CHEKECHE || Nini kifanyike vita ya Urusi na Ukraine imalizike 25/02/2023

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • Zaidi ya watu 8,000 wamefariki dunia kufuatia vita kati ya Urusi na Ukraine huku zaidi ya watu 13,000 wakijeruhiwa.
    Je, mwaka mmoja wa vita ya Urusi na Ukraine una maana gani kwa usalama wa dunia na athari za kiuchumi kwa ujumla.
    Moses Mohamed anaungana na wachambuzi wa kimataifa AbdulAziz Jaad, Abdulshakur Aboud na Maggid Mjengwa kujadili mwaka mmoja wa vita hivyo.

КОМЕНТАРІ • 93

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Рік тому +6

    AZAM MNAANZA KUWA MNATUMIKA.... na MASHOGA

    • @geraldsanzala8119
      @geraldsanzala8119 Рік тому

      Siku nyingi tu wanatumika. Waislamu wazima wamevaa upunguwani

  • @jamirually893
    @jamirually893 Рік тому +9

    Chekeche ni vibaraka

    • @alimkumbukwa8363
      @alimkumbukwa8363 Рік тому +3

      Kama uyu alianza apo mwnzon anaonysh Kama urus ndio anakosa wakt wmghlb ndio walianza n waktngnz urfk w kinfki

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Рік тому +9

    Urusi apigani na ukren anapigana na nato na marekani au hamjui hilo

    • @leonardgodliver9043
      @leonardgodliver9043 Рік тому

      Kivipi?

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 Рік тому

      @@leonardgodliver9043 marekani anapeleka siraha pamoja na jeshi kisirisiri hvyo vifalu si vinapekwa na jeshi

    • @leonardgodliver9043
      @leonardgodliver9043 Рік тому

      Ahaaah Afaghastan, Iraq na Vietem Urusi na China wlipeleka pia silaha je Marekani alipigana na Urusi na China?

  • @salumkhamis2059
    @salumkhamis2059 Рік тому +2

    Mbona marekani hakueheshimu Iraq,libiya, na siria

  • @mikaelikamili3108
    @mikaelikamili3108 Рік тому +6

    acha zelensik aue watu wake ipo siku atakumbuka aangalie Libya na ilaq

  • @emanuelchrisant8221
    @emanuelchrisant8221 Рік тому +2

    Mbona vita vya libya,Palestina,Kongo,Iraq na Afghanistani hamukuweka Chekeche Mnatumika vibaya Acheni ushoga Sisi hayatuusu.

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Рік тому +5

    Imewaelewa africa tupo Russia kiuhalisia

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Рік тому +5

    Urusi hajavamia anafanya operation kuwaondoa vibaka ambao walitaka kuweka bezi

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Рік тому +5

    Mimi napenda kiduku hamtupie nyuklia Amerika

  • @hossanaassanemdulumdulu6731

    Abdul Aziz yupo very good katika uchambuzi,

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Рік тому +6

    Zeleksi ni kibaraka wa marekani na nato

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 Рік тому +4

    Namshauri Putin aongeze mashambulizi makali zaidi

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Рік тому +2

    Tunamuombea putini achukue ukrein yote

  • @eduardoedward
    @eduardoedward Рік тому +2

    Putin piga hao washenzi wametuulia gadafi

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Рік тому +2

    Azam mnaanza kuwa mnatumika na mashoga wa magharibi

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Рік тому

    Jamaa wa Uingereza amechambua vizuri sana

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088

    Aboud inatakiwa kujuwa kuwa ukraine ni sehemu ya warusi mipaka ni uwaduwi wa kisiyasa wa wamerika na mabwana zao kutoka ulaya

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Рік тому +1

    Urusi hapigani na ukraine anapigana na NATO na marekani.. wapo mamluki kibao wa magharibi wanaisaidia Ukraine

  • @lushidulajidanda2321
    @lushidulajidanda2321 Рік тому +3

    Nyingi nivibalaka vyamarekani

  • @shaabansabour1214
    @shaabansabour1214 Рік тому +1

    Vita baina ya Ukraine na Urusi imekwisha na Ukraine imeshindwa. Vita Sasa ni Marekani na NATO dhidi ya Urusi. Ikumbukwe Urusi haikuvamia Ukraine lakini ni kujilinda usalama wake. Hii ni tofauti na Uvamizi wa Marekani huko Mashariki ya Kati na Yugoslavia Cambodia.
    Zelensky ni kibaraka na amewekwa pale na Marekani sio na wa Ukraine. Kinachosikitisha ni Azam TV kujiingiza na kusema huu ni Uvamizi na kuwa upande wa Mashoga.

  • @abuuloti-zf6pu
    @abuuloti-zf6pu Рік тому

    Nikwann ukreine nasio palestina sriya libya afghanistan iraq kwanni ukreine wanaipgania sana lakin israel anashambulia sriya juz

  • @augustinemwalongo9824
    @augustinemwalongo9824 Рік тому +1

    Jaad uko sawa bora urusi ipige kipigo cha mbwa koko ili wamarekan watie adabu

  • @shukuruelisharukobe6373
    @shukuruelisharukobe6373 Рік тому +1

    Mbona hamzungumzii wenye Marekani ime uwa?

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Рік тому

    Mnaogopa msifukuzwe kazi zenu , ila ukweli hupu, Marekani na kundi lake wamekosea esabu, Putin ata waibisha sana poleni sana kwa ujinga wenu.

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Рік тому +2

    Matekani kavamia libya mbona hamkusema🤣

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Рік тому +1

    Libya na Iraq alipokuwa wanatandikwa mlikuwa wapi chkecheo? Palestina anapigiwa Kila siku mko wapi? Migogoro yote dunian chanzo ni marekan na washirka wake!!
    Mnatumika

  • @shadidumabote9262
    @shadidumabote9262 Рік тому

    Mh,Putin, very good, tunahitaji ile mipango ya urusi kutumia kemikali dhidi ya ukrein ifanyike kwa haraka ili NATO na marekani waelewe uwepo wao ni upi? Na anae sema kua urusi kaivamia ukrein anakosea Kama kavamiwa mbona anajiandaa na mapigano au mbona anajihami

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Рік тому +1

    Usubirie wapeke hivo vifaru mianne na ndege miambili kisha Urisi apige Nyuki tu

  • @majaliwamtungwa5632
    @majaliwamtungwa5632 Рік тому

    Munaongelea bya ulaya mnahacha kuongelea bya Africa hvi vya urusi na Ukrainian binabahusi nini? Amuko sawa na ninyi

  • @sharifuhusseinally542
    @sharifuhusseinally542 Рік тому

    Mimi kinachosikitisha nikwamba ulaya yenye mataufa yaliotawala dunia tena kwanguvu yakiitawala mpaka hiyo U S A leo yamekua mateka wa U S A inasikitisha sana vita hivi nivya marekani wala sio vya ulaya ni marekani na Urussi hao ndo wanaweza wakaamua vita viishe lini

  • @daudimabumba2887
    @daudimabumba2887 Рік тому +1

    Mwambien zelenzick aache ujinga nchi inachukuliwa halafu mnamuita shujaa kama unaakri huwezikusifia ujinga wanamna hii

  • @hossanaassanemdulumdulu6731

    Ubeberu ni tatizo la Dunia linavunja amani ya Dunia, ubeberu unanyonga haki za wanyonge duniani, ubeberu ufikie tamati utokomezwe kakita USO wa dunia

  • @abdullahjuma3926
    @abdullahjuma3926 Рік тому

    Kwa mara ya kwanza mmechambua hali halisi ya usalama wa Dunia na uchumi wake. Ni kweli kabisa UN kurekebishwa na EU wajitambue kwamba wanamnufaisha Marekani bila kujali hali zao hio ni kwasababu pengine ni woga au nyuma ya pazia kuna mambo baina ya marekani na viongozi wa eu.
    Suluhuaho ni muhimu na mabadiliko ya sura ya UN yawe kweli kwa nchi zote bila upendeleo.

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Рік тому +1

    UN ni umoja wa marekani na washirka wake nahaupo kwa amani ya ulimwengu

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Рік тому +1

    Nina wasiwasi na media hii. Inawezekana ikawa ni kibaraka wa magharibi.

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Рік тому

    Awaongei ukwer awa jamaa urs kaingia vtn sabbu n urfk w knafk w maghlb walkuwa wana weka mashush wngi kptia ukrein ili wzd kuiangsh Urus awa sem ayo awa jama wasfkli watu awaelew kbsa

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088

    Himaya ya walaya imekwisha

  • @dominiquedavid87
    @dominiquedavid87 Рік тому

    Kila zelensk anachoongea anaandaliwa na marekani anatumika kama wakala wa Nato

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Рік тому

    Vita iendeleee

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph6320 Рік тому

    Mgogoro utaisha pale urusi atakapo chukua nchi yote ya ukrain au zelensk afe au akimbie nchi

  • @David-rb6cf
    @David-rb6cf Рік тому +1

    Uchambuzi mzuri saana.

  • @dusabimanaalan8156
    @dusabimanaalan8156 Рік тому

    Nyinyi ni WA kwanza na mtaendelea kuwa hivyo katika uchambuzi wa mambo

  • @shijamarco2662
    @shijamarco2662 Рік тому +2

    Ukweli nikwabwa wasomi wanamapungufu makubwa nisawa na mtu anae okota huwezi kumshauli kwasababu kapaniki kama mtu mwenye hasira paka ziishe kunaubinadam nashelia sisi tusio wasomi tunatumia ubinadamu kiongozi wetu nimngu wanaotumia Shelia kiongozi wao shetani sisi ambao hatuna usomi lilikuwa swala dogo tu mlusi alitakiwa apewe haki yake haki yake naloho zawatu zilizomwagika na kujifanyia mnajua haki zabinadam kuliko masilahi ata ambae hakusoma anawashangaa nyinyi wasomi kwahekima zenu .

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 Рік тому

    Hii vita imefikia hatua ya point of no return ..maana urusi kashachukua mikoa 4 aliyokua anaitaka na kashapitisha kwenye katiba kwamba at iachia ata kwa kumwaga dam .. na ukraine anaona nyuma kuna nguvu kubwa ya ulaya inataka kumsaidia kukuomboa maeneo yake..
    So solution ya hii vita ikifika hii level huwaga ni kifo ..maana diplomasia haiwez kabisa
    Manake ni urusi Sasa aaamue rasimi kutumia nguvu zake zote kuipiga ukraine kifo Kibaya incase atumie nuclear ili isichukue muda
    Then kama ulaya na MAREKANI watatak kulipa basi itakua vita ya 3 y dunia..then watakufa watu wengi then vita itaisha maana kila lenye mwanzo linamwisho..na dunia itaingia kwenye Mizuno mingine mipya

  • @IsmailBagayabakwe-bb1pl
    @IsmailBagayabakwe-bb1pl Рік тому

    Nipe abari muchambuzi imasiku unatuima mahabari

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Рік тому

    Taratibi tu mmeanza kuisoma namba vzur mwanzon mlikuwa mnashadadia Sana marekani na kuona urusi si chochote saiv mmeanza kuwa neutral na maana ya neutral ni kwamba mpo upande wa urusi ila mnaona aibu

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 Рік тому

    Kwahiyo na nyie Azam Bado mpo upande wa Ukraine?
    Maana huyo mwanamke digest ya VOA, BBC, na CNN.
    Waandishi kuweni makini kuchambua mambo siyo usiku mzima unamsikiliza Diamond na Konde Asubuhi umesikiliza BBC mbio kuzungumzia vita.
    Tambueni mchango wa historia, nani mchokozi na mikataba ikoje. Si vema kujifanya umarekani umewazidi na kununuliwa Kisha unajikita tayari mchambuzi.

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Рік тому

    Uvamizi wa Putin hautafanikiwa bendera ya Ukraine inaruka na kupepea Kila mahali

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 Рік тому

    Kwangu me wauane tuu maana hawa magharibi na ulaya wamezoea kutuonea sisi waafrica walimuua Gaddafi na hakuna kiongizi wa Africa wala wa ulaya aliyeikosoa nato na marekani kwa uvamizi wake leo mjadala mkubwa wa nini acha waone jinsi Africa wanavyoteseka na vita wanavyovichochea wenyewe we angalia Libya, Congo Afghanistan Iraq na nnchi zingine zenye vita je mbona hakuna anayetoa hyo misaada kama wanayoitoa kwa Ukraine 🇺🇦

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Рік тому

    Nyinyi mliwahi kuikemea marekani kwa nchi alizovamia? Vibaraka nyie sitizami twna

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Рік тому +1

    Azam nao mashoga sasa

  • @kambugarakim4840
    @kambugarakim4840 Рік тому

    Abdul aziz jaad nimekubal uchambuz wako .

  • @rashidikhalfani-qt8rp
    @rashidikhalfani-qt8rp Рік тому

    Naomba marekani ikong'ote

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Рік тому

    Marekani anamuogopa urusi hajui aanze vp

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Рік тому

    Pumbavu nyie chekeche upumbavu Tanzania team Putin

  • @nzeyimanaambari9754
    @nzeyimanaambari9754 Рік тому

    Pongezi shakuru ,ndio ushaurihuo

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 Рік тому

    Kumbe na nyie ni vibaraka wa marekani ...

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Рік тому

    Ukraine tunaslaa mpyaa tuko vzur

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Рік тому

    Finland na Sweden kaogezeka inamaana Gani kwa Urussi

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 Рік тому

      Hizi hazina shida ni nchi ndogo tu

    • @dottomabula7253
      @dottomabula7253 Рік тому

      @@evaristmbuya6220 USSR Iko wapi naona tu NATO ikiongozwa na Marekani na kuzindi kupanuka Hadi nchi zilizokuwa USSR sasa tena ni Wana NATO kikamilifu kama vile hii inamaana Urussi ni nchi iliyoshindwa kiushwawishi kavamia nchi Moja nchi mbili zimekaribishwa NATO

  • @shaabansabour1214
    @shaabansabour1214 Рік тому

    Hapakuwepo usaidizi wowote wakati waisrael wanapo ya wapalastine na wa Israel wanapo ipiga Syria inakuaje leo tunawekewa hichi kipindi pale Urusi inapofanya operation ya kijeshi Ukraine? Azam nyinyi ni waafrika sio wamarekani na Wala Mashoga.

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Рік тому

    Oyaa wanzngua awa chekecheke

  • @abdubakar5428
    @abdubakar5428 Рік тому

    changamoto

  • @jamirually893
    @jamirually893 Рік тому +2

    Zama za washenz zimekwisha tunamtaka putin

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Рік тому

    Sasa mkisema watoto ili iweje ?

  • @vitusjackson1354
    @vitusjackson1354 Рік тому

    Huyo mchambuzi wa miwani kidogo amenikosha .kwamba kipigwe kichapo Cha ukweri ili waingie mezani

  • @josephgari5951
    @josephgari5951 Рік тому

    Kindly bring people who can make sense

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 Рік тому +1

    Hii ni vita kubwa na tusipoangalia inaweza kuwa chanzo cha vita ya 3 ya dunia coz ata vita zote za dunia zilianza kama masihala hivi hivi ..

  • @gabrielmtapila229
    @gabrielmtapila229 Рік тому

    Saf san zelenky

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Рік тому

    Wanajitekenya wancheka haha

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Рік тому

    "Kulaani uvamizi wa Putin"

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Рік тому

      Kwenu Congo mbona hamkulani kipindi kumevamiwa mjinga sana

  • @mussarukigwa3453
    @mussarukigwa3453 Рік тому

    Ukren itashinda

  • @misanaalphayo2091
    @misanaalphayo2091 Рік тому +1

    Azam ni vibaraka wa Marekani hawa

  • @charafimali9731
    @charafimali9731 Рік тому

    MUNGU akupe nguvu Mrusi ,wametaka wenyewe kwakukeuka mikataba. Hao waliouwawa ni kidogo sana wauwe kama samaki, maana hao ni watu kama wanaouwawa palestina Somalia Congo Msumbiji LIBIA. na wanaosababisha ni haohao wamarekani uingereza na natoyake. ASANTE PUTIN HURAAAAA.

  • @nzeyimanaambari9754
    @nzeyimanaambari9754 Рік тому

    Kakwambia nani kama wanasuhisha vita ao ndio wachochea urusi inapigwa na ulimwengu marekani azimio lake limetimia kuimaliza umoja wasoviet