"MAGUFULI ALIPOKUFA SIKUTOA CHOZI" TUNDU LISSU AMSIFIA MAGUFULI SIRI HII HAPA...
Вставка
- Опубліковано 1 чер 2024
- #OFFTRACKTV #offtracktv #mbowe #chadema #tundulissu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na watanzania wanaoishi Italia
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 621 149 014)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv
Kura unategemea za chadema au za watu wa Magufuli hata samia ameisha jichanganya sisi wa Magufuli tunawaangalia tu
Ila kwa magufuli 2tutakosana we
Ujinga unakutesa ulianinishwa na akili zako hutaki kuzitumia unaona zitaisha.
@@zawadimbwambo1091watu waliona na wanaona hata mtu asiposema hakuna Raisi Tanzania aliyewahi kufanya vizuri kama Magu.
Ulie usilie inatussidia nini .tatizo unatumia nguvu kupotosha jinga sana
Magufuli hakuwa napenda vibaraka kama wewe na samiah ndio hao hao sema umewaka 7bu hajakupa fungulako akishakupa tu utazimika kama mshumaa
Wewe hawezi kua Raisi watanzania kamwe
Tunataka uongelee ufisadi/ ubadhirifu/ report ya( CAG) na JPM NGOJA APUMZIKE.
Wewe unampangia ninani limbukeni wewe. Ngoja ukombolewe ki fikra.
Bora ungeachana na Magufuli hapo utapoteza zaidi mvuto kuendelea kumsema sema Magufuli
Au magu nibabayako lazima asemwe unampoteza nani mjinga wewe
Kwani magu ndio nani.Alitaka kumuua lissu mwenye haki,mungu akamgeuzia kibao akafa yeye aliyetaka kuondoa uhai wa mwenye haki.
@@MathewNathan-yb2bz una ushahidi kama Magu alitaka kumuua lisu au unaropoka tu peleka unafiki huko
@@ZakayoYohana vyeti feki lazima mteseke mkisikia jina magu mnaona burudani magu akisemwa na huyo hayawani wenu akifisika kisera anakimbilia kumsema magu ili awafurahishe
@@paschalmartin9598 ww mtetee shetani tu
Hata wewe ungetangulia JPM asingetoa chozi.
Huyu baba jamani nilikuwa nampenda sana lakini siku hizi hana jipya zaidi ya kulaumu
Sio lazima wew umpende
JPM hakuhitaji kuliliwa na wewe, ameliliwa na watanzania ambao walimpenda sana.
Na wengine walikufa nae
Mpaka leo tunamlilia,
kwani wewe ni msemaji wa Watanzania???
Ni kweli kabisa
Zkunyingine aulize na WANAINCHI ili wanyooshe vidole kama wapo😅
Tundu badilika , siasa zako za kuwasema wenzako! Tamka ukiwa raisi utawafanyia nini watanzania, acha kuwasema wenzako.
Asante na awache kumtukana Rais Samia. Kuna siku na yeye atakuja kuadhiriwa kwenye majukwaa na Wananchi hao hao wanao msifu na kumpigia MAKOFI.
Tuachie chadema yetu umefanya umbea kwa mboe ukafanikiwa kuwagawa akina mdee na wenzake mbaguzi sana we baba utakua pekeyako kwenye chamaa
Chadema yenu ipi baki na ccm yako mjinga ww
People ageting sick with yo sick scandals we ar sick...hunakitu unachiweza kusifia nchi yako wewe ungepewa hii nchi nchiingeingia vitani
Wewe unasema makufuri alikufa ukutoa chiozi wewe unafikili chiozi lako lingesaidia nini ata wewe ukifa nani atatoa chiozi Kwa lipo la maana
Akifa huyu tutalia mno sis wenye hakili
Mwenyew nitalis sanaaaa
Ukishafanikiwa kubagua tz na znz unaami kubagua kandaa ya kati na kaskazini mbaguzi mkubwa wee
Hujaelewa Nini? Zanzibar ni nchi Tanganyika IPO wapi?
@@ahmedhamisAsante kaisahau Tanganyika bado yuko na Tanzania 😂😂😂😂
Mjinga wewe unadanya watu kila siku Maneno hayo hayo ni Mbaguzi huna maana yoyote unaongea upumbavu mtupu eti anataka kuwa raisi huyo mhuuu Hana hata jambo lamaana zaidi upumbavu
Hayo maneno kamwambie mamaako ambaye sio mbaguzi
Hayo maneno kamwambie mamaako ambaye sio mbaguzi
Urais ataupata kwenye mtandao wa X,kumpa lissu uongozi wa Nchi tutakuwa tumeitupa tanzania kwenye dampo
@sunday kaka umeona mbaali Sana ubarikiwe
Wewe chizi huwezikutowachozi kwasababu unarohombaya yakichawi muache magufuri apumzike
Apumzke motoni
@@brucardkomba616Duuuuu
@@brucardkomba616 Baba kama unamuogopa mungu Sina uhakika lakin JPM ana asilimia 60 kupata sehemu nzur kwa aliyo yafanya dunian
Kwhy ilitàka afe bwege ww me mwenyew sijaliaa!
Sasa kama hukulia yanahusu tulilia na tunalia na tunalia mpaka Leo unapomtaja magu wawanyonge we jamaa kumbe ni kulipza visasi unajipuguzia kura kwa kinywa chako
Kwer tena m namuona kama anapyayuka tu bora akae kimnya magu ni mwamba wa Tz na Afrika kwa ujumla
Sasa kilichompata aanqnzje kulia
Ccm wamechoka ila kutamka tu ndio imeshindikana
Siasa isikie tu Leo kashfa kesho sifa,kesho kutwa sifa mtondogo kashfa shikamoo Lisu
Umemuelewa lissu? Au una tatizo la akili? Lissu anasema ukweli tuu. Na sio vinginevyo
Wewe kila sehemu unatukana watu jamani una matatizo gani@@zawadimbwambo1091
Kwa swala la magufuli bora ukakaa kimya tu,wewe lissu ulikuwa msaliti kwa serikali,tunakumbuka,sauti yako imenaswa ukiwa kwenye mipango yako ya usaliti kwa kampuni ya accacia,na sio lazima udondoshe chozi,tupo tunaolia mpaka leo kwa sababu ya magufuli
Umesema kweli, Tundu Lissu msaliti, nakupongeza kwa kutunza kumbukumbu, maana watanzania wengi huwa tunasahau.
Tundu Lissu ni sawa mchawi tu
😮 ujielewi wewe
Utaitwa munyonge paka lini katiba ni suruhisho ya mambo mengi kwenye hii nchi tutasubiri kupata rais atakae ongoza kwa utashi wake paka lini tunaitaji rais aongoze kwa mujibu wa Sheria ili akiwa chizi aendane na Sheria mzee
@rabsonchisumo6640 usifuate jambo kwa kukalili, katiba mpya!.... katiba mpya!... katiba mpya!... tunaomba ufafanue vifungu vya katiba ya zamani makosa yake, halafu utuambie umeandaa vifungu gani vizuri kwenye katiba mpya. Unafuata mkumbo tu, hata hiyo katiba ya zamani huijui.
Si mnasema Anaupiga mwingi leo tena umemugeuka
Wewe bado maneno hayo hayo ya upuzi huna illi chuki tuu
Wazungu munawapenda kwakua wanaleta ushoga
We mbaguzi
Hizi ni sera za kutugawa na kuvuruga muungano wetu
@@anastazialushikaili tusigawiwe tukae kimyaaa huku unaumia na huku unapigia makofi anaekuumiza
Tunawajua. Sana wakabika
Muwache magufuli wetu apumzike kwa amani.
Kuna amani Gani kaburini shetani yule apate adhabu Kali kabisa nyang'au
Magufuri wenu ndo alietuma watu kumuua ngoja amseme kidogo
@@zawadimbwambo1091 ungekuwa wewe ndiye unayetoa hukumu pengine mpaka babako mzazi angekuwa kaburini
Magufuli yuko mbele ya hukumu. Alitaka kumua mwenzake mungu akamuondoa
@@evansmudaki4772 nayeye pia. Siku yake itafika. Alivyokuwa na mdomo mchafu kama mtaro tena mungu amuunguze. Kwenye ule mdomo wake mchafu atapiga kelele. Na ikulu ataiskia kwenye bomba...
Wewe ni jasusi unatumiwa na watu wako Huaminiki kabisa.Ongea sera mzee ja siyo kulaumu watu tu.Wewe siyo malaika.Unatafuta ubunge tu.Chakula😮
Siasa uchwara hii
Akili ndogo unazo utamuelewa lissu ? Mpaka uliwe nyum a Bado utasifia ujinga tu
HAWA WATU NI VIBARAKA WA NGURUWE, HATARI SANA KWA BARA LA AFRIKA.....UTAPOTOSHA WASIYOELEWA DUNIA INAKWENDA JE......UNAONGEA PUMBA MAFALA WANACHEKA
Achana na Magufuli mzee piga siasa isiyokuwa na mihemko pambana na Samia unazingua wengine tulimuelewa sana Jiwe
We Lisu hivi Huna sera za chama chenu? Kila ukisimama ni kukandia CCM na watu wake. unawa boa wananchi. hivi unaona jinsi Wana chadema wanavyo zaidi kukimbilia CCM? Nadi Sera zenu achana na ccm
Hata wale waliokuona una akili kipindi kile sasa ndio wanajua walifanya kosa kuamini una akili 😂
Mwambien lisu ili tumuelewee ,aachane na magufuli siku tutamvunjiia heshima ,
Wewe ndo mwizi Acha kupotosha watanzania
Ila makonda ana viewers weng aisee kuliko hata ....sema wanajitahd sana ku balance mambo....lazima usikie pande zote mbili
United state of america, ni muunganiko wa nchi nyingi sana, unahoji tanganyika, au zanzibar ili upate nn kwny maisha yako.
Wewe ni shida tu
Huyu jamaa ni mdini sana ukimchunguza sana unaweza ukafhani anatetea wananchi .lakini huyu ni mbaguzi anamsema vibaya sana vibaya magufuli yeye Kila kiongozi kwake sio safi .utu wa namna hii ni hatari sana Katika uongozi
mdini tena kwani hapo amemtaja yesu?
mimi ninachokiona kinachotusumbua umaskini upo kichwani 😂😂😂
@@yassinrajabu6511Umasikini na Ujinga pia Upo. Nyiye ni MAKOFI tuu mkimuona mtu kwenye jukwaa. Mkifaham msifahamu MAKOFI. Inasikitisha
RAISI SAMIA MITANO TENA, MUNGU BARIKI VIONGOZI WETU🖐🖐🖐
Kumi na tano tena asipokuwa madarakani miradi ataimaliza nani😅😅😅
@@hassanmfaume4522
WE MWAMBA SANA Tanzania kwanza SSH KWANZA👍👍👍
Hapo jamaaa yuko vizr umeshusha point za kwer ambao hawakuelewi ni wale ambao akili hawana tuu
Kila leo naingia kutazama video nikijua kuna kitu utaongea lkn wap ubadiriiki uko butu kwenye siasa na hata sasa huyo JPM hakuna wakufanana nae
Hapo kwa magufuli Tunaomba usitutibue
na jpm boss wangu ata usemaje huwezi kutushawishi ata robo
Hauweleweki Tena unapomgusa kipenzi chetu jpm maacha kabisa kukusikiliza
Kipenzi? Pumbavu jambazi yule. Anatumikia adhabu jehanamu Sasa .
Magufuli alileta matatizo makubwa sana kwa Watanzania. Wanaomsifu ni watu maskini ambao hawakuguswa na madhila aliyoleta Magufuli. Alivuruga uchumi, aliwaambia Watanzania wajiandae kukonda, kuishi Kama Mashetani, kuhama mijini na mambo mengine kama kuingilia account za watu. Bora ameondoka mapema angetupeleka kwenye matatizo yaleyale yaliyotokea huko nyuma kwa Yule anayesifiwa sana na Watanzania waliokuwa na maslahi naye.
Masikini waliumia Sana tu. Ila kwa ujinga mwingi walimsingizia mungu na kumsifia mtesi. Magu alikataa hata wasioewe msaada wa mahindi walipokua na njaa iliyosababishwa na ukame. Na akasema serekali haina shamba. Umesahau?
Unajua Magofuli ni best president,, yaan kupoteza muda kwa koment kumponda ni ujinga.
Lissu pia nakubali sana na anafaa kua raisi ingawa ideology ake na magu tofauti ila wote ni BORA
Sasa ukweli nikuponda!!!!! Ukweli ni ujinga. Mbana unajua sehemu ya wajinga? Niliyoyasema ni maneno yake na singiziwi. Alikua kajaaliwa upuuzi mwingi tu na ukatili. Ila wajinga wa kuzaliwa walimsifu Sana.
Yani katiks mtu mwizi wewe ndio nambari 1
Ata ww ukifa nitakula keki siku hiyo
Mie naona tatizo haliko kwa wanasiasa, wana harakati za haki sawa, au wanaojiita watumishi wa Mungu, bali tatizo liko kwenye ufahamu wa hao mashabiki wao. Ukweli ni uongo na uongo ni ukweli. Ndio maana kila kona wanaibuka na hoja zingine maana wateja ni ovyo kabisa kupambanua.
MUNGU isadie TANZANIA
Ww uwezi kuwa raisi
Huyo ni mwehu mbaguzi
Huyu jamaa anajishusha kisiasa kwakuwa vingine muongo huyu
Ktk nchi hii hakuna mwanasiasa yoyote ambae anasema ukweli wakati wote kama mh tundu lisu.
Njaa inamsumbua
Tatizo watanzania sio wazalendo na nchi yao manake huko bandarini walikuwa wanaiba sana na kuikosesha serikali mapato na ndio maana mama akaikodisha ili angalau serikali iambulie mapato.
Maneno yako 100% ni ya kweli na MTanzania wa kwanza kusupport Kama wanaiba sana Bandarini.
Kila siku unasema wameuza bandari tutajie na Bei sh ngapi???
00000%
MAMA KAWAINGIZA CHOONI HAWANA JIPYA 😢😢😢😢😢
@@williamgeorge-hd2tn😂😂😂😂 na hao walokuwa njiani sijuwi wakishika URaisi na wao watauza nini subirini tuu. Mchezo utaendelea. Hapo ndio mtajuwa Kama Rais. Sami kauza au kaigawa hiyo Bandari. 😂😂😂
Tayari Watanzania umwe watenganisha na Wenzao wa Zanzibar
Weye ni lawama tu kila siku
Mm sio mwanasiasa, lakini naumia sana unapomsema mtu aliyekufa. Yaani ww hata useme vipi mungu kampokea magufuli kwa kazi nzuri aliyofanya Tanzania
Nilipenda Magufuli, nitampenda siku zote na machozi yangu hayatakauka machoni mwangu. Namlilia Magufuli siku zote
Nawewe ukifa hatutoi chozi
Unajifanya msomi huna hata chausomi kitu kibaraka wa wazungu wee na utafukuzwa tuu kina mdee warudi usiokuwa na haya we mbaba chefuu
Tunajua Mmehongwa hela nyingi za kumchafua lissu lakini hamtaweza wajinga nyie
Watanzania hatujafikia moyo kama wako tundu huenda wewe sio mtanzania halisi huna chembe ya huruma hata kama siasa ni mchezo mchafu ila wewe umezidi kila mtu kwako hafai mpaka wenzio wamekususia chama haya hangaika nacho sasa
Hata wamsusie sisi tuko nae inatosha
Huyu Mzee ameanza kudata
Ni kweli 😂😂😂😂😅😅😅😅
Kwa siasa hizo sidhani utapata uraisi oman 🇴🇲 hatuna shida mzee ninauhakika oman uijui hakuna inchi isio hitajia nchi nyengine sera za sasaivi leta umoja wa Africa kelele nyingi na njaa inakusumbu wewe huombi ubelgiji una uzalendo mzee
Huyu ni mjinga kama wajinga wengine.
Hana sera
Magufuli anahusika nn tena jamani mbona mnakera watu pumbavu zenu ndyo upate urais kwa kuwasema marehemu mjinga wewe
Vulugu zoote mnazo fanya lakini rais yupo kimya unafkili haumii anavo wabeba lakin mnajifanya vichaa mnatakiwa mufike wakati muungane mjenge nnch so kupondana hivyo
Rais Samia ni muungwana. Siyo Rais (Mwanamke ) wa kusimama kwenye MAJUKWAA na kutukana watu. Huo ni ukweli.
Mie mpaka leo naonaga chadema ni chama cha uhuni uhuni tuuuu
Unaogea vya machozi hauna sifa ya kuwa rais
Wasio kujuwa..watakusikiliza jeshi ulilo azisha pwani likauwa viongozi wa selekali na.laia
.tena.ungekufa tu.mpumbavu
Umekosa cha kuongea, hata hueleweki, pumzika sasa huna lolote.
Hiki ndcho kinanifanya niipende ccm hadi kufa
Bora waarabu kuliko mashoga wenzio
Hapo umesema 👍😂😂😂
Huwezi toa chozi ikiwa unajua nini ulikifanya. Muda utaongea tu
Awaùzie mashoga wenzio wazungu
Kweliii
POLENI SANA WENA CHADEMA HAPO HAMNA KIONGOZI NI JINAMIZI TUPU
MGOJWA WA AKILI WA MIREMBE NYINYI MUELEWENI
Acha uchochezi Mzee huna nyimbo.kila kiongozi ni mwinzi? Kwani we malaika
Ni mama!
Pia suara la bandari tunalijua lina manufaa kwa Watanzania.
Kwa nini msilipeleke zanzibar kwanza wafaidike
Sio maghufuli ila ni ujinga wako ulikupiga risasi
Ongelea bandari kuuzwa ila ukimgusa Magufuli unatutonesha vidonda vyetu watanzania ambao ataleo atokee mtu kugombea ashindanishwe na kaburi la Magufuli akika tutalipigia kura kaburi kwa mema liyo tutendea.
Udini ni mwingi sana hii nchi.
KWA WANAUME WAKE KULE ANAENDA LINI NASKIA ALIOLEWAGA
Sisi watz bado sana yani tunawabeza wenye akili kama hawa kwa makusudi tu lkn hali zetu za maisha zinazidi kuwa ngumu
Et ukapige kura huku umelewa 😊😊😊
Umeeleweka..labda wale wanaofikiri kwa itikadi zao...
Kumbe hii ni vita dhidi ya lissu na uislamu ,sawa bhana
Tunampenda raisi samia
Achana na Magufuli ww Mwache apumzike kwa Amani Raisi wetu
Gusa vyote baba usimguse magufuli tafadhari utakimbizwa mchana kweupe
Lisu anapo kosea ni kumsema Jpm, anakosa mvuto kisiasa kila kukicha, siasa inahitaji kuwajenga wanchi kw hoja na siyo kuwasema marehem.
Lissu na wewe ukifa mimi sitatoa machozi ila tutachoma nyama kw wingi then tutakula nyama yetu vizuri
Kwa sasa huna mvuto tena kisiasa.kila siku Magufuli na mtu hayupo,ww ungepewa hii inchi ungefanya kama aliyoyafanya magufuli kwa muda huo mfupi?
umeanza kujenga hofu hata uchaguzi bado leo una muuliza Rais katoa wp
Mtanganyika ni mijinga sana kudadeki.....check comment zao humu ndani.....haijielewi hata
Mana fala kabisa huyu mrudisheni Zanzibar
Piga kazi mheshimiwa
Na sisi ukifa hatutoi machozi
😂😂😂😂😂 kwer kbs Tena tutacheka siku akifa
Dua la kuku hilo
@@jeffhard5773 kwa ujinga wako ataishi milele
Mzee utaongea sana lkn hii nchi ina watu wasiojielewa nadhani kila mmoja apambanie familia yake
Magufuri hukumuelewa ww ukawa msariti leo ndo umeanza kujua alikua yuko sahh 🎉
Wewe huna akili ata kidogo ugekua unajielewa huwezi kumsema marehemu mbwa wew hakuna mwananchi mwenye akili zake timamu akakupingia kura wew kwa izo pumba unazo ogea acha ujiga fara wew
Maskini ndio wengi, ndio wenye kura,, chunga kauli zako lisu
Huyu naye si wangefyatua za nakalioni tuuuu ..angekuwa anatoa udenda tuu 😂😂😂😂😂
Wewe chizi Nini magufuli kwanini asisemwe kama Kuna maovu aliyafanya tusiseme kunamazuri Nayo kayafanya nayo tunayasema. Sasa nashangaa kwa Nini Kila kitu anapewa marabu akuna mataifa mengine niwarabu tu hapo Kuna Jambo limejificha tuombe mungu tu katiba ipatikane tuweze kupata haki zetu huyu mama anauza Kila kitu atatuacha watupu ccm mjitasmini
Huyu jamaa akili hana! Ongea yote ila usimguse JPM kwa kejeri ngedere wewe
Wewe ni miongoni mwa wale walioimbishwa nyimbo na kulishwa matango pori na amarula mpaka wakalewa hawajitambui maana akili ziliwaisha wakaamini mnyongaji kiuchumi wa wanyonge wasioisha ni mtetezi wao. Pole kwa kuwa mgumu kuelewa.
Babu huna watu kabisa itabaki ww na vibua vyako ivoo😂😂😂huna lako safari hii hupati ata kura 7