CHEKECHE | Kwa nini Marekani na Urusi wavutane juu ya Ukraine?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • Ukraine imekuwa kwenye vinywa vya mijadala ya siasa za kimataifa kutokana na mzozo kati ya Marekani na Urusi.
    Nini kiini cha mzozo huo? Na je kuna nafasi ya mafahari wawili kumaliza tofauti zao juu ya Ukraine?

КОМЕНТАРІ • 270

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 2 роки тому +15

    Mimi team Urusi

  • @njiyobirirahimupardon5157
    @njiyobirirahimupardon5157 2 роки тому +22

    Mimi nipo upande wa Russia 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 роки тому +10

    W Acha wapigane,washatupiganisha sana nchini za africa

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 роки тому +5

    kipindi kizur sana hongereni Azam Tv kwa kutuhabarisha kinacho endelea ulimwenguni

  • @omakywazamani6696
    @omakywazamani6696 2 роки тому +8

    Natamani vita iwe kweli kweli ili tuone Marekani kuporomoka kwa uchumi na kukosa ubabe wake wa dunia pili China itachukua mkondo wake na kua pamoja na Urusi sasa hivi Marekani hana ubavu mbele Urusi moja kwa moja ipokua Marekani anawafuasi wengi hata siku moja ki vita hamwezi Urusi nawajulizeni kwa sasa Urusi na China wali saini mkataba wakulindana ikiwa moja wao kaingia ktk vita ni mwezi wa kwanza januar

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 2 роки тому

      daaa braza unafatilia news eee ...hatari sana kaka ...hiyo inaitwa kwa akina alima nchokonoe aone moto ukiwaka

  • @maghanighanichali9519
    @maghanighanichali9519 2 роки тому +5

    Marekani washenzi sana.wamapigana vita ktk nchi za wenzao.Wamempiga.Sadamm.wamemuua Ossam.Waamemuua Gaddafi.Sasa wanachonganisha majirani hii ni shida sana.

  • @peterbruno7157
    @peterbruno7157 2 роки тому +14

    Team Urusiiiii yan team Putin

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 2 роки тому +7

    Team Ulusi Apa

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 2 роки тому +3

    Shukran Sana Wachambuzi Mmenielewesha ambayo sikuyajua mwanzoni kumbe kikubwa ni uingiliano wa kimaslahi

  • @zainabuabdul7852
    @zainabuabdul7852 2 роки тому +11

    Tatizo la wachambuzi nao ni team USA mbwa tu

  • @tawimbibyokowal9725
    @tawimbibyokowal9725 2 роки тому +4

    Buyu rais wa Ukraine ametiwa na NATO na Marekani. Rais wa Ukraine hajali matukio mabaya amboyo itstokea nchini mwake,bali anatafuta kuwapendeza wale walio muweka madarakani.

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 роки тому +8

    Duuu,
    Sio vyema sana kuona watu wakiuana
    Japo Natamani Marekani ashikishwe adabu.

  • @mathiasmollel4783
    @mathiasmollel4783 2 роки тому +8

    Mungu sikia vilio vya watu wako tunatoka kwenye vita ya ugonjwa wa Covid 19 sasa vita vya ukraine na Russia tatizo hili nila watu wote tumwombe Mungu

  • @zakkisajen2344
    @zakkisajen2344 2 роки тому +6

    It's shameful that I got deeper understanding than you! Bravo Putin. Napenda ningehusishwa kwenye huu mjadala. Mnasahau kuhusu Luhansk na Donetsk walivyobaguliwa na kuvamiwa ... sawa na ilivyokua Georgia. Kuna mambo mawili:
    1: Usalama wa Urusi pamoja na kupigwa vita juu ya biashara ya gesi ili marekani ihodhi biashara hio.
    2: Suala la warusi waishio urusi (ambao ni 1/3 ya ukraini) kushambuliwa.
    3: Marekani anastasia vita ili kufanya biashara ya sir siraha.
    Acheni kutumia vyanzo vya upande mmoja, mnatupumbaza.

  • @akidamakida6092
    @akidamakida6092 2 роки тому +9

    Kuikaribisha Nato Ukraine ni sawa kumkaribisha adui yako sebuleni kwako kitu ambacho mrusi hatokubali kamwe... Ni sawa na Tanganyia kuipa Zanzibar madaraka kamili.. Hawato subutu abadani

    • @issaally8702
      @issaally8702 2 роки тому

      Marekan hanajipya kashindwa nikiduku atamuweza putin

    • @ishrak3112
      @ishrak3112 2 роки тому +2

      Ni kweli hujakosea ila ipo siku zanzibar itakuwa huru tu na itakuwa na mamlaka yake kamili

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 2 роки тому +4

    Gadafi aliuawa vby sana kwafitina za wazungu waarabu nikama hawana dunia yakukaa kbs Acha tu wafanye mazoez nawao.

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 5 годин тому

    Nomaa

  • @lazarochiyega2131
    @lazarochiyega2131 2 роки тому +5

    Marekani ndio tatizo kwanini wasiwe na umoja thabiti unaoheshimu mipaka ya wengine mahusiano ya majirani nidhamu ya kuheshimiana mataifa pakana pamoja na mabara kwakadiri ya maumbile yadunia mpaka wao ndowaonekane kiunganishi,wapatanishi au waamuzi wa namna wengine waishi na mbona waowakitaka kufanya yao hawaingiliwi na nikwamaslahi yao wamekua wakiangusha tawala nakuweka wanazo taka wao mfano Iraq, Libya , Congo ya P.Lumumba nk wengine wakifanya ni kosa.

  • @njiyobirirahimupardon5157
    @njiyobirirahimupardon5157 2 роки тому +15

    Russia ni inchi kubwa sana marekani niwababe sana. Lakin mwaka huu watulie Russia itawanyooisha kbx😂😂😂😂

    • @luteking
      @luteking 2 роки тому +1

      Ujuwi marekani vizuri ww

    • @omakywazamani6696
      @omakywazamani6696 2 роки тому +1

      Ukweli tunao hao Marekani wana jeshi wao wamekiona Syria pale putine alvyona un na nato kuteketeza Libya kasema nitawaonesha wanajeshi wengi wa Marekani waliwawa sana hadi bashar Assad kuingia

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 2 роки тому

      @@luteking wewe acha kuklemisha ya kale mpaka leo....marekani ilikua zamani sio leo hii..mchezo wa marekani washa ushtukia kitambo sana

  • @hashimshaban4675
    @hashimshaban4675 2 роки тому +5

    Hao Marekani ndio wanaoleta matatizo kila sehemu Duniani, sasa wao huko kwao huku Ulaya wanataka nini?

  • @eliaspetro8263
    @eliaspetro8263 2 роки тому +5

    Eeee mwenyezi mngu tunakuomba simama juu ya hili jambo kwani hakuna kimbilio kwa nchi hususan zinazo tegemea uzalishaji mali kutoka kwa nchi hizi kuu

  • @mvicbomjapan2978
    @mvicbomjapan2978 2 роки тому +15

    Team URUSI tujuane

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 2 роки тому +4

    Athari za vita ni hivi vya kidunia vitamins waliomo na wasiokuwemo.Anaeshabakia vita hajui madhara ya mouth wa bunduki na silaha za nyuklia

  • @tawimbibyokowal9725
    @tawimbibyokowal9725 2 роки тому +2

    Amani itatokana na NATO na Marekani kuondoavikisi vya huko Ukraine.

  • @stanleymathias7877
    @stanleymathias7877 2 роки тому +9

    Dalili za wazi za kurudi kwa yesu kristo

    • @fatumanasoro5057
      @fatumanasoro5057 2 роки тому +1

      Uko sindi tutazidi kuangamia kabisa

    • @salehkhamis8653
      @salehkhamis8653 2 роки тому

      hilo yesu unalijua wewe2 usituletee ukafikri hapa

    • @thomasanthony6292
      @thomasanthony6292 2 роки тому +1

      Amina mpendwa,Jicho la Kiroho linaona hilo,Mungu akubariki sana

    • @Zumitv-c1g
      @Zumitv-c1g 2 роки тому +1

      Yesu yeye ana bahati zake maana alikufa mapema msalabani....ww unasema turudi kwake....tutaeneaje kwenye huo msalaba mmoja jamani??...Mm hadi hii leo nikiingia kanisani namuona amekaa peke yake pale msalabani....nahisi tutafute njia nyengine sisi kondoo wa Bwana.

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 2 роки тому

      @@Zumitv-c1g Yesu hakufa mungu alimpaisha juu angani

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 роки тому +5

    bwana abdu shakur mbona sauti yako haisikiki vizuri sijui ni mitambo kueni makini katka kueka mitambo sawa ili tuwapate vyema

  • @saidkwika2516
    @saidkwika2516 2 роки тому +1

    duh ndugu zetu jaman watanzania mungu awalinde asimame nanyie maneno mengi jaya itajik kikubwa nikuwaombea ndugu zetu wakachukuliwe salama warudi nyumban salama ame

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm 2 роки тому +2

    let's Go putuni wanyosheeee ao you crain na marecan yake washa zoea kuuwa watu ovyo zam Yao watakipata chaina irani corea let's Go it's awa time now atuitaki America sababu hi vita yeye ndo chanzo

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 2 роки тому +2

    Mungu wetu wanaweake na watoto ndio wahanga wa vita 'watapoteza Wapendwa 'vita inaenda kuzalisha vifo na ulemavu.Wewe ndiwe Ebenezer! Shughulika mwenyewe. Hatuwezi bila wewe

  • @khalidijohn890
    @khalidijohn890 2 роки тому +3

    Marekani niwanafiki wakubwa na wao ndo chokochoko

  • @michaelmenja4251
    @michaelmenja4251 2 роки тому +7

    Amani ya Ukraine ni kukubali tuu kuwa pamoja na Russia la sivyo itasababisha vita ya Dunia nzima

  • @mariamsefu825
    @mariamsefu825 2 роки тому +1

    M/mungu aepushie mbali balsa hili amina

  • @nkondokubini7618
    @nkondokubini7618 2 роки тому +3

    wandishi wa habari mbona munaeleza mashambulizi ya Urusi tuambieni na Mashambulizi ya Ukraini pia

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 2 роки тому +9

    Russia wanataka sehem yao na wataichukuwa soon

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 2 роки тому +2

      Ndoto za mchana hizo rafiki

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 2 роки тому +1

      @@georgekimasaofficial1629 sio ndoto za mchana wana nguvu sana na pia ni eneo lao kiasili na ndio maana wazanzibar wanataka uhuru wao lkn 🐕 nyinyi mnaona mnavyofanya ni haki

    • @albaharyhaji8231
      @albaharyhaji8231 2 роки тому

      Ukraine ni sehemu moja muhimu sana kwa usalama wa urusi putin hawezi kuona ukraine ikiwa chini ya nchi za ulaya na marekani..ndo mana kaichukua crimea saivi ashaichukua lughansk na Donestki.kilichobakia sasa ni kuichukua nchi yote na kuirejesha chini ya himaya ya urusi na hilo litawezekana hizo kelele za nchi za ulaya na marekani ni kelele tuu kama kawaida yao kusema

    • @yohanapetro4937
      @yohanapetro4937 2 роки тому

      Lazima Wachukue Awatakubali Kwanza Wanajiweza

  • @unknownsasha8383
    @unknownsasha8383 2 роки тому +4

    Mnasoma bibilia tafakaliji sana haya ni maandalizi ya kuja kwa mala ya pili nyie mnaona nikama vita iko mbali lakini hiii ni vita ya dunia inatakiwa kuomba msiweke ushabiki kama wa mpira nikuonba naut ipo mlangoni kwa wotee

    • @alibaraka5899
      @alibaraka5899 2 роки тому

      Duuuu

    • @bakarirashid1176
      @bakarirashid1176 2 роки тому +1

      Wewe unaogopa nini ikitokea Vita yatatu yadunia acha tufe kizazi iki nichadhambi tufe wote waje watu wapya waishi maisha Yao mapya ivyo hakuna chakuogopa merekani waende nakufa tufe tu navita ya3 itokee tu yadunia mbona freshi tu

  • @rahmaaltoki9835
    @rahmaaltoki9835 2 роки тому +1

    Subhana allah allah awahifadhi yarab ukraine

  • @mtakimjinja2328
    @mtakimjinja2328 2 роки тому +5

    Nato hawana msahada wowote wataiacha yukileni iliteketea kama libia

  • @stn4873
    @stn4873 2 роки тому +4

    Kweli Duniani watu hatufanani, yani kuna wanaume huko wanakomaa kwenye baridi nginja nginja na mi Missiles na misilaha mingine mikubwa kulinda mipaka ya Nchi zao, ila kuna wakina Juma Lokole, H Baba na Babalevo wao wanagombania Uchawa.

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g 2 роки тому

      🤣🤣🤣

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 2 роки тому

      kila mbuzi hula kulingana na uref wa kmba yake

    • @paulinakalimaza8435
      @paulinakalimaza8435 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @stn4873
      @stn4873 2 роки тому

      Mwanaume ni bora uwe mbuzi ule kwa urefu wa kamba yako ila sio kuwa kupe(chawa) kwenye mgongo wa mbuzi kumnyonya damu.

    • @stn4873
      @stn4873 2 роки тому

      @@martinmaryogo3676 🍆🍆

  • @hashimujohn9110
    @hashimujohn9110 2 роки тому +1

    Mwenyez mungu Awa epshe wote wa shushe chin slaha

  • @georgewesonga8740
    @georgewesonga8740 2 роки тому +1

    Let Ukraine be independent

  • @omakywazamani6696
    @omakywazamani6696 2 роки тому +4

    Tunaomba mungu vita hii iwe pale kabisa ili tuwe na amani Afrika bila hivyo wazungu wataendelea kututawalia matatizo yote ya dunia ni Marekani na matatizo yote ni vyongozi wapumbavu wetu weusi

    • @ndegeyaernest3101
      @ndegeyaernest3101 2 роки тому +1

      Kweli, Viongozi majuha ya kiafrika nao ni tatizo kama like LA Ukraine sasa linaangamiza nchi kwa kujidanganya Uyahudi

  • @happymagombe3477
    @happymagombe3477 2 роки тому

    Mimi nakuomba Mwenyezi Mungu,,uepushe mbali hivi Vita nawaza wajawazito nawaza watoto na wazeee see Mungu ingilia Kati viongozi familia zao zinakua salama wanatesoteseka ni wananchi

  • @filbertrobert1141
    @filbertrobert1141 2 роки тому +4

    Hapa kuna jambo si mchezo

  • @oscarkalonga4772
    @oscarkalonga4772 2 роки тому +8

    mm npo kwa urusi,China na korea

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 2 роки тому +5

    Hapa naona tatizo ni uchonganishi wa marekani na kwasababu vita haijapinwa ndani ya marekani na raia wake hawajui taabu ya vita. Nashauri urusi na china wapeleke majeshi yao kule cuba alafu tuone kama marekani watafuhi. Marekani kila sehemu wao wanachonganisha vita kwa nchi za mbali

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 2 роки тому

      Waeslam wote wapo upande ya urusi tunajuwa kwataharifa yenu mta tandikwa

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 2 роки тому +5

    Mkorofi huyu baba, mi simpendi kama nini anapenda vita , mbona anataka kuiteasa dunia

    • @keddlynebonny6462
      @keddlynebonny6462 2 роки тому +1

      Ujui fatilia habari kutoka sehem tofauti ndo utakapoelewa

    • @lucidaedward6567
      @lucidaedward6567 2 роки тому

      @@keddlynebonny6462 mchochezi ni mmarekani

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 2 роки тому +2

    Marekani na Russia ni wamoja Marekani mnafiki tu

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 2 роки тому +1

    Mungu ingilia kati

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031 2 роки тому +3

    TUNAMUOMBA MUUMBA AWANUSURU WAJA WAKE NA VITA .KUNA WATU WENGI WATAATHIRIKA NA VITA SIO NZURI

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 роки тому +2

    Hao wamarekani tunawadai GADAFI wetu raisi wa AFRICA viva RUSSIA

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 роки тому +5

    🤔Ukraine ni koloni la Urusi. Sasa pamoja na kuwa imekuwa nchi huru hivi sasa sio busara kujiunga na NATO kwasababu ni tishio kwa Urusi wakati nchi nyingi na hasa jumuiya ya NATO haipendi nguvu za kijeshi za Urusi. Urusi anahaki ya kujilinda na hajawahi kumvamia mtu yoyote kama ilivyo Uingereza, Marekani na washirika wao. Urusi ni lazima kupigana kupata maslahi yake.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 роки тому

      Nakubaliana na Urusi lakini sio sawa kusema Ukraine ni koloni la Urusi. Muungano wa USSR ulikuwa kama ilivyo Tanzania ambapo Urusi ilibeba jina la Muungano huo. Kama Muungano hauna maslahi uvunjwe na kila mmoja aungane na anaetaka lakini hakika jirani kuungana na adui yako ni adui pia. Muungano wa Tanzania nao ipo haja kuvunjwa au kufanyiwa "reform" Zanzibar imeshadhulumiwa vya kutosha.

  • @khamistano4848
    @khamistano4848 2 роки тому +4

    Tatizo Na kilichopo Ni kwamba marekani anahitaji Ukraine aingie kwenye European countries Kuna kwenye NATO . Na akiingia tu atakua anaweza kumkaribisha marekani ampige urusi. Ndio maana urusi hakubali lifanyike Hilo kwani italeta mazara kwake . Urusi anajitetea ili isijetokea kwa Ukraine kutekwa na NATO. Hii Vita Ni marekani na urusi Ila inahitaji akili kujua.

    • @suzanaugustiano9091
      @suzanaugustiano9091 2 роки тому

      Target ni mmarekani na Tayar anajua yy ndo lengo ndio maana anapiga vita ya kiuchumi maana wakipigana za kivita.....Ata Tz haitoonekana tuombe tyu huu ugomvi uiishe maana hzo nuclear bombs wanazomiliki ni atar sana kwa maisha ya duniani

    • @norahazan796
      @norahazan796 2 роки тому

      Unabii wa biblia unaendelea kutimia.
      Mfalme wa kaskazini huyo lazima kieleweke ili Mungu Amalize mambo wajue kuna mkubwa wao

    • @user-nu4xr6ik5n
      @user-nu4xr6ik5n 3 місяці тому

      ​@@norahazan796Mkubwa ni Russia 🇷🇺❤️❤️❤️❤️ taifa la kasikazin

  • @omarynambawani8543
    @omarynambawani8543 2 роки тому

    Mzozo huo ni kuonyeshana umwamba na kiburi cha dola kuu mbili MAREKANI na URUSI. Ngoja tone.

  • @serutokebirere2895
    @serutokebirere2895 2 роки тому

    Hongera

  • @bahatimwale2441
    @bahatimwale2441 2 роки тому +1

    Wamalekani ni namba 1

  • @mathiasmollel4783
    @mathiasmollel4783 2 роки тому +3

    Ee Mola tusaidie kwenye vita hivi kwasababu vita hivi c vya ukraine tu bali ni vita vya wote tunategemea tourists

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 10 місяців тому

    hiii ndiyooo hile fitina za waiziraeli watapigana nduguu Kwa nduguu na mpaka duniya yoyote itaingiya vitani

  • @suleimanissa2089
    @suleimanissa2089 2 роки тому +1

    Bora tu waelewane ili Dunia ibakie na amani

  • @teljanahmed2051
    @teljanahmed2051 2 роки тому +3

    Huyu majid ni shabiki wa marekani wala sio mchambuzi

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 роки тому +3

    Wacha wauwane kwnz wapo weng sn n hawan kaz z kufny Wacha wapungzne kwnz

  • @daydjuma8972
    @daydjuma8972 2 роки тому +1

    Ni

  • @eliachungwa7672
    @eliachungwa7672 2 роки тому +3

    Marekani lazima aje ateteme hapo

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 2 роки тому

      Mmarekani hawezi , kwenda kusadia, vita itakuwa kubwa karibu ulaya yote.

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 2 роки тому

      Mrusi anatamaa vita ya ulaya ilirudi tena, , tumekoka vita jamani. Korona haitutoshi

  • @laickygugu4890
    @laickygugu4890 2 роки тому +1

    Tunaamini sikuzote wanna leta machafuko ya kusababisha wananchi kufa no Wana siasa viongozi wenye maamuzi tegemewa. Lakini ninadhani hasa hutokea baada ya kuto kuheshimiana Kwa kukubaliana kukukubaliana . Lazima Kila kiongozi akubali maamuzi yaliyoamriwa. Au yaliyoonekana yameshinda.

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 2 роки тому +11

    NAIJIULIZA MASWALI MENGI SIPATI JIBU HUYU MMAREKANI NI MBWA GANI ? KILA MAHALI NI YEYE NA DUNIA IMEKAA KIMYA..! UN INAFANYAKAZI GANI ? WACHA WAJARIBU KUIZUIA RUSSIA WAKIONE CHA MTEMAKUNI PUTIN SI KAMA SADAM AU GADAFI WAJARIBU WAKIONE MAKAFIRI WAKUBWA HAO

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 2 роки тому

      Tulia gahidi unazani ni kujilipuwa na nyuklia

    • @keddlynebonny6462
      @keddlynebonny6462 2 роки тому

      @@jpmanotaofficial639 sasa umecomment nini? Auna uelewa kwa kinachoendelea Bali mkurupukaji wa kuandika comment.

  • @sidodeni3468
    @sidodeni3468 2 роки тому +4

    Marekani siipigwe tu

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 2 роки тому +3

    Siwapigane tu … naona wanatuzingua tu..

    • @Zumitv-c1g
      @Zumitv-c1g 2 роки тому +1

      Wakipigana utanitafuta kaka...usichukulie poa na kufikiri itakula kwao tu!!...hapo lazima tuwajibike sote
      Hiyo vita sio ndogo baba

    • @andrewsam364
      @andrewsam364 2 роки тому +1

      Usisahau mafahali yakigombana nyasi ndohuumia

  • @petershimbi7014
    @petershimbi7014 2 роки тому +1

    tatzo la wanahabari wetu mnavigugumiz sana

  • @dodwiedwin3944
    @dodwiedwin3944 2 роки тому +1

    Faiz zanin, ww kama hujui kitu nyamaza usitangulize kisimi Chako humu. Ww hujui chochote kuhusiana na hayo mataifa mawili. Cc tunaongea kwa evidence.

  • @magangakibella6895
    @magangakibella6895 2 роки тому +1

    Mnauliza tu hata sisi tanganyika tunataka adui asiwe karibu nasi ni Habari kwa usalama wetu ni bora adui awe mbali nasi ukreni mpumbavu hajui kuwa kutemgeneza adui karibu nawewe ni hatari kwa usalama wako pia ikumbukwe harahara jirani na fimbo ya mbali haiuwi nyoka kiherehere cha wa yukreni kitawatokea puani hata Nato waungane wataaibika kwa urusi

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 2 роки тому

    Abdul shakuru hatukusikii

  • @zainabuabdul7852
    @zainabuabdul7852 2 роки тому +4

    Hizo nguvu mbona haweki kwa Israel na parestina

    • @maniamba.tz_
      @maniamba.tz_ 2 роки тому +1

      Acha kujidanganya mataifa makubwa Duniani yenye nguvu za kijeshi ni Marekani na Urusi

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 2 роки тому

      Umeongea la maana kwelii

  • @khamissafari7965
    @khamissafari7965 2 роки тому +1

    Marekani hawapaswi kusikilizwa Kama waitelekeza ukreni

  • @nelsoniisack6257
    @nelsoniisack6257 2 роки тому +4

    We sema zipigwe wakati inch zetu za Africa zinategemea huko badara ya kuomba mungu vita isitishwe ww unaomba wapigane em nendeni na nyiee unazani vita ni Bibi yenu au tumieni akili ndugu zangu tumuombe mungu

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 2 роки тому

    Sio kweli

  • @maggiechishimba1009
    @maggiechishimba1009 2 роки тому

    Mimi nasema nato Ana nguvu nato ni umoja wa marekani ' putin unanguvu tumia fimbo kwaupendo usiogope mungu au Allah awe nawe

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 роки тому +2

    Putin wa maize wote hao

  • @agneswilbard9059
    @agneswilbard9059 2 роки тому

    Yesu uwatete

  • @Rolemodel_wa_taifa
    @Rolemodel_wa_taifa 2 роки тому +3

    Let's go Russia

  • @faidakisalya9658
    @faidakisalya9658 2 роки тому +1

    Wanataka nin warusi

  • @maggiechishimba1009
    @maggiechishimba1009 2 роки тому +1

    Mimi naitwa kwa Nina rajdabu naishi kambini mantapala seulement kutokana n'a marekani njo mwanzilishi wa funo ulimwenguni Obama nimunafiki

    • @maggiechishimba1009
      @maggiechishimba1009 2 роки тому

      Putin Ana Aki fikirieni Africa tuta kuwa wapi? Kilakitu afrika paka ulaya Sasa sisi weusi tutafikia wapi?

  • @nshimirimanajeanne2261
    @nshimirimanajeanne2261 2 роки тому

    Eeeeeh YESU tetea Ukraine 🇺🇦

    • @AshaOmar-vk7kg
      @AshaOmar-vk7kg 2 місяці тому

      Kama anaweza kuitetea israele angalijitetea yeye wakati wayahudi walipo msulubu

  • @suzanaugustiano9091
    @suzanaugustiano9091 2 роки тому

    Inasikitisha kuona watu wanafurahia kinachoendelea Ukraine....Ni kweli Putin ana haki kujilinda ila syo kwenda kivita tena nchi ndgo sana alitakiwa kwenda kwa amani na pia Ukraine ana haki ya kuchagua wap wanataka kwenda ni nchi huru....

  • @mfirajihalisitanzania5208
    @mfirajihalisitanzania5208 2 роки тому +3

    Marekani humuwezi mrusi achana nae utachepwa

  • @petershimbi7014
    @petershimbi7014 2 роки тому +1

    unataka marekani asitishwe we vipi????????

  • @chambilichacha6947
    @chambilichacha6947 2 роки тому +1

    Mimi kama putin anataka nini ukoo ukreni ukreni wampe

  • @douglasmakau.
    @douglasmakau. 2 роки тому +3

    So apa naona urusi iko na china alf ukrane iko na marekani kwaivo vita niza nchi gani na gani lkn china achana nayo bt,,,,,,,

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza8906 2 роки тому

    Vita vya kiuchumi daaa pesa izi

  • @darasahistoria3773
    @darasahistoria3773 2 роки тому +1

    Kichwani mwa rais Putin

  • @jcjasonlot3773
    @jcjasonlot3773 2 роки тому

    Bado mimi nyuma na vita alakini bado nafatilia pia

  • @legend9805
    @legend9805 2 роки тому +3

    Wewe abdulshakur nani amekwambia urusi ni mchokozi fatilia vizuri swalaa la ukraine ilianza vipi vitaa mwakaa 2014

  • @cosmasnyenza2027
    @cosmasnyenza2027 2 роки тому

    Warusi ni wakorofi hawawezi kumchagulia rafiki Ukraine .

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 2 роки тому +1

      Russia Yako sahihi hivi wewe ukiwa na binti unae mlinda na kumchunga harafu ukampamgisha nyumbano kwako kijana kitombi unataka nini

  • @oscarmuhumenya8089
    @oscarmuhumenya8089 2 роки тому

    UK kazen mskubali kupigiwa nyumban kwenu

  • @barnabasnganji3761
    @barnabasnganji3761 2 роки тому

    7u7

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 2 роки тому +1

    Putin 😎👊💪👍☠️

  • @stanlychishimba2729
    @stanlychishimba2729 2 роки тому

    W

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 2 роки тому +1

    Zipigwe tuuuu. Amna shida

  • @eidallyeidally5093
    @eidallyeidally5093 2 роки тому

    Majid umesomekaa

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 роки тому +3

    Nato wana nguvu kubwa kwa kiasi kikubwa sana!!! Urusi labda niwape onyo kali sana, msije mkajaribu kugusa Ukraine!!! Mtapigwa hadi matakosa sehemu ya kwenda.

    • @patrickmulamboruhurumba4639
      @patrickmulamboruhurumba4639 2 роки тому +6

      Unacheza wew, urusi pamoja na uchina na Iran we unazani iyo nato yako kweli inanguvu?

    • @erardmporoto2660
      @erardmporoto2660 2 роки тому +1

      Sikweli ndugu

    • @patrickmulamboruhurumba4639
      @patrickmulamboruhurumba4639 2 роки тому +3

      @@erardmporoto2660 muchina wakiwa pamoja na murusi nato hawezi chochote ikumbukwe kama mu marekani na Iran hawapatani kwa iyo irani ni nyuma ya murusi

    • @erardmporoto2660
      @erardmporoto2660 2 роки тому +3

      Patrick mulambo uko sahihi, nadhani imani ya Mica Mathew ni kwamba NATO wana nguvu kuliko kambi ya warusi. Adhabu za marekani ni vikwazo vya kiuchumi tu ila vita si rahisi.

    • @salehkhamis8653
      @salehkhamis8653 2 роки тому +2

      wewe nikweli nato ina nguvu kubwa lakini tusiombe vita itokee maangamizi yatakuwa makubwa maana hata urusi na yeye ana washirika wake wakiwemo china irani na korea kaskazini kwaiyo vita hii haitakuwa na mshindi bali kutakuwa na maafa na maangamizo kwa wote

  • @faridaabdallah2213
    @faridaabdallah2213 2 роки тому

    kwani hao marais wa Nchi hizo wao wamejficha wap?

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 2 роки тому

    Urusi inatumia ubabe dhidi Ukraine

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 2 роки тому

      Na Urusi akiacha Ukrain iingie katika umoja wa ulaya basi itakuwa rahisi kwa urusi kudondoshwa