua ila sote tunajifunza ,kajitaidi sana hvi unafikili ni rahisi kusimama mbele ya camera kama ujazoea ,kuna watu wazima wanasweet alfu dogo chemba wa miaka 7 au 8 mnamtukana ,na kumbekeni mbuyu ulianza kama mchicha na sahv ndo mti tishio na pendwa kwahy tuwape support hawa ni wadogo zetu na watoto wetu ,nitafteni baada ya miaka 10 au 5 ijayo utakumbka comment yangu ,Amina sana
Hapo nizamu ya uwoga imetumika hanakigezo hata1chakushinda kujieleza hajui domo zto Ila kamayengekuwa mashindano ya mashavu makubwa ushindiwake ungekuwa halali
Yaani mtoto wa daktari akiwa Dr ni Sawa, wa Mwalimu akiwa Mwalimu ni Sawa, wa mkulima akiwa mkulima ni sawa, wa Askofu akiwa Mchungaji ni sawa, sasa iweje wa mwanasiasa akiwa mwanasiasa iwe kero na mnapandwa na ghadhabu kiasi hicho?
Kuna watoto wana vipaji kuliko huyo mtoto wa Mchemba LAKINI wameachwa hapo inaangaliwa mtoto wa nani ? au chaneli wangelifata haki HATA asingepata hiyo nafasi...hii nchi kama auna chaneli utaangaika sana.
kwa utaratibu huu wa tanzania nchi itaendelea kuongozwa na watu wale wale wa koo zisizo zidi 10 itaendelea kutawaliwa na ukoo wa kina makamba, kikwete, nape, mwigulu nchemba, kinana, mwinyi, mana ndio wanao panga mitaala ya elimu yetu kuwa mbovu, na wana panga elimu yetu iweje huku wao wanawapeleka watoto wao international shule za kulipia halafu watoto wengine wa kitanzania wanasoma shule za serikali ambazo darasa moja inakuwa na wanafunzi zaidi ya 100 walimu .unategemea nchi itaendelea kuongozwa nanani
@@danielmussa6944 It's unfortunate you should think so. How would you possibly know that? I commented on that specific clip did you maybe expect me to comment on every bad mistreatment our kids undergo?
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema🚶🚶🤗🤗🤗😅😅 acha tu niendeleee kujifukiza
Hili la watoto kushirikishwa siasa badala ya elimu na vipaji vyao ni sio sawa na halikubaliki. CCM mnavunja sheria ya Haki za Watoto na UN Convention on the Rights of Children not to engage in politics
Yani sasa kwakuwa mumeona Mumesha tuweza na ujinga wetu wa kila munayo tufanyia tuna kaa kimya.basi mumeona mutuletee na hiv vizazi vyenu muendelee kulisi Shana .haya twendeni tu.ipo siku isiyojulikana
Hahahaha 😆 hata kujibu hawezi haya maisha bhana nilichokiona wamejazana watoto wa viongozi humu ndani watoto wa watu wa chini ni wachache na wengi wamepigwa chini ni mtoto wa shelter tyuu Mungu kamtetea na anastahili
Selemani uneliona hilo liko kama halipo sasa hilo la nini limenenepeana kama dudu vule kujieleza haliwezi kama jinga jinga heri hata lingeachwa bila kuhojiwa aibu tupu wstoto wa wazazi wao wasiotaka kutolewa mitandaoni ni bright sana kuliko hilo watoto wazuri ni wa wenzake na nk hawa wengine waliobaki wengi wao mibomu tupu katika watoto wa Marais wastaafu ni mtoto mzuri ni Hussein mwinyi tu mingine iliyobaki miuza madawa ya kulevya mikomba pesa za Nssf halafu inataka Urais 2030 ipewe na nani
HONGERA TOTO JANJA LOVE YOU! KOMAA MUOMBEE BABAAKO RAFIKI YANGU Dr *DABO EMu*AKUSOMESHEWEEE,,, MPAKA UWE DOCTOR HOSPITALINI AU ENGINEER! UJE USAIDIE WENZIO! MAWE YA SIASA MABAYA MUACHIE BABA APAMBANE NAYO MWENYEWE!😢
Awa ni wahudumu uchumi, wako tayari kuuwa kwa ajiri ya masrahi yao. Utu mtoto hajui njaa ni nini shida ni nini. Mwisho wa yote eti aje kuwatetea wanyonge kamwe haiwezekani. Watanzania zindukeni. Ukoloni kwa mgongo wa waswahili unakuja kututawala
Acheni kashfa kwa watoto wa viongozi eti kwa sababu wapo kwenye nafasi flani. Kuwa kiongozi ni maandalizi tu. Mtapata dhambi bure kwa kuwakashfu watoto. Kwani wao wana makosa gani? Tunazaa tulivo, msijisahaulishe
Kama we ni mkulima muandae mwanao kuwa mkulima,maji hufuata mkondo kwanini dogo asipende uongozi wakati kila huwa anaingia bungeni,baba akiwa mganga hushangai mtoto kurithi vipi hili maneno mengi baba ndio huandaa dira ya watoto na mtoto huchagua,mimi sio mtu wa chuki Hongera CHIPUKIZI,#Mwigulu
Limeshinda kwaajili tu ni babaake ni waziri hajui hata kuongea halijui. Wenye pesa wengi kuongea hayajui jamani ilo limeshindatu kwakua ni baba ni mkubwa maskini ndo wanajua kuongea umeona mtoto wa sheta matajili wasengesenge
Ila mtoto wa sheta ana kitu atakuja kuwa mtu mkubwa sana,mara nyingi watu wasio na watu wa kuwasemea huwa wanatetewa na Mungu mwenyewe na ubora wao huja kuonekana mbeleni, cha msingi watu wake wakaribu waendelee kumjengea uwezo wa kujibu maswali na kuzidi kujiamini❤
Wa kwako hana
Unajua ni mjukuubwa nani?usiseme bila kuwa na fact fatilia utashangaa
Kila mtanzania Anaweza! NIWASIHI WATANZANIA WENZANGU HASA WAZAZI MUWAFUNDISHE WATOTO WENU kuwa Viongozi Bora wa KESHO 🇹🇿
Hizi nafac zipo kwa wote ww kama ujamjenga mtoto wako kwenda huko usilalamike…Hongera Dogo naamini utafika mbali🙏🙏
Unamjenga huko ukiwa na chaneli kutoka wapi ndugu tuulize sisi tunaokaa MAISHA ya chini ndio utapata majibu sahihi,wengi wanakosa nafasi Kwa kukosa watu huko juu, ndugu Kuna watu wana vipaji vya Hali ya juu LAKINI wapo wapo....mfano HATA huyo mtoto hapo hiyo nafasi amepata LAKINI uliza chaneli yake Kuna watoto wengi wamemzidi uwezo LAKINI kachaguliwa yeye.
Wewe nani kakwambia
Nafasi au wizi tu wa kodi
Ni vizuri. Wazazi wajitahidi kuwarithisha kazi zao watoto wao. Waalimu watoto wao wawe waalimu. Askari watoto wao wawe askari na pia majambazi watoto wawe majambazi.
sijui kashinda vp mishavu tu imemjaa hata kujieleza hajui na hapo ndo Ana soma feza je angesoma shule niliosoma mim siangetoka nduki
Labda kapewa kwa ajili ya ‘disability “
Wanaandaliwa kuja kututawala na kutuungoza sisi wasaka tonge ....hatariiii
Kuwatawala watoto wetu
Eeee sawa watoto wa wenye hela wataendelea kutawala,nampenda mama Samia watoto wake wametulia Asante mama
Fedha zimembeba hata kujieleza hawezi
Kuna kile kitoto kibinti kilikuwa na speech nzuri sana lakini hakijapewa limepewa hili litoto la fisadi
😅😅😅😅
😂
😅😅😅
Ahahaha et toto la fisadi, daaha ila hiii inchi😁😁😁 sema ndo hvyo nchi inaliwa na walaji
Mtoto anahusika vipi na hoja yako hiyo. Hakupewa bali ameshinda kwa kupigiwa kura.
HAJUI KUONGEA, HAJUI KUJIELEZEA ANACHOULIZWA SICHO HAWEZI KUJIELEZEA, BY THE WAY HONGERA KWA WOTE WALIOCHEZA MCHEZO MCHAFU WA KUMTENDA VIBAYA MTOTO WETU ALVIN.
Hongera mwanz mzr tuwatie moyo watoto wetu kwny vitu wanavyovipenda
Mh Waziri na Mama Mwigulu mnajisikiaje kusoma hiz comments kuhus mtoto wenu na nyie wemyeww??
Wanajali basi mijusi hao😂😂😂😂😂
Hana sifa na uwezo wa kujiamini nabhata kuongea
Wanasema mtoto wa sheta alipaswa kuwa hapa agonge like kama zote
acheni maneno ya kashifa kwa mtoto na matusi ,kila mtu uzaliwa bila kujua ila sote tunajifunza ,kajitaidi sana hvi unafikili ni rahisi kusimama mbele ya camera kama ujazoea ,kuna watu wazima wanasweet alfu dogo chemba wa miaka 7 au 8 mnamtukana ,na kumbekeni mbuyu ulianza kama mchicha na sahv ndo mti tishio na pendwa kwahy tuwape support hawa ni wadogo zetu na watoto wetu ,nitafteni baada ya miaka 10 au 5 ijayo utakumbka comment yangu ,Amina sana
Hapo nizamu ya uwoga imetumika hanakigezo hata1chakushinda kujieleza hajui domo zto Ila kamayengekuwa mashindano ya mashavu makubwa ushindiwake ungekuwa halali
Tutumie maneno ya staha, hawa ni watoto. Kasoro za mzazi asibebeshwe mtoto.
Nani kasema
Yaani mtoto wa daktari akiwa Dr ni Sawa, wa Mwalimu akiwa Mwalimu ni Sawa, wa mkulima akiwa mkulima ni sawa, wa Askofu akiwa Mchungaji ni sawa, sasa iweje wa mwanasiasa akiwa mwanasiasa iwe kero na mnapandwa na ghadhabu kiasi hicho?
Kuna watoto wana vipaji kuliko huyo mtoto wa Mchemba LAKINI wameachwa hapo inaangaliwa mtoto wa nani ? au chaneli wangelifata haki HATA asingepata hiyo nafasi...hii nchi kama auna chaneli utaangaika sana.
Hajui jaman
kwa utaratibu huu wa tanzania nchi itaendelea kuongozwa na watu wale wale wa koo zisizo zidi 10 itaendelea kutawaliwa na ukoo wa kina makamba, kikwete, nape, mwigulu nchemba, kinana, mwinyi, mana ndio wanao panga mitaala ya elimu yetu kuwa mbovu, na wana panga elimu yetu iweje huku wao wanawapeleka watoto wao international shule za kulipia halafu watoto wengine wa kitanzania wanasoma shule za serikali ambazo darasa moja inakuwa na wanafunzi zaidi ya 100 walimu .unategemea nchi itaendelea kuongozwa nanani
ccm ni mbwa kila dhambi wameifanya
Wamewafukuza wakoloni ili watutawale wao
Uko kama mjingq mjinga mjinga tuhuna lolote umeshinda kwa ajili ya jina la baba yako tu hata kujieleza huwezi
Açha wivu
Nchi ya watanzania hawa hawa akina hawa da kazi kweli
Pesa tu hata kujieleza hajui
Confident...fact...
karibu dogo kwenye siasa mtunyooshe kwelikweli
Kweeeli Tz Inawenyewe😊
Actually Hana sifa ya kuwa kiongoz
Wanajichora tu kwa ulimwengu 😂
Kazi tunayo
Kwa hiyo na hawa wanafundishwa mbinu za kuiba kura?
Nimempenda bureee
Maandalizi ya wezi wapya😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Wacha tu bro😢..
Roho za husda tu kwa mtoto Mdogo shenzi zenu mtakufa na vijiba vya moyo mtoto kajitahidi si eti ni mtoto wa waziri
Wow❤
How possible? Mbona hata kujielezea hajui?
Tumefika pabaya hili toto limetembelea nyota ya baba ake maana hata kujieleza haliwezi
Jamaniiiiii jamaniii jamaniii jamaniiiii wanawekanaaaaaa tuuuuu
Mamba HAIWEZI shindana na kenge SIKU zote
Karibuni tule nchi kama wazazi wenu!
🤣🤣🤣🤣
Inchi hii ya ajabu sana bora tuseme hatuongozwi kidemokrasia tuwe huru mnarithishana Madara kwa mgongo wa demokrasia
Usije kutuibia kama Baba ako uwe mzalendo, sema mtoto wa sheta yuko vizuri
Mtoto wa maisha bora
I don't know but I deeply feel sorry for these kids
But You dont feel sorry for the kids watching cartoons with LGBTQ themes😢
@@danielmussa6944: It's timely and perfect response to non analytical guy.
@@danielmussa6944who allowed them to watch....
@@danielmussa6944 It's unfortunate you should think so. How would you possibly know that? I commented on that specific clip did you maybe expect me to comment on every bad mistreatment our kids undergo?
@@kibbysaidi7813 how is it mistreatment if its not child labour?are we not supposed to teach them while they are young?
Kama kubebwaa ndoo huku, kama kupendelewa ndo hivi. kitu kiko waxi kabisaa hata hakitafutwi. Pesa imetumika
Jifunzeni mambo ya Mungu na mjue kwamba yote yanapitilia mbali 1Yoh 2: 15-17
Ili mtutawale vizuri sisi wanyonge mtawale na watoto wenu
Hata kuongea hajui masikini daa
Hii nchi ngumu sana
Mitoto inaandariwa kuwa mijizi ya baadae maongo mifisadi kama wazazi wao ccm kenge kweri
Wa sheta sawa lakini huyu janga hatakuongea shida tumipigwa na kitu kizito
Hii nchi hii....... Watoto kwenye siasa?, hayaa
Tuondoleeni huo upumbavu wenu watu wanamaisha magumu halafu mnaleta Sanaa na masihara na maisha ya watu pumbavu kabisa
yaani hiii nchi vichaa hawaishi watoto waachwe wachague wanachopenda
Akipenda kuwa kama paula kajala unamwacha tu alaf badae unaanza kulaumu viongoz wanabeba watoto wao wakat wanawafundisha ulikua unawabeza
Hii nchi kuna watu wanatukosea sana..
Hasa hawa viongozi wa Sasa hivi hata haya hawana
@@willymdeka6034 Wacha tu kaka..
Huyu hapendi uongozi ila anapelekwa kugombea
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema🚶🚶🤗🤗🤗😅😅 acha tu niendeleee kujifukiza
Hili la watoto kushirikishwa siasa badala ya elimu na vipaji vyao ni sio sawa na halikubaliki. CCM mnavunja sheria ya Haki za Watoto na UN Convention on the Rights of Children not to engage in politics
Hyu mtoto apewa tu...Yaan hmn kitu bora mtoto wa sheta yuko vizuli kuliko huyu
Yani sasa kwakuwa mumeona Mumesha tuweza na ujinga wetu wa kila munayo tufanyia tuna kaa kimya.basi mumeona mutuletee na hiv vizazi vyenu muendelee kulisi Shana .haya twendeni tu.ipo siku isiyojulikana
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
Nchi hii ya Tanzania tutaona mengi sana kwani misingi yake ni kubebana
Kubebana wap wakat mtoto wako yupp home na bint wanagombea remote control ya tv 😅 wafunzen watoto bado wadogo
Domo Kama mwanyaaaa
Katiba mpya muhimu sana sjuii huu usingiziii tumeutoa wapii watanzania
Duh
Kwanini watoto wa viongozi ndoo nao wawe viongozi wa Uvccm tuwe macho
Mtoto wa "trabu and trakti" 😢😢
Hahahaha 😆 hata kujibu hawezi haya maisha bhana nilichokiona wamejazana watoto wa viongozi humu ndani watoto wa watu wa chini ni wachache na wengi wamepigwa chini ni mtoto wa shelter tyuu Mungu kamtetea na anastahili
Kama mtot wa trabu na trakt dah hata kuongea bado lakin dah
@@magrethsanga942 Watoto wa viongozi washatengenezewa chain, hakuna nafasi kwa mtot wa maskin hapo
Fisadi lingine hilooo
😅😅😅hatujawa mwiguru mwingine mdogo hatuwa tupigwe nabadooo tutaibiwa mpaka vizazi navizazi
Unaweza ona kwamba hiii nchi inawenyewe
Ndio mambo yakina mseven, poul kagame, wananda familia zao kushika nchi
Naona watoto wa viongozi tu!
Limeshiba hela za trab mpaka haliwezi ongea😮
Duuh nchi hii hasa ccm hawa viongozi wabaya sana toto hata kuongea hawezi mnalipa uwongozi baba yake kichwani hamna kitu na mtoto naye karisi
😂😂
Selemani uneliona hilo liko kama halipo sasa hilo la nini limenenepeana kama dudu vule kujieleza haliwezi kama jinga jinga heri hata lingeachwa bila kuhojiwa aibu tupu wstoto wa wazazi wao wasiotaka kutolewa mitandaoni ni bright sana kuliko hilo watoto wazuri ni wa wenzake na nk hawa wengine waliobaki wengi wao mibomu tupu katika watoto wa Marais wastaafu ni mtoto mzuri ni Hussein mwinyi tu mingine iliyobaki miuza madawa ya kulevya mikomba pesa za Nssf halafu inataka Urais 2030 ipewe na nani
Mbona kajibu vizur,kama we ni mpiga debe basi mwanao nirahisi kuwa konda ila mmesahau maji hufuata mkondo?
Jamani hizi nafasi za chipukizi mbona hamjasema tukagombanie na Sie😅 watu mna siri uchoyo gani huo😅😅
kuongea tu Shida mwambie akufundishe na kupandisha tozo
chama cha familia, duh...ni ukoo na familia. tutaumizwa sana. nani likifanyika sio atawajibishwa
Kuipinga serikali si kuichukia; bali ni ombi la kutaka ibadilike.Kwa mfumo huu hapana
Mbwa hawa hawasikiagi
Kila la heli
Shida hii nchi tuliwahi sana kupata uhuru😢
HONGERA TOTO JANJA LOVE YOU! KOMAA MUOMBEE BABAAKO RAFIKI YANGU Dr *DABO EMu*AKUSOMESHEWEEE,,, MPAKA UWE DOCTOR HOSPITALINI AU ENGINEER! UJE USAIDIE WENZIO! MAWE YA SIASA MABAYA MUACHIE BABA APAMBANE NAYO MWENYEWE!😢
JAMBAZI WA baadaae,so sad😢
Awa ni wahudumu uchumi, wako tayari kuuwa kwa ajiri ya masrahi yao. Utu mtoto hajui njaa ni nini shida ni nini. Mwisho wa yote eti aje kuwatetea wanyonge kamwe haiwezekani. Watanzania zindukeni. Ukoloni kwa mgongo wa waswahili unakuja kututawala
huyu mtoto amepewa Tu hata kujieleza hajui 😂😂😂
Anapata taabu kujieleza kwa kiswahili bila shaka lakini anaweza kujieleza vema kwa kiingereza.
Tangu lini bonge na akili wa kakaa sehemu moja
😂😂😂😂😂
😅😅😅 ila hii nchi
Kama baba jambaz kiac hiki je mtoto itakuaje?...linapikwa jambaz jipya😂😂
Lilieni katiba mpya tu,bila hivyo tutaishia tu kwenye mitandao
Maandalizi😁😁😁
Mbona ajui kujieleza
Mbona ni watoto wa viongizi
Kitu gani kilikufanya upende siasa. ‘ cha msingi babaangu ubunge na chipukizi’ 😂😂😂😂😂 alooohh
Naona wengi wao watoto wa viongozi tyuuu
Kweli sisi maskini hatuna chipukizi ya utajiri tuu
Yaan kulikua na watoto wanaweza kujieleza vizuri sana ila nashangaa kwanini kapata huyu
😅😅😅 ila watu
😂nomaaaa mtoto yuko ovyoovyo kuomgea hajui bora hat wa sheta ana muamko
😮
Uchaguzi ujayo tunampa ubunge wa dar es salaam
Acheni kashfa kwa watoto wa viongozi eti kwa sababu wapo kwenye nafasi flani. Kuwa kiongozi ni maandalizi tu. Mtapata dhambi bure kwa kuwakashfu watoto. Kwani wao wana makosa gani? Tunazaa tulivo, msijisahaulishe
Mtoto hajui hata kuongea me nadhan tunawaharib watoto kuwafundisha siasa wakiwa bado wadogo sana
Hamna kitu hapo kawekwa tu,,hajui maskini ya MUNGU hapo katikaje
Kama we ni mkulima muandae mwanao kuwa mkulima,maji hufuata mkondo kwanini dogo asipende uongozi wakati kila huwa anaingia bungeni,baba akiwa mganga hushangai mtoto kurithi vipi hili maneno mengi baba ndio huandaa dira ya watoto na mtoto huchagua,mimi sio mtu wa chuki Hongera CHIPUKIZI,#Mwigulu
We unaumwa na akilli
Tunajua mnaanda watoto wenu waendelee kutawala taifa hili
Mtoto anarithishwa uchawi
Limeshinda kwaajili tu ni babaake ni waziri hajui hata kuongea halijui. Wenye pesa wengi kuongea hayajui jamani ilo limeshindatu kwakua ni baba ni mkubwa maskini ndo wanajua kuongea umeona mtoto wa sheta matajili wasengesenge
Dogo eeh, tutaonana miaka 15 ijayo. Tukiwa hai ntarudi tena hapa hapa
Yaani serikali ya ccm ya ki kenge
Mara izac mara qaila mshindi ni yupi sasa
Mmmmh nafasi ya mzazi inambeba lkn hamna kitu humu! Maelezo zero tu