@@hassanihussein2731 lawama zimekuwa nyingi sana kwa sister.huenda baadhi yetu hatujui hili .kifupi mi nimefutahi dada yetu kupata mwenza..usingo Maza unachosha.mi nampa maua yake dada insha 🙏🙏💪
🙄🙄🙄🤔🤔🤔🫣🫣Dah! Huyu bwana mzima wa kichwa kweli 🤔🫣Anaulizwa mashwali anachanganya maneno na eti huyu sio mwanamkwe wa mwisho na Aisha anajichekesha dah! Bwana mshamba sana na anaongea sana anamtia aibu 😂🤣🫣kijana ngosha anatafuta maisha kama Rommy wa shilole 🤣😂🤣😂🫣Bi dada lajichekesha 🤪🤪🤣😂😂Because of love ❤️😂🤣🤣🤪
Nimesoma comment nyingi tu before niandike yangu na wengi wanamponda Isha ooh umri ooh kijana muongo sioni kama ni poa ile minimeona ni wanapendana wanheshimiana na kizuri zaidi ni marafiki, nimewapenda bure sema tu kweli hapo kwa ndoa mutie bidii ndugu zangu kuna na kesho napia kuowa mwanamke mkubwa chambilecho ni sunna mtume wetu (S.W.A) alifanya ivo so sio ajabu.
Mabinti wengi bado hawajajitambua wengi wanaume wanaangalia pia na akili yako je ni ya kujenga maisha au kutwa mnaomba vocha na hela za mawigi alaf mishangazi ni watamuuu uliza wanaume wakwambie mwanamke umri ulioenda na ameshazaa utamuu ni mwingiii
Mh vinaume viongo no matter how old a lady is a young man can lie to any old woman wanawake hakili ni ndogo sana uyo jamaa yuko hapo for his own reason hakuna mwaume anaependa mwanamke mkubwa kwake
Kaz ambayo sito ifanya ni hii kwa umri kam huu et niziniw na vijan aaah hapan mungu aninusuru pesa na zitafuta kwa shida nisile na qatt wangy nikatafuta mtuy tunae enden nae anizidi yy siyo mim nimzid nikikosa mzee kam mim ni bora ni baki na watt wangu w mtihan
So sweet wenyewe washikaji wanacheka mpaka basi nimewapenda bure Mungu awatunze ndugu zangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mapenzi hayachagui .hata mtume aliyoa mwanamke SI saizi yake na maisha yakaendelea.mbona wanaume wakioa mabint wadg hamsemi? Mapenz maelewano❤❤❤❤❤
Mie naona huyo kijana ni muhuni tu, Isha hapo unapigwa na kitu kizito
Kwaiyo mtume ndo alifanya hayo tu ya kuoa mke aliemzidi umri mingine mbona hatuyafati haya ndo tunaona yanamaana
SHUBAAAAAMIT
@@hassanihussein2731 hapana brother vyote vinaumuhimu .ila nilijaribu kuwakumbuxha 2ktk Yale matendo ya mtume hili ni 1wapo lakuoa mwanamke aliyemzidi umri.na mapenzi maelewano 🙏
@@hassanihussein2731 lawama zimekuwa nyingi sana kwa sister.huenda baadhi yetu hatujui hili .kifupi mi nimefutahi dada yetu kupata mwenza..usingo Maza unachosha.mi nampa maua yake dada insha 🙏🙏💪
🤣🤣🤣🤣@@hassanihussein2731
🙄🙄🙄🤔🤔🤔🫣🫣Dah! Huyu bwana mzima wa kichwa kweli 🤔🫣Anaulizwa mashwali anachanganya maneno na eti huyu sio mwanamkwe wa mwisho na Aisha anajichekesha dah! Bwana mshamba sana na anaongea sana anamtia aibu 😂🤣🫣kijana ngosha anatafuta maisha kama Rommy wa shilole 🤣😂🤣😂🫣Bi dada lajichekesha 🤪🤪🤣😂😂Because of love ❤️😂🤣🤣🤪
Mhm kazi kweli kweli
Wakna shishi wako wengi
Zuch ❤❤❤❤❤
😂😂😂
Mmmmmmh.......kazi kweli kweli hakuna mapenzi hapo ni swala la maslai
Mamboo
Nimesoma comment nyingi tu before niandike yangu na wengi wanamponda Isha ooh umri ooh kijana muongo sioni kama ni poa ile minimeona ni wanapendana wanheshimiana na kizuri zaidi ni marafiki, nimewapenda bure sema tu kweli hapo kwa ndoa mutie bidii ndugu zangu kuna na kesho napia kuowa mwanamke mkubwa chambilecho ni sunna mtume wetu (S.W.A) alifanya ivo so sio ajabu.
Mwanaume haongei sana huyu ni mpiga dili tu😅😅😅😅
Jamaa mjanja mjanja😂😂
Huyu kaka kunakitu anatafuta kwa isha minishaona😂😂
Pia Aisha atafuta kitu😂😂😂
Nini tatizo mabint wanakosa vijana ila Shangazi wapo vizur vijana tafteni pesa mwisho wa cku unafukuzwa kama.......😮
Romy🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Uchebe 😂😂
Mabinti wengi bado hawajajitambua wengi wanaume wanaangalia pia na akili yako je ni ya kujenga maisha au kutwa mnaomba vocha na hela za mawigi alaf mishangazi ni watamuuu uliza wanaume wakwambie mwanamke umri ulioenda na ameshazaa utamuu ni mwingiii
🐕🐕🐕
Vijana wasasa wanataka mtelezo kulelewa msisingizie kuombwa pesa
Sina la kusema yangu macho na masikio👁️👁️👂👂
Habari ndio hiyo mwanaangu ausio wamama wamjini duh😮
Nakubali braza kwa maneno yko umri n namba 2❤❤❤❤
Mwanzo wamaelezo uwanirahaa😂😂 Masha Allah kila laheri inshallah ❤❤❤
❤❤❤ nakupenda daisha mlee kijana
DIVA NA Abdul sheikh WA mchongo (mke wangu WA mwisho)haya basi ....ILA Chuma kibiji hiyo kinamula mashauzi weeeee😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Nampenda sana isha ❤
Nimewapenda sana ❤ kwanza huyu Dada hanaga skendo za umalaya..Umri just a no
Ok, 👍 Amen 🙏 ni jambo jema kua wapenzi 🥰🥰🥰
Safi hiyo Asha. Tunakuombea udumu naye❤❤❤❤
Love is beautiful things 😍 😊
SubhanaAllah mitihani kwa kweli mhh
Isha hongera..biinafsi nakupenda mwanangu...huna makuuu..
Kwa Sasa ni Mwendo wa Mishangazi!!!😂😂😂😂😅😅😅
😂😂😂nimecheka tena mishangazi yenyewe mibonge bonge
😅😅
😁
Mishangazi yenyewe yamenenepeana kweli
Mishangaziii tuko vizuriii, tunaupendo wa dhati na tuna helaaa😂
Kweli dada Khadija. Halafu dada Mashaunzi aangalie sana kuna kitu anakifuata huko mbelen:tena mchaga awe makuni Aisha.
vijana wa natafuta sehemu za.kutulia na.kutuliza akili.ila ndio.mtulie sasa.na.fanyeni jambo . ili msizini
Yaan maelezo tu yanajitosheleza kuwa dada kaamua kukusaidia😅
Lakini kijana mzuri kama wataendelea ❤❤❤❤
Ninzuri arakini anaonekana mhuni furani
Mungu awaongoze vema❤❤❤
😢yn unaemuona kbsa km muongo hiyo mwanamke tapel kweli mwanamke mwalimy wetu kipofu huyu sikuelewi jmn
Mashangazi ❤
Nina miaka 29 na utuuzima wangu huu nilichokiona huyo kaka ni muongo mpk muongo tena..ila kila kheri sis
Bora wali nyama kuliko walimwengu
Furahia penzi lako Isha mashauzi
Mapenzi yakiwa mapya yana nguvu.mungu awajalie ameen
Tukiachanaaa na shishi utakutanaaa na ISHA
Kazi ikooo😂😂😂
😁😁
Mh vinaume viongo no matter how old a lady is a young man can lie to any old woman wanawake hakili ni ndogo sana uyo jamaa yuko hapo for his own reason hakuna mwaume anaependa mwanamke mkubwa kwake
Isha anaonekana kapenda sana
Hamna penzi hapo daaah...
Nice couple❤
Mashauzi ana kisura furani kizuri❤❤❤❤❤❤
Fulani sio " furani"!!
Yn kijana wa watu umewekwaaa😅😅
Mwendo kasi na mashngazi
Maigizo hayo
Mmmmmmm jamaniiiiiii usijimalizeeeeee mdogo anguuuuuuu hayaaaaaa mchaga mama mkwe mualikeni mama angu tabu mwaimu
sema uyu jamaa anaonekana mzinguaji anataka kuonekana tu kama anaigiza
Huyu kaka mkweli...ila isha angalia ndg yangu usiingie mzimamzima
Saivi haya sio mashangazi tena ni magurdumu
Ni mapenzi mzidi kupenda mbona mnaendana haya tafuni sasa mengine ya maana maishani.achaneni utoto.
Ila isha ana baby face❤
Hii mishangazi hii mna mambo sana.
Zuch Na Diamond 💯💯💯💯
Kila la her inshallah..mdumu kwenye ndoa yenu
Mmmh uongo huo bwana kick hyo😂😂😂😂
Ukweli nilikuwa namuonea huruma mabango ila sasa Nina furaha kuona Aisha amemsamehe mpenzi wake am so sorry wallhi😊
Kamsamehe wapi hii ya zamani
🤔🤔🤔🤔🤔 yan hapa ujajipata yn mwakani uyu kwao🫣🫣🫣 amna kitu apoo
Joshua pumzi zinakuhadaa niko pale mungu atakavo kuzalilisha
Isha kama sikosei nahisi kazaliwa 82 sasa ana uzee gani ni mwili tu huo
Allah awadumishe
Kaz ambayo sito ifanya ni hii kwa umri kam huu et niziniw na vijan aaah hapan mungu aninusuru pesa na zitafuta kwa shida nisile na qatt wangy nikatafuta mtuy tunae enden nae anizidi yy siyo mim nimzid nikikosa mzee kam mim ni bora ni baki na watt wangu w mtihan
Hao watu wazima dada wanavisukari! Shaur yakoo😅😅
@@Kidotii siyo kweli kwa hiyo watuy wazima wakike ndo hawana kisukar am
@@Kidotii😅😅😅😅😅
Visukari na preshaa
Wanalongana sema isha ana mwili mkubwaaaa😂😂😂😂
Mm mbona natafta mishangazi sipati jamani mie nataka mshangazi wakunilea
😂😂😂😂tafuta ela
Nenda kwenye nyumba za malezi😂😂😂
@@rajabdibwa6415 duuu umetishaaa
Kwan kijijin kwenu huna shangaz
Njoo ujeruman nikuconnect na MISHANGAZ ya kizungu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamaa Vibe aisee vitu vya wanawake wanavyopenda
Ila waschana tukiwa wadogo vibinti tunataka mibaba tukisozeza umri tunataka vijana.
Huyu kaka anampenda sana Isha. Ona anavyomtizamadada wakati anaongea.
Ndo wameachana sasa
Dah
Nimaisha magumu au Kwa vijana au Nini tatizo
Jamaa kakwambia ana kazi usichoelewa hapo nn?
@@danimtenga6962 kutembea Na watoto
Kipi kigum hapo kijana Ana kaz yake ingia Instagram yake ya Isha kamtag
@@ukhutfatumah1154 kamtagi jina gani chaumbea Mimi nikaone
Acha kukalili we fala
Huyu kaka ni mhuni sana maneno yake sizani kama watadumu
❤❤❤
Uyoooo naeee wakufikishaaa miezi duuu Vin
Mbona mim sipatagi mashangazi jaman munawapataej kila nikiwatongoza nakomeshwa na kesi hupelekwa nyumbani kwa wazee😢
😂😂😂😂njoo mm pia natafuta vibenten
Isha hana ukubwa wa hivyo
Ila ss wanawake tunajizalilisha sanaa
Serikali hamtukomoi kutunyima ajira teyar tumepata njia mbadala 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 ni sheeeda
Maisha yanakwenda mbio jamani daah😂😂😂😂😂😂
Mshua wangu anapiga muda wowote anapotaka😅so dogo usijimalize sana
Mashangazi tuashieni my wetu au kisa pesa😂😂😂
❤❤❤❤❤
Umri ni nombre tu.
Dah Dunia inaelekea wapi
KIKI OG
Sema Shangazi ukimzingua anakuacha paap
😅😅😅😅 yani ni shwaaaaaaa
Mhm kijana kashapata mseleleko😂😂
Muwe mnaona aibu wanawake ata kuwavulia nguo navitoto vidogooo😢😢😢😢😢😢
Hizo nguo wanazowavuria na na hizo Kuma wanazowapa ni vyawo wewe unawashwa wapi
Afu kuna mm msichana mdogo sina mpenzi duuuuuh! Kweli shangazi zetu mna balaaa
Njoo
@@amosihokororo9702 😅😅
Makubwaaa mshangaziii
Shida sana
Kwani mashangazi hawana haki ya kupendwa???na mapenzi hayana umr,kikubwa maelewano!!
@@twiseghekisilu8845 Wanahi ya küpendwa Ila na wezee wenzao siyo siyo vijana
Mhm hamna mwanaumee hapa
Maskn wanaume hamnaaa wamama wanajizolea tu kwakweli ni shidaaa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂coment yako imenichekesha
🤣🤣🤣🤣jamani
Hawa wasanii wana rahana
Hili la ukweli ama kiki?
Wanatumiana
Nilichokiona jamaa tapeli
Hovyoooo
Hapo Isha anavyosifiwa anajiona yy ndo mwanamke😅😅😅😅kijana anaonekana hamna lolote kwa kweli
Isha mwanamke nangai
KWELI AJIRA NGUMU ILA NIMEWAPENDA NA NIMECHEKA HADI NIMELIA
Yaani mtangazaji kamzidi muonekano huyo kibenten wa Isha mashauzi,,, mpaka Isha mashauzi anaona aibu
:dada Aisha huyo mrembo anaonekana kama anabeza hivi hapo pembeni ni nani?
Hii ni Kiki tu
Tusubiri nyimbo ya mapenzi hapo
Aya sasa baba watto na shangazi isha😅😅
Vijana atafuteni kazi badae mnapigwa chini kinomanoma
Mishangazi iheshimiwe😂😂😂
Nmewapentaaaa😂😂😂😂