Hakika Mungu ni Mtakatifu nimeona nguvu zake Bwana kupitia wimbo huu asante Jehovah kwa uweza wako fungua vyote vilivyo fungwa kwa namna zote vikapate kufunguliwa ni katika Jina lako Yesu Ameen
Amina. Sijapata ona wimbo wenye upako na uwepo mkubwa wa MUNGU namna hii kama huu wimbo. Kila ninapousikiliza nauona uwepo wa MUNGU kabisa. Ukiisikiliza wimbo huu hakika ni ibada tosha, MUNGU awabariki sana. Above all ni huyo mpiga saxophone kwakweli ananibariki mnooo
4.1.2025 beacon of Greatness-kwakeli ukuu wa Mungu umeonekana hata Leo-hakika nimebarikiwa na wimbo huu kupita kiasi Mungu azidi kukuinua Kwa sadaka hii kuu.
The power in this worship made me cry when listening.. Jesus you are Holy, righteous is you Lord... Papa more grace... You are a blessing to this generation
This song is so powerful until you are not able to control yourself........ thanks to it may the Lord give you strength to continue touching other people's life
Yaani huu wimbo unanifanya nisikie Amani kimwili,roho na nafsi . Wimbo huu umejaa nguvu za Roho Mtakatifu. Mungu muumbaji wetu awabariki wote maana mmeimba Kwa ajili ya utukufu wake.
Hivi mbinguni itakuaje Sasa Kama duniani watu mnaabudu vizuri namna hiivi jamaniiiii itakua njma Sana maana mchanganyiko wa watakatifu, malaika, wazee 24 na wenye uhai wanne jaman sikosi mbinguni kwa Neema yake
MUNGU MTAKATIFU AKUBARIKI sana Mtumishi wa MUNGU Paul Mwagosi kwa nyimbo ambazo zinatusogeza mbele ya Mzee wa siku, Ukazidi Kuinuliwa kiwango hadi kiwango, Neema hadi Neema na Baraka hadi Baraka katika Jina la YESU KRISTO.
Dont know if you guys gives a damn but if you guys are stoned like me during the covid times you can watch pretty much all the new series on instaflixxer. Been streaming with my gf for the last few days :)
Hakika wimbo huu unanifanya nimtafakari sana MUNGU nabubujika rohoni.Asante sana mwimbaji Paul Mwangosi hakika una karama ya ajabu,endelea kuitunza karama hiyo.Amen
Nimekuwa nikisikiliza nyimbo hizi hizi za Mwangosi miaka minne sasa lakini kila siku utafikiri nasikiliza nyimbo mpya. Nabarikiwa sana sana. Mungu akubariki sana Mwangosi and the team.
More of God's grace to you sir. I love your worship songs, though I don't understand swahili or your language but your worships are very powerful. Once again, more of God's grace and strength to you sir. Much love from Nigeria.
Hakika Mungu ni Mtakatifu nimeona nguvu zake Bwana kupitia wimbo huu asante Jehovah kwa uweza wako fungua vyote vilivyo fungwa kwa namna zote vikapate kufunguliwa ni katika Jina lako Yesu Ameen
Amen,amen,amen,amen,amen,amen
Amina. Sijapata ona wimbo wenye upako na uwepo mkubwa wa MUNGU namna hii kama huu wimbo. Kila ninapousikiliza nauona uwepo wa MUNGU kabisa. Ukiisikiliza wimbo huu hakika ni ibada tosha, MUNGU awabariki sana. Above all ni huyo mpiga saxophone kwakweli ananibariki mnooo
Mtakatifu Sana utufunuliaye yaliofichika, utaonae sirini utusame makosa yetu tupe mwisho uliomwema hakika
Hivi kuna Mtakatifu kama Mungu wa miungu ona anatuvusha 2023...wengi walihofu itakuaje....
We ndio Mtakatifu BABA
Hakika MTAKATIFU NI WEWE MUNGU ,unastahili utukufu wote .
4.1.2025 beacon of Greatness-kwakeli ukuu wa Mungu umeonekana hata Leo-hakika nimebarikiwa na wimbo huu kupita kiasi Mungu azidi kukuinua Kwa sadaka hii kuu.
The power in this worship made me cry when listening.. Jesus you are Holy, righteous is you Lord... Papa more grace... You are a blessing to this generation
Mtakatifu mtakatifu kwakwel wimbo huu unanifanya niwe Karibu na Mungu, ubarikiwe Sana kaka kwa wimbo huu,
True
Mungu akubariki mno kwa kazi nzuri. Yesu mtakatifu
I testify that God is faithful. I got a new job after a long suffering..Glory to God
Hakika MUNGU ni Mtakatifu sana ❤
Uu wimbo umenijaza sana
This song is so powerful until you are not able to control yourself........ thanks to it may the Lord give you strength to continue touching other people's life
When the brother playing the saxophone came to our church to play, I knew I had seen him somewhere, brother you are blessed
Nabarikiwa sana Nyimbo za ndgu yang mwangosi, Mungu akubariki sanaaa
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu huwa nakukubali sana
Yaaani abarikiwe sana
Kweli ni MUNGU pekee wa kuabudiwa kwa ukuu wake, kwa uweza wake, na kwa utakatifu wake, ubarikiwe mtumishi Paul Mwangosi
Hakika wimbo huu umeimbwa ktk Hali ya kiroho Zaid. Mungu akubariki sana
Yaani huu wimbo unanifanya nisikie Amani kimwili,roho na nafsi .
Wimbo huu umejaa nguvu za Roho Mtakatifu.
Mungu muumbaji wetu awabariki wote maana mmeimba Kwa ajili ya utukufu wake.
MTAKATIFU NI WEWE MUNGU WETU. barikiwa sana mtumishi wa KRISTO, MUNGU aendelee kukulinda kwenye utumishi huu wa uimbaji.
Hivi mbinguni itakuaje Sasa Kama duniani watu mnaabudu vizuri namna hiivi jamaniiiii itakua njma Sana maana mchanganyiko wa watakatifu, malaika, wazee 24 na wenye uhai wanne jaman sikosi mbinguni kwa Neema yake
Ameeeeeeeeeeeeen!!!!!!!!!;;;
Tunabarikiwa pamoja na familia yangu tukiwa chanika Daresalam
MUNGU MTAKATIFU AKUBARIKI sana Mtumishi wa MUNGU Paul Mwagosi kwa nyimbo ambazo zinatusogeza mbele ya Mzee wa siku, Ukazidi Kuinuliwa kiwango hadi kiwango, Neema hadi Neema na Baraka hadi Baraka katika Jina la YESU KRISTO.
Am blessed 🙏🙏🙏🙏
I love worship,natamani siku moja mungu anipandishe hivi viwango,i tap that annoitting in jesus name,barikiwa mtumishi wa mungu
Amina baba ubarikiwe kwa wimbo mzuri mungu anahitaji kusifiwa na kupewa heshima ,,,,kama unaamin sema ameen
MUNGU Azidi kukulinda Mtumishi.Nyimbo zako huwa zinanipa kutubu na kumwamini MUNGU tu.
Always in love with your songs its not just uplifting but inspiring.. much love from Kenya ♥️🇰🇪🤞
Powerful ministration...I love this...more grace mtumishi Wa Mungu
My brother nabarikiwa sana kwa hinyimbo Mungu wa mbinguni akubariki sana sana kaka,,
Be blessed leo mekuwa wa kwanza kuview nyimbo yako ##Nyimbo zako zinaupako na mguso wa Roho wa Bwana
Yaani acha tu
Mtakatifu mtakatifu Ni wewe Mungu
Mtakatifu mtakatifu Ni wewe Mungu
Noooooo this is too much man of God this son is anointed I always pray that all the nation hear you
Dont know if you guys gives a damn but if you guys are stoned like me during the covid times you can watch pretty much all the new series on instaflixxer. Been streaming with my gf for the last few days :)
@Ryder Shane yup, have been watching on InstaFlixxer for months myself =)
Mtakatifu mtakatifu ni wewe Mungu 🙌🙌🙌🙌 God bless you father
Hakika Bwana Wewe ni mtakatifu huhuhuhu nakuabudu Yesu Wewe ni mtakatifu
Tunao comment kabla ya kuangalia videos na sauti tujuane hapa kwa like.
Mungu akubariki yaani nyimbo zako uwa zinanipa viwango vingine
The atmosphere is charged. God bless you servants of God.. This is just a test of how heaven would be. Oooh Glory be to God.
ASANTE YESU 2022 OCTOBER NIMEONA NGUVU ZAKO YESU
Napenda sana nyimbo zako nabarikiwa
Niliusubiri Sana Wimbo Huu..
Mungu ni Mwema
Hakika wimbo huu unanifanya nimtafakari sana MUNGU nabubujika rohoni.Asante sana mwimbaji Paul Mwangosi hakika una karama ya ajabu,endelea kuitunza karama hiyo.Amen
Kumbe ulikuwa bado,duh niliutafuta sana!
Glory be to God!
Yaani we acha tu.mungu atusaidie tufike huko
Mungu akutunze kaka
🇹🇿Mtakatifu ni wewe Mungu Bwana wa majeshi🙏🙏🙏
God bless
Nyimbo nzuri sana na ninapenda nyimbo kama hiz❤❤
Amen hakika wewe ni mtakatifu hakika Yesu wewe ni mtakatifu
Kazi njema,God bless you
Mtakatifu ni MUNGU tu
Nyimbo zako zinanibariki sana, ubarikiwe
Nimekuwa nikisikiliza nyimbo hizi hizi za Mwangosi miaka minne sasa lakini kila siku utafikiri nasikiliza nyimbo mpya. Nabarikiwa sana sana. Mungu akubariki sana Mwangosi and the team.
Mtakatifu ni wewe Mungu wetu uliye hai
Hakika mungu ni mtakatifu....
Ubalikiwe mtumishii
mtakatifu,mtakatifu,mtakatifu, mtakatifu BWANA, MUNGU MWENYE NGUVU, ALIEKO, ALIEKUWAKO NA ANAEKUJA MWENYEZI
Ameeeeeen huu wimbo unainua Imani yangu Sana. Barikiwa mtumishi wa MUNGU.
Ni kweli Mungu pekee ni Mtakatifu. Barikiwa sana Mtumishi wa Bwana.Nyimbo zako zote Zina nguvu ya Mungu ndani yake
Wow unanibariki kwa Sana
Ameen Holy Holy Holy,is your name Lord Abba,Aleluya
Naparikiwa sana na sana
Mtakatifu Mtakatifu ni wewe Mungu🙏🙏
Nimeona uwepo wa mungu kwa huu wimbo
Mtakatifu ni wewe Mungu wetu hallelujah 🙏❤️
Utukufu apewe Bwana
Your holy my Lord....
For sure am really blessed.🙏🙏Mtakatifu ni wewe Mungu.
Ni kweli kabisa,peke yake Mungu ni mtakatifu sana, Asante sana ubarikiwe kwa wimbo huu wenye nguvu, Ameeen. Sifa kwa Mungu wetu alie mkuu sana
Baba unanibarki na Huduma Mungu akuinue juu zaidi
amen amen,Mtakatifu ni wewe Bwana
Praise be the name of the Lord,,,Am so so so so blessed❤️🙏🇬🇦🤝🇹🇿
Aminaaa aminaaa
Asante Yesu maana nimeusubiria huu wimbo youtb mda mrefu tangu ilipotoka albam hii
Halleluya ❤
Mungu aendelee kukupaka mafuta
Barikiwa mtumiji wamungu
Ameen
Asante Yesu
To God be Glory 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 umebarikiwa umebarikiwa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌my all time favourite worshipper
More of God's grace to you sir. I love your worship songs, though I don't understand swahili or your language but your worships are very powerful. Once again, more of God's grace and strength to you sir. Much love from Nigeria.
be blessed
Simply the words of the song are" holy holy holy are you God"
Great man of God.Nimebarikiwa sana na wimbo huu wa kukiri Mungu wetu ni Mtakatifu.Mungu akuinue viwango hadi viwango kwa kumimbia.Kwa kweli ni🔥🔥🔥🔥
Ameni
Amen and amen..thank you for the good news ..im free today in Jesus name..
What a worship
Hallelujah the blessing song, because our Jesus is Holly
Nabarikiwa Sana
Mtakatifu MUNGU uliye juu!!!nampenda sana pastor Safari!!!🙌🙏🙏
your stle of worship uplifts my soul sir. your are blessed indeed. i wish i can meet you some day
Amen 🙏
Mungu akazidi kukunyanyua
Powerful 🔥🔥
Amen
Nice one
Wat a great song
Am just blessed cz if people, may the almighty my God fulfill your will
Mtakatifu ni wewe Mungu wangu
Mtakatifu ni wewe Mungu
❤
Its powerful
Alleluia 🌧️🥰
Very nice songs be blessed
Amen amen amen
You are Holy, You Holy Lord Jesus
🙏🙌🙌
Oooh my God, my Spirit is lifted