INJINIA HERSI AFAFANUA MKANGANYIKO WA TAARIFA ZINAZOSAMBAA AZIZ KI KUONDOKA YANGA,VAR ATIA NENO
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- @YoungAfricansSCTV @simbasctanzania255 @Yanga127 @simbascfanstv @simbascfanstv @ayomamedia7511 @manaratv__ @MpenjaTV @mavalatv @PMTV @NgwaleSportsHD @Salambatv
Anawakimbia hugo Aiken wananchi
Mmmh waandishi Wa habari wa kibongo bwana daaaah
Tatizo waandishi na wachambuzi wa Soka wengi wao uelewa wao ni mdogo. Hivyo wanataka kutulisha Matango Pori.
Waandishi wengi uelewa wao ni wa kiwango cha chini ....maana kusoma kati kati ya mistari napo ni shuda😂
Msimu ujao Kuna mtu kama shekhani ibrahim okrah paccome Joseph Guede Mudathiri hao watasumbua sana ipo ivyo nipo paleee nimetulia
Shida watangazaji ni vilaza huu ndo ukweli ,hawana weledi wa kutafuta habari,ndo maana waogopa kuhoji Kwa kingereza,hawajui hata thank you inamaana gani
Kila siku Azizi ki mnamungea yeye tu KUONDOKA yanga alafu ni Bora aende Kuna mtu kama shekhan ibrahim anafanana Kila kitu na Azizi ki isipokuwa dogo apewinnafasi pia kocha amuamini ila yule kshekhan ni nomaaa
Hilo nalo neno
Aziz ki kama anaenda aende tu...atufutwe mwamba mwingine wa kureplace. Yanga ni lidude likubwa.
Ila tuwe serious Shekhan ni mzuri ila sio kumtegemea kutupeleka nusu fainali klabu bingwa Africa maana bado anakua.😂😂😂😂😂😂