Dini pekee ambayo kitabu chake hakipo ktk lugha ya muanzilishi ni ukristo peke yake. Uislamu umeshushwa arabuni na quran origin ni kiarabu. Kiyahudi ipo ktk lugh yao ya kiyahudi. Uhindu upo kihindi lakini ukristo umeshushwa kwa Yesu ambaye aliongea lafudhi ya kiyahudi lakini vitabu wameviandika kigiriki
misri wakati huo ahikuwa ya waarabu ilikuwa ni watu weusi sana ikkitwa kemet,anaglaia ushahidi wa kisayansi nje ya pyramid kuna sanamu za watu weusi wanapua pana na ni weusi hii ilipelekea alexander the great alipofika alichukia sana kuona watu weusi wana sayansi kubwa sana aliamuru sanamu hizo zipigwe risasi pua kupoteza ushahidi.kemet maana yake nchi ya watu weusi misri kia asili ni ya waafrika sio waarabu
Ukristo sio dini ni misheni ya wazungu au mpango au dili au tafsiri ya misheni embu tukafanye mishen tupate pesa ndio tafsiri ya ukristo ili tupewe mvinjo msahao dini ya muumbaa
Tatizo linakuja ktk kufanyia kazi unajikuta unatenda uislamu,,,ndo maana wakristo wengi wanasikiliza maneno ya midomoni mwa wachungaji nakujikuta wanapingana na maandiko yao.
Wa Islam na hakiri kama ya Nguruwe kwa zia 1AL-FAATIH'A mpaka 114 ANNA'S Kuna INJILI au TORATI au ZABURI? 😡 😡 😡 😡 Lakini open The Holy Bible hivi vitabu utavikuta Humo wa Islam okokeni JESUS IS THE WAY, TRUTH AND LIFE njoni nyote kwake
Hahaha huyu jamaa anaongea pumba kwa wanaoelewa.anataka kuona neno biblia ndani ya biblia ajui cc tunaamini injili.labda angeomba aoneshwe neno injili ambayo cc wakristo wote duniani ndio mboni yetu ya jicho. biblia sasa ni baada ya injiri zabur na taurati kuwekwa mahali pamoja maana kila kitabu kilikuwa kivyake sasa hivyo vitabu vingine vyote vinasapoti hiv vitabu vitatu Mama ambavyo ni injir zabur na taurati kwa kutoa historia mbali mbali za mitume na manabii hao walio vipokea kwa hiyo vikishawekwa mahali pamoja lazima kiwe na jina hakiwezi baki nyutro sasa ndo kina itwa biblia minafikiri arud tena darasani
@@yusarjunkhanna4100 2:43 wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha kweli nanyi manjua. So ukiona wakipiga si eti siyo hawajuwi ukweli. 2:62,Hakika walio Amina, na mayahaudi na wakiristo, na wasabai, yoyote atakaye muamini mwenyewe Mungu na siku ya mwisho na akatenda mema Basi watapata malipwa yao kwa Mola wao mlezi wala hita kuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika
Hakuna siku mutatoa andiko kwa qur'una lakini hamujuwi Bible, mara Bible ni ya Israeli lakini kwa kwa kujibu ni hiyo Bible ya Israeli mbona musitumia qur'una kwa kujivunia Bible na hali munakata Bible.
Allah akurehem almarhum Amani petrol akulipe Fildauss. Na mie pia.Amin
Allahu Akbr Allah amlaze mahala pema peponi Amiiina
Allah atawalipeni walimu wetu Wa kiislam haki uislam ni dini ya kweli Allah anijalie nice nikiwa muislam
Allah akuperehema na amani uko ulipo amin
Ma shaa allah mungu akurehemu imani petro
Imani petro Allah akurehemu akupe pepo ya firdows
mungu amrehemu ameeeen
Kaziyake Mola haina Makosa umeenda sheikh wetu Allah akurehemu Sheikh
Mashaallah
Allah akulipe kila laheri amina
Alhamdulillah Allah anifishe ktk dini y hakh din Islam Allahumma Aamiin
Hakuna dini ya haki mbele ya Allah ni uislam na issa ni nabii tuu kam mtume Muhammad saw wala sio mungu
Toboa Imani petro takbir mpaka ahera Mutume amepigwa mawe pakashuka aya inatuusu sisi tulitoka ukafirini takibiri Imani petro
Tatizo mnakata mada
Hii ni dhambi dhimaaaa
Allah atupe pepo inshallah tena ya wafirdausi amin sote waislam amin
Uislam raha jaman
Mmmmmh shikamo waislam napenda watu ambao ni logic tuache uongo waislam wanalogic Sana🙌🙌🙌🙏🙏🙏📿📿📿
اللهم اغفر له ورحمه واسكنه فى الجنة يارب العالمين انك سميع الدعاء
Allah akupe Pepo
Imani Petro Pale ulipo Mungu akurehemu akututie dhambi akuingize peponi
Subuhana.kwakweli.nimefurahi.sana.avochambua.bibilia.na.coran.alakuweke.peponi.kaaribu.na.mitume
Allah amrehemu
Rahmahullah
Dini pekee ambayo kitabu chake hakipo ktk lugha ya muanzilishi ni ukristo peke yake. Uislamu umeshushwa arabuni na quran origin ni kiarabu. Kiyahudi ipo ktk lugh yao ya kiyahudi. Uhindu upo kihindi lakini ukristo umeshushwa kwa Yesu ambaye aliongea lafudhi ya kiyahudi lakini vitabu wameviandika kigiriki
Atamimi nimetoka ukafiri takibiri InshaAllah allah atujaliye pepo waumini
Ahaahahaaaa.....!!🙄, upo sahihi, coz islamu utaenda alipo Mohammad, wakristo utaenda alipo YESU, chaguo ni lako
@@millionairejeffreysunofbez3766 kwikwikwikwi soma dini usisubiri roho ijekuombea wewe
@@najmamakame9881 ..ata cjakuelewa,
Ufunuo amapewa nabii wa zama za mwisho
misri wakati huo ahikuwa ya waarabu ilikuwa ni watu weusi sana ikkitwa kemet,anaglaia ushahidi wa kisayansi nje ya pyramid kuna sanamu za watu weusi wanapua pana na ni weusi hii ilipelekea alexander the great alipofika alichukia sana kuona watu weusi wana sayansi kubwa sana aliamuru sanamu hizo zipigwe risasi pua kupoteza ushahidi.kemet maana yake nchi ya watu weusi misri kia asili ni ya waafrika sio waarabu
Awo makirisu wanapenda maagizoyawanadamu yesu akija watuwatasali kiisilamu wanduguzetuwamoja watakua wameshatanguliyatangua nimusiba misarabayote yesu ataikana itaangushwa cini nimusiba Mungu mwenyewe kasibitisha katika coroan duniya itaisha ikija uisilamu
Please ..km huwez kuandika usicomment, ...kidogo quran huite corona..🙄🙄😄😄
nyie waislamu ndio munafuata maagizo ya wanadamu hushaidi qu'ran 6-101 ayo ni maagizo ya Muhammad si Mungu kasema!
Matayo 2:10 uongo Sasa hapa wanawambia Yesu hakuuwawa ndio hawakubahatika Sasa alipotoka Egypt aliuwwa au la?
Ukristo sio dini ni misheni ya wazungu au mpango au dili au tafsiri ya misheni embu tukafanye mishen tupate pesa ndio tafsiri ya ukristo ili tupewe mvinjo msahao dini ya muumbaa
ivio vitabu vyote munasema waislam je munavipata ndani ya kuroan ama ndani ya bibiliya.
Ukimsikiriza kwa makini anahubiri Biblia tuu injili itasonga mbele tuu na sio watu wengine Hao Hao ndio wanaiendesha kwa moto kkkk ubarikiwe
Tatizo linakuja ktk kufanyia kazi unajikuta unatenda uislamu,,,ndo maana wakristo wengi wanasikiliza maneno ya midomoni mwa wachungaji nakujikuta wanapingana na maandiko yao.
Injili yakweli yakwenye BBLIA inafuatwa na WAISLAMU ya maandiko,,,,,wakristo munafuata porojo.
Sahihi waislamu wanajitekenya na kuchekecha wenyewe
Ufunuo nikitabu cha mwisho kwenye bibilia maana ya ufunuo kwa lugha ya kiarabu ndio Quran
Je maandiko ya ufunuo wa kwenye biblia na ufunuo wa kwenye Koran vinafanana?
ua-cam.com/video/5UXoluZxSac/v-deo.html MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI
Wa Islam na hakiri kama ya Nguruwe kwa zia 1AL-FAATIH'A mpaka 114 ANNA'S Kuna INJILI au TORATI au ZABURI? 😡 😡 😡 😡 Lakini open The Holy Bible hivi vitabu utavikuta Humo wa Islam okokeni JESUS IS THE WAY, TRUTH AND LIFE njoni nyote kwake
Hahaha huyu jamaa anaongea pumba kwa wanaoelewa.anataka kuona neno biblia ndani ya biblia ajui cc tunaamini injili.labda angeomba aoneshwe neno injili ambayo cc wakristo wote duniani ndio mboni yetu ya jicho. biblia sasa ni baada ya injiri zabur na taurati kuwekwa mahali pamoja maana kila kitabu kilikuwa kivyake sasa hivyo vitabu vingine vyote vinasapoti hiv vitabu vitatu Mama ambavyo ni injir zabur na taurati kwa kutoa historia mbali mbali za mitume na manabii hao walio vipokea kwa hiyo vikishawekwa mahali pamoja lazima kiwe na jina hakiwezi baki nyutro sasa ndo kina itwa biblia minafikiri arud tena darasani
Nyinyi wakristoo mumepotea, wapii yesu akitaka kusaidiwa na nyinyi mukusanye vitabu na museme bibilia
Kwa iyo icho kifo cha yesu kina hisu nini kwetu
Zaburi, Taurati, injili vyote utavikuta kwe Biblia kkk Sasa hapa uislamu una nini?
Kwahivyoo ww ndio uliandika bibilia sio, si uulize hiyo bibilia haihitaji uisaidie, ndio maana bibilia si kitabu cha Mungu
Ndugu hujaelewa swali. Swali ni hili, Biblia ni kitabu cha MUNGU gani na mtume wake nani?
So you finish talking giving biblia lakini si qur'una na Jina la yesu Christo apewe sifa kwa kuweka muhuri kuwa MUNGU alitupa Bible.
Huyo anawaonyesha upotevu wa bibilia ilii mupate kuokoka
@@yusarjunkhanna4100 2:43 wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha kweli nanyi manjua. So ukiona wakipiga si eti siyo hawajuwi ukweli. 2:62,Hakika walio Amina, na mayahaudi na wakiristo, na wasabai, yoyote atakaye muamini mwenyewe Mungu na siku ya mwisho na akatenda mema Basi watapata malipwa yao kwa Mola wao mlezi wala hita kuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika
Hakuna siku mutatoa andiko kwa qur'una lakini hamujuwi Bible, mara Bible ni ya Israeli lakini kwa kwa kujibu ni hiyo Bible ya Israeli mbona musitumia qur'una kwa kujivunia Bible na hali munakata Bible.
Waisilamu wametumwa kuwaambiya kama mumegeuza maneno mukaondoa ili nakuongeza lile lashetani
ua-cam.com/video/5UXoluZxSac/v-deo.html MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI