Ona ofisa manunuzi aliyemchongea mkurugenzi wake kwa Mkuu wa Mkoa Dodoma

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • Afisa manunuzi wa Wilaya ya Kondoa Mji, Mussa Kimwaga amemweleza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka kuwa Changamoto ambayo anaipitia ya kunyanyaswa na Mkurugenzi wake kwenye masuala mbalimbali imempelekea kutaka kuondoka Wilayani Kondoa, huku akisema kuwa mweka hazina pia amekimbia kutokana na masaibu hayo.

КОМЕНТАРІ • 44

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo3933 2 роки тому +2

    Mtaka ni Moja ya Wakuu wa MKOA Ambao KILA MKOA unapoongoza unaacha alama za FAIDA.Mungu Akutangulie na akufikishe Mbali na Ukawe hata Makamu Wa Rais Jamani.

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 2 роки тому +2

    Mtaka is a man among the men!

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 2 роки тому +2

    Mtaka nakukubali sana, huyu ni kati ya Wakuu wa Mikoa wachache sana wenye hekima waliowahi kuongoza Tanzania. Mungu awe nawe Mtaka.

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 2 роки тому +2

    MTAKA UMEELEKEZA VIZURI SANAA, HONGERA

  • @salvatoremathias1227
    @salvatoremathias1227 2 роки тому +1

    MH mkuu wamkoa muondoe uyo mkurungenzi haraka sana ,

  • @samyngtnyi9786
    @samyngtnyi9786 2 роки тому

    Nakukubali Sana kiongozi

  • @joelrugano6517
    @joelrugano6517 2 роки тому

    Mtaka your the man.
    Tuna hazina chache sana za jinsi yako Big up young man. Let the sky be your limit.

    • @omarytexesunauwababa4587
      @omarytexesunauwababa4587 2 роки тому

      Awasimamie sasa hawa wasiyojua kitu mkurugenzi mbabe hafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 2 роки тому +3

    Hawa wanaovaa nguo za siasa kila mahali Mungu anawaona

  • @damiangarang1900
    @damiangarang1900 2 роки тому

    Rc Mtaka wewe ni smart sana mkuu. Uindelee kuwa promoted

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 2 роки тому

    Mtaka is very smart guy

  • @jofreysinchenje1995
    @jofreysinchenje1995 2 роки тому

    Great...l

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 роки тому +1

    Majisifu bwana Mtaka hayana maana, wananchi wanahitaji kazi na sio longolongo

  • @emanuellyatuu731
    @emanuellyatuu731 2 роки тому +1

    Hata Mimi napenda kumsikiliza RC wa dodoma

  • @christinajames7499
    @christinajames7499 2 роки тому

    mtaka uko vzr kwa mawazo mazuri kazi iendelee

  • @irenemsangi7933
    @irenemsangi7933 2 роки тому +3

    Ameongea kwa uchungu sana

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 роки тому

    Safi Sana mhe.Mkuu wa mkoa wa Dodoma.

  • @hassanchauluwa7308
    @hassanchauluwa7308 2 роки тому

    Mtaka my best RC

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 роки тому +1

    Intaneti Za Bongo Zinatufanya Tusijue Viongozi Wetu

  • @experiuskamugisha6863
    @experiuskamugisha6863 2 роки тому

    Good

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 2 роки тому +1

    Kazini kama wewe ni mlevi ni mlevi tu, na ulevu makazini unakeraga wafanyakazi wenzio! We mzeee pungiza ulevi 😃😃😃😃mkurugenzi huenda ana makosa ila ulevi wako pia ni tatizo

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano8860 2 роки тому

    Waambie, vyeo ni dhamana

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 роки тому

    Hehehehehehe mazagazaga chupi ya VIP kkkk watoto WA elf hamjui vitu hvyo

  • @hassanmustapha6980
    @hassanmustapha6980 2 роки тому

    Big man

  • @calvinshirima2654
    @calvinshirima2654 2 роки тому +2

    ukweli humuweka mtu huru

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 роки тому

    Mkurugenzi awajibishwe,anatukane watu yeye nani.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 роки тому

    Tatua Tatizo Je Uyo Mlengwa Yuko Sawa Kutukana Wakati Shelia Za Taifa Zipo

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 2 роки тому

    mtaka upo bomba sana..yaani jina tuu ndio shida vinginevyo upo bombaa kichwani

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile4737 2 роки тому

    Tanzania hoyee!!!! Ni vizuri kufanya uchunguzi juu ya alicholalamika huyu mtumishi I, itajulikana tu nani mbaya hapo.

    • @ismailimsangi2672
      @ismailimsangi2672 2 роки тому

      Mtaka ninakukubali nakumbuka ulipokuwa mkuu wetu wa wilaya ya hai uliitendea vema wilaya yetu.

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 2 роки тому

    Tatua tatizo ach maneno....

  • @kitomondo
    @kitomondo 2 роки тому

    Jamaa amelewa.

  • @adinanitandalah7178
    @adinanitandalah7178 2 роки тому

    mkurugezi wa kondoa hafai kabisa

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 2 роки тому

    Alimchongea au aliongea ukweli ?

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 2 роки тому

    Kimwagaaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @2003hintay
    @2003hintay 2 роки тому

    Kondoa watendaji wote wanstakiwa wafumuliwe

    • @2003hintay
      @2003hintay 2 роки тому

      Weka kila kitu kipya usiache chembe ya mtu

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 2 роки тому

    Sasa wewe Tangu sasa sio RC bali ni Waziri wa Elimu Tangu sasa.

  • @doktamathew
    @doktamathew 2 роки тому

    .

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 роки тому +1

    Na wewe unaonekana Una shida,,,,,,!!!

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 роки тому +1

    Intaneti Za Bongo Zinatufanya Tusijue Viongozi Wetu

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 роки тому +1

    .

    • @anyelwisyemwakasungula7419
      @anyelwisyemwakasungula7419 2 роки тому

      Is this proper way of loging the complaints against your superior ????? ? for those who are real educated can understand the nature of the the complainants