Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
😂😂😂😂Leo WA kwanza Kuangalia Naomba Like zenu wapenzi Tunaofatilia hiii film Bomba ya Aladini🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💋💋💋😋👋🤗
Wee sauti umepatia wapi mbn umefurah sana
Ninzuli sana aise mwendo wa kuvunja mbavu
@@priscageff1835 🤣🤣🤣🤣🤣masihara hayo
@@priscageff1835 na zinavunjika kwel ap stress zang za warab zinatiwek ni mwend wa mbav tu 🤣🤣🤣
Kajini kadogo kameondoka na tiny white duh🤣🤣🤣🤣 naomben like jmn
From Saudi Arabia Nawapenda sana Tin na Wenzako 💥💥💥💥💥💥
From Saudi Arabia RIYADH 🇸🇦
Mayelee kaletaaa tabuuu😁😁had jinii sasa🤣🤣😁aladin u made my day🤣🤣
First like kwang jmni
No sound, that could have been the most important thing you could have done
Atutaki😂😂
Kwa kipi sasa 🤣🤣🤣
@@alhmdulilah1187 we kam utaki si ukaushe tu
Aladini leo kazi unayo umempiga mtoto wa mayele 😂🤣😂🤣😂🤣
Wa kwanza kuview. Yaan ndo nilikuwa nmeitafta sjaipata af naiona hyoo.
Subscribe itajileta yenyewe👌
Mnasem hakun saut mnatumia tecno au mbn saut iko poa tu
No one minute ila watu wameshaiyona🤣🤣🤣🤣
Woyoooooo o Leo nime iwai wakuuuuuuuu lungwaaaa
Dah ivo alivyovutwa kilangaso 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kajini kadogo dogo kanakula vitumbua vyetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
First
Hello Iam the first one
Bongoo bwan jini kapigwa🤣🤣🤣🤣
oyaa wa kwanza mm oyoooo
Jmn hivi ni sim yangu au wote team #TinwhitAladin sauti haisikiki me naona kama sanam tu jmn 😥😥
Mm saut kubwa adi napunguzaaaa
Tin fanyaa mapango serious hiii irushweeee SINEMAA ZETU itakuongezeaa credit
Kila kinacholushwa sinema zetu ujue bas iyo movu imenunuliwa ,,hii Bado aijanunuliwa na azam
Hahaha hili movie la kwenda watu wameupiga mwingi sana like kwa wanaolikubali hili movie jmn
Duu nikajua wa kwanza mm
Leo tumewahi aladini
Jamn Mie mbn sickii sauti Amna
Tinwhite kilangaso 😀😀😀 movie hiko sawa good job sauti hiko sawa kabisa
Aladini anakiwashaa
Kazi zuri sana tin
Afadhali dah! Nilikuwa naisubiria sana hii.
Sipati picha kama angekuwepo na ringo a.k.a mkweche 🤣🤣🤣
Aseee natamani awemo humu
Tuma ya sauti eee wew tin white atuna raha uku eeeee mbona hivyo mzee
Like nyingi Kama umeikubali aladini
Thanks
Naon kwang haina saut wenzang munaipongeza
Lkn kwenye vidmate inasauti tayr nimeion iko vzur sana
Mbona sauti hakuna jamani
Mbona saut hakuna
Sauuti VP mbona mnatunyima raha🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
From Meru Tanzania 💚💛
Kubwa kuliko kwenye vitumbuaa😁😁make kwanza hapo nicheke
Uhondo unapungua kila siku kamoja tu Wekeni hata tuwili et
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂Aladin kampiga mtoto wa mayelee😂😂
Hataree
Wa pili jmn
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kajini mtoto kachezea makof leo
Mbn inagoma kufunguka inakata
Aladin kiranga kimekuponzaaa😂😂😂😂😂😂
Wapili leo
Aladini fala san kampa migumi jini jmn
Nimeidaka ya 🔥🔥
Jamani irudiwe sauti hakuna au bas acha tu😂😂😂😂😂😂
Simu Yako mbovu🤣
KWA WOOTE MNAOLALAMIKAA HAKUNAA SAUTI NENDENI MKAANGALIEEE KWAKUTUMIAA VIDMATE AU UPDATE UA-cam YAKO 🙏
Oy Niuzie Channel yako
Utakuja kutuua we jamaa na vicheko jamani
Mbona kwangu Haina sauti
😂😂😂😂🤣🤣ebwanaeeee
Mbona kwangu haitoi sauti jamani
Kila saa naingia u tube 7b ya Aladin,,,an nishakuwa Addicted tayar!!😂
Aza kutuma tena bana maana hii akuna raha tunahitaji sauti eeee
Mbn kwangu ipo sauti
Jmn uyo shekh anaefung kilemb napenda anavyoongea mm
Kumbe kajini kadogo dogo ndo kanakula vitumbua vyetu😀😀😀😀 aladini bwana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kilangaso umeshuka vizuri kitandani 🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥
Tini umetuwangusha sauti hakuna bana
Daah izi ndoto nyingine 🛌
mtatuua kwaivi vituko nilushie namba yasim tuweze kuwasiliana Mimi nimdau wenu kuazialeo nimewakubari hiii ebu niachenicheke eee😃😃😃😃🌹😁😆😋😛😝😜
Apo unajua unaendeleza vipi yani tini huonekani na mtuh yeyote ila unajifanya kumpigia cm jamaa apo yani mnaongea kwa cm oyaa wameniziba ukuh sionekani nakupata kwa cm tuh
Wooow nimengoja kw hamu na gamu
Leo vipi jamani mbonaa sauti hakuna au bwana mzungu kasababisha msituwekee sauti
Ni nzuri kwakweli natunazipenda
Mbna mm sauti hakuna
Aladin unampatia kajini adabu 😆😆😆🤣🤣🤣Aya ushayayeyuka
Nimekapenda kajini kadogodogo kamekula vitumbua vya watu
Aladini kapiga mtoto wa mayere 😁😁
Mayere kibonge🤣🤣🤣
Mash Allah mnajua bwana
😀😀😀😀😀😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁ila nyie jamaa nyie duuuhhhh
Mbona ya leo Haina sauti Hadi inaboa yaani
Update your UA-cam or tumia Vidmate kuangalia
Big up sanaaa sauti imerudi🔥🔥🔥🔥🔥
Nikajua haipatikani leo maana naifatilia A to Z
Amazing thanks 😊🙏☺👍🙌 wait for another episode
Hii kiboko yao... Tuongezeni episode kwa cku ziw 2 hii moja mnatuacha na mshawasha 🥰🥰🥰🥰 Big up kwa ALADINI🥀🥀😘🥰
Mambo zai😍😍😍
@@zaburijr2504 poa
Sitaki kufananisha lakini binadamu ya kitale haifiki kwenye hii kitu jmn mweupe umeweza baba😀😀😀😀😀
Oya tini mnachelewa sana kutoa toen kwa intarval nzuri bc kila cku asubuh au jion inatoka epsod
Leo masharti hakuna kula
Nirikuwa nimeisubiri kwahamu Ila ninawapenda sana
Kaz nzuri thine white
Woyooooooooo
Mbona Sasa Haina sauti
Jaman Haina sauti
Duuuh tin kapaa nalo....had alipwe vitumbua vyake😀
Naomba munisaidie naitaji kuigiza hassani mie
Hahahaha apana tinny utatuvunja mbavu kuna mayele bonge jaman
Nawapata vizuri ssna nikiwa mozambique
Vitumbuwa vimempoteza aladini
Sauti jamani au ni kwangu2
Mvumilivu hulambivu hatimae mmepata nyumbayable 😄😄😄😄😄👏👏👏👏💋💋💋🔥🔥🔥
Nyie mtaniua jamn kilangaso alivyovutwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jini mapoda ruhusuu basi tupatee sautii
Brother tin mayel bongeeeee ataendelea Hadi mwisho kwel
Imekuwaje tena mbona hatuwezi tena kuona au ni sim zetu jamani dah 🥲🥲nimekosa kitu kitam kweli
Sim zenu izo mbona sauti ipo bomba tu
Il tin anazingua tin dixh akimung😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 duuuh mbav zang jmn
Yaan tin white anavo shtukaga nacheka kinoma 😂😂😂😂
Hapa hivi tuu kicheko mpk majiran wanastuka angekuwepo na na ringo aaah mbv zangu mie
leo nimkuwa wa kwanza kcoment an😜😜😜😜😜woyoooooooooo
Wapi like za tin white jmn
😂😂😂😂Leo WA kwanza Kuangalia Naomba Like zenu wapenzi Tunaofatilia hiii film Bomba ya Aladini🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💋💋💋😋👋🤗
Wee sauti umepatia wapi mbn umefurah sana
Ninzuli sana aise mwendo wa kuvunja mbavu
@@priscageff1835 🤣🤣🤣🤣🤣masihara hayo
@@priscageff1835 na zinavunjika kwel ap stress zang za warab zinatiwek ni mwend wa mbav tu 🤣🤣🤣
Kajini kadogo kameondoka na tiny white duh🤣🤣🤣🤣 naomben like jmn
From Saudi Arabia Nawapenda sana Tin na Wenzako 💥💥💥💥💥💥
From Saudi Arabia RIYADH 🇸🇦
Mayelee kaletaaa tabuuu😁😁had jinii sasa🤣🤣😁aladin u made my day🤣🤣
First like kwang jmni
No sound, that could have been the most important thing you could have done
Atutaki😂😂
Kwa kipi sasa 🤣🤣🤣
@@alhmdulilah1187 we kam utaki si ukaushe tu
Aladini leo kazi unayo umempiga mtoto wa mayele 😂🤣😂🤣😂🤣
Wa kwanza kuview. Yaan ndo nilikuwa nmeitafta sjaipata af naiona hyoo.
Subscribe itajileta yenyewe👌
Mnasem hakun saut mnatumia tecno au mbn saut iko poa tu
No one minute ila watu wameshaiyona🤣🤣🤣🤣
Woyoooooo o Leo nime iwai wakuuuuuuuu lungwaaaa
Dah ivo alivyovutwa kilangaso 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kajini kadogo dogo kanakula vitumbua vyetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
First
Hello Iam the first one
Bongoo bwan jini kapigwa🤣🤣🤣🤣
oyaa wa kwanza mm oyoooo
Jmn hivi ni sim yangu au wote team #TinwhitAladin sauti haisikiki me naona kama sanam tu jmn 😥😥
Mm saut kubwa adi napunguzaaaa
Tin fanyaa mapango serious hiii irushweeee SINEMAA ZETU itakuongezeaa credit
Kila kinacholushwa sinema zetu ujue bas iyo movu imenunuliwa ,,hii Bado aijanunuliwa na azam
Hahaha hili movie la kwenda watu wameupiga mwingi sana like kwa wanaolikubali hili movie jmn
Duu nikajua wa kwanza mm
Leo tumewahi aladini
Jamn Mie mbn sickii sauti Amna
Tinwhite kilangaso 😀😀😀 movie hiko sawa good job sauti hiko sawa kabisa
Aladini anakiwashaa
Kazi zuri sana tin
Afadhali dah! Nilikuwa naisubiria sana hii.
Sipati picha kama angekuwepo na ringo a.k.a mkweche 🤣🤣🤣
Aseee natamani awemo humu
Tuma ya sauti eee wew tin white atuna raha uku eeeee mbona hivyo mzee
Like nyingi Kama umeikubali aladini
Thanks
Naon kwang haina saut wenzang munaipongeza
Lkn kwenye vidmate inasauti tayr nimeion iko vzur sana
Mbona sauti hakuna jamani
Mbona saut hakuna
Sauuti VP mbona mnatunyima raha🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
From Meru Tanzania 💚💛
Kubwa kuliko kwenye vitumbuaa😁😁make kwanza hapo nicheke
Uhondo unapungua kila siku kamoja tu
Wekeni hata tuwili et
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂Aladin kampiga mtoto wa mayelee😂😂
Hataree
Wa pili jmn
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kajini mtoto kachezea makof leo
Mbn inagoma kufunguka inakata
Aladin kiranga kimekuponzaaa😂😂😂😂😂😂
Wapili leo
Aladini fala san kampa migumi jini jmn
Nimeidaka ya 🔥🔥
Jamani irudiwe sauti hakuna au bas acha tu😂😂😂😂😂😂
Simu Yako mbovu🤣
KWA WOOTE MNAOLALAMIKAA HAKUNAA SAUTI NENDENI MKAANGALIEEE KWAKUTUMIAA VIDMATE AU UPDATE UA-cam YAKO 🙏
Oy Niuzie Channel yako
Utakuja kutuua we jamaa na vicheko jamani
Mbona kwangu Haina sauti
😂😂😂😂🤣🤣ebwanaeeee
Mbona kwangu haitoi sauti jamani
Kila saa naingia u tube 7b ya Aladin,,,an nishakuwa Addicted tayar!!😂
Aza kutuma tena bana maana hii akuna raha tunahitaji sauti eeee
Mbn kwangu ipo sauti
Jmn uyo shekh anaefung kilemb napenda anavyoongea mm
Kumbe kajini kadogo dogo ndo kanakula vitumbua vyetu😀😀😀😀 aladini bwana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kilangaso umeshuka vizuri kitandani 🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥
Tini umetuwangusha sauti hakuna bana
Daah izi ndoto nyingine 🛌
mtatuua kwaivi vituko nilushie namba yasim tuweze kuwasiliana Mimi nimdau wenu kuazialeo nimewakubari hiii ebu niachenicheke eee😃😃😃😃🌹😁😆😋😛😝😜
Apo unajua unaendeleza vipi yani tini huonekani na mtuh yeyote ila unajifanya kumpigia cm jamaa apo yani mnaongea kwa cm oyaa wameniziba ukuh sionekani nakupata kwa cm tuh
Wooow nimengoja kw hamu na gamu
Leo vipi jamani mbonaa sauti hakuna au bwana mzungu kasababisha msituwekee sauti
Ni nzuri kwakweli natunazipenda
Mbna mm sauti hakuna
Aladin unampatia kajini adabu 😆😆😆🤣🤣🤣Aya ushayayeyuka
Nimekapenda kajini kadogodogo kamekula vitumbua vya watu
Aladini kapiga mtoto wa mayere 😁😁
Mayere kibonge🤣🤣🤣
Mash Allah mnajua bwana
😀😀😀😀😀😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁ila nyie jamaa nyie duuuhhhh
Mbona ya leo Haina sauti Hadi inaboa yaani
Update your UA-cam or tumia Vidmate kuangalia
Big up sanaaa sauti imerudi🔥🔥🔥🔥🔥
Nikajua haipatikani leo maana naifatilia A to Z
Amazing thanks 😊🙏☺👍🙌 wait for another episode
Hii kiboko yao... Tuongezeni episode kwa cku ziw 2 hii moja mnatuacha na mshawasha 🥰🥰🥰🥰 Big up kwa ALADINI🥀🥀😘🥰
Mambo zai😍😍😍
@@zaburijr2504 poa
Sitaki kufananisha lakini binadamu ya kitale haifiki kwenye hii kitu jmn mweupe umeweza baba😀😀😀😀😀
Oya tini mnachelewa sana kutoa toen kwa intarval nzuri bc kila cku asubuh au jion inatoka epsod
Leo masharti hakuna kula
Nirikuwa nimeisubiri kwahamu Ila ninawapenda sana
Kaz nzuri thine white
Woyooooooooo
From Saudi Arabia RIYADH 🇸🇦
Mbona Sasa Haina sauti
Jaman Haina sauti
Duuuh tin kapaa nalo....had alipwe vitumbua vyake😀
Naomba munisaidie naitaji kuigiza hassani mie
Hahahaha apana tinny utatuvunja mbavu kuna mayele bonge jaman
Nawapata vizuri ssna nikiwa mozambique
Vitumbuwa vimempoteza aladini
Sauti jamani au ni kwangu2
Mvumilivu hulambivu hatimae mmepata nyumbayable 😄😄😄😄😄👏👏👏👏💋💋💋🔥🔥🔥
Nyie mtaniua jamn kilangaso alivyovutwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jini mapoda ruhusuu basi tupatee sautii
Brother tin mayel bongeeeee ataendelea Hadi mwisho kwel
Imekuwaje tena mbona hatuwezi tena kuona au ni sim zetu jamani dah 🥲🥲nimekosa kitu kitam kweli
Sim zenu izo mbona sauti ipo bomba tu
Il tin anazingua tin dixh akimung😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 duuuh mbav zang jmn
Yaan tin white anavo shtukaga nacheka kinoma 😂😂😂😂
Hapa hivi tuu kicheko mpk majiran wanastuka angekuwepo na na ringo aaah mbv zangu mie
leo nimkuwa wa kwanza kcoment an😜😜😜😜😜woyoooooooooo
Wapi like za tin white jmn