Ni moja kati ya mahojiano ambayo natamani kuangalia kila iitwapo leo. Vizur saaana Mkasi, hongera kwa mahojiano na hongera kwa majibu ambayo yanaeleweka.
Swala la uamuzi linatakiwa liwe la pamoja na si kama la mfano wa panya wanaotaka kumfunga kamba Paka na akitokea basi panya hujikuta wapo kila mmoja mahala pake. Umoja ni Nguvu, tujihadhari na mikataba isiyoeleweka , msanii anaweza kurekebisha mkataba kabla ya kazi,mf kipengele cha Kujitambulisha utaifa wake ni muhimu.
Swala la Watanzania nje ya nchi linatakiwa litiliwe umakini. Ila ni wakati wa nchi za Afrika mashariki kujivunia Undugu pamoja na Lugha yao ya Kiswahili kwa pamoja. Sanaa ya Tanzania inatumiwa na kutangazwa kama ya Mataifa mengine kama si ya Ulaya yenyewe basi hata ya nchi nyingine za Afrika.
Tunaelewa kuwa wasanii wengi wanaandika mikataba kwa ajili ya kujikimu na mahitaji yao ya maisha kutokana na hali ngumu ya maisha,ila Haipendezi kuona nyimbo za kizaramo zinaimbwa na Wazimbabwe tena kwa kiswahili cha kubabaisha na kutangazwa ni za kizimbabwe.
Kumekuwa na taratibu za kuwaleta baadhi ya wasanii kufundisha tamaduni zetu na pindi wanapoondoka huwa zinarekodiwa na kutumiwa vibaya kwa lengo la kumgandamiza msanii wa Kitanzania.
WABONGO BANA KWA UMBEA ETI KIDUMU ANAJICHUA,NJOENI HOLLAND MUONE WANAUME KWA WANAUME WANAOWANA,ALFU NYOSHI S ALIKUJA HAPO MBONA UJAMUULIZA KUHUSU MKOLOGO,ACHENI ZUNU
Ni moja kati ya mahojiano ambayo natamani kuangalia kila iitwapo leo. Vizur saaana Mkasi, hongera kwa mahojiano na hongera kwa majibu ambayo yanaeleweka.
Mkasi rudisha show number one in town
peku peku daah apo umetisha mjombaa
ukigombea ubunge count u have my vote.....
abautwa ]
MRISHO MPOTO PALA MWINYIGOLOGOMBE,!!!
hahahahahahahahahha MPOTOOOOOO kawaaa mgangaa leooooooooo hapaa MKASI nomaaaaaa nawapataa wazee wa MIZIMUU
Swala la uamuzi linatakiwa liwe la pamoja na si kama la mfano wa panya wanaotaka kumfunga kamba Paka na akitokea basi panya hujikuta wapo kila mmoja mahala pake.
Umoja ni Nguvu,
tujihadhari na mikataba isiyoeleweka ,
msanii anaweza kurekebisha mkataba kabla ya kazi,mf kipengele cha Kujitambulisha utaifa wake ni muhimu.
hongera mrisho kwa kuelimisha jamii
Swala la Watanzania nje ya nchi linatakiwa litiliwe umakini.
Ila ni wakati wa nchi za Afrika mashariki kujivunia Undugu pamoja na Lugha yao ya Kiswahili kwa pamoja.
Sanaa ya Tanzania inatumiwa na kutangazwa kama ya Mataifa mengine kama si ya Ulaya yenyewe basi hata ya nchi nyingine za Afrika.
Tunaelewa kuwa wasanii wengi wanaandika mikataba kwa ajili ya kujikimu na mahitaji yao ya maisha kutokana na hali ngumu ya maisha,ila Haipendezi kuona nyimbo za kizaramo zinaimbwa na Wazimbabwe tena kwa kiswahili cha kubabaisha na kutangazwa ni za kizimbabwe.
Salama show iendelee 09/12/2022
Kumekuwa na taratibu za kuwaleta baadhi ya wasanii kufundisha tamaduni zetu na pindi wanapoondoka huwa zinarekodiwa na kutumiwa vibaya kwa lengo la kumgandamiza msanii wa Kitanzania.
nimejifunza mengi kutokana na maneno ya mrisho poto
I say Mjomba bwana eeee...una hekima aki.
mrisho nakubali sana kipaji chako
I appreciate it
MY HERO MPOTO,MZEE WA KUSILIBA
Salama mbona unaponda sana?
Hata mie imebidi tangia leo nitembee mguu chini I say.
sichozi...Kuskizaga semi zako mpoto
kweli baba ww amna wa kukuiga
MPOTO HONGERA SANA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU!!!
WABONGO BANA KWA UMBEA ETI KIDUMU ANAJICHUA,NJOENI HOLLAND MUONE WANAUME KWA WANAUME WANAOWANA,ALFU NYOSHI S ALIKUJA HAPO MBONA UJAMUULIZA KUHUSU MKOLOGO,ACHENI ZUNU
mmependeza na black
who z watching 2016..........Mrisho it was so lame nakuogopa salam men we don't show if we ar afraid...
ERIC MMARY hapendi uongo
mrisho..??
haahahaaaa jamaa gudi sana
Salama bana 😂😂😂
Kabisa mumkaribishe majuto
SS na choon anaenda peku hivo
me like mpoto
Natty Dread kook
Mbona kipind cha mkasi hatukioni
JOEL LUCAS salama jabir aliacha kazi. cheki show yake na lilommy tv
zito kabwe
makyembe
that is not biology insteade it is spiritual beliefs
mjomba hahaha
I say Mjomba bwana eeee...una hekima aki.