NJIA RAHISI ZA KUJIFUNZA KUWEKA AKIBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Je, ungependa kujifunza jinsi ya kuweka akiba kwa njia rahisi na yenye ufanisi? Katika video hii, tutakupa vidokezo na mbinu za kujenga tabia ya kuweka akiba kwa urahisi. Utajifunza jinsi ya kutambua gharama zisizo za lazima, kuweka malengo ya kuweka akiba, na kuweka mipango ya bajeti inayoweza kutekelezeka. Pia tutazungumzia faida za kuweka akiba na jinsi ya kuweka akiba kwa ajili ya malengo yako ya muda mrefu. Ikiwa unataka kujifunza jinsi ya kuweka akiba kwa njia rahisi na yenye ufanisi, basi hii ni video unayopaswa kutazama!
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
    .
    OUR SPONSOR’S DETAILS:
    Al-Rahmah Schools
    Location: Mkuranga
    Phone: 0673-52-66-44
    IG: / alrahmahschools
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.....
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @jewajua5506
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #Jifunze #kuweka #akiba

КОМЕНТАРІ • 109

  • @kennedylukose5358
    @kennedylukose5358 Рік тому +11

    Pokea salamu kutoka Kenya bro Eden, kiukweli mafunzo yako yamenijenga xana haswaa upande kuwa na descpline ya pesa na matumizi, asante Mungu akuhifadhi

    • @deboralaiton-ge8mf
      @deboralaiton-ge8mf Рік тому

      [8/2, 10:44 PM] Frank: Mambo vp
      [8/3, 9:11 AM] Debora laiton: Safi za wewe
      [8/3, 11:32 PM] Frank: Nipo poa[8/2, 10:44 PM] Frank: Mambo vp
      [8/3, 9:11 AM] Debora laiton: Safi za wewe
      [8/3, 11:32 PM] Frank: Nipo poa4 na wewe kweli ni wakutomba hasa kwa

    • @user-jp4md8ov9m
      @user-jp4md8ov9m 6 місяців тому

      ​@@deboralaiton-ge8mfBy ni

  • @PetyJonas
    @PetyJonas 13 днів тому +1

    Nimekuwa nikiweka akiba ila sikujua najipunja mwenyew ila kuanzia sas nitaanza kufanya saw na mafundisho yako nikipata elf 30 bc elf tatu yote lzma niweke akiba ,,❤❤❤❤

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому +4

    Tangu nianze kukuskiliza walau hata kidogo najitahidi kusave asante success

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Рік тому +2

    Mwenyezi Mungu akuzidishie kaka ,mimi nikiwa na hasira naweza nunua kitu bila kutarajia nikinunua naona hakina maana,mwezi ulio pita kuna mtu alinikwaza nika jikuta na nunua mekap naihali simtumiaji ,Mungu Anisaidie niweze kubadilika shukrani sana kaka yangu, Ezden

  • @mpendajrtz7460
    @mpendajrtz7460 Рік тому +5

    Thanks bro you are my mentor 🙏

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 3 місяці тому +1

    Ahsantee sana kaka angu Mungu akubariki sanaaa,,Umenifungua pale nilipokuwa nimefugwaa 🙏🙏🙏

  • @innocentmushi2721
    @innocentmushi2721 Рік тому +6

    Be blessed my brother i have nothing more to explain since you are my mentor right now may Allah bless you more n more 💯💯

  • @robertmgori8165
    @robertmgori8165 Рік тому +3

    Asante sana bro naona mabadiliko tangu nianze kukusikiliza thanks God bless you 🙏

  • @burudanitiv324
    @burudanitiv324 10 місяців тому +1

    Kaka ndio naanza naamini mungu atanisaidia kupitia ushauli wako bless you bro

  • @deohdega8773
    @deohdega8773 9 місяців тому +3

    Naanza leo..

  • @wandedalushi2984
    @wandedalushi2984 Рік тому +2

    Malengo ya Muda mrefu hapa nimeelewa Sana Asante sana Kaka yangu

  • @aridjahusain-rv2hu
    @aridjahusain-rv2hu Рік тому +2

    Nakufa toka Congo nashukuru Sana M Mungu azidi kuku tumia ❤

  • @user-rt2yc6hf5f
    @user-rt2yc6hf5f 7 місяців тому +1

    Nmependa sana

  • @user-jx4ti7dw7p
    @user-jx4ti7dw7p 7 місяців тому +2

    Nashukulu san kwa ushauri muzuli san

  • @shadiyashabankabe5499
    @shadiyashabankabe5499 Рік тому +3

    Good,Allah akulipe

  • @neemaisaya8290
    @neemaisaya8290 Рік тому +1

    Asante umenifungua akili ubarikiwe

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 Рік тому +4

    Well said Mr Ezden. You blessed.

  • @user-ry5nl7su6j
    @user-ry5nl7su6j Рік тому +1

    Nakukubali sana braza unatunga sana allah akufanyie wepes inshaallah

  • @mefaliamikulao9314
    @mefaliamikulao9314 4 місяці тому

    Asante kaka.Nitajaribu

  • @VictorSilayo
    @VictorSilayo Рік тому +1

    Aiseee mr we ni ticha mzuri sana .unatusanua ngoja tulifanyie kazi 🙌🙌🙌🤝🏾

  • @falesbanda7520
    @falesbanda7520 Рік тому +1

    Asante sana

  • @OnkyMike-km3jk
    @OnkyMike-km3jk 4 місяці тому

    Asante kwa somo

  • @raajquoteswords7805
    @raajquoteswords7805 Рік тому +2

    Through you....broo nimeijua pesa mpka bs yaan mpka familia inadai nimebadilika sana stoi mahitaji kma ilivokuwa before...nilikumbuka usemii wako...nli spend more money than I earned

  • @johnmashimbi8662
    @johnmashimbi8662 Рік тому +3

    Thank you so much my bro ezden ❤

  • @user-jn6il2zi6l
    @user-jn6il2zi6l 6 місяців тому

    Well mr

  • @JoyceBoniphace-pz6hs
    @JoyceBoniphace-pz6hs 4 місяці тому

    Asante brother kwa usua wako

  • @dankirunda3368
    @dankirunda3368 Рік тому +1

    Thanks bro Ezden 🙏

  • @bekamacheni7462
    @bekamacheni7462 11 місяців тому +1

    Thanks brother

  • @user-dy8tp4lx7m
    @user-dy8tp4lx7m 4 місяці тому

    Nice br

  • @LawrenceKakuba-xe5zm
    @LawrenceKakuba-xe5zm 10 місяців тому

    Nashukuru sana Mungu akuzidishie aise brother

  • @user-tb2uo4te1l
    @user-tb2uo4te1l 9 місяців тому +1

    Thanks bro

  • @suraiatarmomade3516
    @suraiatarmomade3516 Рік тому +1

    Asante Kaká yangu umenifunza jambo mimi nilikuwa napata lakini siko makini naitumia ovyoo kwanzia sasa nitafanya ivyo asante kwa fundisho

  • @batsondeux1173
    @batsondeux1173 Рік тому +1

    Naanza kulifanyia kazi naamini nitapiga hatua kubwa sana

  • @safinaamutabi2843
    @safinaamutabi2843 Рік тому +2

    God bless you I have learned alot

  • @zakiaally954
    @zakiaally954 11 місяців тому +1

    Mmmh asante sana

  • @mustafadjuma6504
    @mustafadjuma6504 Рік тому

    Shukrain sana kaka sahii tupo makini kwakutumia pessa tayari tulisha panga bajeti not like before

  • @FaridaBruno
    @FaridaBruno 11 місяців тому +1

    Mungu akubariki nimejifunza mengiiiiii

  • @jhurzynewtonvalourkid8047
    @jhurzynewtonvalourkid8047 Рік тому +1

    Big up bro for your advice...

  • @user-jx4ti7dw7p
    @user-jx4ti7dw7p 7 місяців тому +1

    Asante san

  • @AminaHassan-l7q
    @AminaHassan-l7q Місяць тому +2

    Mimi Kila nikiwe akiba shida matatizo ndio yanaongezeka najikuta natumia Ile akiba sijui nifanye Nini ndio nisevu pesa

  • @nahidahussen5746
    @nahidahussen5746 11 місяців тому +1

    asante sanaaaa

  • @user-wz7vp1ku7b
    @user-wz7vp1ku7b 6 місяців тому

    Asante sana kk❤

  • @ismailhpnews4832
    @ismailhpnews4832 Рік тому +1

    Sahihi kaka yote unayo yasema ❤

  • @armandocorneliooresteorest8072

    aize safisana

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Рік тому

    Thank 😊

  • @user-ru5bc5pu8p
    @user-ru5bc5pu8p Рік тому

    Umenisaidia sana brother

  • @rahmaamgoo7919
    @rahmaamgoo7919 Рік тому

    Thank you

  • @user-wt6bc2yf3l
    @user-wt6bc2yf3l 11 місяців тому +2

    hussein hamadi

  • @OnkyMike-km3jk
    @OnkyMike-km3jk 4 місяці тому

    Mimi nimeanza kutunza akiba baada ya kufatilia mafunzo mbalimbali kwenye mitandao. Bado sina program ya kufatilia matumizi na bado sijaweka malengo ya muda mrefu

  • @humblelucyjohn
    @humblelucyjohn 8 місяців тому

    Big up🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RalinPeter-qu3iz
    @RalinPeter-qu3iz Рік тому

    Asante mungu kwa kunipitisha hapa na Asante kaka nimekula hela nyingi Sana week hii da Asante brother

    • @merykyungai2551
      @merykyungai2551 11 місяців тому

      Mungu akulinde kuliko jana kwa elimu nzuri mwenywe nimefunguka kuhusu akiba

  • @user-ng4nm1lp8z
    @user-ng4nm1lp8z 6 місяців тому

    👍👍👍

  • @GARDEN423
    @GARDEN423 Рік тому

    Asante mzee

  • @abduldandy3077
    @abduldandy3077 Рік тому

    8:02 real talk
    Love that part

  • @dreamtvtz283
    @dreamtvtz283 Рік тому

    Nakukubali kaka MUNGU akubariki

  • @SabeneNyiga
    @SabeneNyiga 6 місяців тому +1

    Nimesha kuelewa kaka

  • @user-vq6xj6jr3h
    @user-vq6xj6jr3h 9 місяців тому

    Mungu akusaidye kaka wewe mwamba kaka kwakufundisha tu

  • @user-xv9th2rj7b
    @user-xv9th2rj7b Рік тому +1

    Nikweli kaka nimekupata vizuli

  • @MatabaJanta
    @MatabaJanta 5 місяців тому +1

    Tangu nilipo kusikiliza nimejifunza san kk

  • @saleheluvanga9929
    @saleheluvanga9929 4 місяці тому

    Nashukuru sana lakini mimi mbona kuna muda nanunua vitu sijapanga kabisa Naona naferi mwalimu

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  4 місяці тому

      Anza taratibu kubadili namna Yako ya kutumia pesa, katika Kila pesa unayoipata andika ni namna gani utatumia kabla hujaitumia na katika mgawanyo huo Akiba iwe namba Moja, Kisha inayobaki Sasa pangia matumizi kutokana na umuhimu

  • @IbrahmsWambura
    @IbrahmsWambura Рік тому +2

    Congratulations 🎉🎖️✊✊

  • @jullymwaikenda564
    @jullymwaikenda564 5 місяців тому +1

    Yotee umenielimisha

  • @arafaselemani5033
    @arafaselemani5033 Рік тому +1

    Somo hili limenigusa sana kaka nikama unanisema mimi ila nimejifunza kitu.

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 Рік тому +2

    Hili la akiba mara nyingi ni rahisi ukiwa na kipato cha uhakika .

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Рік тому +3

      Start small... And have discipline! Au fungua fixed account ambayo utakuwa unaweka na huwezi kutoa kilekile kiwango kidogo kutokana na kipato chako.... Ukitaka kujua inawezekana kuwekeza ukiwa na kipato kidogo kumbuka uliishi vipi siku ambazo ulikua huna pesa kabisa....!

  • @DeogratiusMwachali-uy1kx
    @DeogratiusMwachali-uy1kx Місяць тому

    Yaani nafurahia somo na namna unavyoongea kaka mpk nahisi kama tuzungumza tumekaa pamoja

  • @zaitunimachemba497
    @zaitunimachemba497 2 місяці тому +1

    La akiba nimelichukua japo nimechelewa bro

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 місяці тому

      "You're at the perfect timeline of life". Huu usemi huwa unanikumbusha siku zote kuwa hujachelewa kwenye lolote lile maishani, kikubwa baada ya ufahamu mpya ni mabadiliko gani unaenda kuyafanya katika maisha yako kwa kile ulichojifunza... Na hii ndio unaleta mabadiliko. 🤝🏽

  • @user-zy8iw3mm3b
    @user-zy8iw3mm3b 5 місяців тому +1

    Jack Bei poa naptkana mkoa wa geita

  • @GraceBakari-wo8ly
    @GraceBakari-wo8ly 10 місяців тому +1

    Kwel kaka me siwezi eka ela najifuza saiv duu namadeni yaajabu tu

  • @mailesmathias2457
    @mailesmathias2457 Рік тому

  • @Rechokadusi
    @Rechokadusi 2 місяці тому

    Nimejifunza kuwek akiba

  • @asherymeshak-go7zy
    @asherymeshak-go7zy Рік тому +1

    Kwel

  • @WanjeCharo-qp2ou
    @WanjeCharo-qp2ou Рік тому +1

    Nimejifunza kuweka akiba ni muhimu

  • @omarially1812
    @omarially1812 Рік тому

    Daaah ukwel mtupu

  • @umojamedia4167
    @umojamedia4167 Рік тому

    Mbona wakina kalungu na amos atuwaoni jaman

  • @bestinamaro7645
    @bestinamaro7645 Рік тому

    Mimi naingiza Kila siku elfu 80 lakin nahitaji kujifunza zaidi maana pesa inapotea

  • @user-cs4ks4dp8t
    @user-cs4ks4dp8t 11 місяців тому +1

    Me nashdwa kujua ni aina Gani ya biashar ambayo nawez Fanya hivyo naomba ushauli

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 10 місяців тому

    Tangu nitapeliwe na Mr kuku nilikosa imani na ww nikikuona nahisi nawaona matapeli maana kama sio ww kupromoti Mr kuku mi wala nisingeingia kwenye ile desi

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  10 місяців тому

      Kila mtu na upeo wake wa kuelewa mambo. Sio mbaya, kuna huo mtazamo wako halafu kuna uhalisia wangu!

  • @LawrenceKakuba-xe5zm
    @LawrenceKakuba-xe5zm 10 місяців тому

    Mimi yote yamenigusa ,ukisikiliza unachukulia poa ,lakini pointi zote ni muhimu

  • @ChrisMustafa-em1zq
    @ChrisMustafa-em1zq Рік тому

    Mbona wengne wanasema hela haiwekwi

  • @user-gf3hj5pe7x
    @user-gf3hj5pe7x Рік тому

    Mimi najitahidi kufuata zana.ira.nachoferi.kuweka.akiba.siwezi.kira.niki.jitaidi.naikopatu.nifanyeje

  • @FatumaSalimu-pn4vo
    @FatumaSalimu-pn4vo 8 місяців тому

    SoMo zuli sana

  • @ashellytimothy9748
    @ashellytimothy9748 Рік тому +1

    Balikiwa Kwa mafundixho yako

  • @lilianmengere29
    @lilianmengere29 Рік тому

    Yaan mimi kwenye kuweka ela ndo nishashindikana🥵 cweziiiii kibubu hakifikish hata afu 15 cjui nimelogwa🥺🥺🥺

    • @rahimaamour2756
      @rahimaamour2756 Рік тому

      Asante sana broo yani ninakitabia mtu akinambia shinda tu nimeshaenda kukitoa kiakiba .hichi kitu kinanirudisha sana nyuma .katika kukurudishia mtu ndo mtihani hapo .asante umenifunza kitu

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому +1

    😮😮mi kabla sijawa na familia niliweza kusave pamoja na kumsaidia ndugu zangu but now nashindwa sijui nini, naweka kwa kibubu na badae na kuvunja

    • @gilbertmatambe2435
      @gilbertmatambe2435 Рік тому

      Poleee

    • @aishaathumani7264
      @aishaathumani7264 Рік тому

      Toka nimeanza kukuckiliza upo vizurisana ,Nina m,kumi nfanye biashara gani,nipo jb ndugu

    • @alittlemoretime
      @alittlemoretime 3 місяці тому

      Nimekulewa kaka nimefanya kaz miaka 14 namwakani nasitaafu sijaweka hats 100 nifanyeje kaka

  • @neemaisaya8290
    @neemaisaya8290 10 місяців тому +1

    Asante sana