NJIA RAHISI ZA KUJIFUNZA KUWEKA AKIBA
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- Je, ungependa kujifunza jinsi ya kuweka akiba kwa njia rahisi na yenye ufanisi? Katika video hii, tutakupa vidokezo na mbinu za kujenga tabia ya kuweka akiba kwa urahisi. Utajifunza jinsi ya kutambua gharama zisizo za lazima, kuweka malengo ya kuweka akiba, na kuweka mipango ya bajeti inayoweza kutekelezeka. Pia tutazungumzia faida za kuweka akiba na jinsi ya kuweka akiba kwa ajili ya malengo yako ya muda mrefu. Ikiwa unataka kujifunza jinsi ya kuweka akiba kwa njia rahisi na yenye ufanisi, basi hii ni video unayopaswa kutazama!
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.....
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Jifunze #kuweka #akiba
Pokea salamu kutoka Kenya bro Eden, kiukweli mafunzo yako yamenijenga xana haswaa upande kuwa na descpline ya pesa na matumizi, asante Mungu akuhifadhi
[8/2, 10:44 PM] Frank: Mambo vp
[8/3, 9:11 AM] Debora laiton: Safi za wewe
[8/3, 11:32 PM] Frank: Nipo poa[8/2, 10:44 PM] Frank: Mambo vp
[8/3, 9:11 AM] Debora laiton: Safi za wewe
[8/3, 11:32 PM] Frank: Nipo poa4 na wewe kweli ni wakutomba hasa kwa
@@deboralaiton-ge8mfBy ni
Nimekuwa nikiweka akiba ila sikujua najipunja mwenyew ila kuanzia sas nitaanza kufanya saw na mafundisho yako nikipata elf 30 bc elf tatu yote lzma niweke akiba ,,❤❤❤❤
Utajishukuru sana baadaye kama utadumu na hilo zoezi
Tangu nianze kukuskiliza walau hata kidogo najitahidi kusave asante success
Mwenyezi Mungu akuzidishie kaka ,mimi nikiwa na hasira naweza nunua kitu bila kutarajia nikinunua naona hakina maana,mwezi ulio pita kuna mtu alinikwaza nika jikuta na nunua mekap naihali simtumiaji ,Mungu Anisaidie niweze kubadilika shukrani sana kaka yangu, Ezden
Thanks bro you are my mentor 🙏
Ahsantee sana kaka angu Mungu akubariki sanaaa,,Umenifungua pale nilipokuwa nimefugwaa 🙏🙏🙏
Nashukuru sana kwa Dua njema. Amiin
Ameeeen
Be blessed my brother i have nothing more to explain since you are my mentor right now may Allah bless you more n more 💯💯
Samahani ni miradi gani boss wangu
Asante sana bro naona mabadiliko tangu nianze kukusikiliza thanks God bless you 🙏
Kaka ndio naanza naamini mungu atanisaidia kupitia ushauli wako bless you bro
Naanza leo..
Malengo ya Muda mrefu hapa nimeelewa Sana Asante sana Kaka yangu
Nakufa toka Congo nashukuru Sana M Mungu azidi kuku tumia ❤
Nmependa sana
Nashukulu san kwa ushauri muzuli san
Karibu sana
Good,Allah akulipe
Asante umenifungua akili ubarikiwe
Well said Mr Ezden. You blessed.
Are you good my dear friend
Nakukubali sana braza unatunga sana allah akufanyie wepes inshaallah
Asante kaka.Nitajaribu
Aiseee mr we ni ticha mzuri sana .unatusanua ngoja tulifanyie kazi 🙌🙌🙌🤝🏾
Asante sana
Asante kwa somo
Through you....broo nimeijua pesa mpka bs yaan mpka familia inadai nimebadilika sana stoi mahitaji kma ilivokuwa before...nilikumbuka usemii wako...nli spend more money than I earned
Thank you so much my bro ezden ❤
Always welcome
Well mr
Asante brother kwa usua wako
Karibu
Thanks bro Ezden 🙏
Thanks brother
Nice br
Nashukuru sana Mungu akuzidishie aise brother
Thanks bro
Asante Kaká yangu umenifunza jambo mimi nilikuwa napata lakini siko makini naitumia ovyoo kwanzia sasa nitafanya ivyo asante kwa fundisho
karibu sana ukhty..
Naanza kulifanyia kazi naamini nitapiga hatua kubwa sana
God bless you I have learned alot
Karibu sana
Mmmh asante sana
Shukrain sana kaka sahii tupo makini kwakutumia pessa tayari tulisha panga bajeti not like before
Mungu akubariki nimejifunza mengiiiiii
Big up bro for your advice...
Asante san
Mimi Kila nikiwe akiba shida matatizo ndio yanaongezeka najikuta natumia Ile akiba sijui nifanye Nini ndio nisevu pesa
asante sanaaaa
Asante sana kk❤
Sahihi kaka yote unayo yasema ❤
aize safisana
Thank 😊
Umenisaidia sana brother
Thank you
hussein hamadi
😂
Mimi nimeanza kutunza akiba baada ya kufatilia mafunzo mbalimbali kwenye mitandao. Bado sina program ya kufatilia matumizi na bado sijaweka malengo ya muda mrefu
Big up🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante mungu kwa kunipitisha hapa na Asante kaka nimekula hela nyingi Sana week hii da Asante brother
Mungu akulinde kuliko jana kwa elimu nzuri mwenywe nimefunguka kuhusu akiba
👍👍👍
Asante mzee
8:02 real talk
Love that part
Nakukubali kaka MUNGU akubariki
Nimesha kuelewa kaka
Mungu akusaidye kaka wewe mwamba kaka kwakufundisha tu
Nikweli kaka nimekupata vizuli
Tangu nilipo kusikiliza nimejifunza san kk
Nashukuru sana lakini mimi mbona kuna muda nanunua vitu sijapanga kabisa Naona naferi mwalimu
Anza taratibu kubadili namna Yako ya kutumia pesa, katika Kila pesa unayoipata andika ni namna gani utatumia kabla hujaitumia na katika mgawanyo huo Akiba iwe namba Moja, Kisha inayobaki Sasa pangia matumizi kutokana na umuhimu
Congratulations 🎉🎖️✊✊
Yotee umenielimisha
Somo hili limenigusa sana kaka nikama unanisema mimi ila nimejifunza kitu.
Hili la akiba mara nyingi ni rahisi ukiwa na kipato cha uhakika .
Start small... And have discipline! Au fungua fixed account ambayo utakuwa unaweka na huwezi kutoa kilekile kiwango kidogo kutokana na kipato chako.... Ukitaka kujua inawezekana kuwekeza ukiwa na kipato kidogo kumbuka uliishi vipi siku ambazo ulikua huna pesa kabisa....!
Yaani nafurahia somo na namna unavyoongea kaka mpk nahisi kama tuzungumza tumekaa pamoja
La akiba nimelichukua japo nimechelewa bro
"You're at the perfect timeline of life". Huu usemi huwa unanikumbusha siku zote kuwa hujachelewa kwenye lolote lile maishani, kikubwa baada ya ufahamu mpya ni mabadiliko gani unaenda kuyafanya katika maisha yako kwa kile ulichojifunza... Na hii ndio unaleta mabadiliko. 🤝🏽
Jack Bei poa naptkana mkoa wa geita
Kwel kaka me siwezi eka ela najifuza saiv duu namadeni yaajabu tu
❤
Nimejifunza kuwek akiba
Kwel
Nimejifuza sana god bless mr
Nimejifunza kuweka akiba ni muhimu
Daaah ukwel mtupu
Mbona wakina kalungu na amos atuwaoni jaman
Mimi naingiza Kila siku elfu 80 lakin nahitaji kujifunza zaidi maana pesa inapotea
Me nashdwa kujua ni aina Gani ya biashar ambayo nawez Fanya hivyo naomba ushauli
Tangu nitapeliwe na Mr kuku nilikosa imani na ww nikikuona nahisi nawaona matapeli maana kama sio ww kupromoti Mr kuku mi wala nisingeingia kwenye ile desi
Kila mtu na upeo wake wa kuelewa mambo. Sio mbaya, kuna huo mtazamo wako halafu kuna uhalisia wangu!
Mimi yote yamenigusa ,ukisikiliza unachukulia poa ,lakini pointi zote ni muhimu
Mbona wengne wanasema hela haiwekwi
Mimi najitahidi kufuata zana.ira.nachoferi.kuweka.akiba.siwezi.kira.niki.jitaidi.naikopatu.nifanyeje
SoMo zuli sana
Balikiwa Kwa mafundixho yako
Asante sana
Yaan mimi kwenye kuweka ela ndo nishashindikana🥵 cweziiiii kibubu hakifikish hata afu 15 cjui nimelogwa🥺🥺🥺
Asante sana broo yani ninakitabia mtu akinambia shinda tu nimeshaenda kukitoa kiakiba .hichi kitu kinanirudisha sana nyuma .katika kukurudishia mtu ndo mtihani hapo .asante umenifunza kitu
😮😮mi kabla sijawa na familia niliweza kusave pamoja na kumsaidia ndugu zangu but now nashindwa sijui nini, naweka kwa kibubu na badae na kuvunja
Poleee
Toka nimeanza kukuckiliza upo vizurisana ,Nina m,kumi nfanye biashara gani,nipo jb ndugu
Nimekulewa kaka nimefanya kaz miaka 14 namwakani nasitaafu sijaweka hats 100 nifanyeje kaka
Asante sana