Boaz Danken ft Ruth Lyanga- NANI KAMA WEWE BWANA (official video)
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Nani kama wewe BWANA means who is like you Lord we sang in swahili language.
This song has been blessing to many.
Please welcome let us Worship GOD together I beleave your life will not be the same again.
let the Healing from Jesus meet your needs in JESUS Name as your worshiping
#BoazDanken #NgommaTZ
©2020 Administered by Ngomma VAS Limited.
Kama unasikiliza huu wimbo mwaka huu 2024 Mungu na akajibu haja ya moyo wako🙏
AMEN ...na imagine huu wimbo nimeujua hivi juzi tu na ni wa 3yrs back ..Thankyu God
Amen Amen
Ammmmeeeeennnn
❤amen
Amina🙏🙏
Mnipe likes, am. Moved am touched. I want this song to be my addiction. Coz kwa kweli hakuna Mungu Kama Wewe Bwana! Hallelujah #It hits differently 🙏 🛐 🙌
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunasema hakuna Kama wewe Mungu wetu,,,🙏🙏🙏🙏
😭😭unaye jua hesabu za nywele zetu,unaye majina yetu kwenye viganja za mikono zako eeeih nani kama wewe mwingine kama wewe mungu wetu😭😭😭
Hallelujah 🙌
Uuuuuuuuh🙌 Nani kama Mungu wangu🙇😭😭😭 Yale makuu anatutendea.....Tunaposhushwa Mungu wa Rehema anatuinua
Kila nikimtafakari MUNGU,
Naona amejipendelea kua yeye
Yeye mwenye kuweza kutubeba sisi wanadamu
Naiangalia huruma yake Katika madhaifu yetu yeye anaweza kuyabeba,kutusamehe na kusahau kabsa,
Wanadamu tunakosa hata kua na tone la huruma aliyonayo Mungu tukasameheana na kuchukuliana madhaifu yetu na ni angali tunaonana,
Tumekua wepesi kuhukumiana hakuna upendo kabsa
Lakini Mungu wetu anatubeba na hayo yote,
HAKIKA HAKUNA KAMA WEWE MUNGU WETU,
Hongera Kaka Mungu aendelee kukutumia Katika kumsifu Yeye
Nasi tunazidi Kumuadhimisha Mungu wetu kwa ukuu wake
Amen
Nani kama wewe Bwana pokea sifa zangu siku ya leo 😭
Hakuna kama wewe mungu wangu
This is not a song. It's a deep Exaltation to Our Father. Blessed Be Him Alone.
From kenya nimebarikiwa sana ndugu uzidi kubarikiwa kweli hakuna kama Mungu
Neema ya MUNGU iliyoeka ndani Yako isikupungukie milele ishi milele ukibariki vizazi Hadi vizazi 2:27 ❤❤
More grace my brother BOAZ DUNKEN
Amen 🙏 Amen.
Neema iongezeke Mtu wa Mungu
My All Time Song ever🤝 Huu wimbo bhana dah!
Who is like Him?for sure there is none
Ubarikiwe sana mpendwa kwa huduma mungu azidi kukutumia
Thank you JEHOVAH RAPHA for everything 🥰🙏
None like you my Lord😩👏... Receive all glory and praises lord🙏
Ohh yes Lord God Almighty hakuna mwingine kama wewe your deeds are mighty give me a supernatural encounter this season as we commemorate your birth let rivers of living water flow from my belly to the Glory and honour of your Almighty name, Amen 🙏🙌😇.
Wakenya twakupenda mtumishi wa Mungu ,,,zidi kubarikiwa
Hakika hakuna kama Bwana , Mungu wetu.
sure hakuna kama yesu
Ahsante sana Boaz.
Huu Wimbo (Ile Version ya kwanza) nilikuwa naupiga Ofisini, hata nilikuwa sijui Ameimba nani, nilikuwa naupenda sana.
-Sikumjua Mwimbaji hadi pale Emmanuel Ndeka aliponitajia jina, akanijuza kuwa Mlikuwa wote CASFETA pale Sauti.
•Ahsante kwa KUUIMBA TENA HUU WIMBO.
Ubarikiwe sana!.
•Kila Wimbo Wako UNANIHUDUMIA KWA NAMNA YA AJABU SANA!!.
YESU AKUINUE ZAIDI NA ZAIDI.
at last you know!
Waaa leo juu wimbo umukuwa mpya sana kweli hakuna kama wewr
Boaz and your team be blessed
Each time I play this song tears just flow..I remember that He is God and forever He will be
Hooooh Akuna kam ww
Wimbo huu unakamilisha kila kitu,kwa kweli ni Nani Kama wewe bwana Mungu wetu
You are a minister in spirit not a performer not an artist,,unaimba kwa roho na unaongozwa na roho na unahudumu kwa ukweli hakika
Huu wimbo unatia mtu Moyo na unatoa mtu mahali
This song was first released in Exodus 15 immediately after the Israelites crossed the Red Sea.
Who is like unto thee Oh Lord, who is like unto thee?
Fearful in praises, glorious in holiness, doing wonders.
Indeed hakuna kama wewe Bwana 👑🏆
Wow..Powerful...God bless u servant.. Mbingu iendelee Kuwa upande wako, Familia yako na huduma Mungu aliyoiweka kwako!!!👌👌👌👌👌👌👍👍👍😃😃
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you...
Sauti ya Boaz ina uhai wa neno la Mungu ubarikiwe Mtumishi
Nani kama wewe Bwana
Hallelujah aaaaaamen kubwa sana huu wimbo Huwa unagusa sana moyo wangu!!! barikiwa Kwa viwango vingine mtumishi kaka Boaz Danken!
Hakuna kama wewe bwana mungu wetu.May God continue using you greatly. Be blessed🙏
Hallelujah 😭😭🙌🙌🙌🙌
Binafsi wimbo huu unanibarki na sichoki kuusikiliza, ukweli unagusa moyo wangu kwa mguso wa ndani kabisa, Mungu akuinue daima
Mungu akubariki ndugu kwa kazi njema mana unatubariki na pia mungu anapenda
This song is so uplifting, full of power and grace that touches the heavens and people's heart. More grace sir❤
For those doubting if there is God,this is an answer.Nani anayeweza fanya Haya yote kama sio Mungu 🙏🙏🙏Yupo Mungu mbinguni
ohh.., How I loovee this!!! SURELY, WHO IS LIKE OUR GOD?
This song reminds me alot everytime l listen to it tears always flow justto remind me no one like him
Shukrani na ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu wetu. Amen Kwa kunibariki na wimbo huu. Furaha moyoni mwangu
Nasikia nguvu ya Mungu kila niusikizapo wimbo huu,,,Mungu aendelee kukutumia zaidi Masihi wa Bwana
For sure there is non like jesus NANI KAMA WEWE BWANA?❤🙏🏿🙏🏿❤🎶💞
Indeed there's no one to be compared to the Lord our God. He fills out heart with immense peace when trouble rocks our lives. Blessed be his name forever🙏🙏🙏
Hakuna kama Wewe Bwana
My morning song...each day huyu Mungu ananishangaza. Barikiwa brother
Glory to God,,'Nani kama Wewe Bwana'thank you very much man of God for this song,,,,
Hakuna kama Mungu, He is alpha and Omega, na asante ka yote anayoyafanya
Hakika Hakuna kama wewe Bwana!!!!!!God bless u Boaz.
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.....
Very powerful
Hakuna kama wewe Bwana
More grace Sir
Hakuna Kama MUNGU Wetu jina Bwana+YESU Libarikiwe ubarikiwe Sana mtumishi wake+YESU
Boaz umeokoka hongera kwa kuwa karibu na Mungu
Hakika hakuna kama wewe Mungu wa miungu...ukuu wako hauwezi kufananishwa na kitu chochote hapa duniani.
Hakuna hakuna Kama wewe yesu bilawewe hatuwezi chochote baba 💯🙏🏻🙏🏻
Thank You Brother Boaz ...TAFES SAUT itakukumbuka Daima kwa Huduma yenu. Brother Jonas Mathias, Apostle Sephone na wore wengi.
Huu mwimbo umekuwa baraka sn kwangu.kuna kipindi kuna mtu alitaka kutapeli eneo langu akawa ameshilikiana na baadhi ya viongozi wa eneo na majirani.alijiaminisha.na mimi nilimwamini Mungu nikasema Mungu wadhalimu wanakuogopa Mungu.Mungu alinitetea kwa namna ya ajabu sn.haijalishi adui ana nguvu kiasi gn hazifui dafu kwa Mungu.
kwel kabisa my dear hakuna km mungu
This song takes me to onother world,,,I really love it,God bless you,you are my inspiration
Amina Mtumishi Wa Mungu. " Ni nani Kama Wewe" Ni Wimbo Unaobariki Sana Moyo Wangu!!
God is real....a nice worship song
Napenda huduma unayoifanya uko very seriously na unachofanya Mungu akubari
Amina mungu ndo mweza wa yote
Hakuna mwingine kama Mungu wetu.🙏🇰🇪🇰🇪
Ibada nzuri kwa Mungu wetu.......
Wimbo unabariki kweli
There's none like you God
Ubarikiwe mtu wa Mungu kazi yako ni njema. Uzidi kunyenyekea kwa Yesu
Kwakwel Mungu hakuna kama wew na mtumish wako huyu mpe neema zaidi ya Sasa 🙏🙏🙏🙏🙏 wanyama wakali wakutisha wanamweshim naniiii kama cyo wew Bwaana Mungu wetu 👏👏
The heaven gates open when the "hakuna kama wewe Bwana" part starts.. This is not just a song, it is a deep expression of who God is in our lives❤❤
When the Lords wants to use his vessel....your a vessel of praise before the Lors
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you....
From Kenya Hakuna kama wew Barikiwa sana
can't get enough of this song.... blessing my heart
Mtumishi wewe ni baraka kwa kizazi hiki, mungu azidi kukuinua na kukunyunyizia upako zaidi.
I love the song,part ya Boaz danken only
Nikiuskiza wimbo huu kila siku unashusha uwepo wa Mungu hta nikiwa pekee yangu,lakini ikifika hio part ingine hua natoa sijui kwa nn
Lakini mtumishi huduma Yako ni ya kutoka mbinguni sio ya kawaida
Tafadhali achana na collabo itakuharibia na itakua kipawa.
Kwa sababu Kuna gharama unalipia kwa hicho kipawa ya kizungu Sasa mtu mwengine hawezi na uje ujichanganye na yeye hapana
Kuna watumishi wengi wa injili lakini hawapendi kulipa gharama
Ya kiungu pole. Typing error
Wacha ubinafsi..
Wimbo umenibariki sana, kweli hakuna kama Mungu, Mungu azidi kuwatumia kwa ajili ya utukufu wake Mbarikiwe
No one like u JESUS
Hakuna kama wew muweza wayote😊
Indeed there is none like our God
Asante sana mtumishi...your songs always communicate God and the message is powerful. Can't get enough of this song.
Nani kama wewe Bwana Mungu wetu❤❤
Kusema kweli kabisa kutoka ndani ya kilindi cha Moyo wangu hakika nyimbo zako zinanibariki Sana MUNGU aliye akubariki
Am so blessed in a thousand times 🙏
Watanzania Mungu awabariki sana. Mantle ya Worship imerudi kweni. Tuendelee na unyenyekevu. Asante ndugu Boazi..
Kwa upande wangu album ya Kwanza Emmanuel kila nyimbo ni🔥🔥 🔥sanaa.Ikiwemo wimbo huu.
Nani kama we we BWANA MUNGU UNAYEISHI MILELE. WEWE ULIYE MTAKATIFU SANA USIYELINGANISHWA NA CHOCHOTE MBINGUNI WALA DUNIANI JINA LAKO LIHIMIDIWE MILELE
Powerful 🔥🔥🔥
Nawaza kimya kimya hiv bahar ikiamua kujaa ikafurika na ikavuka mipaka yake nini kitatokea ulimwenguni?maana sehemu kubwa ya dunia ni maji na misingi ya dunia ipo kwenye maji kweli HAKUNA KAMA WEWE MUNGU
There's no none like her is the lord God of grace and mercy, peaceful
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you....
He is an awesome God🌚🌚🌚😊😊😊😊😊😊😊
Hakuna kama wewe bwana... glory to God
I can't believe the spirit led me to hear this song,am still stuck here on repeat..
Hahahaa...be blessed sana,indeed the spirit shall still make you stick here,the song is so powerful
Hakuna kama Yesu
Wimbo mzuri sana ubarikiwe mtumishi.
I have hope my brother one day Wil change and go back to campus
So excited 🙏🙏🙏🙏
Utukufu kwa Mungu, huu wimbo ni baraka sana
Glory to Jesus
Hakika HAKUNA kama MUNGU!!! Mimi pia ni mwimbaji wa Injili kwa utukufu wa Mungu na wimbo upo huku UA-cam lakini kwa kweli pia napenda nyimbo umeimba kwanzia ule wa 'Haufananishwi' na sasa zaidi huu 'NANI KAMA WEWE BWANA'. ALL THE GLORY BE TO ALMIGHTY GOD!!!!!!! #GodisReal !May God continue being for you my big brother Boaz Danken..more love from here in Kenya.
mtumishi tunakupenda sana tunaomba utusaidie biti ya huu wimbo kikundi chetu cha praise tunatamani kuuimba kwajili ya bwana
That kid at 1:56 blessed me❤️
Same here❤❤,, pure worship🎉🎉
Naupenda sana huu wimbo
Haleluya Haleluya acha ni kuabudu Wewe BWANA, kazi yenu njema MUNGU awabariki mnoo
Hallelujah