UTAMUONEA HURUMA ANITA MATONYA AONGEA KWA MAGUMU ALIYOPITIA , KISA VIDEO YA ANITA NILITESWA KUFA ?
Вставка
- Опубліковано 17 вер 2024
- KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE UA-cam CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
Follow Us On:
INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
TWITTER: shorturl.at/luzLZ
FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv
MashaAllah nimefurahi hapo uliposema Ndoa yako ina Amani sana.
Dada mstaarabu sana vile vile mpole kama kwenye nyimbo yake nampenda huyu dada
Nakukumbuka my dear nilikuwa nakuja kukusuka kwa uncle wako sinza mori hongera sana ulikuwa unanilipa vzr 🌹🌹🌹🌹
Jamaa anajua Sanaa kuhioj yuko sawa
Ukweli ni kwamba Kuna mambo ambayo tunapitia ambayo yanaumiza lakini tunasamehe na maisha yanaendelea
Nimuongo uyo dada hakuwa anasoma kipindi icho uwo umli alioutaja ni wauongo, alikuwa ameolewa nakumumewake walikuwa wamepanga kwetu tabata chan'gombe alikuwa ajatulia vibaya mno kweny ndoa yake kipindi icho alikuw moto atar. Jina lake alisi anaitwa ZUWENA, na mama yake nikweli anaish kijijini kwao kondoa alikuwa anakuja pale kwake nimlev atar anakunywa gongo za mitaani zile, akilewa anatukana balaa nandio maana alishindwa kuishi namama yke na amezaliwa peke yake. Kwaiyo namjua vizur mno nawala hakufukuzwa kwamumewe alidai talaka kwnguv kwa mumewake baada yakuingia kweny maswala ya muzik na kuingiza. Uyo dada nimuongp mno jamaan tena anajiliza eti amefukuzwa akati yeye ndiye aliyekuwa anamnyanyasa mume wake. Tena alibaatikakweli mume wake alikuwa mpole nmo jamaan. Eti anajifany analia leo khaa... kipindi icho hakiwa anasoma niamini mimi jamaan alikuwa ameolewa kipindi inatolewa iyo nyimbo.
😂😂😂😂😂😂😂duh kwahiyo ametupanga
Amewapanga kweli kweli Wallah naapa, tena anasema anamiaka katikati 35 yani kwanzia 30 mpaka 35 kitu ambacho sio kweli maana nakumbuk kipindi icho yuko pale nyumbn mimi nilikuw shule yamsingi kipind icho tulikuw tunamwamkia yani ji mdada tu sasa leo anasema anamiaka iyo inamaana ni egi yangu mimi.? Aje apa mimuumbue maana mi ninamiaka 32 sasa kaka yng anamiak 34 ambapo wote tulikuwa shule yamsing natulikuw tunamsalimia wot na alikuwa ameolew. Labda angesema anamiaka 30 kwelekea 40 ningemuelew
Nauyo apo anamaX kama wote maana anavyo simulia hamuez kumuelewa anasimulia wanaume tofati tofaut sio sioX mmoja apo
Ukkweliniup?
Nauzuti wote uyo kumbe muungo😂😂@@OmanSaniwo
She's very humble.
Dada mstaarabu sana
Kaka unajuwa sana Ku hoji❤❤
Huyu mwamba anajua sana kuhoji. yaani Anita nakumbuka kipindi kile daah au basi tu
😢😢😢kumbe hii tz watu wote n sw,,, nilidhan nmimi tuu napita kwa watu makatili. Yaan ukiwa tegemez utateswa mpk ukome .walonilea wote walininyanyasa vby mno ila now wanajuta maana wametengeneza mtu ambaye sishtuki shida zao nawala stak ukaribu nao.
Tupo wengi wanajeshi wa kweli tunapambana kivyetu na mungu anasaidia tunasimama
@@fatmaally7252 mashallah. Mungu anakusud lake ktk Kila mapito tunayopitia.
Siku iz video za wasanii wanavua mpaka nguo wazaz wanachekelea tu
Pole sana wanawake tunapatikana sana tunapo egemea Wanaume 😢 hakuna liwalo ni kupotez mda tu tupo wengi wahanga
ngoja nikaitazame tena nyimbo yngu umenikumbusha mwenyewe ANITA...🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Mashalla alla akupe itaji la moyo wako
Jamaa hujui kuuliza maswali asee em jifunze kubadilika iga kwa wenzio yani unaboa
Kabisaaa aisee sautuu anayo ila ubunifu zero
Pole sana Dada Yangu....
Pole sana lkn Huyo rafiki yako alikusaidia pamoja na yote msamehe ...... vp kama ungeingia mitaani hauna pa kulala ukafanyiwa mabaya usku?
Rafiki kma hyo me piah nilikua nae rkn nimemuachia Mungu to kwa yote alio nifanyia
Hajui ata kuhoji uyo jamaa ana maswali ya kujirudia rudia😂
Alikuwa anamchukulia advantage kwa kua alikuwa anamlisha kila siku... Ila anapaswa amshkuru na amsamehe tu
Ni mzuri mashaAllah
But she's humble ❤
Maisha yako speed sana
Nyimbo ya Anita haijatoka 2009 hii nyimbo imetoka 2005 harafu 2006 matonya alitoa nyimbo ya Vailet
Pole my sister
Utafanikiwa my love
Mtangazaji uko vizuri mashaallah 👌👌👌🔥
Daah mm kabisaa hii😢😢😢😢
Kua form one with 16yrs it not issue labda alichelewa shule, shida ni alkua anaonekana yupo kwny early twenties
Zamanj tulimaliza la saba 14 au 15 had 16 ni kawaida Sana
WENGI TUMEPITIA MAGUMU KWA MARAFIKI WALIOTUTANGULIA KUFANIKIWA WANAKUWAGA NA ROHO FLAN YA UBAGUZ NA DHARAU
Ktk nyimba ile hakua chin ya miaka 22 actupge et miaka 16 kwa matrako Yale et awe almzid tifa wa mond miaka 6 tu😂😂😂 kwanza alkua na miaka 23
Mmm mpunga usha inama uyoo
Mtangazaji mwishoni uwe unaweka hata kionjo basi
Hapo kwa miaka 16 tumepigwa😂😂
Tena na kitu kizito
Tamaa bin tamaa huyo anamiaka 43
Mtangazaji bwana da! .....
Hapo kwa form one umetupiga ,ila nakupenda
😂😂😂😂
Ni kweli enz hizo
😢😢😢😢😢😢💕💕💖💖💖
mungu wangu umechakaa sana lakin pia ni muongo hukuwa na miaka 16
Mbona hajachakaa bado mrembo oamoja na kwamba umri unaenda. Ulitegemea awe vilevile kama ako na 16 years?
Tena Sasa ni mrembo zaidi @@rehemavickie6521
Aninta
Ndugu mtangazaji ulifanikiwa kufika hata form four kwel😂😂😂
Mtangazaji mbeya hayo msisha Binafsi😊
JIFUNZENI KUANDIKA KISWAHILI VIZURI MNATUPA SHIDA WASOMA COMMENT, ASANTE
😅😅😅😅😅😅@@mathubeJrTz
@@mathubeJrTzkwakweli
Foŕm wani mi nilianza na miaka15
16yrs afu form1😢
Si zamani kidg ase
Unashangaa Nini hiyo ilikuwa kawaida tu mi form one nilikuwa na 15 years
Afadhali yeye Mimi 15 nilikua class 8 zamani na sasa tofauti class 1 unaanza na 7 au 8
Muongo nimemzumu aiseeh kifupi katumika mpaka katumika tena mungu tupe mwisho mwema
Form one na dred? MH...
Ila kwenye miaka apo umetudanganya Mana mi nakujuwa ata miaka kumi na mbili nilikuwa sina sasa mbona si kweli mmmmmm
Vip alifanikiwa? Ndio alifanikiwa ila kwa mbinde sana
Nirikuaaa nakipendagaaa ikiii kirimboooo kukosaaa kuorewaaaa ningekuowaaa nipoooo debeniii ukuiii
Kwani mme wake WA zamani ni nani
Nitafute tuongee nikusaidie kupata MTOTO, serious sana
Weka namba zako apo atakutafuta
@@shabanielia6905 🤣😂🤦♂️🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Dada muongo uyuuyy
Kwenye umri mnatupiga za uso
Shetani akikutumia mtu wacha tu shida wewe ulikua huna mtu wakukuongoza ulikua ufate moyo wako uache story ya kuoleka
16 Acha uongo dada usitupange
😂😂bongo sihami
Twende wapi ndugu yangu tubanane humu humu kwa mama samiha
@@rehmahamishamismkande4348😂😂😂😂
Age go😂😂😂
Huyo mtangazaji maswali km darasa la kwanza 😏😏😏
Nilijua peke angu yani maswali yaleyale😂
Wamekutana wote la 7 failure
Ivi ni kwanini Huwa wasanii hawasaisiagi video viksa
Umalaya ndo ulikuponza wala usijilize uongo hapo
Kama umezaa au utazaa usiondee sana
Aise mtangazaj n mbovu na unakera maswal yako so negativity lione
Hufany interview huuliz maswal muhmu ya wengne kujfunza umekomaa kwenye chuki tu hufundish cchte
Miaka 16 FORM 1 NCHI GANI HIYO😢😮😅😂
TANZANIA FORM 1 MIAKA 12 AU 13
Zamani ilikuwa sawa ata mie nimeanza form one nikiwa na 16
Zaman watu dalasa la tano miaka kumi na 17 yaan tulikuwa atupimwi umri ni ulefu ujishike sikio mkono wa kulia ushike sikio la kushoto ndo unachukuliww skuli
Kwa zamani kawaida mpaka miaka 18 4m one me nakumbuka Kuna watu walikuwa wanajiandikisha kad za upiga kura tukiwa form wan tuna😂😂😂😂 tunajua utan mtu ana ndevu form one
Miaka ya 2000 wengi tumeanza form one miaka 15
@@editorfrank7471 sawa kabisa na ndio tuliokuwa na umri mdogo lakin Kuna watu walikuwa wadada na wakaka wakubwa mpaka unaogopa kumchokoza kama akikutia Kofi sijui kama unaamka😂😂😂😂😂
Hapa tumepigwa yaaaani alikuwa shule mdogo. Mara nyimbo inatoka anapigwa simu. Nakumbuka form four kipindi hiko sijui kama kulikua na simu kwa watoto wa shule. Than vile alivyo kwa miaka 16 sio kweli
I think she was 21
Wengine jamani wana miili mikubwa jamani tusijudge sana dear
Umeona eeh heti kumi nasta mtu mzima hyo😂😂😂😂
muongo na wala hakuwa na miaka 16 alikuwa na miaka 20 na alishaacha shule kitambo anaona haya tu kufunguka
@@itzsnazzyjazzy472ww huyu kahaba nyie aache umbea wa kujiliza
Jaman huyu dada anatumia akaunti gani instagram