ANITA WA MATONYA, BAADA YA VIDEO NILIFUKUZWA SHULE, NYUMBANI HAWAKUTAKA KUNIONA
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- MAHOJIANO MAALUMU NA MREMBO ZUWENA MUSSA MAARUFU ANITA WA MATONYA .LICHA YA KUPATA UMAARUFU MKUBWA BAADA YA VIDEO YA MATONYA LAKINI ILISABABISHA MATATIZO KATIKA MAISHA YAKE. SUBSCRIBE CHANNEL HII @Gangana Info Channel
Natural beautiful. Hongerah sana Anita wimbo mzuri sana hauchuji.
Nimependa rangi yake Yuko natural ❤❤
Uislamu ni dini ya maadili na ukiifuata hutajilaumu ila nyingine kinyume na hiyo , ndizo zinaharibu mfumo mzima wa maisha ya mwanadamu..
Huoni wanawake wanavyoweza kukaa uchi wakiona kwamba wameusaliti uslamu kumbe ndio wanazidi kupotea na kujiongezea matatizo tu kwenye maisha
May God of heaven have mercy on you.🙏🏿
Mpo vzr tupo pamoja
Kimsingi nimekumbuka miaka ya nyuma kidogo ila inaonesha mziki ulikutoa kwenye msingi wa maisha
Pisi kweri kweri mpaka sasaivi
WAKAI
Anita amebadilika amekuwa mtu mzm now
Walikuonea t kwani sanaa sio zambi dini mnaisingizia tu