Mambo ya kuzingatia kabla ya kuanzisha biashara | Mbinu za kulinda mtaji
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- #Biashara #Ushauri #Utaalam #MbinuZaBiashara
Suala la kuwa na wazo la biashara ni moja, kuanzisha biashara i jambo la pili ambalo kuna mambo unapaswa kuzingatia ili usirudi nyuma. Mshauri wa Biashara, Lairumbe Laizer anaeleza dhana hizi mbili @DailyNewsDigital
Nakuelewaa sna bro
Congratulations mchumi nipende vile unavyo eleza👏👏
Great man 👏
Fact hongera sana mchumi
Asante niko najifunza