Wakristo tujifunze kupitia ushuhuda huu... Tufurahi kwa sababu sisi ni Wakristo.. Kuna watu wanaghalamika kupata wokovu Mungu tuongoze kwa Jina La Yesu Kristo wa Nazareth 🙏🙏
Ndio kawaida yenu kufunzwa kupitia uongo. Lkn huyo si muisilam wala hajawahi kua muisilam. Nimkafiri mwenzenu huyo na km hamuamini mwambieni alete ushuhuda wa hao waliomtesa. Uongo tu!
Ndio mm nipo Kigoma tena nipo hapa Sido kwa muda huu, napafahamu haswa fika fika. Unachokisema ni cha ukweli, YESU juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!
nimependa hili tukio lilotokea katika hii dakika ya 10 na sekunde ya 27. ndio inathibitisha agizo alilolitoa Yesu kwa wanafunzi wake; Matendo Ya Mitume 1:8 Neno: Bibilia Takatifu 8 Lakini mtapokea nguvu akishawajilia Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu na Yudea yote na Samaria, hadi mwisho wa dunia.” ALL GLORY TO GOD
Mtu ambae amedislike hii testimony tumueleweje? Watu wanashangaza, what a powerful testimony to change people lives, to uplift faith and make it strong, a testimony that will make you want to know Christ JESUS more more, GOD have mercy for those who dislike. Gospel will be preached wether you like or dislike Christ JESUS will be preached. Glory to GOD ALMIGHTY 🙏🏾🙏🏾
Na wanaokubali kwa msema pweke tuwaeleweje? Kafiri mwenzenu huyo hamjaanza leo kuutia madoa uisilam. Nalaitani km uisilam ungekua unakua kwa nguvu za watu basi ungekufa tangu sep 11 lkn nambie unakua na unazidi kukua kwa sabbu ni dini ya haki. Ukisoma utaondokana na ujinga unaolishwa lkn ukisikiliza hao jamaa zako walozoea kula sadaka zenu maisha utaishia kwenye ukafiri.
Nitaanza kuhubili habali hizi na kuelezea mambo mengi juu ya shetani na njia iliyo sahihi kuingia mbinguni hivi karibuni . Kwenda mbinguni sio kazi lahisi kama walokole wenzangu wanavyozungumza . Maana nilimskia mchungaji mmoja anasema yesu alikufa msalabani hivyo tumekombolewa katika dhambi.( Ndio sikatai) lakini wengi wanapotea katika haya haya maandiko ukifikilia vibaya) mtu anaamini nimeondolewa dhambi naenda mbinguni akifa aiseee.. ingekua hivyo kuzimu isingejaa maelfu ya watu na njia iendayo Kuzimu ingekua ni nyembamba na iendayo mbinguni ingekua ni pana . kwenda mbinguni sio kazi rahisi . Tangu siku za yohana mbarizaji ufalime wa mungu... ...( Na kinyonge hakita ingia kamwe) . Kuna siri nzito juu ya namna ya kufanya mtu aende mbinguni na hapo ndipo shetani amewapiga watu upofu wasielewe wala kuamini..( roho inauma sana) ni kama vile watu wameamua kuchagua wenyewe kwenda motoni. . shetani amekamata maelfu ya watu hapa ndio kila nikitazama naona kabisa wazi wazi. Watu wanvyoteketea kuzimu ya moto daaa.. MAANA KRISTO YUPO NDANI YANGU NAMI NDANI YAKE . NINAONA WAZI WAZI .. roho inaniuma kwa kua nina toka natoka na kwenda mbinguni nimefaham mambo mengi sana.
What!!!! Usicheze wa watoto wa Mungu...I tell you those who fight the children of God fights with God Himself . WOW our God will never forsake no leave us
Amen , Isaiah 54:15 If anyone does attack you, it will not be my doing; whoever attacks you will surrender to you. Amen. We serve the Living God 🙌😇 aaw awesome
N kweli kabisa ukiokoka kwelikweli unachukiwa,hongera kwa imani Bwana Yesu apewe sifa,Yesu hawezi kumuache mtu amkimbiliaye Mimi mwenyewe mama alinipiga mno lakini nilikataa kurudi kwenye sanamu mpaka sasa hanitakia ila najua yupo Yesu atamsaidia atamuokoka,njooni kwa Yesu kuna amani,asante kaka jack kwa kutuletea shuhuda nzuri
AMEN AMEN and AMEN.Kweli Yesu Kristo amekutoa mbali na bado Mungu ana kusudi kubwa juu ya maisha yakoo. Injili ya Yesu Kristo iende Mbele Mbele Mbele kabisa.
Your brother has been your thorn in your fresh fighting wrong battle in the name of rejecting his religion which is a demonic religion may God salvation never sease to haunt him till he surrender his life to Jesus Christ in the Name of Jesus Christ and all of us says Amen
Mungu alikuokoa msikitini akakupa ubatizo wa moto porini. Jina la Bwana libarikiwe. Yesu Kristo aliye hai aendelee kukulinda kwa damu yake takatifu. My prayers to all who do not believe neema ya Mungu iwaguse kupitia huu ushuhuda
Waislaam bhana, haya tutafika tu hata kwa vip. YESU wangu nakupenda sana na kwako sibanduki milele, majaribu n mengi ulimwenguni lakini naamini kwako kama wapo walioshinda nasisi wengine tutashinda kwa wakati wa BWANA. Amen.
Nguvu hii ya YESU itawale nchi yetu Tanzania. Awahukumu maadui zetu kila upande, tuishi kwa Ameni na kufanyikiwa katika nchi yetu. Katika Jina la Yesu. Ameni!
Ooh! My God, pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu na akupe nguvu na kukunawirisha zaidi ki Imani. USHUHUDA WAKO UMENITOA MACHOZI ILA UMENIJENGA SANA KIIMANI 😪😪
Na wewe unayemwamini bikira Maria okoka acha kuabudu sanamu. Mariam siyo mwombezi wetu wala haokoi. Yesu pekee ndiye anayestahili kuabudiwa na ndiye mwombezi wetu
Wakristo kumbukeni hata Yesu hakuteswa na wapagani wala majambazi,bali aliteswa na wakuu wa dini za kiyahudi na washika sheria ya Torati.Mshika sheria za dini ni mtu hatari sana kuliko mpagani.
Akuna kisicho wezekana kwa Mungu yote kwake yanawezekana na hao waesilamu hawatamuona muhamad wakati wa unyakuo ni yesu peke yake tu sasa wakati watasema yesu yesu watakuwa wamechelewa pole sana kwa dini kama hiyo Jacktan Mungu hakubariki na mutumishi wa Mungu Mungu Akufunike na damu ya yesu kristo Amen
Njia bora ya kuwaokoa wenzetu Waislamu ni kuwapenda zaidi na sio kuwadhihaki au,kuwakebehi.Yesu ni PENDO na MUNGU ni pendo vilevile. Mkristo wa kweli ana wajibu wa kueneza upendo maana sisi ni tawi ndani ya mwili wa Kristo.
Mathayo 10:32,33 ,Basi kila mtu atakayenikiri mbele ya watu,nami nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye Mbinguni.Mtu yeyote atakaye nikana mbele ya watu,nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye Mbinguni.Yohana 14:23 ,Yesu akajibu akawambia,Mtu akinipenda atalishika neno langu na Baba yangu atampenda nasi tutakuja kwake na kufanya makao kwake.Wagalatia 6:7,msidanganyike MUNGU,hadhihakiwi kwakuwa chochote apandacho mtu ,ndicho atakacho vuna.
Matendo yako ni makuu sana kazi yako ni adhama na heshima wafurahiwa na wapenzi wako Mungu wewe ni mkuu sana katika Jina la Yesu
Wakristo tujifunze kupitia ushuhuda huu... Tufurahi kwa sababu sisi ni Wakristo.. Kuna watu wanaghalamika kupata wokovu Mungu tuongoze kwa Jina La Yesu Kristo wa Nazareth 🙏🙏
Ndio kawaida yenu kufunzwa kupitia uongo. Lkn huyo si muisilam wala hajawahi kua muisilam. Nimkafiri mwenzenu huyo na km hamuamini mwambieni alete ushuhuda wa hao waliomtesa. Uongo tu!
@@alhamdulillah5796 Hamna ni kweli wengi uwa wanasema hivo haiwezekani wote wadanganye sema wewe bado mdogo ufaham lolote
There's power in the Name of Jesus Christ Hallelujah
Glory to God
Yesu ni mwaminifu. 28:22 28:25
Ndio mm nipo Kigoma tena nipo hapa Sido kwa muda huu, napafahamu haswa fika fika. Unachokisema ni cha ukweli, YESU juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!
Sana
Juuu juuu zaidiiiiii
@@florasingano5859 Ameen
nimependa hili tukio lilotokea katika hii dakika ya 10 na sekunde ya 27. ndio inathibitisha agizo alilolitoa Yesu kwa wanafunzi wake; Matendo Ya Mitume 1:8
Neno: Bibilia Takatifu
8 Lakini mtapokea nguvu akishawajilia Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu na Yudea yote na Samaria, hadi mwisho wa dunia.” ALL GLORY TO GOD
You have lifted my faith once again and you encourage me to be bold and to have courage in Jesus Name
😭😭😭😭😭😭huu ni ushuhuda unao mfanya mtu abadilike Eee Mungu linda watumishi wako
Mtu ambae amedislike hii testimony tumueleweje? Watu wanashangaza, what a powerful testimony to change people lives, to uplift faith and make it strong, a testimony that will make you want to know Christ JESUS more more, GOD have mercy for those who dislike. Gospel will be preached wether you like or dislike Christ JESUS will be preached. Glory to GOD ALMIGHTY 🙏🏾🙏🏾
Na wanaokubali kwa msema pweke tuwaeleweje? Kafiri mwenzenu huyo hamjaanza leo kuutia madoa uisilam. Nalaitani km uisilam ungekua unakua kwa nguvu za watu basi ungekufa tangu sep 11 lkn nambie unakua na unazidi kukua kwa sabbu ni dini ya haki. Ukisoma utaondokana na ujinga unaolishwa lkn ukisikiliza hao jamaa zako walozoea kula sadaka zenu maisha utaishia kwenye ukafiri.
@@alhamdulillah5796 Pamoja na ku bweka kote uko ila nawewe utaokoka tu mda ukifika
Nampenda sana Bwana Yesu kwasababu bado anapigania watu wake..Mtumishi Bwana akubariki Amina
That is one of the greatest testimony I have ever heard. Ubarikiwe hata zaidi wewe na familia yako! Yesu ni Ukweli, Njia na Uhai!
The best shuhuda to me ever heared
Very strong testimony wapendwa tuachane na dhambi tuishi maisha matakataifu Yesu aweze kutupigania
Nitaanza kuhubili habali hizi na kuelezea mambo mengi juu ya shetani na njia iliyo sahihi kuingia mbinguni hivi karibuni
.
Kwenda mbinguni sio kazi lahisi kama walokole wenzangu wanavyozungumza . Maana nilimskia mchungaji mmoja anasema yesu alikufa msalabani hivyo tumekombolewa katika dhambi.( Ndio sikatai) lakini wengi wanapotea katika haya haya maandiko ukifikilia vibaya) mtu anaamini nimeondolewa dhambi naenda mbinguni akifa aiseee.. ingekua hivyo kuzimu isingejaa maelfu ya watu na njia iendayo Kuzimu ingekua ni nyembamba na iendayo mbinguni ingekua ni pana
.
kwenda mbinguni sio kazi rahisi
.
Tangu siku za yohana mbarizaji ufalime wa mungu...
...( Na kinyonge hakita ingia kamwe)
.
Kuna siri nzito juu ya namna ya kufanya mtu aende mbinguni na hapo ndipo shetani amewapiga watu upofu wasielewe wala kuamini..( roho inauma sana) ni kama vile watu wameamua kuchagua wenyewe kwenda motoni.
.
shetani amekamata maelfu ya watu hapa ndio kila nikitazama naona kabisa wazi wazi. Watu wanvyoteketea kuzimu ya moto daaa.. MAANA KRISTO YUPO NDANI YANGU NAMI NDANI YAKE . NINAONA WAZI WAZI .. roho inaniuma kwa kua nina toka natoka na kwenda mbinguni nimefaham mambo mengi sana.
What a great testimony our God is great always utaishi uhubiri Jina la bwana Jesus loves yu atakulinda na akubaliki.
Amen in jesus name thank you pastor God bless you.
Imani ya Bwana wetu Yesu kristo ikuzingire wewe na na jamaa yako yote wamuone Bwana wetu ya kuwa ni Mungu apasaye kuabudiwa Yn 4:24
Yesu mwana mungu ni mushindi ju ya washindi Hallelujah
What!!!! Usicheze wa watoto wa Mungu...I tell you those who fight the children of God fights with God Himself . WOW our God will never forsake no leave us
MUNGU WANGU UMEPITIA MKASA WAKUTISHA SANAAAAAA POLE SANAAAAAAAAA DAH! LKN HONGERA SABABU HATA MBELE YA KIFO BADO ULIMTAJA YESU
Jamaa yenu tangu zamani huyo si muisilam na hajawahi kua muisilam
I can't stop crying and praising my good lord. Jesus Christ son of the living God please have mercy on me. I don't want to take you for granted master
God is good all the time
Ameni Ameni Mchungaji na Mwenyezi Mungu azidi kukuinua na Kuonekania, 🙏🏾🙏🏾👍👍❤️🇰🇪
Ahsante Kaka Jacktan, Mungu akupiganie, huu ushuhuda umenifanya nilie, hakika hakuna kama Bwana Yesu
Hakika mungu ni mwema ulikuwa mchanga na uliweza kuimili mtihani kama huo mungu akutie nguvu
Uongo mtupu na tushauzoea ila tunawashangaa nyie msiochunguza zinapokujieni habari. Hvi unataka kunambia anayozungumza ni kweli? Huyo nikafiri mwenzenu mmemtengeneza.
@@alhamdulillah5796 Kama huamini nenda kaulize waliotaka kumzika akafufuka kabla ya kuzikwa, siyo kupinga tu
Amen , Isaiah 54:15 If anyone does attack you, it will not be my doing; whoever attacks you will surrender to you.
Amen. We serve the Living God 🙌😇 aaw awesome
Am blessed so much by this testimony. Endelea kumtumikia bwana ndungu yangu katika Yesu. Amen
@@bettyobiero8408 Amen
YESU anaweza,naomba niulize kwanini waislamu wana vaa makanzu,na wakati huo ufalme wa giza nao wana vaa makanzu
YESU ni mwaminifu sana
N kweli kabisa ukiokoka kwelikweli unachukiwa,hongera kwa imani Bwana Yesu apewe sifa,Yesu hawezi kumuache mtu amkimbiliaye Mimi mwenyewe mama alinipiga mno lakini nilikataa kurudi kwenye sanamu mpaka sasa hanitakia ila najua yupo Yesu atamsaidia atamuokoka,njooni kwa Yesu kuna amani,asante kaka jack kwa kutuletea shuhuda nzuri
AMEN AMEN and AMEN.Kweli Yesu Kristo amekutoa mbali na bado Mungu ana kusudi kubwa juu ya maisha yakoo. Injili ya Yesu Kristo iende Mbele Mbele Mbele kabisa.
Amen,alie ndani ya Yesu anaraha,umepata ushindi mbele ya maadui.Mungu azidi kukulinda kwa hiyo imani kubwa ulio nao
Your brother has been your thorn in your fresh fighting wrong battle in the name of rejecting his religion which is a demonic religion may God salvation never sease to haunt him till he surrender his life to Jesus Christ in the Name of Jesus Christ and all of us says Amen
Amen
Chozi limenitoka kwa furaha YESU NDIO KILAKITU AMENN
Have watched all your testimonias what a journey? We need such courage and obedience, we should build our faith
Mungu alikuokoa msikitini akakupa ubatizo wa moto porini. Jina la Bwana libarikiwe. Yesu Kristo aliye hai aendelee kukulinda kwa damu yake takatifu. My prayers to all who do not believe neema ya Mungu iwaguse kupitia huu ushuhuda
YESU okowa wa toto yangu... Nipiganiye Ô YESU 💃💃🎶🎶
Amen neva give up God bless you always
Amen Amen pastor nilikufuata kwanzia mwanzo mpaka mwisho nimebarikiwa sana mungu akubariki
Amen Amen Amen glory be 2 God Amen
Huyo kaka yako ni mtu wa kizamani Sana toka lini Mungu akapiganiwa, ukiwa na pesa ukimbiwi na ndugu
God is wonderful,a miracle working God! Mungu akupe nguvu ya kumvunia mavuno makuu!
Waislaam bhana, haya tutafika tu hata kwa vip.
YESU wangu nakupenda sana na kwako sibanduki milele, majaribu n mengi ulimwenguni lakini naamini kwako kama wapo walioshinda nasisi wengine tutashinda kwa wakati wa BWANA. Amen.
Huu ni ushuhuda ambao umenigusa sana. Kwa kweli jina la yesu lina nguvu kuliko kila kitu. Pole sana ndugu.
Amina. Yesu ni bwana
Nguvu hii ya YESU itawale nchi yetu Tanzania. Awahukumu maadui zetu kila upande, tuishi kwa Ameni na kufanyikiwa katika nchi yetu.
Katika Jina la Yesu. Ameni!
Amina asante mtumishi wa Mungu,ushuda wako umenijenga
Jina la Bwana libarikiwe
Bwana Yesu asifiwe
Ooh! My God, pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu na akupe nguvu na kukunawirisha zaidi ki Imani.
USHUHUDA WAKO UMENITOA MACHOZI ILA UMENIJENGA SANA KIIMANI 😪😪
Mutumishi Jacktan ASANTE sana na ushuuda.. Merci beaucoup ! Stay blessed 🙂
Na wewe unayemwamini bikira Maria okoka acha kuabudu sanamu. Mariam siyo mwombezi wetu wala haokoi. Yesu pekee ndiye anayestahili kuabudiwa na ndiye mwombezi wetu
Amen and amen in Jesus name
God bless you brother
Wakristo kumbukeni hata Yesu hakuteswa na wapagani wala majambazi,bali aliteswa na wakuu wa dini za kiyahudi na washika sheria ya Torati.Mshika sheria za dini ni mtu hatari sana kuliko mpagani.
Huyo hakuna alomtesa muongo. Hakuwahi kua muisilam kafiri mwenzenu tangu awali huyo. Mnadhani hatujui mbinu zenu?
@@alhamdulillah5796 hahaa pole sana okoka b4 its too late
Oh God the power of Lord,is powerful
Mungu kwetu sisi ni Mungu wakuokoa na njia za kututoa mautini zina yeye
💃💃💃💃💃❤️💃💃❤️❤️❤️❤️💃YESU YESU YESU... Gloire à DIEU 💃💃🎶🎶ALLÉLUIA 🎶🎶
💃💃💃💃💃.......haleluia!!!!
Praise the Lord Jesus Christ. Unayoyatenda kweli ni MAKUUU!🔥🔥🔥❤️❤️🎉🎉🎊🎊🎀
Jina la yesu ni kama marashi mazuri yanukiayo katika nafsi iliyoamini
Jamaniiii hivi Ni kweli ndugu yako wa damu utake kumuua kisa kubdri dini,asee apo ndyo naamini hawa wenzetu mungu wanaomwabudu syo sahihi
There's power of confessing Jesus Christ in front of those who are persecuting you
Mungu ana weza
Nampenda Yesu jamani
Asante Kaka jacktan
Akuna kisicho wezekana kwa Mungu yote kwake yanawezekana na hao waesilamu hawatamuona muhamad wakati wa unyakuo ni yesu peke yake tu sasa wakati watasema yesu yesu watakuwa wamechelewa pole sana kwa dini kama hiyo Jacktan Mungu hakubariki na mutumishi wa Mungu Mungu Akufunike na damu ya yesu kristo Amen
Amen amen amen😭😭🇰🇪
Mungu azidi kukulinda
I receive that blessing in Jesus Name
God will remain to be God forever and ever amen be blessed man of God
Hongera Pastor Amiri.
Ama kweli Yesu ni ushindi.
Amen asante kwa ushuhunda Yesu ndiye njia ya kweli na uzima hakuna mwengine wakufanana naye hatakuepo in Jesus name amen Emmanuel
Wacha mwana wa mungu aitwe mungu
Kama kunaye mtu anayeweza kusikia ushuhuda wamtumishi huyu wote asiamini nakuokoka naalaniwe katika jina la Yesu aliyehai amen.
Asante Sana Kaka jactan kwa ushuhuda mzuri.ikiwezekana nawashauri mutoe filamu yake.itakuwa sawa.
Yesu kristu ni zaidi ya tunavyodhani, kwa maana ni MUNGU halisi
Amen 🙏
Hallelujah hallelujah 💪💪😇😇
Amen amen God bless you all the time
Groly to God
Ashukuriwe Mungu aliye juu katika jina la Yesu Kristo
Uhu ushuhuda umenijenga imani mara 💯 yaani zaidi na zaidi . Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa
Haleluya, mkristo jivunie kuwa na Yesu, wengine wanapata wokovu kwa shida, Asante Yesu mwana wa Mungu ulie hai
yesu ndiye njia kweli na uzima hilo halipingiki,asante yesu kwa kuendelea kujidhihirisha kila inapoitwa leo
amen amen yesu ni mwema.
Honngera saaaaaana mtumishi wa mungu kwa ushindi mkuu!!!!!
Roho ya mwakasenge ya mungu inakaa ndani yako utakuwa mkuu katika ufalme Wa mungu hakika sauti yako inatisha kuzimu barikiwa
Glory to God.
Ameen 🙏
Yani Amir vita umepigwa kubwa na ndugu y'all haswa kwa ajiri ya kumkiri huyu Yesu, amin amin Yesu atakukiri mbele ya BaBa take pia umbarikiwe zaidi
Sema ulikuwa mpuuzi 2broo
Barikiwa Sana Pastor . Hakika ushuhuda huu umenijenga Sana na kubadilisha maisha yangu ya kiroho.
Njia bora ya kuwaokoa wenzetu Waislamu ni kuwapenda zaidi na sio kuwadhihaki au,kuwakebehi.Yesu ni PENDO na MUNGU ni pendo vilevile. Mkristo wa kweli ana wajibu wa kueneza upendo maana sisi ni tawi ndani ya mwili wa Kristo.
Sikilizeni uongo wa kafiri mwenzenu kama kawaida yenu. Mbinu za uongo ndio zenu. Lkn huyo jamaa hakuwahi kua muisilam.
Na muisilam wa kweli pia anawajib wa kusambaza upendo mana uislam niupendo na amani.
Na ikiwa kuna wakiristo wanaoua watu basi mjue na waisilam wapo hivyo hivyo. Msidhani muisilam lazma awe perfect na mkiristo mkaeka sabbu.
Ameen Ameen Ameen
Mathayo 10:32,33 ,Basi kila mtu atakayenikiri mbele ya watu,nami nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye Mbinguni.Mtu yeyote atakaye nikana mbele ya watu,nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye Mbinguni.Yohana 14:23 ,Yesu akajibu akawambia,Mtu akinipenda atalishika neno langu na Baba yangu atampenda nasi tutakuja kwake na kufanya makao kwake.Wagalatia 6:7,msidanganyike MUNGU,hadhihakiwi kwakuwa chochote apandacho mtu ,ndicho atakacho vuna.
Hakika Yesu ni Bwana
Nabarikiwa Sana na ushuhuda huu
Mungu akutie nguvu na akubariki mtumishi wa Mungu
Yesu kristo atabaki kuwa Bwana,,kaka yangu endelea kumtumikia yesu
Jesus Christ the name above of all name's
Yesu ndiye Mbuwana wa ma Mbuwana
Hivi hao watu wanamwabudu Mungu yupo ,mbona ni wauwaji ni Mungu gani huyo jaman
Kaka hiyo ulimujaribu Mungu. Yaani watumishi wa Mungu wasingekuruhusu uende nyumbani kwenyu.
JACTAN barikiwa mnooooo
UKIZUNGUMZIA UISLAMU. UNAZUNGUMZIA SHETANI 100%. UKIZUNGUMZIA UKRISTO UNAZUNGUMZIA MUNGU ALIYE HAI 100%