ALICHOSEMA MTOTO WA WAZIRI MWIGULU BAADA YA KUSHINDA UCHAGUZI CHIPUKIZI WA CCM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 288

  • @HappinessSawe
    @HappinessSawe 10 місяців тому +21

    Ila mtoto wa sheta ana kitu atakuja kuwa mtu mkubwa sana,mara nyingi watu wasio na watu wa kuwasemea huwa wanatetewa na Mungu mwenyewe na ubora wao huja kuonekana mbeleni, cha msingi watu wake wakaribu waendelee kumjengea uwezo wa kujibu maswali na kuzidi kujiamini❤

    • @Alphakadege-m2j
      @Alphakadege-m2j 10 місяців тому +2

      Wa kwako hana

    • @sovajulius3870
      @sovajulius3870 10 місяців тому

      Unajua ni mjukuubwa nani?usiseme bila kuwa na fact fatilia utashangaa

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 10 місяців тому +8

    Kila mtanzania Anaweza! NIWASIHI WATANZANIA WENZANGU HASA WAZAZI MUWAFUNDISHE WATOTO WENU kuwa Viongozi Bora wa KESHO 🇹🇿

  • @eliusgration4150
    @eliusgration4150 10 місяців тому +9

    Hizi nafac zipo kwa wote ww kama ujamjenga mtoto wako kwenda huko usilalamike…Hongera Dogo naamini utafika mbali🙏🙏

    • @omaryonga-hv3lk
      @omaryonga-hv3lk 10 місяців тому +1

      Unamjenga huko ukiwa na chaneli kutoka wapi ndugu tuulize sisi tunaokaa MAISHA ya chini ndio utapata majibu sahihi,wengi wanakosa nafasi Kwa kukosa watu huko juu, ndugu Kuna watu wana vipaji vya Hali ya juu LAKINI wapo wapo....mfano HATA huyo mtoto hapo hiyo nafasi amepata LAKINI uliza chaneli yake Kuna watoto wengi wamemzidi uwezo LAKINI kachaguliwa yeye.

    • @iddyiddy7358
      @iddyiddy7358 10 місяців тому

      Wewe nani kakwambia

    • @NixonGerson
      @NixonGerson 5 місяців тому

      Nafasi au wizi tu wa kodi

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune5464 10 місяців тому

    Ni vizuri. Wazazi wajitahidi kuwarithisha kazi zao watoto wao. Waalimu watoto wao wawe waalimu. Askari watoto wao wawe askari na pia majambazi watoto wawe majambazi.

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 10 місяців тому +4

    sijui kashinda vp mishavu tu imemjaa hata kujieleza hajui na hapo ndo Ana soma feza je angesoma shule niliosoma mim siangetoka nduki

    • @vickylupemba6055
      @vickylupemba6055 10 місяців тому

      Labda kapewa kwa ajili ya ‘disability “

  • @omaryonga-hv3lk
    @omaryonga-hv3lk 10 місяців тому +15

    Wanaandaliwa kuja kututawala na kutuungoza sisi wasaka tonge ....hatariiii

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 10 місяців тому

    Eeee sawa watoto wa wenye hela wataendelea kutawala,nampenda mama Samia watoto wake wametulia Asante mama

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 10 місяців тому +27

    Fedha zimembeba hata kujieleza hawezi

  • @charlesjaphet5768
    @charlesjaphet5768 10 місяців тому +22

    Kuna kile kitoto kibinti kilikuwa na speech nzuri sana lakini hakijapewa limepewa hili litoto la fisadi

    • @felixmganga2121
      @felixmganga2121 10 місяців тому +1

      😅😅😅😅

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 10 місяців тому +1

      😂

    • @ireneasimwe135
      @ireneasimwe135 10 місяців тому

      😅😅😅

    • @engribertinnocent7536
      @engribertinnocent7536 10 місяців тому

      Ahahaha et toto la fisadi, daaha ila hiii inchi😁😁😁 sema ndo hvyo nchi inaliwa na walaji

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 10 місяців тому

      Mtoto anahusika vipi na hoja yako hiyo. Hakupewa bali ameshinda kwa kupigiwa kura.

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 10 місяців тому +1

    HAJUI KUONGEA, HAJUI KUJIELEZEA ANACHOULIZWA SICHO HAWEZI KUJIELEZEA, BY THE WAY HONGERA KWA WOTE WALIOCHEZA MCHEZO MCHAFU WA KUMTENDA VIBAYA MTOTO WETU ALVIN.

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 10 місяців тому

    Hongera mwanz mzr tuwatie moyo watoto wetu kwny vitu wanavyovipenda

  • @michaelngalo1808
    @michaelngalo1808 10 місяців тому +3

    Mh Waziri na Mama Mwigulu mnajisikiaje kusoma hiz comments kuhus mtoto wenu na nyie wemyeww??

    • @aidankakulu398
      @aidankakulu398 10 місяців тому +2

      Wanajali basi mijusi hao😂😂😂😂😂

  • @shabanimmbaga1409
    @shabanimmbaga1409 10 місяців тому +15

    Hana sifa na uwezo wa kujiamini nabhata kuongea

  • @frankdionis7700
    @frankdionis7700 10 місяців тому +18

    Wanasema mtoto wa sheta alipaswa kuwa hapa agonge like kama zote

  • @jacksonbuchocho12
    @jacksonbuchocho12 10 місяців тому +26

    acheni maneno ya kashifa kwa mtoto na matusi ,kila mtu uzaliwa bila kujua ila sote tunajifunza ,kajitaidi sana hvi unafikili ni rahisi kusimama mbele ya camera kama ujazoea ,kuna watu wazima wanasweet alfu dogo chemba wa miaka 7 au 8 mnamtukana ,na kumbekeni mbuyu ulianza kama mchicha na sahv ndo mti tishio na pendwa kwahy tuwape support hawa ni wadogo zetu na watoto wetu ,nitafteni baada ya miaka 10 au 5 ijayo utakumbka comment yangu ,Amina sana

    • @yasiniswedi8835
      @yasiniswedi8835 10 місяців тому +6

      Hapo nizamu ya uwoga imetumika hanakigezo hata1chakushinda kujieleza hajui domo zto Ila kamayengekuwa mashindano ya mashavu makubwa ushindiwake ungekuwa halali

    • @JamesMisalabaPalu
      @JamesMisalabaPalu 10 місяців тому +3

      Tutumie maneno ya staha, hawa ni watoto. Kasoro za mzazi asibebeshwe mtoto.

    • @Alphakadege-m2j
      @Alphakadege-m2j 10 місяців тому +1

      Nani kasema

    • @nin6324
      @nin6324 10 місяців тому +4

      Yaani mtoto wa daktari akiwa Dr ni Sawa, wa Mwalimu akiwa Mwalimu ni Sawa, wa mkulima akiwa mkulima ni sawa, wa Askofu akiwa Mchungaji ni sawa, sasa iweje wa mwanasiasa akiwa mwanasiasa iwe kero na mnapandwa na ghadhabu kiasi hicho?

    • @omaryonga-hv3lk
      @omaryonga-hv3lk 10 місяців тому +6

      Kuna watoto wana vipaji kuliko huyo mtoto wa Mchemba LAKINI wameachwa hapo inaangaliwa mtoto wa nani ? au chaneli wangelifata haki HATA asingepata hiyo nafasi...hii nchi kama auna chaneli utaangaika sana.

  • @VelonikaMakota
    @VelonikaMakota 10 місяців тому

    Hajui jaman

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 10 місяців тому +5

    kwa utaratibu huu wa tanzania nchi itaendelea kuongozwa na watu wale wale wa koo zisizo zidi 10 itaendelea kutawaliwa na ukoo wa kina makamba, kikwete, nape, mwigulu nchemba, kinana, mwinyi, mana ndio wanao panga mitaala ya elimu yetu kuwa mbovu, na wana panga elimu yetu iweje huku wao wanawapeleka watoto wao international shule za kulipia halafu watoto wengine wa kitanzania wanasoma shule za serikali ambazo darasa moja inakuwa na wanafunzi zaidi ya 100 walimu .unategemea nchi itaendelea kuongozwa nanani

    • @Alphakadege-m2j
      @Alphakadege-m2j 10 місяців тому +2

      ccm ni mbwa kila dhambi wameifanya

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 10 місяців тому

      Wamewafukuza wakoloni ili watutawale wao

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 місяців тому +15

    Uko kama mjingq mjinga mjinga tuhuna lolote umeshinda kwa ajili ya jina la baba yako tu hata kujieleza huwezi

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 10 місяців тому

    Nchi ya watanzania hawa hawa akina hawa da kazi kweli

  • @omarymoshi6238
    @omarymoshi6238 10 місяців тому +2

    Pesa tu hata kujieleza hajui

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 10 місяців тому

    Confident...fact...

  • @Dantaata
    @Dantaata 10 місяців тому

    karibu dogo kwenye siasa mtunyooshe kwelikweli

  • @ISSAMOHAMED-f4f
    @ISSAMOHAMED-f4f 10 місяців тому +2

    Kweeeli Tz Inawenyewe😊

  • @mango.jayzo.
    @mango.jayzo. 10 місяців тому +3

    Actually Hana sifa ya kuwa kiongoz

  • @matikowambura7657
    @matikowambura7657 10 місяців тому

    Kazi tunayo

  • @hoseastephen4508
    @hoseastephen4508 10 місяців тому +2

    Kwa hiyo na hawa wanafundishwa mbinu za kuiba kura?

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 10 місяців тому +1

    Nimempenda bureee

  • @MrishoMzelela-xb9bb
    @MrishoMzelela-xb9bb 10 місяців тому +8

    Maandalizi ya wezi wapya😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 10 місяців тому

      Wacha tu bro😢..

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 9 місяців тому

      Roho za husda tu kwa mtoto Mdogo shenzi zenu mtakufa na vijiba vya moyo mtoto kajitahidi si eti ni mtoto wa waziri

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 10 місяців тому

    Wow❤

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 10 місяців тому

    How possible? Mbona hata kujielezea hajui?

  • @royalahmed7024
    @royalahmed7024 10 місяців тому +2

    Tumefika pabaya hili toto limetembelea nyota ya baba ake maana hata kujieleza haliwezi

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 10 місяців тому

    Jamaniiiiii jamaniii jamaniii jamaniiiii wanawekanaaaaaa tuuuuu

  • @gambagumu368
    @gambagumu368 10 місяців тому

    Mamba HAIWEZI shindana na kenge SIKU zote

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 10 місяців тому

    Karibuni tule nchi kama wazazi wenu!

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 10 місяців тому +15

    Inchi hii ya ajabu sana bora tuseme hatuongozwi kidemokrasia tuwe huru mnarithishana Madara kwa mgongo wa demokrasia

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 10 місяців тому

    Usije kutuibia kama Baba ako uwe mzalendo, sema mtoto wa sheta yuko vizuri

  • @machedafederico572
    @machedafederico572 10 місяців тому +1

    Mtoto wa maisha bora

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 10 місяців тому +8

    I don't know but I deeply feel sorry for these kids

    • @danielmussa6944
      @danielmussa6944 10 місяців тому +3

      But You dont feel sorry for the kids watching cartoons with LGBTQ themes😢

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 10 місяців тому +1

      ​@@danielmussa6944: It's timely and perfect response to non analytical guy.

    • @mdedsm5522
      @mdedsm5522 10 місяців тому

      ​@@danielmussa6944who allowed them to watch....

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 10 місяців тому +2

      @@danielmussa6944 It's unfortunate you should think so. How would you possibly know that? I commented on that specific clip did you maybe expect me to comment on every bad mistreatment our kids undergo?

    • @danielmussa6944
      @danielmussa6944 10 місяців тому

      @@kibbysaidi7813 how is it mistreatment if its not child labour?are we not supposed to teach them while they are young?

  • @sirielsamweli
    @sirielsamweli 10 місяців тому +2

    Kama kubebwaa ndoo huku, kama kupendelewa ndo hivi. kitu kiko waxi kabisaa hata hakitafutwi. Pesa imetumika

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 10 місяців тому

    Jifunzeni mambo ya Mungu na mjue kwamba yote yanapitilia mbali 1Yoh 2: 15-17

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 9 місяців тому

    Ili mtutawale vizuri sisi wanyonge mtawale na watoto wenu

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 10 місяців тому +6

    Hata kuongea hajui masikini daa

  • @Samuelmongi
    @Samuelmongi 10 місяців тому

    Hii nchi ngumu sana

  • @mmubaraka5394
    @mmubaraka5394 10 місяців тому +5

    Mitoto inaandariwa kuwa mijizi ya baadae maongo mifisadi kama wazazi wao ccm kenge kweri

  • @mohamedially5330
    @mohamedially5330 10 місяців тому

    Wa sheta sawa lakini huyu janga hatakuongea shida tumipigwa na kitu kizito

  • @alanmwijarubi
    @alanmwijarubi 10 місяців тому

    Hii nchi hii....... Watoto kwenye siasa?, hayaa

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 10 місяців тому

    Tuondoleeni huo upumbavu wenu watu wanamaisha magumu halafu mnaleta Sanaa na masihara na maisha ya watu pumbavu kabisa

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 10 місяців тому +2

    yaani hiii nchi vichaa hawaishi watoto waachwe wachague wanachopenda

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 10 місяців тому

      Akipenda kuwa kama paula kajala unamwacha tu alaf badae unaanza kulaumu viongoz wanabeba watoto wao wakat wanawafundisha ulikua unawabeza

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 10 місяців тому +1

    Hii nchi kuna watu wanatukosea sana..

    • @willymdeka6034
      @willymdeka6034 10 місяців тому

      Hasa hawa viongozi wa Sasa hivi hata haya hawana

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 10 місяців тому

      @@willymdeka6034 Wacha tu kaka..

  • @ndupdatestz
    @ndupdatestz 10 місяців тому +3

    Huyu hapendi uongozi ila anapelekwa kugombea

  • @joshuasamweli6139
    @joshuasamweli6139 10 місяців тому

    Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema🚶🚶🤗🤗🤗😅😅 acha tu niendeleee kujifukiza

  • @michaelngalo1808
    @michaelngalo1808 10 місяців тому +2

    Hili la watoto kushirikishwa siasa badala ya elimu na vipaji vyao ni sio sawa na halikubaliki. CCM mnavunja sheria ya Haki za Watoto na UN Convention on the Rights of Children not to engage in politics

  • @StephanoCharles-nq8tf
    @StephanoCharles-nq8tf 10 місяців тому +1

    Hyu mtoto apewa tu...Yaan hmn kitu bora mtoto wa sheta yuko vizuli kuliko huyu

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 10 місяців тому +4

    Yani sasa kwakuwa mumeona Mumesha tuweza na ujinga wetu wa kila munayo tufanyia tuna kaa kimya.basi mumeona mutuletee na hiv vizazi vyenu muendelee kulisi Shana .haya twendeni tu.ipo siku isiyojulikana

    • @aud548
      @aud548 10 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @ireneasimwe135
      @ireneasimwe135 10 місяців тому

      😅😅😅

  • @feliciantarimo
    @feliciantarimo 10 місяців тому +7

    Nchi hii ya Tanzania tutaona mengi sana kwani misingi yake ni kubebana

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 10 місяців тому +1

      Kubebana wap wakat mtoto wako yupp home na bint wanagombea remote control ya tv 😅 wafunzen watoto bado wadogo

  • @felixmganga2121
    @felixmganga2121 10 місяців тому +2

    Domo Kama mwanyaaaa

  • @denyu9975
    @denyu9975 10 місяців тому

    Katiba mpya muhimu sana sjuii huu usingiziii tumeutoa wapii watanzania

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 10 місяців тому

    Duh

  • @BakuzaSimon
    @BakuzaSimon 10 місяців тому

    Kwanini watoto wa viongozi ndoo nao wawe viongozi wa Uvccm tuwe macho

  • @KaizaMandike
    @KaizaMandike 10 місяців тому +6

    Mtoto wa "trabu and trakti" 😢😢

    • @magrethsanga942
      @magrethsanga942 10 місяців тому +1

      Hahahaha 😆 hata kujibu hawezi haya maisha bhana nilichokiona wamejazana watoto wa viongozi humu ndani watoto wa watu wa chini ni wachache na wengi wamepigwa chini ni mtoto wa shelter tyuu Mungu kamtetea na anastahili

    • @magrethsanga942
      @magrethsanga942 10 місяців тому +1

      Kama mtot wa trabu na trakt dah hata kuongea bado lakin dah

    • @KaizaMandike
      @KaizaMandike 10 місяців тому

      @@magrethsanga942 Watoto wa viongozi washatengenezewa chain, hakuna nafasi kwa mtot wa maskin hapo

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 10 місяців тому

    Fisadi lingine hilooo

  • @ngotosilasi2099
    @ngotosilasi2099 10 місяців тому

    😅😅😅hatujawa mwiguru mwingine mdogo hatuwa tupigwe nabadooo tutaibiwa mpaka vizazi navizazi

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 10 місяців тому +1

    Unaweza ona kwamba hiii nchi inawenyewe

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 10 місяців тому +2

    Ndio mambo yakina mseven, poul kagame, wananda familia zao kushika nchi

  • @happyhillu3013
    @happyhillu3013 10 місяців тому

    Naona watoto wa viongozi tu!

  • @AbdallahMohamed-wz8lc
    @AbdallahMohamed-wz8lc 9 місяців тому

    Limeshiba hela za trab mpaka haliwezi ongea😮

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 10 місяців тому +4

    Duuh nchi hii hasa ccm hawa viongozi wabaya sana toto hata kuongea hawezi mnalipa uwongozi baba yake kichwani hamna kitu na mtoto naye karisi

    • @mustafaalli4698
      @mustafaalli4698 10 місяців тому

      😂😂

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 10 місяців тому

      Selemani uneliona hilo liko kama halipo sasa hilo la nini limenenepeana kama dudu vule kujieleza haliwezi kama jinga jinga heri hata lingeachwa bila kuhojiwa aibu tupu wstoto wa wazazi wao wasiotaka kutolewa mitandaoni ni bright sana kuliko hilo watoto wazuri ni wa wenzake na nk hawa wengine waliobaki wengi wao mibomu tupu katika watoto wa Marais wastaafu ni mtoto mzuri ni Hussein mwinyi tu mingine iliyobaki miuza madawa ya kulevya mikomba pesa za Nssf halafu inataka Urais 2030 ipewe na nani

    • @salmoomorefeelingproductio1744
      @salmoomorefeelingproductio1744 10 місяців тому

      Mbona kajibu vizur,kama we ni mpiga debe basi mwanao nirahisi kuwa konda ila mmesahau maji hufuata mkondo?

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 10 місяців тому

    Jamani hizi nafasi za chipukizi mbona hamjasema tukagombanie na Sie😅 watu mna siri uchoyo gani huo😅😅

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 10 місяців тому +1

    kuongea tu Shida mwambie akufundishe na kupandisha tozo

  • @robertadolf562
    @robertadolf562 10 місяців тому +2

    chama cha familia, duh...ni ukoo na familia. tutaumizwa sana. nani likifanyika sio atawajibishwa

  • @iringanboy8025
    @iringanboy8025 10 місяців тому +2

    Kuipinga serikali si kuichukia; bali ni ombi la kutaka ibadilike.Kwa mfumo huu hapana

  • @6VEVONEWS
    @6VEVONEWS 10 місяців тому

    Kila la heli

  • @GiftMwakalinga-yp2fh
    @GiftMwakalinga-yp2fh 10 місяців тому

    Shida hii nchi tuliwahi sana kupata uhuru😢

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 10 місяців тому +1

    HONGERA TOTO JANJA LOVE YOU! KOMAA MUOMBEE BABAAKO RAFIKI YANGU Dr *DABO EMu*AKUSOMESHEWEEE,,, MPAKA UWE DOCTOR HOSPITALINI AU ENGINEER! UJE USAIDIE WENZIO! MAWE YA SIASA MABAYA MUACHIE BABA APAMBANE NAYO MWENYEWE!😢

  • @godwinmbise8207
    @godwinmbise8207 10 місяців тому

    JAMBAZI WA baadaae,so sad😢

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 10 місяців тому

    Awa ni wahudumu uchumi, wako tayari kuuwa kwa ajiri ya masrahi yao. Utu mtoto hajui njaa ni nini shida ni nini. Mwisho wa yote eti aje kuwatetea wanyonge kamwe haiwezekani. Watanzania zindukeni. Ukoloni kwa mgongo wa waswahili unakuja kututawala

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 10 місяців тому +3

    huyu mtoto amepewa Tu hata kujieleza hajui 😂😂😂

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 10 місяців тому

      Anapata taabu kujieleza kwa kiswahili bila shaka lakini anaweza kujieleza vema kwa kiingereza.

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 10 місяців тому +2

    Tangu lini bonge na akili wa kakaa sehemu moja

    • @Zuu673
      @Zuu673 10 місяців тому

      😂😂😂😂😂

    • @andrewkilave3532
      @andrewkilave3532 10 місяців тому

      😅😅😅 ila hii nchi

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 10 місяців тому +2

    Kama baba jambaz kiac hiki je mtoto itakuaje?...linapikwa jambaz jipya😂😂

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn4882 10 місяців тому

    Lilieni katiba mpya tu,bila hivyo tutaishia tu kwenye mitandao

  • @leahsangawe9609
    @leahsangawe9609 10 місяців тому

    Maandalizi😁😁😁

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 10 місяців тому

    Mbona ajui kujieleza

  • @ainekishagodwin1877
    @ainekishagodwin1877 10 місяців тому

    Mbona ni watoto wa viongizi

  • @brianmushi7004
    @brianmushi7004 10 місяців тому

    Kitu gani kilikufanya upende siasa. ‘ cha msingi babaangu ubunge na chipukizi’ 😂😂😂😂😂 alooohh

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 10 місяців тому +2

    Naona wengi wao watoto wa viongozi tyuuu

  • @JamesNgondo-n5c
    @JamesNgondo-n5c 10 місяців тому

    Kweli sisi maskini hatuna chipukizi ya utajiri tuu

  • @ipatemedia
    @ipatemedia 10 місяців тому +5

    Yaan kulikua na watoto wanaweza kujieleza vizuri sana ila nashangaa kwanini kapata huyu

    • @andrewkilave3532
      @andrewkilave3532 10 місяців тому +1

      😅😅😅 ila watu

    • @ngorshermelody2021
      @ngorshermelody2021 10 місяців тому +1

      😂nomaaaa mtoto yuko ovyoovyo kuomgea hajui bora hat wa sheta ana muamko

  • @stanleyshoo
    @stanleyshoo 10 місяців тому

    😮

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 10 місяців тому

    Uchaguzi ujayo tunampa ubunge wa dar es salaam

  • @frankwilliam144
    @frankwilliam144 10 місяців тому

    Acheni kashfa kwa watoto wa viongozi eti kwa sababu wapo kwenye nafasi flani. Kuwa kiongozi ni maandalizi tu. Mtapata dhambi bure kwa kuwakashfu watoto. Kwani wao wana makosa gani? Tunazaa tulivo, msijisahaulishe

  • @benjatv2493
    @benjatv2493 9 місяців тому

    Mtoto hajui hata kuongea me nadhan tunawaharib watoto kuwafundisha siasa wakiwa bado wadogo sana

  • @Maaworldwide
    @Maaworldwide 10 місяців тому

    Hamna kitu hapo kawekwa tu,,hajui maskini ya MUNGU hapo katikaje

  • @salmoomorefeelingproductio1744
    @salmoomorefeelingproductio1744 10 місяців тому +2

    Kama we ni mkulima muandae mwanao kuwa mkulima,maji hufuata mkondo kwanini dogo asipende uongozi wakati kila huwa anaingia bungeni,baba akiwa mganga hushangai mtoto kurithi vipi hili maneno mengi baba ndio huandaa dira ya watoto na mtoto huchagua,mimi sio mtu wa chuki Hongera CHIPUKIZI,#Mwigulu

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 10 місяців тому

    Tunajua mnaanda watoto wenu waendelee kutawala taifa hili

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 6 місяців тому

    Mtoto anarithishwa uchawi

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 10 місяців тому

    Limeshinda kwaajili tu ni babaake ni waziri hajui hata kuongea halijui. Wenye pesa wengi kuongea hayajui jamani ilo limeshindatu kwakua ni baba ni mkubwa maskini ndo wanajua kuongea umeona mtoto wa sheta matajili wasengesenge

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 10 місяців тому

    Dogo eeh, tutaonana miaka 15 ijayo. Tukiwa hai ntarudi tena hapa hapa

  • @Alphakadege-m2j
    @Alphakadege-m2j 10 місяців тому

    Yaani serikali ya ccm ya ki kenge

  • @nassornassir-ho3iw
    @nassornassir-ho3iw 10 місяців тому

    Mara izac mara qaila mshindi ni yupi sasa

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 10 місяців тому

    Mmmmh nafasi ya mzazi inambeba lkn hamna kitu humu! Maelezo zero tu