Baba ungeuwa tu, mimi nakusapoti haiwezekan sadaka tunapata za kutosha afu tunanywea pombe tunalewa vizuri afu tusiue watu, mwaka huu lazima tuue na wengine zaidi sisi sio fremason ila waua watu, haleluyaaaaaaa......
Tangulini mchungaji ukawa unaishi maisha ya ucelebrity kama msanii..... wachungaji wengi wanaenenda kwa mfano wa dunia hii kutafuta umaarufu.... sijawahi kusoma andiko Yesu akitoa pepo au akiponya wagonjwa kwa kupiga story na majini , lakini Leo hii makanisa mengi wanapuga (kuyauliza mashetani ili watu wasikie story) pepo ambacho ni kinyume na maandiko, hapo ndugu yangu unatengenezewa kuwa na imani kwa mwanadamu kwa ushuhuda wa pepo wachafu... simple lesson ni hivi ukishaona mashetani yameongea ukaona yamesema ukweli inakupelekea MTU kuamini kuwa mchungaji ananguvu za Mungu wakati kimsing sio neno la Mungu limekufanya kumuamini Mungu... yaani Mungu atupe Maarifa. Yesu alikuwa akiwanyamazisha mapepo machafu yaani hayaruhusiwi kuongea hata kidogo ni yanapewa amri ya kutawanyika tu no stories
kwani leo ndio mnawajua hawa wachungaji wanajipatia majina makubwa makubwa ni wahuni kabisa, mtawajua kwa matendo yao, shida siku hizi tunaangalia miujiza na mingi hiyo ni maigizo, hata shetani anafanya miujiza kwa kutumia jina la Yesu, wakristo amkeni turudi kwenye maandiko matapeli ni wengi
Mimi nina wasiwasi juu ya ndugu yangu aliyeandaa taarifa hii ambapo hajaongea jambo lolote kuhusu upande wa pili. Hapa anaongea kuhusu mchungaji peke yake, jambo ambalo linaonekana dhahili kuwa story yake inaegemea upande mmoja. Jambo lingine ni kwamba, mtumishi wa Mungu ni binadamu naye anazo hisia za kibinadamu; kama vile uchungu, maumivu, hasira nk. Na mwisho, hata watummishi wa Mungu waliotangulia, kama Musa, Daudi nk walishawahi kuonyesha hasira zao dhahili juu watu waliowaudhi; hata Yesu alishacharaza watu kwa viboko kwa maudhi ya kibinadamu. Hivyo Mtumishi wa Mungu akikasirika kuna jambo baya katendewa, na hilo ndilo linalopaswa kushughulikiwa.
jaman tukumbuke yeye pia ni mwanadamu hvyo kukosea ni kitu cha kawaida cha msing ni kumuombea tu!!jiulizien juu ya Saudi MTU Wa Mungu aliye lala na make Wa MTU!!lakn bado Mungu akawa nae
tatizo sio wachungaji tatizo ni nyie waumini wake hamjitambui. wachungaji wanajua wanachokifanya na wanaujua ukweli. wanachoangalia ni dunia lkn Mbele ya mungu wanajua kua hawana chao.
Mnamkumbuka Yule Mwanadada Mwandishi Aliyevujisha Habari Hii? Kiuhalisi Ni Mwanafunzi wa Kike aliyekuwa na Lusekelo Usiku Kucha! Lakini Akamruka Baada ya Kuona Mlevi wa Upako atamwaibisha hivyo akawahi Kutoa her Narative! Leo huyu Ndio wa Kumkosoa Kakobe kwa Kupinga Utawala wa Hila na Kihalifu? ajabu sana!
ndio maana mimi nina dini yangu ya mababu. hawa wachungaji waongo tu. wanatumia njia ya kututia hofu, kutuogofya, kutudanganya ili kutuibia hela zetu. wao wanakuwa matajiri huku sisi tukijazwa matumaini ya uongo
Huyu mzugaji anayejiita mchungaji sishangai sana kuhusu pombe maana miaka mingi nyuma akiwa ndio ameanza kuvuma nimeshawahi kumuona mara kadhaa Coco beach akiwa amevalia kofia kubwa kama ya cowboy, amekaa akinywa chupa yake ya wine huku akishangaa uumbaji.
hakuna kilichobora kwa Mungu chini ya jua kila mwanadamu na siku yake eidha ya kusimama au kuanguka. na kila mtu atafakari matendo yake na Mungu wake, kwasababu hakuna dini iliyobora isipokuwa matendo yako binafsi. mchungaji au kiongozi yeyote wa dini ni lifti tu ya kukunyanyua kiroho
Muda wako mwingi unaoutumia kuhesabu maovu ya wengine haukufanyi wewe kuwa mtakatifu. Yamkini wakati wewe unamjadili yeye anaitumia muda huo kutubu. hivyo muhimu ni kutengeneza wewe na mungu wako.
Na imamu akifanya dhambi hatuuachi uislam. Wala mchungaji akifanya dhambi hatuuachi ukristo. hata wao wanahitaji msaada wenu wa maombi kujadili c dawa.
hiyi sio ajabu kwani neno liko wazi yakwamba ukitangaza umeokoka umetangaza vita na shetani atakutafuta na mitego mingi mpaka akunase ndio maana unatakiwa kuomba sana na kujua mipango ya shetani .anaanza kukuteka ufahamu hapo kwishinel huwez tena anakuwa anakutumia apendavyo so watu acheni midomo bali ombea kanisa na watumishi maana ni binadamu kama wengine.
Jaman mm sizungumzi lakin inaumiza maana ukimwambia mtu soma biblia tu ndo msaada wako anasema mzee wa upako atatenda miujiza na ishara jaman kuweni makini
Aminiel Yohana Tatizo la sabato na nyinyi MNA liheshimu agano la kale kuliko jipya yesu ni bwana wa sabato acheni mambo ya kusema sabato ina NGUVU kiasi hivyo kwanini yesu aliifunja sababto kwa sasa tuna okolewa kwa Amani siyo kwa kushika SIKU sefania asema sikuku zakonzime batilika ewe yerusalu
Huo nimtazamo wako Mchungaji aliye onekana amelewa na Shehe au Imam wa msikiti flani aliye fumaniwa na mke wa mtu nani zaidi? Pia unajuwa shehe mkuu wako wa dar amekufa na gonjwa gani?
kuna maandiko haya ukiyatafakali, inatupasa kusali kwa bidii na Mungu atakuoneaha kanisa la Kuabudu... 1. chuma hunoa chuma 2. nyoka huzaa nyoka 3. mwanafunzi hampiti mwalimu wake yamfaa akihitimu awe kama mwalimu wake. 4. kipofu hawez kumuongoza kipofu mwenzake maana wote watatumbukia shimoni. Hayo maandika hayajakosewa wala sio magumu kuyaelewa... kama mchungaji wako mbele za Mungu ni kipofu (mwenye dhambi) kanisa zima motoni simple mathematics....sasa hapa kunawalokole uchwara watapindisha herufi mpaka lionekane kwamba ni la mchungaji.... pia ikumbukwe no.2 nyoka huzaa nyoka yaani Mungu atupe uelewa usitegemee kushuhudiwa na mwenye dhambi ukidhani utazaliwa hauna dhambi.... kama baba yako ni nyoka (mdhambi) bhasi sinahaja kumalizia..... ukiangalia ya mwisho kama mchungaji wako anadhambi za siri utajikuta na ww unaupendwa wa machoni mwa watu lakini kimsingi aliyekuwa baba yako wa imani ni mwenye dhambi na wewe utajikuta huwez kuacha kutenda dhambi sirini
maandiko yanasema"tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote"yanaposema kwa bidii ina maana si jambo rahisi kupendwa na kila mtu sasa hili mtumishi wa Mungu hakulijua mpaka aende kubishana!!?
AMRI YA TANO YA MUNGU INASEMA USIUE, LAKINI MCHUNGAJI WETU HAPO NAONA ANAMWAMBIA HUYO DADA "NIKIKUONA MAHALA POPOTE NAKU UA"...LOOH TABU KWELI KWELI..WACHUNGAJI WA UONGO ,MUNGU AMEAMUA SASA KUWA UMBUA.
Jamani huyu siyo MCHUNGAJI ila alijiita mchungaji naamelitumia kanisa la mungu vibaya basi kweupe mungu ameweka hadharani kwani makaa matatu unskaa getting kwa mtu mikukosa hekima
Hata maandiko yanasema upole kiasi usiwe mpole mpaka ukawa zuzu na bwana yesu pia alipindua meza ktk sinagogi baada yakuona watu wanafanya upuuzi ktk nyumba ya baba yake ila kwa Habari ya Mtumishi kunywa pombe hapo Mimi nisiongee kitu lakini nahisi nyuma ya Pazia kuna kitu tu kati ya yeye najirani zake zaidi ya hicho nahisi tumeingilia gari kwa mbele ila tutapata ukweli zaidi
Unafanya utetezi wa kijinga tu,acha matando yake ya Mtetee,Yes,Biblia inazungumzia kuwa na hasira kiasi halafu jua likizama hasira hiyo isiendelee kuwaka!! Hata hivyo Yesu akiwa ana Hasira hakutenda dhambi kama Vile Matusi,kutishia kuuana Ulevi!!! Haijalishi ana mahusiano gani na hão jirani zake bado kwa mtu anaejitutumia kwamba ni Messenger wa Bwana wetu Yesu hapaswi kufanya Upuuzi anaoufanya hapo!! Hapo sijataka hata kuweka maagizo ya Bwana Yesu ya kuwapenda Jirani zetu kama nafsi zetu
Wewe unaemnyooshea kidole lusekelo wewe una maovu mangapi.?ingawa bado hatuna uhakika na hilo la ulevi wanalosema lkn usisahau nafsi yako pia itahukumiwa hukumu ile ile so punguza kuchonga
wenzetu wa wakirstu kuweni makini wachungaji wengi wapo kibiashara makanisa ni frem za kibiashara wateja ni waumini pelekeni sadaka wanachuma wanasepa zao nje nyie mwahangaika kuwepelekea pesa zenu za jasho
Wote tumepungukiwa na Utukufu wa Mungu Kristo Yesu mrehemu mtumishi wako wala adui asipate nafasi katika hili katika jina la Yesu Amen
Eee Mungu tusameeeee
Baba ungeuwa tu, mimi nakusapoti haiwezekan sadaka tunapata za kutosha afu tunanywea pombe tunalewa vizuri afu tusiue watu, mwaka huu lazima tuue na wengine zaidi sisi sio fremason ila waua watu, haleluyaaaaaaa......
Johny Tozzy
Johny Tozzy daaa ama kweli
hahahahahaha mzee wa upako ndo huyu anashambulia kweli loo!. pole baba wa upako yesu anakuona.
Aise kazi tunayo kwa kweli. Mchungaji km huyo mwenye jina kubwa Tanzania kumbe anafanya Upuuzi?
Huyo sio mtumishi wa mungu angalia sai ame muanza alkiba
Tangulini mchungaji ukawa unaishi maisha ya ucelebrity kama msanii..... wachungaji wengi wanaenenda kwa mfano wa dunia hii kutafuta umaarufu.... sijawahi kusoma andiko Yesu akitoa pepo au akiponya wagonjwa kwa kupiga story na majini , lakini Leo hii makanisa mengi wanapuga (kuyauliza mashetani ili watu wasikie story) pepo ambacho ni kinyume na maandiko, hapo ndugu yangu unatengenezewa kuwa na imani kwa mwanadamu kwa ushuhuda wa pepo wachafu... simple lesson ni hivi ukishaona mashetani yameongea ukaona yamesema ukweli inakupelekea MTU kuamini kuwa mchungaji ananguvu za Mungu wakati kimsing sio neno la Mungu limekufanya kumuamini Mungu... yaani Mungu atupe Maarifa. Yesu alikuwa akiwanyamazisha mapepo machafu yaani hayaruhusiwi kuongea hata kidogo ni yanapewa amri ya kutawanyika tu no stories
Huyu mzee anataka kufa ameshamdanganya mungu na watu wengi laana sinamrudia.
Analewea hela za masikini alizozibeba kutoka mifukoni mwa masikini wakidhani wanamtolea Mungu
kwani leo ndio mnawajua hawa wachungaji wanajipatia majina makubwa makubwa ni wahuni kabisa, mtawajua kwa matendo yao, shida siku hizi tunaangalia miujiza na mingi hiyo ni maigizo, hata shetani anafanya miujiza kwa kutumia jina la Yesu, wakristo amkeni turudi kwenye maandiko matapeli ni wengi
safi sanaaaaa!!
unajua huyo nae ni binadamu Na aweza Fanya kitu chochote kile make yy sio malaika,ulevi sio dhambi ila matokeo yake ndo dhambi
Kweli Siku za mwisho ndizo hizi
Kutoka uokoaji/uokozi Hadi uuaji !!!!😎😎😎😎😎
we mungu tusaidie
JEOVA endelea kuwafichua mbwa mwitu kat ya kund la kondoo Amen
Mimi nina wasiwasi juu ya ndugu yangu aliyeandaa taarifa hii ambapo hajaongea jambo lolote kuhusu upande wa pili. Hapa anaongea kuhusu mchungaji peke yake, jambo ambalo linaonekana dhahili kuwa story yake inaegemea upande mmoja. Jambo lingine ni kwamba, mtumishi wa Mungu ni binadamu naye anazo hisia za kibinadamu; kama vile uchungu, maumivu, hasira nk. Na mwisho, hata watummishi wa Mungu waliotangulia, kama Musa, Daudi nk walishawahi kuonyesha hasira zao dhahili juu watu waliowaudhi; hata Yesu alishacharaza watu kwa viboko kwa maudhi ya kibinadamu. Hivyo Mtumishi wa Mungu akikasirika kuna jambo baya katendewa, na hilo ndilo linalopaswa kushughulikiwa.
Msikurupuke maana hamjui huyo jirani amekuwa kero kiasi gani kwake kuna watu wanashombo huwezi kuwavumilia hata ungekuwa malaika
Onesmo Mwacha suala la pombe?
Me siwezi kushangaa cause najua hana muongozo wa Mungu wa haki. Allah
ukiona mambo hayo yanatokea kazana kumtumikia mungu na kutubu yesu anakuja karibuni hao ni manabii Wa uongo na wamesha teka wengi
ukiona mambo kamahaya yanatokea ujue mwana wa mungu yu njiani kuja
young frava ! yupo Chalinze au😂😂😂😂
+Sharoun Khamis yupo kimara kashapita chalinze muda tu
jaman tukumbuke yeye pia ni mwanadamu hvyo kukosea ni kitu cha kawaida cha msing ni kumuombea tu!!jiulizien juu ya Saudi MTU Wa Mungu aliye lala na make Wa MTU!!lakn bado Mungu akawa nae
mkamilifu.ni.mungu.peke yake
Ukiwa mnafk lazma ipo cku tu utazalilika kabda ujafa
Kweli
mungu baba atusamehe na kutuhurumia sana,ni wanadamu tunamapungufu.
tatizo sio wachungaji tatizo ni nyie waumini wake hamjitambui. wachungaji wanajua wanachokifanya na wanaujua ukweli. wanachoangalia ni dunia lkn Mbele ya mungu wanajua kua hawana chao.
Eee mungu baba dusayidie
Mlevi haswa huyo kvant kwa wingi
Mimi sishangai hata kidunchuuu
Mnamkumbuka Yule Mwanadada Mwandishi Aliyevujisha Habari Hii? Kiuhalisi Ni Mwanafunzi wa Kike aliyekuwa na Lusekelo Usiku Kucha! Lakini Akamruka Baada ya Kuona Mlevi wa Upako atamwaibisha hivyo akawahi Kutoa her Narative! Leo huyu Ndio wa Kumkosoa Kakobe kwa Kupinga Utawala wa Hila na Kihalifu? ajabu sana!
Pesa hainaadabu laana za mungu rudini kwa mungu wenu kaani chini mfikir niwapi mmkosea
ndio maana mimi nina dini yangu ya mababu. hawa wachungaji waongo tu. wanatumia njia ya kututia hofu, kutuogofya, kutudanganya ili kutuibia hela zetu. wao wanakuwa matajiri huku sisi tukijazwa matumaini ya uongo
Huyu mzugaji anayejiita mchungaji sishangai sana kuhusu pombe maana miaka mingi nyuma akiwa ndio ameanza kuvuma nimeshawahi kumuona mara kadhaa Coco beach akiwa amevalia kofia kubwa kama ya cowboy, amekaa akinywa chupa yake ya wine huku akishangaa uumbaji.
Masudi Kisamfu 😁😁😁
Masudi Kisamfu akishangaa uumbaji lol
nimewahi sikia pia
Masudi Kisamfu
hakuna kilichobora kwa Mungu chini ya jua kila mwanadamu na siku yake eidha ya kusimama au kuanguka. na kila mtu atafakari matendo yake na Mungu wake, kwasababu hakuna dini iliyobora isipokuwa matendo yako binafsi. mchungaji au kiongozi yeyote wa dini ni lifti tu ya kukunyanyua kiroho
Hivi.watu sijui hawaonagi.
Kwamnaodhani hii ni ajabu someni Wakorinto wa Kwanza 6-9 ...... Sanamu sio issue ktk imani .
Duh! hawa ndo mafirimasoni wenyewe.
kauli mbiu yamzee waupako ilikua hivi haleluya watashindana lkn hawatashinda tutashinda haleluya jamani swali langu ni kati yawaloshindana nazee waupoko nani kashindwa? jamani nieleweke hapo mzee waupako,na walioshindana nani kashindwa
Kweli ya Mungu mengi.Ndo upako huo
Muda wako mwingi unaoutumia kuhesabu maovu ya wengine haukufanyi wewe kuwa mtakatifu. Yamkini wakati wewe unamjadili yeye anaitumia muda huo kutubu. hivyo muhimu ni kutengeneza wewe na mungu wako.
ACHENI KUVUMISHA HABARI AMBAZO HAMNA UHAKIKA NAZO KWANGU MIMI NI MGUMU KUAMINI VITU AMBAVYO SIJATHIBITISHA.
Uchungaji kazi sio kila mtu anastahili kuwa mchungaji wengine wazugaji tu.
Ulitaka akae kimya huku kachokozwa
Global... wekeni link za social media zenu hapo kwenye description ... Kwa urahisi zaidi
Mchungaji gani Mlevi puuuuuuu
endelea kuwaongopea watu,mlevi mkubwa za mwizi arubaini kumbe ni mshenzi hv duu nomaa umeumbuka,huna upasta wala uplasta mwizi tuu kama wezi wengine;-)
That Why I don't trust ⛪ but I believe in God
Sijaona cha ajabu hapo!!!
Na imamu akifanya dhambi hatuuachi uislam. Wala mchungaji akifanya dhambi hatuuachi ukristo. hata wao wanahitaji msaada wenu wa maombi kujadili c dawa.
hiyi sio ajabu kwani neno liko wazi yakwamba ukitangaza umeokoka umetangaza vita na shetani atakutafuta na mitego mingi mpaka akunase ndio maana unatakiwa kuomba sana na kujua mipango ya shetani .anaanza kukuteka ufahamu hapo kwishinel huwez tena anakuwa anakutumia apendavyo so watu acheni midomo bali ombea kanisa na watumishi maana ni binadamu kama wengine.
ucmuukumu mwenZio angali ujajiukum mwenyewe xo amna aliyepewa kibali cha kumuukum mtu apa duniani
PATRICK MKALLYAH unajua maana ya kuhukumu kweli!!?
'I pray your faith will not fail '
hawa ndio wanawapoteza watoto wamungu hakika dunia imefika mwisho
haaaaaaa tusemenini. basi watuwanaangamia kwakukosa maarifa mungu tusaidie maana hakunahajuaye kujirikwako
Jaman mm sizungumzi lakin inaumiza maana ukimwambia mtu soma biblia tu ndo msaada wako anasema mzee wa upako atatenda miujiza na ishara jaman kuweni makini
Kweli hili gharika
mungu tusaidie
MI kila siku na waambia Hawa ni wezi kubuhu
Nice
Mzee wa upako usijali kama hayo uliyofanya ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu ipo siku zitajulikana mbivu na mbichi
mwisho wa ubaya aibu
imesalia rahaya sabato kwa watu wa MUNGU ebrania 3-9
Aminiel Yohana Tatizo la sabato na nyinyi MNA liheshimu agano la kale kuliko jipya yesu ni bwana wa sabato acheni mambo ya kusema sabato ina NGUVU kiasi hivyo kwanini yesu aliifunja sababto kwa sasa tuna okolewa kwa Amani siyo kwa kushika SIKU sefania asema sikuku zakonzime batilika ewe yerusalu
Kairuk una ushahd? Hebu soma hii 1wakornt 10-1-------------9
Aminiel Yohana nitafute tujadili 0677347345
du pole yake
Hawa ndio wachungaji matapeli Huna lolote najivunia kua Muislam
Huo nimtazamo wako Mchungaji aliye onekana amelewa na Shehe au Imam wa msikiti flani aliye fumaniwa na mke wa mtu nani zaidi? Pia unajuwa shehe mkuu wako wa dar amekufa na gonjwa gani?
kuna maandiko haya ukiyatafakali, inatupasa kusali kwa bidii na Mungu atakuoneaha kanisa la Kuabudu...
1. chuma hunoa chuma
2. nyoka huzaa nyoka
3. mwanafunzi hampiti mwalimu wake yamfaa akihitimu awe kama mwalimu wake.
4. kipofu hawez kumuongoza kipofu mwenzake maana wote watatumbukia shimoni.
Hayo maandika hayajakosewa wala sio magumu kuyaelewa... kama mchungaji wako mbele za Mungu ni kipofu (mwenye dhambi) kanisa zima motoni simple mathematics....sasa hapa kunawalokole uchwara watapindisha herufi mpaka lionekane kwamba ni la mchungaji.... pia ikumbukwe no.2 nyoka huzaa nyoka yaani Mungu atupe uelewa usitegemee kushuhudiwa na mwenye dhambi ukidhani utazaliwa hauna dhambi.... kama baba yako ni nyoka (mdhambi) bhasi sinahaja kumalizia..... ukiangalia ya mwisho kama mchungaji wako anadhambi za siri utajikuta na ww unaupendwa wa machoni mwa watu lakini kimsingi aliyekuwa baba yako wa imani ni mwenye dhambi na wewe utajikuta huwez kuacha kutenda dhambi sirini
Siku za mwisho
Swapend xana Hawa wachungaji wauongo,, hawaend kwa sheria na ushuhuda,,.
Duu Mungu amrehemu naye ni binadamu
duh aibu jamn.mzee wa upako aibu duuuhh hana busara kabisa ...then kumbe n kwel mlevi
wow this is so sad.
mlevi huyo ,a kwenda motoring au atubu
maandiko yanasema"tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote"yanaposema kwa bidii ina maana si jambo rahisi kupendwa na kila mtu sasa hili mtumishi wa Mungu hakulijua mpaka aende kubishana!!?
Event Elias Sikiliza vizur
Ndio nyakati za mwisho
Just a pass hata so xhangai
AMRI YA TANO YA MUNGU INASEMA USIUE, LAKINI MCHUNGAJI WETU HAPO NAONA ANAMWAMBIA HUYO DADA "NIKIKUONA MAHALA POPOTE NAKU UA"...LOOH TABU KWELI KWELI..WACHUNGAJI WA UONGO ,MUNGU AMEAMUA SASA KUWA UMBUA.
Katoliki tu.
Mzee waupako anamwambia akimuona mahala popote atamuuwa kisha anamuagiza kijana wake nakusema muangalie vzr huyu je? hawa wajakazi wake ndokazi yao???
Abeid Mayanga
Abeid Mayanga .
Mungu tusamee
Immauclee Byamungu
Wewe pia utapima kiwango cha umri wako,
asante
Kufanya nini cha ajabu hapo. Nyie mnaokuza hizi habari ni maagent wa shetani. hakuna mtu ambae ni msafi fungeni mabakuli yenu
duu mna macho na hamuoni
mlevi
ukweli aujua Allah maana ulimwengu wa fisi
Jamani huyu siyo MCHUNGAJI ila alijiita mchungaji naamelitumia kanisa la mungu vibaya basi kweupe mungu ameweka hadharani kwani makaa matatu unskaa getting kwa mtu mikukosa hekima
uwiiii
lazima mbivu na mbichi zitajulikana tuu mkubwa super charge hapa umechemka @father
Akuna cha Uchungaji
ina mana ata MUNGU alikuwa amemchoka ndiakamuwa kumuweka wazi
Shida yako hiyo swa
mambo vipi/ karibuni mtembelee channel yangu,Inaitwa Maish ya Ughaibuni
Usanii mpaka kwenye injili
Jambo kama hilo angefanya mtu wa kawaida ambaye sio maarufu lisingekuwa mtandaoni, lakini kwa vile ni m,tu maarufu ndiyo maana imekuwa story kubwa.
hahahaha
Izo ndo cku za mwisho wachungaj walioweng cwakwer
mchungaji Nimlevi
watatokea makristo wa uongo mathayo 24
du shida had mchungaji awa hiivi
mimi nimewahi enda kanisa lake kama huna elifu kumi hakushiki akuombee
Hata maandiko yanasema upole kiasi usiwe mpole mpaka ukawa zuzu na bwana yesu pia alipindua meza ktk sinagogi baada yakuona watu wanafanya upuuzi ktk nyumba ya baba yake ila kwa Habari ya Mtumishi kunywa pombe hapo Mimi nisiongee kitu lakini nahisi nyuma ya Pazia kuna kitu tu kati ya yeye najirani zake zaidi ya hicho nahisi tumeingilia gari kwa mbele ila tutapata ukweli zaidi
pole muumini una macho na huoni
jos alexlo
Unafanya utetezi wa kijinga tu,acha matando yake ya Mtetee,Yes,Biblia inazungumzia kuwa na hasira kiasi halafu jua likizama hasira hiyo isiendelee kuwaka!! Hata hivyo Yesu akiwa ana Hasira hakutenda dhambi kama Vile Matusi,kutishia kuuana Ulevi!!! Haijalishi ana mahusiano gani na hão jirani zake bado kwa mtu anaejitutumia kwamba ni Messenger wa Bwana wetu Yesu hapaswi kufanya Upuuzi anaoufanya hapo!!
Hapo sijataka hata kuweka maagizo ya Bwana Yesu ya kuwapenda Jirani zetu kama nafsi zetu
Wewe unaemnyooshea kidole lusekelo wewe una maovu mangapi.?ingawa bado hatuna uhakika na hilo la ulevi wanalosema lkn usisahau nafsi yako pia itahukumiwa hukumu ile ile so punguza kuchonga
la ulevi nimewahi lisikia
ukweri usemwe
maybe alikua hajalewa
131 what? litter au meter ???
Alcohol inapimwa kwenye promile.... watangaziji wengine wajinga kweli... wanatangaza upumbavu tuu
Huku ni kulitukana jina la BWANA
Kabisaaaa
Me kilio tu
wenzetu wa wakirstu kuweni makini wachungaji wengi wapo kibiashara makanisa ni frem za kibiashara wateja ni waumini pelekeni sadaka wanachuma wanasepa zao nje nyie mwahangaika kuwepelekea pesa zenu za jasho
wazandiki wakubwa nyie