TAMAA MBAYA | latest 2023 SWAHILI MOVIE | NEW BONGO MOVIE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • Katika maisha kila mtu ameandikiwa kupata kwa aina yake, kufanikiwa kwa kupata mali au mahusiano huendana na baraka za mtu binafsi, pale Tamaa inapotumika katika kufanikisha umiliki wa jambo, madhara yake huwa ni makubwa mbeleni! Tazama Filamu hii ya TAMAA MBAYA hakika utajifunza jambo kubwa katika maisha!
    .
    Usiache ku Subscribe channel yetu hii ili usipitwe na filamu zetu tunazoziweka.

КОМЕНТАРІ • 612

  • @AdamLeoStudios
    @AdamLeoStudios  Рік тому +8

    Tazama vituko vya dogo aliyezubaa baada ya kutafutiwa mke na mjomba wake😂😂Komedi ya kuchekesha👇👇
    ua-cam.com/video/Fu1K5aTTj10/v-deo.html

    • @neemamabena-xx5er
      @neemamabena-xx5er 9 місяців тому

      Napenda Sana move zako mungu akujaliee kwa mafunzo mengi unayotupatia

    • @user-jo7wr4gs3k
      @user-jo7wr4gs3k 6 місяців тому

      Napenda sana ❤❤❤❤

  • @John-pv1xr
    @John-pv1xr 5 місяців тому +2

    Umasikini mbaya sana, NAKATAA UMASIKINI KWA JINA LA YESU KRISTO
    BRO ADAM POKEA UBUNIFU ZAIDI KWA JINA LA YESU na pokea neema ya wokovu una moyo wa tofauti katika movie zako

  • @user-ur9sv5ps1h
    @user-ur9sv5ps1h 8 місяців тому +1

    Siwezi muacha mpenzi ninae mpenda kwa tamaa ya pesa subutu tunapambana mimi na yeye tupate zetu na sio kumuacha kisa boss anapesa Ongeleni sana kwa kazi zuli nawapenda wote umo ndani ❤❤❤❤

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 7 місяців тому +1

    Good work hilo ni fundisho kwa watu wenye kipato wanaowadharau wasio na kipato bigup sana na hongereni sana mungu awabariki katika kazi zenu

  • @isaacngugimwangi1586
    @isaacngugimwangi1586 Рік тому +2

    Wow nice one sijawai tazama filam hadi mwisho lakini hii imeweza good job

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Рік тому

      Shukrani sana, usiache ku subscribe zipo nyingi sana.

  • @euniceayuma9347
    @euniceayuma9347 Рік тому +3

    Dah!!!!funzo kubwa kweli... ahsante sana kwa kazi nzuri kakangu...

  • @user-rl7eu1jr4p
    @user-rl7eu1jr4p 9 місяців тому +2

    Kiukwli filam zako zitubudisha sana

  • @JohnstoneMega
    @JohnstoneMega 5 місяців тому +1

    Eee hiyo video ni noma kweli wee ❤❤❤

  • @ibrahimmasudi1548
    @ibrahimmasudi1548 Рік тому +2

    Filamu nzuri yafundisha nyingine ya huzunisha na kufurahisha hongera sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @JoyceSulemani-su1gt
    @JoyceSulemani-su1gt 10 місяців тому +1

    Adam nakukubali San muvi zako zinafundisha San Mung azid kukuimarisha Zaid kweny kipaji chako

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 Рік тому +4

    Aisee broo umetisha yaani Mambo ni moto..story imeetulia kwa imepangika big up sana broo

  • @JackyMapenzi-ys3kh
    @JackyMapenzi-ys3kh 6 місяців тому +1

    Mko makini sana na story zenu yaani sinamafunzo sana unakuta umemaliz lkn warudish nyuma ile utazame Tena good job Adam na wengne much love from kenya❤❤❤❤❤

  • @user-nm6vd8og3d
    @user-nm6vd8og3d 10 місяців тому +1

    Kali sana nmeikubali

  • @prisikachande
    @prisikachande 7 місяців тому +1

    kweli kaka iko kidogo tu watu wanatafuta mtu wampa ndomana wengine wanahalibu ndoa zawatu ili wakae wao nice movies

  • @user-or6eo6qj8b
    @user-or6eo6qj8b Рік тому +1

    Funzo waah hongeren

  • @rich.kizza10
    @rich.kizza10 Рік тому +3

    Unahusika katika kumaliza bando langu kaka🔥

  • @stumay-wx9rp
    @stumay-wx9rp 2 роки тому +2

    Hongera adam kwa kaz zur sichachelewa kabisa

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  2 роки тому

      Shukrani sana, baki na sisi upate filamu nzuri na bora.

  • @ConfusedBirdBath-yp6qo
    @ConfusedBirdBath-yp6qo 2 місяці тому

    Ama kweli nakukubali sana kwa filamu zako tamu endelea kaka utafka sana mbali

  • @pioado7135
    @pioado7135 3 роки тому +6

    Nimekuwa ni mfuatiliaj mzur sana wa filam zako kaka kusem ukwel unajua san kutunga story aswa zakuelimisha jamii mwenyezi mungu azd kukuongoza naiman utafika sana mbali kaka big up sana

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 роки тому

      Shukrani sana, asante kwa kuona hilo. Barikiwa na endelea kutu support kwa kadri utakavyoweza.🙏

  • @user-hy1mu2xl9h
    @user-hy1mu2xl9h 7 місяців тому +1

    Hongera Sana kwafundisho

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Рік тому +1

    Ongeleni sana

  • @najmaaa6548
    @najmaaa6548 2 роки тому +2

    Mmmh kazi nzuri sana

  • @JohnstoneMega
    @JohnstoneMega 5 місяців тому +1

    Adam napenda kazi Yako sana

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 2 роки тому +4

    Ila boss mtoto nimemkubali sana

  • @user-jo7wr4gs3k
    @user-jo7wr4gs3k 6 місяців тому

    Wauuuuuu hongera sana Adam kazi njema sana

  • @abezadamuor7358
    @abezadamuor7358 Рік тому +1

    Nakubari papa

  • @user-jo7wr4gs3k
    @user-jo7wr4gs3k 6 місяців тому +1

    Much love u Adam ❤❤❤

  • @petermaro9852
    @petermaro9852 3 роки тому +4

    Uko vzr sana kijana wangu,nakuaminia cku zote huwa hukosei bn.Keep it up bro.

  • @mwaijamachemba9095
    @mwaijamachemba9095 Рік тому +2

    Nimefulai sana ongeleni mungu awabaliki kwenye kazi zenu

  • @nikalegona145
    @nikalegona145 Місяць тому +1

    Jamani kimaro pole mwaya mapenzi upofu

  • @hajiramadhan6970
    @hajiramadhan6970 Рік тому +1

    Kali brow

  • @merryjeremiah7533
    @merryjeremiah7533 Рік тому +2

    Kazi zuri xana brother nakupendaga😍

  • @jangamefilms
    @jangamefilms 2 роки тому +32

    ASANTENI NYOTE, MNANIPA NGUVU YA KUENDELEA KUFANYA VIZURI ZAIDI. NINA WAAHIDI KAZI ZINAZOFUATA ZITAKUWA BORA ZAIDI.

  • @miiroplasticbottleshouse1340
    @miiroplasticbottleshouse1340 Рік тому +3

    Filim hii ni nzuri sana. And the actors mainly the guy who acted as a Boss did it to his best. But Asante sana kucheza movie hii nzuri.
    Am sorry for my poor Kiswahili only that am studying Swahili language and soon i will be perfect.

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 8 місяців тому +1

    ❤😂🎉🎉😢 ongera sana movies zako zinafundisho kweli,mungu akubariki kwa kazi zako❤❤❤❤

  • @jacklinekenyanya9352
    @jacklinekenyanya9352 Рік тому +1

    Filamu ya mafunzo kweli.haina hah a utharau wenzio eti kwa sababu uko na hera kesho yako huijui.mbele ya mungu tuko sawa hakuna aliye zaidi juu ya mwingine.kazi nzuri adamu.mungu abariki kazi yako

  • @Alfredmuchai64familyTv
    @Alfredmuchai64familyTv Рік тому +1

    Funzo safi kabisaa

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Рік тому

      Shukrani sana aisew. Usiache ku Subscribe ili usipitwe.

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Рік тому

      Shukrani sana aisew. Usiache ku Subscribe ili usipitwe.

  • @mwanashasauti7833
    @mwanashasauti7833 2 роки тому +2

    Nimechelewa kuitazama hii ila hongera sana Adam Mungu akupe nguvu uzidi kutupa mafunzo #TAMAA MBAYA

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  2 роки тому

      Asante sana, filamu yetu nyingine ya KIHORO hii hapa, unaweza kuiangalia ua-cam.com/video/ZEUOcc9dgcg/v-deo.html

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 роки тому +6

    Duuuuu, huyo bos kama kinu cha vitunguu swaumu kafupiiii🤣🤣🤣🤣lkn Ana mbwembwe kamq Mc 👌👌👌Pole Adam hiyo ndio pesa bwana inaongea

  • @salimhamid370
    @salimhamid370 2 роки тому +1

    Adam sure kwakuwa mvumilivu mwisho hula mbivu. Zuu nice game liwe funzo kwa kila mwenye dharau kama hizi kutojali masikini.👍👍🙏

  • @makayistevenmusso1520
    @makayistevenmusso1520 9 місяців тому +1

    Much love adam 🎉🎉 ila wadada muache hizo roho zenu ngumu mtu
    Kuwa bc na huruma na mwezako ila loooooh😢😢😢 kweli pole adam wanawake viumbe wa ajabu just😂😂😂❤

  • @zamannamusa1794
    @zamannamusa1794 3 роки тому +3

    Mmmmm mtihani kweli Adam ushaachwa asee pesa iziii

  • @halimalinda1239
    @halimalinda1239 2 роки тому +1

    Kiukweli imeweza 🥰🥰🥰 congrats 👌👌👌💯💯💯

  • @zaheralnoumani-vw6ym
    @zaheralnoumani-vw6ym Рік тому +1

    Tamaa si yote mbaya kwa sababu moja mimi nakupenda na ona mambo safi sana ❤❤❤❤👌

  • @sidemjapan-1941
    @sidemjapan-1941 Рік тому +1

    Pole sana boss kimaro iyo ndo adabu ya kunyanyasa wenzako bg up broo Adam

  • @LAMBERTMEDIA_TZ
    @LAMBERTMEDIA_TZ Рік тому +1

    ADAM LEO keep up bro make umekuja na kasi ya kufufua bongo movies basi ifanye iwe kama bongo flevor

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Рік тому

    Hapa nimejifunza sanaaa Asante watayarishaji wa hii movie

  • @mariamjoseph3888
    @mariamjoseph3888 2 роки тому +1

    Kwel tamuu nmeipenda na inafundisha hongereni wote mloshiriki

  • @deborahmbise6151
    @deborahmbise6151 3 роки тому +3

    Great work MUNGU Akupe maarifa zaidii

  • @EshsRashid
    @EshsRashid Місяць тому +1

    Nice story so amazing

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Місяць тому

      Thank you so much

    • @EshsRashid
      @EshsRashid Місяць тому

      @@AdamLeoStudios much love kaka from Kenya 🇰🇪 I love 😍 soo much your movie

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim6133 2 роки тому +2

    Boss kimaro safi saana
    Confidence 💯

  • @gafosaid4833
    @gafosaid4833 2 роки тому +2

    Salute to u Adam ...kazi nzuri sana haki

  • @Alfredmuchai64familyTv
    @Alfredmuchai64familyTv Рік тому +1

    Daaahhh zuu amecheza freshy hapo kwa mda wa 1:19:55 🤣🤣🤣🤣boss kimaro akauwa kenge aty"nimeskia moyo umelia ngaa💥💥ngaa 💥💥"noma sana mzae...real time reality...congrats content moto moto👍

  • @aishaasumani9676
    @aishaasumani9676 Рік тому +1

    Kazi nzuri n inafundisha hongera

  • @halimalinda1239
    @halimalinda1239 2 роки тому +1

    Masha Allah hadi raha ningepata mume kama ww akhaa na nenepa bla hata ya kula maneno tu mazuri

  • @masudhamad3288
    @masudhamad3288 2 роки тому +3

    Asanten sana kwa movie mzur yenye mafunzo makubwa hapa dunian

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  2 роки тому

      Shukrani sana, usiache ku Subscribe ili usipitwe na kazi yetu mpya.

  • @glorymunisi4995
    @glorymunisi4995 2 роки тому +1

    Hongera kaz, nzur mxikate tamaa ipo vizur

  • @tafutapesatv6389
    @tafutapesatv6389 2 роки тому +1

    Movie kali kinyama naomba namimi nafasi wazeeee

  • @peninahongeri4676
    @peninahongeri4676 2 роки тому +6

    Wanawake ukipata mwanaume mwenye anakupenda mheshimu Wacha ku
    MtesA

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  2 роки тому +2

      Kabisa kabisa dada, sababu upendo wa kweli kwa wanaume wa sasa ni mdogo sana.

    • @fatumahassan1371
      @fatumahassan1371 2 роки тому +2

      Lkn wanaume wakitendwa hulalamika sana lkn ss haku

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  2 роки тому

      Umeona ehhh!!

  • @shaeenafatuma4213
    @shaeenafatuma4213 Рік тому +2

    Funzo zuri sana asante

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Рік тому +1

      Asante sana! Mnatupa nguvu ya kuendelea zaidi.

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l 9 місяців тому +1

    Haki nimependa❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @happykachekideri2786
    @happykachekideri2786 Рік тому +3

    Good work may God grant you guys more skills

  • @aishaali3693
    @aishaali3693 2 роки тому +1

    Adam nakupenda sana kazi zunu nzuri sana ongereni wausika nyote

  • @prophetmotive2646
    @prophetmotive2646 Рік тому +1

    Maboss washenz kweli 🤔🤔😏

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz2755 2 роки тому +3

    Sisi Ni Watoto Wa Uswazi Never Huwezi Kutuwekea Mipaka Unyama Sana Adamu👋

  • @Ann-Strong
    @Ann-Strong Рік тому +2

    KAZI nzuri, uhusika kamili

  • @user-nm6vd8og3d
    @user-nm6vd8og3d 10 місяців тому +1

    Kali sana ✌

  • @rosareekelvin6709
    @rosareekelvin6709 2 роки тому +1

    Daaah nakukubali sanaaa jaman mungu akutunzeee nawapenda❤❤❤❤❤

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Рік тому +1

    Hongeren sana kwa movie nzuri na yenye kufunza hasa kwa maboss wote wanao wanyanyasa masikin kwasababu ya mali zao

  • @user-pj1vo8eq7g
    @user-pj1vo8eq7g 2 місяці тому +2

    aisée hadi kwako ochana miguu tutafute pesa kwa bidi sio kwa maicha haya jamn

  • @Nasra-bz7qm
    @Nasra-bz7qm 10 місяців тому +1

    Pole sana Kaka umasikini duuuu

  • @Raz254vicky
    @Raz254vicky Рік тому +1

    Kazi nzuri kaka adam. Mungu akubariki

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 9 місяців тому +1

    Kazi zandani wenzio zimetujengea nyumba unaxizarau

  • @innobenzol4119
    @innobenzol4119 Рік тому +1

    Safi sana Adam unanifundisha congole

  • @Djshalom5846
    @Djshalom5846 Рік тому +5

    Kaka kama kuna filamu yako poa nilipenda sana ni yenye mke wako ataki kukuongelesha but anaongea na marafiki vizuri manze iyo filamu imenifunza sana sikuzote nitakuwa makini nilije nikawekeliwa ujauzito yenye sijuhi🤣😂🤣😂🤣😂🤜🤛ongera sana

  • @JacklineThobias-nl5cc
    @JacklineThobias-nl5cc 9 місяців тому +1

    Ufudu huyooo ,👏👏

  • @jaliamartinz
    @jaliamartinz Рік тому +1

    Boss Adam asanti kazi

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 2 роки тому +1

    wow👍👍yani movie nzuri sana ns yenye mafunzo mengi sana,hongereni wahusika wote but the 4 of you;boss, husband and the wife na brother to wife big up🙏🙏❤❤❤❤

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  2 роки тому

      Shukrani sana Lydia kwa uwepo wako, tunakuomba usisahau ku Subscribe channel yetu na kutufollow instagram @adamleotz ili usipitwe na kazi zetu mpya.

  • @nurumanyota416
    @nurumanyota416 3 роки тому +3

    Mambo ni fire, kali sanaaaaaa,

  • @JescahEddah
    @JescahEddah 10 місяців тому

    Wow good work

  • @husnasimba5357
    @husnasimba5357 Рік тому +1

    Adamu mzuri jmn

  • @fatumajumanne3529
    @fatumajumanne3529 2 роки тому +3

    Ndo maisha ya wafanyakaz wanawake mliokuwa kwenye ndoa muwe wavumilvu huku nnje jua kal😔😔😔😔

  • @gesaredaniel5420
    @gesaredaniel5420 2 роки тому +1

    Aka jatoto ni nomaa sana l enjoyed the movie

  • @mariammaku7418
    @mariammaku7418 Рік тому +1

    Imeweza😅😅🖐️boss kimaro anataka kulia🤣🤣🤣🤣

  • @jovithaanatory1067
    @jovithaanatory1067 2 роки тому +1

    Kazi nzuri mno

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  2 роки тому

      Asante sana usiache ku Subscribe ili usipitwe na kazi yetu mpya.

  • @somas1170
    @somas1170 Рік тому +1

    Asante adam leo

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 2 місяці тому +1

    Boss kafupi afu kanajiona afu kiburi pia😂😂

  • @scolanicholas5986
    @scolanicholas5986 9 місяців тому +1

    Nawapenda wote japo na Mimi napenda kuigiza

  • @zuenaomarympandeni4747
    @zuenaomarympandeni4747 Рік тому +1

    Kama umeona sir jay like hapa

  • @fatumahassan1371
    @fatumahassan1371 2 роки тому +1

    Mashallah kazi nzuri sana Mungu awaepushie hasad🤲

  • @priscalobati6188
    @priscalobati6188 2 роки тому +2

    Iseee iko poa sana

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  2 роки тому

      Asante sana, usiache ku Subscribe kwa filamu zetu mpya.!!

  • @lameckcheloti6998
    @lameckcheloti6998 3 роки тому +5

    Kazi nzuri,Adam,Kimaru,Zuri na wahusika wote

  • @cliffkingi
    @cliffkingi 2 роки тому +1

    Aise hii filamu iko sawa sana Bhna

  • @benjaminabisemba5331
    @benjaminabisemba5331 2 роки тому +2

    Kazi iendelee

  • @pioado7135
    @pioado7135 3 роки тому +2

    Kaz nzur bro big up san

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 роки тому

      Shukrani sana, usiache ku Subscribe kwa filamu yetu mpya.

  • @zulfajuma1194
    @zulfajuma1194 Рік тому +1

    Hongera sana adam

  • @udymakame5269
    @udymakame5269 2 роки тому +1

    Nakubal kaziiii

  • @shebylove3798
    @shebylove3798 3 роки тому +2

    Naqbl sana brother kazi nzur

  • @vanessalyimo8833
    @vanessalyimo8833 Рік тому +1

    Adamu umenifunza kwa kweli Hawa Wana wake hapanaa

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 3 роки тому +4

    Kwa kweli movies zako Adam ni 🔥 I love it