Wakati Titanic ilipokua ikizama, kuna binti aliyeutunga wimbo huu kwa huzuni kubwa pale alipoitazama bahari isiyo na upeo na kufahamu kuwa mwanadamu hana uwezo wowote wa kumuokoa, titanic iliyoaminika haiwezizama ilishindwa kuwaokoa, heri binti huyu aliyefahamu kuwa ni mungu tu aliyekaribu nasi wakati wa shida, binti aliaga baharini akiwa na imani iliyomusongesha karibu na mungu, kisha akatuachia maneno haya ya uzima.
Huwa nakumbuka sana Miaka 2010 hadi 2014 familia yangu tulikuwa tunapitia wakati mgumu sana, tulikuwa na maisha yasio elezeka, tulipitia ugumu ambao hauluwa wakawaida, tuliiisha maisha yawasionahaki Lakini nyimbo mbili tyuuuu tiziiimba kila kulipo kucha kila kulipo kuchwa Wimbo 20 MUNGU wetu yeye mwamba pamoja nahuuu wimbo Na hadi sasa nnapo uimba huuuu wimbo najionaga nimtu ninae stahi kuimba sikuzote hizi nyimbo Asante MUNGU kwaupendo wako wapekeee... Hakika mimi nimeuona mkono wako🙏🙏🙏
Kila ninapo sikiliza wimbo huu huwa naikumbuka sana familia yangu, kwani kila siku jion tukiwa tumekaa kwa pamoja tulikuwa tukiuimba sana. Nakupenda sana mama angu pia ndungu zangu. Kaa karibu na familia yangu Mungu wangu.🙏
I remember this hymn when I was baptized to be an Adventist in Morogoro. Some tears are flowing on my cheeks coz I went off the Christ's way. Am now back ".Lord heal me and give me eternal life. Amen."
"The steps of a good man are ordered by the Lord: and he delighteth in his way. Though he fall, he shall not be utterly cast down: for the Lord upholdeth him with his hand." Psalms 37:23-24 May our good Lord and Saviour walk with you.
Kila ninaposikiliza huu wimbo namkumbuka sana rafiki yangu alikuwa anaupenda sana kabla ya kuingia kwenye maombi lazima aimbe huu wimbo endelea kupumzika kwa amani rafiki yangu
This song reminds me of my childhood church life. Our church on the hill! Sounds of loudspeaker would alert me that sabbath school is on and I need to reach the church faster than my legs could take me!
When my daddy coffin was entering church,this song was sang..tearfull moment that I will never forget.Came to realise that my daddy has really left us,dear Baba your missed alot..Through it all I say "Hata kama yote ni mabaya asante Yesu🙏🙏"
Left Kenya bout 10 yrs ago and never sung or listened this so for over that long. God just dirrected me here from one song to another just to remind me how close I am and bennefitting with God.
Tuongoze Mungu tuwe na wewe karibu zaidi hasa ktk kipindi hili cha janga la corona kwani kupitia janga hili pengine ni ukumbusho kwa wanadamu juu ya uasi wetu kwako!. ...Karibu na wewe...👏😱
aisee nimejikuta namkumbuka Mme wangu kupitia hii nyimbo alikua hataki nisali lakini nakumbuka siku ile anataka kukata roho niliimba huu wimbo alilia Sana na aliomba nimuitie mchungaji aliposaliswa sala ya toba alifumba macho nimekukumbuka Sana ❤😢
Je me rappel bien de cette chanson au jour de mon baptême et quant je suis dans les moment difficile de la vie les paroles de cette chanson me rassure.
Wakati Titanic ilipokua ikizama, kuna binti aliyeutunga wimbo huu kwa huzuni kubwa pale alipoitazama bahari isiyo na upeo na kufahamu kuwa mwanadamu hana uwezo wowote wa kumuokoa, titanic iliyoaminika haiwezizama ilishindwa kuwaokoa, heri binti huyu aliyefahamu kuwa ni mungu tu aliyekaribu nasi wakati wa shida, binti aliaga baharini akiwa na imani iliyomusongesha karibu na mungu, kisha akatuachia maneno haya ya uzima.
Ilikuwa ni nchi gani?natamani kupata ushuhuda huu vizuri.
Kweli???
So moving
Kisha wimbo ukatufikiaje ikiwa walizama?
Kisha wimbo ukatufikiaje ikiwa walizama?
Anybody listening to this song now thumbs up
Huwa nakumbuka sana Miaka 2010 hadi 2014 familia yangu tulikuwa tunapitia wakati mgumu sana, tulikuwa na maisha yasio elezeka, tulipitia ugumu ambao hauluwa wakawaida, tuliiisha maisha yawasionahaki
Lakini nyimbo mbili tyuuuu tiziiimba kila kulipo kucha kila kulipo kuchwa
Wimbo 20
MUNGU wetu yeye mwamba pamoja nahuuu wimbo
Na hadi sasa nnapo uimba huuuu wimbo najionaga nimtu ninae stahi kuimba sikuzote hizi nyimbo
Asante MUNGU kwaupendo wako wapekeee...
Hakika mimi nimeuona mkono wako🙏🙏🙏
Amen
Huwa machozi yananitoka nikiimba huu WIMBO, pia huwa unanitia NGUVU SANA
Kila ninapo sikiliza wimbo huu huwa naikumbuka sana familia yangu, kwani kila siku jion tukiwa tumekaa kwa pamoja tulikuwa tukiuimba sana. Nakupenda sana mama angu pia ndungu zangu. Kaa karibu na familia yangu Mungu wangu.🙏
Pore sana
I remember this hymn when I was baptized to be an Adventist in Morogoro. Some tears are flowing on my cheeks coz I went off the Christ's way. Am now back ".Lord heal me and give me eternal life. Amen."
Welcome back to the fold. Amin!
Welcome back brother
"The steps of a good man are ordered by the Lord: and he delighteth in his way.
Though he fall, he shall not be utterly cast down: for the Lord upholdeth him with his hand." Psalms 37:23-24
May our good Lord and Saviour walk with you.
@@sherinetindi4003 thanks it's pray together
@@geoffreymoenga7344 thank you brother, may the mercy of Lord be upon us
This song is not for the dead but for the living, a prayer song🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭🕇
very powerful prayer
HII NIYA RAIS MPENDWA MAGUFULI POMBE R:I:P 🇰🇪🇰🇪💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
ee bwana,tutie nguvu,wajane,yatima,wagane,masikini ,wagonjwa karibu maishani mwetu,tuwe karibu nawe milele,amen.
Kila ninaposikiliza huu wimbo namkumbuka sana rafiki yangu alikuwa anaupenda sana kabla ya kuingia kwenye maombi lazima aimbe huu wimbo endelea kupumzika kwa amani rafiki yangu
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU huu wimbo nimeuimba usiku huu na mda huu nimeuona mkono wa Bwana
This song gives me courage to keep on trusting in God no matter the hard situations are
Amen
Ukiuimba kwa Imani lazma utoe machozi,Mungu akubaliki mwimbaji
Karibu sana moyon mwangu ee mungu usituache pamoja na wanangu
Ooh my God I need to be near you every minute of my life
Amen and Amen 🙏 🙌 👏 ❤️
Nilalapo niwe karibu na wewe,karibu zaidi Mungu wangu 🙏
Yamaombi pia uweze kuomba katika roho
I see some giving thumbs down to such a powerful song, shame on you, you need to repent and come to Jesus
Mbarikiwen Sana sauti za utulivu, wimbo huu umenigusa natamani niwe karibu zaidi na mungu wangu, Endeleeni kutubariki hivi na zaidi.
Whenever I listen to this hymn I feel the presence of holy spirit, you are a blessing to me.....nearer to thee
This song reminds me of my childhood church life. Our church on the hill! Sounds of loudspeaker would alert me that sabbath school is on and I need to reach the church faster than my legs could take me!
This song boosts me through all my challenges it also gives me courage,energy and strength
v
😊
This song touches my heart...i just feel that am at Jesus feet..msy God be on our side🙏🙏🙏🙏🙏
When my daddy coffin was entering church,this song was sang..tearfull moment that I will never forget.Came to realise that my daddy has really left us,dear Baba your missed alot..Through it all I say "Hata kama yote ni mabaya asante Yesu🙏🙏"
Ilike your trust.
Same here my dad's burrial 😢
Only you GOD 🙏🙏 you can understand my stution and pain because you are near to me when sorrows and troubles give me courage to never give up 🙏🙏💪🏿
IN GOD I CAN.thanx lord for everything which happens in my life. 🙌
Amen
. okay
Left Kenya bout 10 yrs ago and never sung or listened this so for over that long. God just dirrected me here from one song to another just to remind me how close I am and bennefitting with God.
Vinnlee Oyaro where are you?
I thank God, for is always here, memories of my village church in Kenya
Amen
@@mathiaskibon6504 are you a Branhamite?
Always check back your mother land has more spiritual nourishment to offer
Hapo titanic inazama watu wameshakata tamaa wamekumbatiana na kuimba wimbo Kama huu hakika Bwana wape usingizi wa milele😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ushuhuda huu,nilitamani niupate. Vizuri.
Baba kwa hali zote za dunia usiniache kuwa nami karibu zaida, Baba wewe unajua siku yangu ya mwisho duniani bariki kaburi langu.
Tuongoze Mungu tuwe na wewe karibu zaidi hasa ktk kipindi hili cha janga la corona kwani kupitia janga hili pengine ni ukumbusho kwa wanadamu juu ya uasi wetu kwako!.
...Karibu na wewe...👏😱
This song made me heal knowing that God is the only one who will never abandon you after losing Benjamin Manani a bro I treasured most
I feel touchable with this song stay blessed
Patricial Phil Be blessed nice song
jackob joel
Nice song indeed blessed day Joel jackob
Amen
This song made my heart to be nearly with my God.thanks
I really love hearing this song everytime it keeps me going through all challenges
Karibu Na wewe mungu mungu wangu ...Thank u our lord for loving us god bless u all our .. SDA choir...Sabato Njema to all SDA
This song really draws me closer to God
I'm blessed
Lord please give me strength I can't believe i have lost my mum..the pain of loss is unbearable tooo much oh Jehovah..
Oo so sorry 😔
mbarikiwe wapendwa mmeimba vzr sana nataman Siku moja tuimbe wote mbinguni
Amina
Amina.🙏
A big Amen
Amin
aisee nimejikuta namkumbuka Mme wangu kupitia hii nyimbo alikua hataki nisali lakini nakumbuka siku ile anataka kukata roho niliimba huu wimbo alilia Sana na aliomba nimuitie mchungaji aliposaliswa sala ya toba alifumba macho nimekukumbuka Sana ❤😢
Hapa 2024 September 20th karibu na wewe mungu wangu
Amen. It reminds me of my parents. How I wish to meet one day in heaven
Amen ! let it be ! God bless you..
may the Good lord lead us to heavenly home
Be blessed
Be strong dear 🤗
Mungu awatie nguvu na awabariki sana!
Nyimbo ni nzur sana,MUNGU awabariki sana. lkn sasa wekeni zote maana zipo chache mno, mi nazihitaji zote mlizoimba nyie.
nyimbo Ni nzuri Sana tumutumikie mungu
Karibu daima Mungu wangu
Am a staunch Catholic... God hears my prayers through this song.
Great inspiration
Welcome to SDA Church some day
Amen
Wimbo mtamu kweli barikiwa sana
Siku zangu zote bwana niwe karibu nawe 🙏
Amina napenda niwe karbu naww zaid Mungu.
Rest in peace my Rev daddy Anesmace Raphael Kabole😢
Yaaaaa life is very hard when you listen songs like this and it's anniversary day of your lovely dad who passed away...it reminds me alot..
Shalom brethrens...the song is such a blessing in my life
Asante kwa wimbo uyu...mubarikiwe na mungu
Wimbo mzuri sana. Mungu aibariki Afrika mashariki
Gentle man its been a pleasure playing with you
The Titanic
Yp man
Tulinde katika Usk wa leo tuwe karibu na ww eeh mungu uliye ju😂
Duu!! walioimba sauti yapili wamejinoma sana sana napenda sauti ya pili
Amina
Amen listening exactly @12 march 5th 2021.
Nearer To thee my God
Nice may God bless you
Huwa naupiga kwenye kinanda.. nimefurahi wamefuata noten kama zilivyo! Barikiweni sana, nimebarikiwa kwa wimbo.
oh jesus have mercy on me, i all trust in You, remember me god when my time come🙏🙏🙏
Whenever I miss my Daddy 😓 I 🎵🎶 and I find 💪
SiSa kwa Mungu juju mbinguni
Amen amen 🙏
Our Faithfull God is always near us.Thank you God for the wonderful song
I need you Jesus
Hakuna mahali pengine kuna mapumziko ila miguuni pa yesu,,,,, ❤
wimbo mzuri hunigusa moyo wangu ninapousikiza
Ndio Yesu naomba niwe karibu na wewe Yesu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
if God with us who can against us I loveJesus Amen may God strengthen all Gospel singers
Samuel Oduor Nyarotso amen 🙏
if God with us who can against us I loveJesus mungu awabri kwanyimbo mungu awatia nguvu
Jesus est Nr 1,Il n'ya pas l'autre aux cieux et dans le monde... === Je t'aime...
Rhina Regina sholom dada Rhina
Karibu zaidi mungu wangu❤❤❤❤
Rest in peace my dear sister 💔 I remember so far ... congratulations for a beautiful song
All the time we need to be close to Jesus..
Naomba nikukaribie na Mimi Bwana
Amina,wimbo umejaa matumaini
The song make Newly my heart, I like to listen all the time
Loving "Karibu na wewe" my favorite hymn .
Je me rappel bien de cette chanson au jour de mon baptême et quant je suis dans les moment difficile de la vie les paroles de cette chanson me rassure.
Such a powerful song am here in April 2020 what an encouragement
Best singing of my favourite song! Reminiscent of my old moments of nearing My God. God bless me and you all.Amen!!!Kelvin Chifulumo from Zambia
A good song. Sure when you are near with God always you feel happy
karibu na wewe yaani tumkaribie yesu....wito mzuri saaana!..ubarikiwe sana mtume.....👊👊📖📖📖📖
Umemifariji sana huu wimbo.
Nipongeze sasa bwana wangu uwe
It's a blessing indeed,,,,,, keep trusting in the Lord
Amen
Napata tumaini kuwa na yesu
Mbarikiwe wana wa mungu
these are really seventh day adventist voices. i really like the harmony
Karibu bwana yesu katka maisha yangu
Amina Sana nabarikiwa n hii nyimbo
Karibu na wewee Mungu wangu, wimbo unanibariki Kwa kweli
It's a nice song msaniis God 🙏🙏🙏🙏❤️ blessed you people
Eternal song- Karibu na Wewe. May we be always close to the Lord now and in heaven
I love this song much it gives me hope where it seems no hope...
Really amazing and encourages me much
am blessed by this song , karibu zaidi mungu wangu . endelea kutenda wema maishani mwetu mungu.
Karibu na wew Mungu wangu🙏🙏🙏🙏🙏
Jupiter mmmmh
I want be member of SDA our can do ?
Really touching and bringing closed to God. Nearer to there my God. Nice hymn.
Mimi ni mkatoliki lakini nimevutiwa sana na hii imenigusa .amina
Tunakukaribisha sana kwenye sabato na mungu akubariki
Kwani mkatoriki hatumii tenzi
AminaKaribusana
Nataka kuwa karibu na wewe mungu wangu
Huu wimbo unanibariki Sana nkiiciliza naliona nipo mbingu
Maneno mazuri sana. Mungu ni mwema
siku zote yu mwema
Hakika Bwana ni Mwema kila wakati
I Love Nando Chicken and Bundaberg Ginger Beer
Wakati wote
God heal my soul
Great song
Very touching song oooh grory be to God
Natamani kuimba huu wimbo nikiwa mbinguni
Hakutakuwa
haja ya kuimba hivi tutakuwa tumepumzika friend. Tutakuwa tuko karibu na Mungu milele. Naomba tuweze kuwa pamoja uko.