"Sikuhusika na mauaji ya Mzee Karume" - Abdul Rahman Babu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 чер 2023
  • April 26, 1978
    Mahojiano na aliyekua Waziri wa Uchumi na Maendeleo Tanzania, Abdul-Rahman Babu miaka sita baada ya kuachiwa kutoka kifungoni kwa tuhuma za kupanga mauwaji wa Rais wa kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume.
    Ombi: Saidia kusubscribe hapo juu

КОМЕНТАРІ • 1

  • @111dudi
    @111dudi 2 місяці тому

    Mwisho wa "macomrades".