Kila ninapo sikiliza wimbo huu huwa naikumbuka sana familia yangu, kwani kila siku jion tukiwa tumekaa kwa pamoja tulikuwa tukiuimba sana. Nakupenda sana mama angu pia ndungu zangu. Kaa karibu na familia yangu Mungu wangu.🙏
I remember this hymn when I was baptized to be an Adventist in Morogoro. Some tears are flowing on my cheeks coz I went off the Christ's way. Am now back ".Lord heal me and give me eternal life. Amen."
"The steps of a good man are ordered by the Lord: and he delighteth in his way. Though he fall, he shall not be utterly cast down: for the Lord upholdeth him with his hand." Psalms 37:23-24 May our good Lord and Saviour walk with you.
Huwa nakumbuka sana Miaka 2010 hadi 2014 familia yangu tulikuwa tunapitia wakati mgumu sana, tulikuwa na maisha yasio elezeka, tulipitia ugumu ambao hauluwa wakawaida, tuliiisha maisha yawasionahaki Lakini nyimbo mbili tyuuuu tiziiimba kila kulipo kucha kila kulipo kuchwa Wimbo 20 MUNGU wetu yeye mwamba pamoja nahuuu wimbo Na hadi sasa nnapo uimba huuuu wimbo najionaga nimtu ninae stahi kuimba sikuzote hizi nyimbo Asante MUNGU kwaupendo wako wapekeee... Hakika mimi nimeuona mkono wako🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana pamoja na family yako. Ushuhuda umenikumbusha mambo mengi na mapito tunayopitia huku Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo akitushika mkono na kutufuta machozi
Wakati Titanic ilipokua ikizama, kuna binti aliyeutunga wimbo huu kwa huzuni kubwa pale alipoitazama bahari isiyo na upeo na kufahamu kuwa mwanadamu hana uwezo wowote wa kumuokoa, titanic iliyoaminika haiwezizama ilishindwa kuwaokoa, heri binti huyu aliyefahamu kuwa ni mungu tu aliyekaribu nasi wakati wa shida, binti aliaga baharini akiwa na imani iliyomusongesha karibu na mungu, kisha akatuachia maneno haya ya uzima.
This song reminds me of my childhood church life. Our church on the hill! Sounds of loudspeaker would alert me that sabbath school is on and I need to reach the church faster than my legs could take me!
Left Kenya bout 10 yrs ago and never sung or listened this so for over that long. God just dirrected me here from one song to another just to remind me how close I am and bennefitting with God.
Kila ninaposikiliza huu wimbo namkumbuka sana rafiki yangu alikuwa anaupenda sana kabla ya kuingia kwenye maombi lazima aimbe huu wimbo endelea kupumzika kwa amani rafiki yangu
Tuongoze Mungu tuwe na wewe karibu zaidi hasa ktk kipindi hili cha janga la corona kwani kupitia janga hili pengine ni ukumbusho kwa wanadamu juu ya uasi wetu kwako!. ...Karibu na wewe...👏😱
Asante Mtumishi wa Mungu! Hallelujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Ni. Kweli ni wakati wa Mungu wa kusema na mimi na hapa ndio njia ya kutoka katika jina la Yesu amina
When my daddy coffin was entering church,this song was sang..tearfull moment that I will never forget.Came to realise that my daddy has really left us,dear Baba your missed alot..Through it all I say "Hata kama yote ni mabaya asante Yesu🙏🙏"
Hiii nyimbo namkumbuka rafiki yangu yonah ahia tulikuwa tunaimba na gitaa ila kwa Sasa huyo rafiki yangu yonah ahia ni marehemu amepumzika kaburini 😭😭😭😭😭😭
Je me rappel bien de cette chanson au jour de mon baptême et quant je suis dans les moment difficile de la vie les paroles de cette chanson me rassure.
Sorry there is hope if they have slept in the faith. I miss mine too, they used to sing at home even in the church my father was leading. The song is very touching
there is hope to meet them again across the river. i also hope to meet my father who really liked this song, especially when he played it with his keyboard.
This reminds me many weddings I attended during my childhood alongside my parents and siblings...
Anybody listening to this song now thumbs up
Kila ninapo sikiliza wimbo huu huwa naikumbuka sana familia yangu, kwani kila siku jion tukiwa tumekaa kwa pamoja tulikuwa tukiuimba sana. Nakupenda sana mama angu pia ndungu zangu. Kaa karibu na familia yangu Mungu wangu.🙏
Pore sana
ee bwana,tutie nguvu,wajane,yatima,wagane,masikini ,wagonjwa karibu maishani mwetu,tuwe karibu nawe milele,amen.
I remember this hymn when I was baptized to be an Adventist in Morogoro. Some tears are flowing on my cheeks coz I went off the Christ's way. Am now back ".Lord heal me and give me eternal life. Amen."
Welcome back to the fold. Amin!
Welcome back brother
"The steps of a good man are ordered by the Lord: and he delighteth in his way.
Though he fall, he shall not be utterly cast down: for the Lord upholdeth him with his hand." Psalms 37:23-24
May our good Lord and Saviour walk with you.
@@sherinetindi4003 thanks it's pray together
@@geoffreymoenga7344 thank you brother, may the mercy of Lord be upon us
Huwa nakumbuka sana Miaka 2010 hadi 2014 familia yangu tulikuwa tunapitia wakati mgumu sana, tulikuwa na maisha yasio elezeka, tulipitia ugumu ambao hauluwa wakawaida, tuliiisha maisha yawasionahaki
Lakini nyimbo mbili tyuuuu tiziiimba kila kulipo kucha kila kulipo kuchwa
Wimbo 20
MUNGU wetu yeye mwamba pamoja nahuuu wimbo
Na hadi sasa nnapo uimba huuuu wimbo najionaga nimtu ninae stahi kuimba sikuzote hizi nyimbo
Asante MUNGU kwaupendo wako wapekeee...
Hakika mimi nimeuona mkono wako🙏🙏🙏
Amen
Amen
Amen 🙏
Mungu akubariki sana pamoja na family yako. Ushuhuda umenikumbusha mambo mengi na mapito tunayopitia huku Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo akitushika mkono na kutufuta machozi
This song is not for the dead but for the living, a prayer song🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭🕇
very powerful prayer
Ee bwana 2025 uwe karibu NAMI
This song gives me courage to keep on trusting in God no matter the hard situations are
Amen
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU huu wimbo nimeuimba usiku huu na mda huu nimeuona mkono wa Bwana
Ukiuimba kwa Imani lazma utoe machozi,Mungu akubaliki mwimbaji
Mungu Asifiwe
Wakati Titanic ilipokua ikizama, kuna binti aliyeutunga wimbo huu kwa huzuni kubwa pale alipoitazama bahari isiyo na upeo na kufahamu kuwa mwanadamu hana uwezo wowote wa kumuokoa, titanic iliyoaminika haiwezizama ilishindwa kuwaokoa, heri binti huyu aliyefahamu kuwa ni mungu tu aliyekaribu nasi wakati wa shida, binti aliaga baharini akiwa na imani iliyomusongesha karibu na mungu, kisha akatuachia maneno haya ya uzima.
Ilikuwa ni nchi gani?natamani kupata ushuhuda huu vizuri.
Kweli???
So moving
Kisha wimbo ukatufikiaje ikiwa walizama?
Kisha wimbo ukatufikiaje ikiwa walizama?
Yamaombi pia uweze kuomba katika roho
Thanks 🙏 God, Sunday Law imekaribia sana watoto wa Mungu tuwe tayari mno.
Ooh my God I need to be near you every minute of my life
I really love hearing this song everytime it keeps me going through all challenges
This song made me heal knowing that God is the only one who will never abandon you after losing Benjamin Manani a bro I treasured most
I feel touchable with this song stay blessed
Patricial Phil Be blessed nice song
jackob joel
Nice song indeed blessed day Joel jackob
Amen
This song made my heart to be nearly with my God.thanks
Mbarikiwen Sana sauti za utulivu, wimbo huu umenigusa natamani niwe karibu zaidi na mungu wangu, Endeleeni kutubariki hivi na zaidi.
Whenever I listen to this hymn I feel the presence of holy spirit, you are a blessing to me.....nearer to thee
This song reminds me of my childhood church life. Our church on the hill! Sounds of loudspeaker would alert me that sabbath school is on and I need to reach the church faster than my legs could take me!
Nilalapo niwe karibu na wewe,karibu zaidi Mungu wangu 🙏
Asante kwa wimbo uyu...mubarikiwe na mungu
Karibu na ww in 2025 my lord. Thank you for your grace.
Nakupenda sana hata siku haipiti mimi kukusikiliza 🙏🙏🙏🙏🙏
Hapa 2024 September 20th karibu na wewe mungu wangu
Left Kenya bout 10 yrs ago and never sung or listened this so for over that long. God just dirrected me here from one song to another just to remind me how close I am and bennefitting with God.
Vinnlee Oyaro where are you?
I thank God, for is always here, memories of my village church in Kenya
Amen
@@mathiaskibon6504 are you a Branhamite?
Always check back your mother land has more spiritual nourishment to offer
Mungu awatie nguvu na awabariki sana!
Kila ninaposikiliza huu wimbo namkumbuka sana rafiki yangu alikuwa anaupenda sana kabla ya kuingia kwenye maombi lazima aimbe huu wimbo endelea kupumzika kwa amani rafiki yangu
This song boosts me through all my challenges it also gives me courage,energy and strength
v
😊
This song touches my heart...i just feel that am at Jesus feet..msy God be on our side🙏🙏🙏🙏🙏
Tuongoze Mungu tuwe na wewe karibu zaidi hasa ktk kipindi hili cha janga la corona kwani kupitia janga hili pengine ni ukumbusho kwa wanadamu juu ya uasi wetu kwako!.
...Karibu na wewe...👏😱
This song really draws me closer to God
I'm blessed
Wimbo mtamu kweli barikiwa sana
Only you GOD 🙏🙏 you can understand my stution and pain because you are near to me when sorrows and troubles give me courage to never give up 🙏🙏💪🏿
Karibu sana moyon mwangu ee mungu usituache pamoja na wanangu
Katika tenzi huu wimbo nikiuimba unanipa kiu sana naukalb kwa mungu zajid amen
Shalom Mungu awakumbuke kwa kazi nzuli inayo mtukuza yeye na kumwinuah!!!!
Shalom brethrens...the song is such a blessing in my life
Amen. It reminds me of my parents. How I wish to meet one day in heaven
Amen ! let it be ! God bless you..
may the Good lord lead us to heavenly home
Be blessed
Be strong dear 🤗
Lord please give me strength I can't believe i have lost my mum..the pain of loss is unbearable tooo much oh Jehovah..
Oo so sorry 😔
Gentle man its been a pleasure playing with you
The Titanic
Yp man
mbarikiwe wapendwa mmeimba vzr sana nataman Siku moja tuimbe wote mbinguni
Amina
Amina.🙏
A big Amen
Amin
Yaaaaa life is very hard when you listen songs like this and it's anniversary day of your lovely dad who passed away...it reminds me alot..
Wimbo mzuri sana. Mungu aibariki Afrika mashariki
Asante Mtumishi wa Mungu! Hallelujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ni. Kweli ni wakati wa Mungu wa kusema na mimi na hapa ndio njia ya kutoka katika jina la Yesu amina
Duu!! walioimba sauti yapili wamejinoma sana sana napenda sauti ya pili
Amina
When my daddy coffin was entering church,this song was sang..tearfull moment that I will never forget.Came to realise that my daddy has really left us,dear Baba your missed alot..Through it all I say "Hata kama yote ni mabaya asante Yesu🙏🙏"
Ilike your trust.
Same here my dad's burrial 😢
Huwa naupiga kwenye kinanda.. nimefurahi wamefuata noten kama zilivyo! Barikiweni sana, nimebarikiwa kwa wimbo.
Karibu Na wewe mungu mungu wangu ...Thank u our lord for loving us god bless u all our .. SDA choir...Sabato Njema to all SDA
IN GOD I CAN.thanx lord for everything which happens in my life. 🙌
Amen
. okay
Namkumbuka babayangu😢😢 mungu amlehem
Nice may God bless you
Am.rilly blessed by this song
Our Faithfull God is always near us.Thank you God for the wonderful song
Am a staunch Catholic... God hears my prayers through this song.
Great inspiration
Welcome to SDA Church some day
Amen
Rest in peace my dear sister 💔 I remember so far ... congratulations for a beautiful song
Huwa machozi yananitoka nikiimba huu WIMBO, pia huwa unanitia NGUVU SANA
wimbo mzuri hunigusa moyo wangu ninapousikiza
Nyimbo ni nzur sana,MUNGU awabariki sana. lkn sasa wekeni zote maana zipo chache mno, mi nazihitaji zote mlizoimba nyie.
nyimbo Ni nzuri Sana tumutumikie mungu
2025 UWE KARIBU NAMI MUNGU WANGU ❤
Baba kwa hali zote za dunia usiniache kuwa nami karibu zaida, Baba wewe unajua siku yangu ya mwisho duniani bariki kaburi langu.
Siku zangu zote bwana niwe karibu nawe 🙏
I see some giving thumbs down to such a powerful song, shame on you, you need to repent and come to Jesus
Really touching and bringing closed to God. Nearer to there my God. Nice hymn.
Hiii nyimbo namkumbuka rafiki yangu yonah ahia tulikuwa tunaimba na gitaa ila kwa Sasa huyo rafiki yangu yonah ahia ni marehemu amepumzika kaburini 😭😭😭😭😭😭
karibu na wewe yaani tumkaribie yesu....wito mzuri saaana!..ubarikiwe sana mtume.....👊👊📖📖📖📖
these are really seventh day adventist voices. i really like the harmony
Hakuna mahali pengine kuna mapumziko ila miguuni pa yesu,,,,, ❤
It's a nice song msaniis God 🙏🙏🙏🙏❤️ blessed you people
Tunapo safiri kunawakati tunahisi melini tumo peke yetu ,lakni. Bwana hawezi kutuacha kamwe mpe nda tu .
Best singing of my favourite song! Reminiscent of my old moments of nearing My God. God bless me and you all.Amen!!!Kelvin Chifulumo from Zambia
Powerful song am blessed
Je me rappel bien de cette chanson au jour de mon baptême et quant je suis dans les moment difficile de la vie les paroles de cette chanson me rassure.
am blessed by this song , karibu zaidi mungu wangu . endelea kutenda wema maishani mwetu mungu.
It's a blessing indeed,,,,,, keep trusting in the Lord
Amen
oh jesus have mercy on me, i all trust in You, remember me god when my time come🙏🙏🙏
Loving "Karibu na wewe" my favorite hymn .
I love this song much it gives me hope where it seems no hope...
Really amazing and encourages me much
Amina napenda niwe karbu naww zaid Mungu.
Barikiwa saana kwa huduma nzr
Oh my late parents how I remember you when I listen to this song, am in tears, may your souls RIEP
Niusikolizapo wimbo huu napata faraja sana wandugu mubarikiwe sana
Sorry there is hope if they have slept in the faith. I miss mine too, they used to sing at home even in the church my father was leading. The song is very touching
there is hope to meet them again across the river. i also hope to meet my father who really liked this song, especially when he played it with his keyboard.
Wimbo zuri saana niko apa ku PARIS FRANCE ,niko congomani
This song brings me near to my God everyday i hear it singing, glory to God
Lazima tuwe karibu na Mungu thanks for this
All the time we need to be close to Jesus..
Mimi ni mkatoliki lakini nimevutiwa sana na hii imenigusa .amina
Tunakukaribisha sana kwenye sabato na mungu akubariki
Kwani mkatoriki hatumii tenzi
AminaKaribusana
Karibu na wewee Mungu wangu, wimbo unanibariki Kwa kweli
Amen be blessed
Huu wimbo unanibariki Sana nkiiciliza naliona nipo mbingu
A good song. Sure when you are near with God always you feel happy
Beautiful songs GOD BLESS
The song make Newly my heart, I like to listen all the time
Good work
Blessed up
This song reminds me of my dad Rev Anesmace Kabole Raphael. 😢😢😢
Karibu Mungu wangu karibu na ww umeutendea haki God bless u
Amina
Nearer to theemyGod beautiful a very inspirational song
Kinzii ndunge cC'd ghr
Amina sana, mbarikiwe na Bwana na Yesu Kristo pamoja na mpiga Kinanda Yesu akuinue mpendwa juu ili uendelee kumtumikia
Thnx just watched titanic n remembered this song
The world is coming to a comma, the most important thing is all of us to go back to our God. I love such hymns
Amina
Wimbo mzuri Bwana awabariki watumishi
Wimbo mzuri sana na nyumbani mwa juu Baba yangu🇹🇿🙏🏻
A blessing song...,my comforter is my God...glory be to Him
The song is very soothing, God bless the composer 👌
Amen listening exactly @12 march 5th 2021.
Nearer To thee my God