Bony Mwaitege - Tunapendwa Na Mungu (Official Music Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
    Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
    MUNGU AKUBARIKI SANA.

КОМЕНТАРІ • 239

  • @davidmutua4998
    @davidmutua4998 2 місяці тому +3

    Hakika tunapendwa❤,2024 niko hapa bado

  • @stellahh583
    @stellahh583 Рік тому +5

    Stella worching from saudia jamani.tunapendwa.na.mungu tusiwe na shaka yote.anaweza from bony maitege

  • @hildamoses3349
    @hildamoses3349 Рік тому +4

    Hakika mungu anatupenda Sana tuna kila sababu ya kumrudishia sifa na utukufu

  • @euniceauma1266
    @euniceauma1266 2 роки тому +4

    From Kenya ni Eunice. Hakika tunapendwa na mungju.ubarikiwe Bony....
    Mm

  • @Anastaciajerop-s4v
    @Anastaciajerop-s4v 15 днів тому +1

    Wanadamu tuwe na moyo wa shukurani😢tunapendwa na mungu❤

  • @LukongoDaniel
    @LukongoDaniel Місяць тому +1

    Asifiwe Mungu mwenye upendo mkubwa ivi

  • @patrickmusyokamuli3230
    @patrickmusyokamuli3230 2 роки тому +7

    Kwa hakika Mungu anatupenda , sifa n utukufu zimrudie

  • @FelisterFilbert
    @FelisterFilbert 4 місяці тому +2

    Nikijalibu kutafakar hakika mungu anatupenda 2024

  • @achambaclinton4684
    @achambaclinton4684 Місяць тому +2

    Hakika tu apendwa na mungu🙏🙏

  • @كارسكيني
    @كارسكيني Рік тому +2

    Mungu ni mwema

  • @wolfjuniorburundi4565
    @wolfjuniorburundi4565 Рік тому +4

    Till now I'm listening to this song I like it so much love from Burundi 🇧🇮 bony tunakutaka uje huku tunakupenda sana

  • @abmiaji708
    @abmiaji708 2 роки тому +16

    Caro kemunto watching from Saudi. Tunapendwa hallelujah hallelujah 💃💃💃💃 Tuwe na shukurn , Amen 🙏🙏🙏🙏, nice song

  • @Dondreads
    @Dondreads Рік тому +5

    This song should have a Million views coz this one is a song that touches 👌 souls for Real
    Tafakari :
    Kweli Tunapendwa

  • @zillahmwangangi3383
    @zillahmwangangi3383 6 днів тому

    Kweli tunapendwa na sir God😢
    God bless you man of God

  • @nirexstudio5758
    @nirexstudio5758 Місяць тому

    Tunapendwa. kutoka Angilcan Ruziba. I like this song

  • @aimeebusime5849
    @aimeebusime5849 Рік тому

    Halle lua tuna pendwa namushukuru Mungu kwakunipebda wakwanza

  • @johnstonengeno1116
    @johnstonengeno1116 Рік тому +4

    Watching from Kenya,mungu anatupenda kweli

  • @happinesskwamboka1540
    @happinesskwamboka1540 2 роки тому +12

    Hallelujah !🔥🔥 nice song,🙏 tunapendwa jamani na Mungu wetu sifa🙏 na utukufu kwake milele na hata milele🙏

  • @periskaranja225
    @periskaranja225 2 роки тому +6

    From kenya tunapendwa .wimbo ulio bora leo hii

  • @user-kj1wj1wj7v
    @user-kj1wj1wj7v Рік тому

    Tunapendwa hata tukiteswa tunapendwaaaa❤❤❤❤❤

  • @guillaineniyibizi5979
    @guillaineniyibizi5979 Рік тому

    Tunapendwa sana na Mungu usifiwe Mungu wetu

  • @JudicaelleGatali
    @JudicaelleGatali 10 місяців тому

    Jambo Thanks Amina Amina mungu ni mwemaa❤❤🇨🇬🇨🇬🇨🇬👏👏👏

  • @mwimbajimodesterlaurent7832

    Muda ninaoish bado ningali hai nitamwimbia Mungu wangu.

  • @mithletlwoyelo6044
    @mithletlwoyelo6044 2 роки тому +4

    Asante Yesu kwa kunipenda kwanza! Hakika ninapendwaa pamoja na familia yangu

  • @Magret-tg9fd
    @Magret-tg9fd 2 роки тому +2

    God I know u love me and I will
    Never be moved by any situation glory goes to your Name just feel blessed this night in Saudi
    Much love n blessings man of God

  • @zaburonimeshacki5917
    @zaburonimeshacki5917 Рік тому

    Ameeen ameeen tunapendwa kweli mung akuinue zaid

  • @ernestmwakasenga1603
    @ernestmwakasenga1603 2 роки тому +1

    Wewe ni muhubiri mzuri Sana kwa njia ya nyimbo na unawafikia watu wengi kwa urahisi usiweke hicho kipawa pembeni Mungu akubariki mno!

  • @ptheservant8974
    @ptheservant8974 2 роки тому +2

    Amen amen ata tukifunga macho tutumie hisia 💪
    Nikweli tunapendwa 🔥

  • @clairemakotswi9666
    @clairemakotswi9666 Рік тому

    Tunapendwa na mungu hallelujah hallelujah Amina

  • @judybarasa7386
    @judybarasa7386 2 роки тому +2

    Hallelujah,,tunapendwa jameni tusikatizwe Tamaa,yuko anayetupenda,, barikiwa mtumishi wa Mungu,,

  • @faithmumo6849
    @faithmumo6849 Рік тому +1

    Tunapendwa 🙏🙏🙏

  • @faithasha217
    @faithasha217 6 місяців тому

    ❤Mungu n pendo la wote angeesabu maovu yetu akuna yeyote angesimama mbele za Mungu 😢

  • @philiphochieng2484
    @philiphochieng2484 2 роки тому +1

    Mungu ananipenda,aliniokoa kwa ajali ya pikipiki miezi mitatu iliyopita

  • @josephinefeza4493
    @josephinefeza4493 Рік тому

    Ameeen 🙏🙏,,tunapendwa sana hallelujah

  • @christineanyango7306
    @christineanyango7306 2 роки тому +2

    What did we do to deserve the kind of love ,,, nothing but Gods grace hakika tunapendwa barikiwa sana..

  • @hassanmbangula1597
    @hassanmbangula1597 Рік тому

    Daah ujumbe mzuri umeniongezea hatua za Imani hakika napendwa na Mungu Mungu azidi kukuinua Apostor Bonny Mwaitege

  • @abelndemo2729
    @abelndemo2729 7 днів тому

    From Kenya blessed with this song ak

  • @elizanyambura2316
    @elizanyambura2316 Рік тому

    Yani Mungu unanipeda hivi vyote,sifa na shukrani zikurudie Mungu mwenye enzi AMEN

  • @marioleonce246
    @marioleonce246 2 роки тому +2

    Nyimbo tamu sana hii kazi nzuri kaka love yuuu

  • @rosekililo8280
    @rosekililo8280 2 роки тому +7

    Kenya pia tunapendwa, thanks bro from Tanzania powerful song

  • @alextorah9237
    @alextorah9237 6 місяців тому

    ni kweli tunapendwa🙏

  • @BetreaceChaka-tg6lu
    @BetreaceChaka-tg6lu Рік тому

    Nabarikiwa Sana na hii wimbo

  • @jescahamakove283
    @jescahamakove283 2 роки тому +1

    Amen ni kweli mungu ni upendo tunapendwa na mungu kabisa

  • @boazlihanda6579
    @boazlihanda6579 Рік тому

    Mungu ni pendo kweli

  • @johnjonath6687
    @johnjonath6687 2 роки тому

    🥰🙏💥🥰♥️ nakupenda sana2

  • @tabitha28songa62
    @tabitha28songa62 Рік тому

    Amen, tunapendwa na mungu

  • @atienoselinah722
    @atienoselinah722 2 роки тому +7

    How many times can I listen to this song! Excellent

  • @judithnzula4261
    @judithnzula4261 2 роки тому +5

    You always Preach to us with your Songs..keep the Fire 🔥 burning!

  • @patrickatandi9866
    @patrickatandi9866 2 роки тому

    song smart sana mungu akubaliki bro good work

  • @dennis_mrima.
    @dennis_mrima. Рік тому +1

    Tunapendwa jamani....

  • @bonnifaceniyomwunge1359
    @bonnifaceniyomwunge1359 Рік тому

    Tunapendwa 👏👏👏👏

  • @edwinmutwol7038
    @edwinmutwol7038 Рік тому

    Watching from kericho Unilever Kenya

  • @PascalNtwalikabanjda
    @PascalNtwalikabanjda 2 місяці тому

    Waga nabarikiwa sana na uimbaji wako

  • @saadamusa8901
    @saadamusa8901 2 роки тому

    Asante mungu wetu kwa uhai

  • @maureenwilliam3969
    @maureenwilliam3969 2 роки тому +5

    How many times is enough to listen to this song? It's been more than 10 times but not enough.....tunapendwa🙏🙏

    • @gloriousgal2001
      @gloriousgal2001 2 роки тому

      The beauty of worshipping and praising God is that you never get tired of doing so! Glory to God

  • @habibcomair5794
    @habibcomair5794 Рік тому

    Lydia kerubo watching from Lebanon tunapendwa

  • @ablahammngano4899
    @ablahammngano4899 2 роки тому +2

    Wimbo mzuri Sana Mungu akusimamie katika huduma yako.

  • @ApostleBRIAN-qe2hv
    @ApostleBRIAN-qe2hv 5 місяців тому

    Brother God bless you your songs always touches my heart

  • @judithshikuku4645
    @judithshikuku4645 2 роки тому

    Kweli alinipenda bure

  • @dianabonareri4294
    @dianabonareri4294 2 роки тому +2

    Hallelujah, tunapendwa

  • @edwinmokua4270
    @edwinmokua4270 Рік тому

    Waaaau tunapendwa

  • @valsilaakamatonya632
    @valsilaakamatonya632 2 роки тому +5

    It's true he loves us Unconditional 🙏🙏💯💯💯✔

  • @Frank-qo5yo
    @Frank-qo5yo Рік тому +2

    Nyimbo zako ni baraka kwetu karibu kenya

  • @princes6045
    @princes6045 2 роки тому +2

    Bony ! YOU ARE my favourite gospel artist God bless your talent

  • @josephdomi9393
    @josephdomi9393 2 роки тому +1

    ndo wa kwanza kulike hapa naona 🙏🙏

  • @irenemahembe6807
    @irenemahembe6807 2 роки тому

    duuh huu wimbo umenigusa n kwel kabisa tunapendwa sema tu ss bnadamu ndo hatuelewek

  • @user-un4do8gs4h
    @user-un4do8gs4h 11 місяців тому

    Ni kweli kabisaa

  • @ndimbobetram8300
    @ndimbobetram8300 2 роки тому +3

    Nyimbo nzuri, mafunzo ya kutoshaa🙏🙏

  • @ezekihaabungana4477
    @ezekihaabungana4477 Рік тому

    Ezekiel watching from Kenya

  • @jocelynemusic58
    @jocelynemusic58 6 місяців тому

    Amen...Ninapendwa jamani

  • @bonyemuelelwa3440
    @bonyemuelelwa3440 2 роки тому

    Mungu aku bariki sana bony mwaitenge tuna pendwa ni kweli wimbo mzuri sana

  • @kalemelamazala7895
    @kalemelamazala7895 Рік тому

    Ni kweli mungu ni pendo. maana ametupa uzima bule

  • @richardmutuku454
    @richardmutuku454 Рік тому

    Kweli tunapendwa

  • @bajkljs9058
    @bajkljs9058 9 місяців тому

    AMEN weeeeeeee huwimbo unasiri nyingi za MUNGU ❤❤❤❤❤God blessyou bonny

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 Рік тому

    Ameeeeeeeeeeeeeeen redeemer Baby

  • @wanambisikhakasafaith6823
    @wanambisikhakasafaith6823 2 роки тому

    Hakika tunapendwa sana na Mungu...ametotoa mbali

  • @user-vb7od4kv1i
    @user-vb7od4kv1i Рік тому

    Nice song ,God bless you again

  • @rachelrahma779
    @rachelrahma779 2 роки тому

    Aaamen mtumishii mungu azidi kuinua huduma yko kila siku

  • @silviailenji7745
    @silviailenji7745 2 роки тому +2

    Hallelujah 🙌 amen tunapendwa,barikiwa sana brother Bony

  • @edwinmutwol7038
    @edwinmutwol7038 Рік тому

    Blessings for Year 2023

  • @jenishungu9079
    @jenishungu9079 Рік тому

    Nyimbo zako mtumi zinabalikisana

  • @janewahome2600
    @janewahome2600 2 роки тому +1

    Halleluyah tunapendwa na Mungu

  • @vavameryMery
    @vavameryMery Рік тому

    Asante mungu kwakutupenda

  • @saitotisimon8203
    @saitotisimon8203 2 роки тому +6

    MUNGU akubariki kwa ujumbe wako Mzuri ... ❤️🙏

  • @aluminiumchrolidi7144
    @aluminiumchrolidi7144 2 роки тому

    Tunapendwaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @apostlekevin1752
    @apostlekevin1752 9 місяців тому

    A song full of revelation of Love...I listen to it's and remember how the love was commendeth to us when we were yet sinners (Rom 5:6,8). Thanks Minister Bonny for hearing God and being a blessings .. your cup shall not dry ...

  • @user-ce3ry6rg1u
    @user-ce3ry6rg1u 2 роки тому

    Tunapendwa sana wimbo mzuri mungu akubariki nangalia nikiwa Saudi

  • @damarcy1270
    @damarcy1270 2 роки тому

    Amen najivunia kupendwa na Bwana 😢

  • @shadrickmwambazi196
    @shadrickmwambazi196 Рік тому

    Asante sana kwa wimbo huu, hakika Mungu anatupenda

  • @mugishapeter1153
    @mugishapeter1153 Рік тому

    Tumepoteza.mutu.wamaana

  • @chrisantusimbaliaromba3831
    @chrisantusimbaliaromba3831 2 роки тому

    Kwa hakika tunapendwaaaa na mungu...nice Song Bonny

  • @kyanowirwe5455
    @kyanowirwe5455 2 роки тому +1

    Vraiment nous sommes convaincus comme quoi nous sommes aimer par le tout pouisants

  • @moulynemideva8217
    @moulynemideva8217 2 роки тому

    Hakika tunapendwa na Mungu, nice😘🙏🙏🙏🙏

  • @benjaminsteven7350
    @benjaminsteven7350 2 роки тому

    Mungu akubariki sana Mungu akuongeze siku nyingi za kuishi mungu akubariki sana sana

  • @Sheldonshorts39
    @Sheldonshorts39 2 роки тому

    Amina Amina

  • @ireneakifuma2824
    @ireneakifuma2824 Рік тому

    Napendwa🙏

  • @EstherManda-ex3bc
    @EstherManda-ex3bc 10 місяців тому +1

    Powerful message 🙏 God loves us too much Almighty God bless you kaka

  • @ndayishimiyecarine6061
    @ndayishimiyecarine6061 Рік тому

    Amen amen amen

  • @eliudwakolela4425
    @eliudwakolela4425 2 роки тому +1

    Napendaaa uimbaji wako hakika unanifikishaga mbali sana mtumish Bony

  • @jeanmariemuco1132
    @jeanmariemuco1132 Рік тому

    Mungu akubariki saana Burundi🇧🇮🇧🇮 tunakupenda saana