DAZ BABA AFUNGUKA KUHUSU KULA UNGA, NIMEOKOKA TANGU TUMBONI KWA MAMA YANGU
Вставка
- Опубліковано 25 бер 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 - Розваги
Bro anaongea fact sana, nipeni likes zake huyu mwamba
Hii miziki ya huyu mwamba Daz baba n miziki ambayo haijawai tokea , Yaan namaansha n ngoma kali all the times ❤🎉
Jembe letu bwana Hilo 😍alifanya vizuri sana mpaka nipo gheto nasikiliza elimu dunia
Ila jamaa kama kafanana na alioucisse yule kocha wa Senegal kama Kuna mtu kagundua hlo like hii comment 🤔🤔
Hawa ndo wasanii sasa,,,,content na uimbaji hamna wa siku za leo japo kizazi cha siku hizi wanachojua ni kusifu sifu vitu ili mrad2,,,Dazibaba big up sana broooo❤
😂jamaa ana majibu smart Sana, I like it
😊
Rudiii banaaa Daz we miss you 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wakumshukuru mungu kapata afya na akili imetulia mungu wetu amsimamie vema
Daah Mungu mkubwa..tunakupenda daz..
Tuko pamoja niliwa Saudia Arabia,great job for the East Africa Radio.
Saudi Maeneo gani kaka
Dazz baba nimesha kua mtu mzima mie, sasa naitaji mpenzi wa kuishi nae, kuzaa na kulea watoto na mie.
Huyu jamaa ana hits nyingi na kali kuliko ferouz
Daz Baba você foi um homem que sempre nos deixou feliz na música tanzaniana. Deus abençoe a você e sua família 🇲🇿🇲🇿
Armando
@@hunterdeskeezy7142 Aqui 👍
Sauti bado ipo tena motooooo sana...NIPE TANO
Mwamba huyu hapa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
kipaji cha kweli 🥰💪
Jembe sana , me nakukubali sana mwamba 👍
raha ya kuandika ngoma mwenyew ata miaka 20 lazima utaikumbuka tu huez sahau verse kama yule msanii wao aliyesahau mistari ya kuandikiwa stejin😃😃
Jamaa aliambiwa aimbe Pafyum akashindwa dah
Nani huyo
@@bainolatino3412 rado ausio
Safi kamanda nakubalii mkulugenzii wangu
Safi sana kwa kweli jamaa ana hits kali bas tu madawa
Halafu kwao wala hana choka. Mbaya yupo vizr tuu geti kali nini ilq. Kajiaharibu naulevi
Havuti madawa huyo wewe style ya pombe ikizidi ni inakua too much lakini ni Unga kitu kingine hiki
Aloo Uyu mwamba anajua
SALUTE 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👊👊👊 DAZ BABA
Kiswahili Bhana Jamani Kifo Akiwezi Kumuumbua Mtu Mtu Akifa Aumbuki Kwasababu Kinachokufa Ulie Hai Uwezi Muona Utaona Maiti1 Sasa Maiti Itaumbuka Vipi Mbele Yako wakati Mtu Akifa Aludi Kwa Dunia Tena Mahisha Aya Kigeugeu Unaweza Msema Dazi Baba Wakati Wewe Ujui Mbele Yako Unajisifu Ukiwa Ujui Mbele Yako Unaweza Kua Teja Kuliko Dazi Baba
Heshima saana Mwalimu Daz
Kuna kitu hakipo sawa ila yeye mwenyewe hataki kukubali, muda utaongea
Kweli
✊
#aboi_4rm_makambako maniger faza wetu huyu tunajivunia hiki ni cha kwetu njombe boi mwanetu daz baba
Mtu wa maana kabisa
Hajawah kutokea nahatotokea kama huyu miaka30 mbele
Huyu anaivuta sanaa ukimkuta kwao pale duu😅😅sema nampenda yani ukipita salam kwa sana
Anaivuta nini sasa? .. Acha unafki..
@@noelbryson7840 Wewe fala kweli niongee unafki wanini namjua vizr sana mpqkq ndani kwao nyumba ya baba yangu ipo karibu NA alikiba dada angu yupo karibu nq nyumb yakin dazz baba huyu anashinda nnje kwao kunakibar kidogo kilikuwakinauzwa pombe halafu kikafungwa anashinda hapo nje NA msela. Wenzie kuvuta mda wote sahii nenda utamkuta ukishuka sanene tabata segerea shuka. Vuka. Barabara ongoza ile. Njia kuelekea shule ya tusime mpqkq. Police jamii kata kona upande wakushoto utamkuta nje tuu geti lao jeusi ukiuliza tuu unapeleka mpqkq ndani
Looooohhhhhh kweli maisha yanaenda,,
Namba Nane Is the Best so far na Kamanda
Sema umepoteza brand uyu mwamba kaja na 20parcent mikumi wamekunywa tungi awana ela acha wavutane apo bar 20parcent kapigwa mbaka chupa ya mkono
ananikumbusha utoto wangu sana
Muulizaji anapwaya sana,
Kuzoea kuuliza maswali ya udaku udaku, eti umewai shika sh ngapi.
Tako
Kamanda ...kichwa hiki
mwamba
Wasanii ya siku hizo walikuwa wanafanya vizuri sababu walikuwa wanatembeleana maskani zao na kupeana chalenge sema tu mziki ulikuwa haulipi
Elimu Dunia
Kuna maswala waandishi wanauliza ili kumpima mtu kama at Atoka kwene reli au vipi lkn Kwa Daz naona kajipanga kisaikolojia halafu shule pia imemsaidia form 6 ya zamani sio kama yasasa
Ndipo wazazi wangu walipokaa chin na kufkri japo kuwa mm mkubwa nianze skul
Hapa kapona mbona anang'aa
Waje bana waje tumewa mc bana hawa wakisasa wametuchosha na mapenzi
Madawa kweli yanaharibu sana
Umuli
Elimu DUNIA HATARIII MNOOO
Dah kumbe daz yukonpoa tuu leo wamemkuta hajalewa anaongea poa tuu bado anajielewa tuu
Anafanana na Bob
akuna kitu mm nilimuona tabata teja aswa huyu leo kaoga kavaa kapendeza
Uyu jaama namukubali nyimbo zake hazitatoka kwa hewani
Ngoma zake ninazo mpaka saiv
Unga ni jambo baya sana jamaa ameshindwa kabisa kuacha unga ni ngumu sana
Tatizo ukilikataa inakuwa mbaya
Mwandishi ana maswali ya kiwaki sana huyu hakujipanga kabisa
Daz umeanza kupendeza hongra san
jembe langu tanzaniano
NAWEWE OKOKA KWA NEEMA'
MWANDISHI UNA MASWALI YA KINDEZI
Mond msaidie huyu jamaa
Rasta
Dah huyu jamaa kazeeka na utam wake
Daz ndugu yangu acha kuficha maradhi, kwani kuna siku kifo kitakuumbua. Wewe kubali tu kwamba wewe ni teja ili usaidiwe kupata tiba na baadae urudi upya kutupa burudani yako tuliyoikusa muda mrefu.
Acha unga na utubu maana vijana wengi wanaangamia kwa kuficha maradhi.
Acha kuhukumu, una uhakika gani anatumia hivyo vitu?
Ila ata kama hivyo anaonekana yuko fresh kuliko kipindi cha nyuma anapambana vizuri
Dah bos wng huon km anatumia hayo mambo hapataki toch hapo
Heavy weight
Kila Mtu Anakuja Anaishi Anaenda Kikubwa Kila Mtu Amueshimu Mwenzie Akila Madawa Asile Madawa Kikubwa Jamaa Alileta Fulaa Kwa Vijana Wakale Waleo Na Wakesho Na Hata Milele Amina Hata Ukiwa Teja Lakini Ngoma Zako Tamu Muda Wote Zote Tamu
Sauti bado ipo tena motooooo sana...NIPE TANO
Daz akiri mingi
Mario hawezi kuulizwa atukumbushe alichoimba