Mkasi - SO4E09 with Mpoto

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 43

  • @marylulufocus2970
    @marylulufocus2970 9 років тому +1

    Ni moja kati ya mahojiano ambayo natamani kuangalia kila iitwapo leo. Vizur saaana Mkasi, hongera kwa mahojiano na hongera kwa majibu ambayo yanaeleweka.

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 5 років тому +1

    Mkasi rudisha show number one in town

  • @chiddoog8009
    @chiddoog8009 11 років тому +1

    peku peku daah apo umetisha mjombaa

  • @agnesmange6205
    @agnesmange6205 10 років тому

    ukigombea ubunge count u have my vote.....

  • @jumakinenekejo1009
    @jumakinenekejo1009 9 років тому

    abautwa ]
    MRISHO MPOTO PALA MWINYIGOLOGOMBE,!!!

  • @emmanuelellymwakyusa2900
    @emmanuelellymwakyusa2900 11 років тому

    hahahahahahahahahha MPOTOOOOOO kawaaa mgangaa leooooooooo hapaa MKASI nomaaaaaa nawapataa wazee wa MIZIMUU

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando 12 років тому +1

    Swala la uamuzi linatakiwa liwe la pamoja na si kama la mfano wa panya wanaotaka kumfunga kamba Paka na akitokea basi panya hujikuta wapo kila mmoja mahala pake.
    Umoja ni Nguvu,
    tujihadhari na mikataba isiyoeleweka ,
    msanii anaweza kurekebisha mkataba kabla ya kazi,mf kipengele cha Kujitambulisha utaifa wake ni muhimu.

  • @shininisoipano4973
    @shininisoipano4973 8 років тому +1

    hongera mrisho kwa kuelimisha jamii

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando 12 років тому +1

    Swala la Watanzania nje ya nchi linatakiwa litiliwe umakini.
    Ila ni wakati wa nchi za Afrika mashariki kujivunia Undugu pamoja na Lugha yao ya Kiswahili kwa pamoja.
    Sanaa ya Tanzania inatumiwa na kutangazwa kama ya Mataifa mengine kama si ya Ulaya yenyewe basi hata ya nchi nyingine za Afrika.

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando 12 років тому

    Tunaelewa kuwa wasanii wengi wanaandika mikataba kwa ajili ya kujikimu na mahitaji yao ya maisha kutokana na hali ngumu ya maisha,ila Haipendezi kuona nyimbo za kizaramo zinaimbwa na Wazimbabwe tena kwa kiswahili cha kubabaisha na kutangazwa ni za kizimbabwe.

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 Рік тому +1

    Salama show iendelee 09/12/2022

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando 12 років тому +1

    Kumekuwa na taratibu za kuwaleta baadhi ya wasanii kufundisha tamaduni zetu na pindi wanapoondoka huwa zinarekodiwa na kutumiwa vibaya kwa lengo la kumgandamiza msanii wa Kitanzania.

  • @jessicamm3171
    @jessicamm3171 7 років тому

    nimejifunza mengi kutokana na maneno ya mrisho poto

  • @dorcasgitari8278
    @dorcasgitari8278 8 років тому

    I say Mjomba bwana eeee...una hekima aki.

  • @allymwa2962
    @allymwa2962 8 років тому

    mrisho nakubali sana kipaji chako

  • @oscarsway9438
    @oscarsway9438 11 років тому

    I appreciate it

  • @josonwakitaa2092
    @josonwakitaa2092 12 років тому

    MY HERO MPOTO,MZEE WA KUSILIBA

  • @dorcasgitari8278
    @dorcasgitari8278 8 років тому

    Hata mie imebidi tangia leo nitembee mguu chini I say.

  • @biommy3762
    @biommy3762 8 років тому

    sichozi...Kuskizaga semi zako mpoto

  • @athunaniamiss6119
    @athunaniamiss6119 7 років тому

    kweli baba ww amna wa kukuiga

  • @alexmengo7325
    @alexmengo7325 10 років тому

    MPOTO HONGERA SANA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU!!!

  • @josonwakitaa2092
    @josonwakitaa2092 12 років тому

    WABONGO BANA KWA UMBEA ETI KIDUMU ANAJICHUA,NJOENI HOLLAND MUONE WANAUME KWA WANAUME WANAOWANA,ALFU NYOSHI S ALIKUJA HAPO MBONA UJAMUULIZA KUHUSU MKOLOGO,ACHENI ZUNU

  • @ahmedalminshad1211
    @ahmedalminshad1211 7 років тому

    mmependeza na black

  • @ericmmary9197
    @ericmmary9197 8 років тому +1

    who z watching 2016..........Mrisho it was so lame nakuogopa salam men we don't show if we ar afraid...

  • @JohnsonYesaya
    @JohnsonYesaya 8 років тому

    haahahaaaa jamaa gudi sana

  • @margaretkhavakali4987
    @margaretkhavakali4987 6 років тому

    Salama bana 😂😂😂

  • @asumani100
    @asumani100 12 років тому

    Kabisa mumkaribishe majuto

  • @halimaabdullahmwichande8671
    @halimaabdullahmwichande8671 7 років тому

    SS na choon anaenda peku hivo

  • @jayguygratien
    @jayguygratien 12 років тому +1

    me like mpoto

  • @joellucas2036
    @joellucas2036 7 років тому

    Mbona kipind cha mkasi hatukioni

    • @jessicamm3171
      @jessicamm3171 7 років тому +1

      JOEL LUCAS salama jabir aliacha kazi. cheki show yake na lilommy tv

  • @44izack
    @44izack 11 років тому

    zito kabwe

  • @44izack
    @44izack 11 років тому

    makyembe

  • @360-t5s
    @360-t5s 11 років тому

    that is not biology insteade it is spiritual beliefs

  • @azadiunatishamumyloveungab6614
    @azadiunatishamumyloveungab6614 8 років тому

    mjomba hahaha

  • @dorcasgitari8278
    @dorcasgitari8278 8 років тому

    I say Mjomba bwana eeee...una hekima aki.