ABIGAIL CHAMS - "MIMI SIO MDANGAJI, SINA MPENZI, NIMESHAJIFUNZA KUSONGA UGALI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • ABIGAIL CHAMS - "MIMI SIO MDANGAJI, SINA MPENZI, NIMESHAJIFUNZA KUSONGA UGALI"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #AbigailChams #Closer

КОМЕНТАРІ • 198

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 5 місяців тому +1

    You present Tanzanians artists around the globe 🌎🌍 big up Abbigail

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 10 місяців тому +3

    Wasafi mrudisheni Alya katika utangazaji. Mnakosea sana kunuweka benchi

  • @remarkable_reene
    @remarkable_reene 2 роки тому +26

    yaan amenifurahisha sana reaction yake alipoulizwa habari za cjui kikuku kuhusishwa na udangaji, this is a perfect and clear mindset ya kwamba yupo busy na kufanya mambo yake yanayomwingizia kipato kiasi kwamba hana muda wa kujua upumbavu wanaowaza watu mitaani.

    • @ahz6907
      @ahz6907 Рік тому

      Angekuwa gigi najua asingeulizwa maana ni mambo yake.....🤣

    • @Paplick9
      @Paplick9 Рік тому

      😂😂😂😂😂😂😂 kama vile havimshtui

  • @FatmaMikidadi-uw6pq
    @FatmaMikidadi-uw6pq Рік тому +3

    lov u abby na ni kwl dada

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 8 місяців тому +2

    Napenda kanvyoongea🥰🥰🥰🥰😘😘

  • @kevinmugambi9914
    @kevinmugambi9914 2 роки тому +18

    she is remarkable. I'm officially her first kenyan fan

    • @sheeba8334
      @sheeba8334 Рік тому +2

      I have been looking for this song and the artist
      .. finally...I have never heard of her but am here for it..so mature eloquent...love her.
      And her vocals.. love love her

  • @user-kn5ep9ek6c
    @user-kn5ep9ek6c Рік тому

    Uko vizuri sana, ila tatizo ni moja tu kuvaa uchi na kushikwashikwa na wanaume hadharani dunia nzima inakuona. amua moja kubaki na yesu tu au kubaki na dunia.mama ABY unaonekana hutaki mwana adhalilike , vipi hayo mavazi ya ambayo hayamsitiri mwili wake?

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 2 роки тому +4

    19 ans petite fille 😍😍😍 vizuri zaidi umshukuru mzazi wako alokuweka shule mapema👍🤲🤲🤲

  • @harymo-by8gh
    @harymo-by8gh 2 роки тому +2

    sure i salute you ukipata mtu wa ku vibe nae just vibe tuuu 💕💕

  • @user-fn6sw3ey5r
    @user-fn6sw3ey5r Рік тому +2

    Nakakubali sanaa love u more mummy❤❤

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 2 роки тому +8

    Niliyategemea hayo 🥺 wokovu sio lele mama (yesu n mzito wa pendwa habebeki Ovyo ovyo

    • @giftgodson5603
      @giftgodson5603 2 роки тому

      Hakika

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 2 роки тому +2

      Acha dharau, Kama unaona Yuko dhaifu muombee sio kumsimanga

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 2 роки тому

      Wewe Kama Nani? Watabiri wachawi Kama wewe, eti ulitegemea😳

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 2 роки тому

      @@sheckycobb5240 mimi kama mm.ulitaka niwe vp.alafu mchaw mwenyewe

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 2 роки тому

      @@sheckycobb5240 hata wewe unaweza kumuombea huna imani au.kuwa na hakili wewe mazingira yanachangia Sana kuleta vishawishi.umeokoka halafu inaenda baa utadanga tu 😒

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 2 роки тому +13

    this girl is 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @GodloveAntares
    @GodloveAntares 28 днів тому

    abby anajua sana kuimba

  • @beautifulafrika
    @beautifulafrika 2 роки тому +15

    New Vanessa in Town 🤗🥰

  • @nassoropigauwa2503
    @nassoropigauwa2503 2 роки тому +4

    Daaaaaah kweny mia nasikia moja anaongea uyu duuuuh😀😀😀😀😀😀

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 2 роки тому +14

    No one should judge her, unless u are God, however, she's just a young girl who wants to experience the world she is a lost Christian but God still loves her. And we pray that she goes back to Jesus.

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 2 роки тому +6

      You judged her already said she is a lost Christian!

    • @shau78
      @shau78 2 роки тому

      @@johnmichaellukindo21 saying the status of someone's Christianity is not judging. it is like when you are driving. if you are not on the right lane that is quite clearly visible.

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 роки тому +2

      @@shau78
      Whichever way you're trying to twist it, it's still judging.

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 Рік тому

      @@unclepwechnov1381 So tell us how you will say then!

    • @ndimubhanziteze5842
      @ndimubhanziteze5842 Рік тому

      Eimen

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Рік тому +3

    Huyu dada ana ishi maisha tofauti na sisi wengi😂😂😂 hajui neno kudanga

  • @josephswai921
    @josephswai921 2 роки тому +15

    She is very impressive

  • @RukaiyaShaban-zk8pg
    @RukaiyaShaban-zk8pg Рік тому

    napenda sana mwana music msomi kama wwe😘😘

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 2 роки тому +8

    Tunahitaji mwana music msomi kama wewe. Dada mzuri sana

    • @bekatv1009
      @bekatv1009 2 роки тому +1

      Kuongea kizungu haimaanishi ni msomi mamaa

    • @FatmaMwinyi-jt2rr
      @FatmaMwinyi-jt2rr Рік тому +1

      ​@@bekatv1009Ongea na ww bila kusoma mbona kama imekukera Kingereza mchezo

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 Рік тому +1

      @@FatmaMwinyi-jt2rr 😂😂😂😂😂fatima umeuwa unamauwa yako mbinguni mama kizungu mchezo 😂😂😂😂😂

  • @adinasii
    @adinasii 2 роки тому +8

    UnaOngea harakaaaaa duhhh

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 2 роки тому +4

    Kama kuna wadada mchaga anawazimia hapa Tanzania huyu hapa number1

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 2 роки тому +6

    Abby i love you so much don't listen to people do your life and follow your dreams always stay true to your self bcz watu wataongea lakn ukwel unaujua mwenyew

  • @veronicamgeni9414
    @veronicamgeni9414 11 місяців тому +1

    She is very smart

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 Рік тому +2

    You are my strong woman I love what you do

  • @jlove5238
    @jlove5238 2 роки тому +6

    I think media is putting too much pressure on her to an extent she's been exposed to things she actually never cared. Imagine sasa anklet/kikukuu it's a just a body make up or accessory lakini watu kila mara ooh uko na mahusiano ooh uko na mdangaji that's not profession guys yaani interview yoote umbea tu .
    why not supporting her na kuuliza kuhusu kazi zake watu wapate wapi kumsapoti and all kinder stuffs, gladly she's having a very strong foundation on what she believes, hope media spotlights won't confuse her in anyway. God protect her 🤍🫶🏾

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 2 роки тому +37

    She has a colonial mind. Being a community member of a certain people, language is identifying factor. But yes, you have to disown who you are for you to be a little bit fashionable or uniquely accepted in certain society.
    On the other side, watanzania ni watu flani wanaojudge watu sana, mwonekano wa mtu, maisha ya mtu, maamuzi ya mtu kwenye maisha etc. Watanzania tuna ushamba mwingi sana wa kutaka mtu aishi vile tunavyoona ni sahihi machoni petu. Kitu ambacho sio nzuri. Tuna tamaduni zetu hapa Afrika za kuvaa mikufu, ushanga na haina maana hiyo hasi ambayo hii jamii hasi imejiaminisha nyakati za sasa.
    Anyway all in all kama asemavyo babalevo, yote ni maisha na kila la kheri

    • @samiraabdimahamed4449
      @samiraabdimahamed4449 2 роки тому +1

      Yaani mpaka mi ndio naona aibu yaani wanakataa tamaduni zao mpaka lugha zao .
      Kuna wakati waziri wa uvivu alikuja TZ yaani alikuwa akiongea kichana chake nyie wenywewe mlete mkalimani wa kiswahili , yaani hiyo inaonyesha vile lugha zao, majina yao vyakula vyao kwamba ni muhimu sana

    • @sirialemmy37
      @sirialemmy37 2 роки тому +2

      @@samiraabdimahamed4449
      Huwezi kukataa asili.
      Kusoma ni kustarabika na kutafuta namna ya kujiunga na jamii yako zaidi. Sisemi kingereza ni kibaya hapana ila kuwa mtanzania inajumuishwa na tamaduni zake, kanuni zake na mila pamoja na desturi zake. Ila utumwa na ukoloni umemwadhiri zaidi mtu mweusi kisakolojia katika kiwango cha yeye kujikataa zaidi.
      MalcomX alilalamikia chuki iliyoko kwenye Black Community wanaolimana marisasi na kukataa asili yao ya uweusi. Fratoz Fanon aliandika kitabu kinachoitwa Black Skin White Mask, hii kitabu kimemwonesha msichana mmoja aitwa Mayote Kapsia anayejidai kuwa yeye hatataka kumdate mtu mweusi, hatawahi mkumbatia wala kumbusu mtu mweusi lakini yeye msungumzaji ni MWEUSI KAMA MKAA!
      Ndio maana Walter Rodney aliandika pia, wimbo unaimbwa London, Paris na Newyork ila mtu aliyeko Legos, Kampala, Nairobi na Dar wako busy wakiicheza balaa! Fikria logic in it.
      Mungu aione tuu Afrika kwa jicho la huruma. Ndio maana Ngungi wa Thiong'o aliandika kitabu kiitwacho REMEMBERING AFRICA, na kingine DECOLONIZING THE MIND!
      Tuna ujinga mwingi sana!

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 Рік тому +1

      @@samiraabdimahamed4449 sio kweli Hawa watoto wanaanza kujifunza kingereza watoto wadogo sana anakua ni kama lugha yake hawezi kuongea sentensi bila kuongea kingereza.mimi mwanangu anamiaka nane lakini kiswahili anaongea na kumix na kingereza Sababu ameanza mdogo sana so akifika umri huo nadhani atakuwa Ivo

    • @Silvia-su2vg
      @Silvia-su2vg 5 місяців тому

      True

  • @NaphyMacmillan-jh3vc
    @NaphyMacmillan-jh3vc Рік тому

    Kwaiyo ww ujawahi kudangaa Dada acha uongo mungu anakuona

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 2 роки тому +7

    MAMA USIWASIKILIZE TAFUTA PESA KWANI UKIWAAMBIA WAKUPE PESA HAWATAKUPA? JIBU NI HAPA..
    PIA USIPANGIWE NAMNA YA KUISHI

  • @rehemambedule7531
    @rehemambedule7531 9 місяців тому

    Wakenya wanasema watanzania 😂❤hatujui kingereza hiki ni nini

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 2 роки тому +7

    Kila kitu Kiko sawa
    Ila hiyo speed ya kuongea ni kutoka sayari ya Mars...

  • @juliethfrancis7799
    @juliethfrancis7799 2 роки тому +12

    Kikuku!?kichiken!?😂 Interview ya huyu mtoto kila wakati inaradha mpya.Nakupenda little sis

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 2 роки тому +4

    Brava cute girl

  • @rebeccalyimo4707
    @rebeccalyimo4707 2 роки тому +8

    Very impressive young girl

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 2 роки тому +6

    Dada kameza CD

  • @starmakervideos1984
    @starmakervideos1984 2 роки тому

    hamna noma.

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 2 роки тому +2

    Kazuri kajanja sana

    • @rayanndizeyes3161
      @rayanndizeyes3161 2 роки тому

      Iyo ni watoto waleo wakisoma izo luga wanaujaja sana ,walimu wanawafuza mambo yote bila kuwafisha, iyo nikawaida nikurukaruka tu.utudu tuko naho ulaya wegi

  • @rithamabdulrahman2648
    @rithamabdulrahman2648 Рік тому +1

    Ila Abbay alisema anataka kuwa pediatric cardiac surgeon what happened mpaka amebadilisha kusoma businesses and finance can she please tell us

  • @praxedamzena3712
    @praxedamzena3712 6 місяців тому

    Interview ya kimbea sana😢

  • @reganshao
    @reganshao 2 роки тому +4

    You know kikuku😀😀😀😀

    • @biancashamra1761
      @biancashamra1761 2 роки тому +2

      Chicken 😹😹😹😹😹😹

    • @reganshao
      @reganshao 2 роки тому +2

      @@biancashamra1761 yan nimecheka mno😀

  • @taitadollnicky273
    @taitadollnicky273 2 роки тому

    Kanajua kujieleza Sana🥰

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 роки тому +1

    Ongea taratibu kidogo.....!!!!

  • @nameless533
    @nameless533 2 роки тому +12

    Katoto kanaongea kiswahili kwa tabu sana.

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 2 роки тому +1

    Unamuacha Yesu .......pole sana

  • @adinasii
    @adinasii 2 роки тому +4

    Sema umechangamkaa

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 2 роки тому +6

    Tunakupenda sana .tunapenda mziki wako . Tatizo katika kuongea uwe unaongea umetuliya apana kurapuwa 👈 ongea umetuliya kama mtoto wakike .usiwe kama HAMISSA MOBETO 😋😋😋

  • @thepurpleonlinetv8630
    @thepurpleonlinetv8630 Рік тому

    Very smart

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 2 роки тому +3

    Huyu mtt mstaarabu mana interview za kwetu hata maji huekewi utapaliwa mpaka ujambe hakuna maji wala juice juu ya meza

  • @lisaulimali-be9dd
    @lisaulimali-be9dd Рік тому

    Abigail Wewe sio mwimbaji wa bongo Wewe Ni mwimbaji wa dini

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 2 роки тому +2

    Unaonea kama wafaransa . Mbiyo mbiyo kama mwenye kachelewa gari

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 2 роки тому +1

    Anaongea speed sana but smart

  • @elizaeliza4369
    @elizaeliza4369 2 роки тому +11

    nakapenda ila kwa jinsi ulivyojichanganya mambo yako sikubali na maono yako

  • @EmanuelNicholaus-ru6bt
    @EmanuelNicholaus-ru6bt 5 місяців тому

    Jamani kiswahili sihiko unaongea wasanii mma mbwembwe duuh

  • @zuberiabdalah5056
    @zuberiabdalah5056 Рік тому +1

    kwakwer kanaongea point tu

  • @markwafula2282
    @markwafula2282 Рік тому

    Uyu ni mkenya au tz?..

  • @Cariz90
    @Cariz90 Рік тому +1

    Interesting people to be clear 😅

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 роки тому +3

    Demu anaongea kwa kiingereza kwa jazbaaa hadi mtangazaji mchaga OG anatoka jasho anajifutaaa

  • @athanasjoseph9529
    @athanasjoseph9529 Рік тому +2

    MUNGU anajitegemea na hajachanganywa na stuffs nyingine zozote. Kama ukiamua kuwa moto kuwa moto kweli kweli na kama unakuwa baridi uwe baridi kweli kweli. 😂😂😂😂

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 2 роки тому +2

    ni mzur lkn mavaz yko na unavyojiweka inavunja ile utu wako unakaa uchi mm sion km umejistir yani unaonekana muhun kweli mungu hakupi vyote waswahili wamesema hvo

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 2 роки тому +1

    😍😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰😍😍

  • @wing9762
    @wing9762 Рік тому +1

    Unasema huna mpenzi unavyoshikwa kwenye video huko upati nyege

  • @kulway4669
    @kulway4669 2 роки тому +1

    hata kama

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 2 роки тому +9

    Sidhani kama ni sawa kupost vile na unaongoza worshiping unapokuwa na kanisani. Wakristo tusifanye ukristo kuwa mwepesi sana. Ina maana utembee uchi halafu useme mi sina boy friend?

    • @remarkable_reene
      @remarkable_reene 2 роки тому +3

      jamani sasa kutembea uchi kuna husiana nn na kuwa na boyfriend?? Mtu akiamua kukaa uchi hata awe na boyfriend au la atakaa tu uchi muwege mnajitahidi kufikiri kabla ya kutoa hoja hahahahaaaaaa

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 Рік тому +1

      In other side I can support you, Iam not perfect either so I can not judge anyone. Lakini kuwa mkristo halisi inahitaji kujitoa asilimia 100%.
      Wakristo wengi now tunakuwa vuguvugu (warm) not hot or cold. Hili kweli sio jambo zuri, ila ndo hivyo Kila mtu na maamuzi yake, Ndo maana hata Abby ukimsikia anasema "Mbinguni nitaenda Peke yangu" kwa hiyo Kila mtu anajua anachokifanya.

  • @patrickndayishimiye9451
    @patrickndayishimiye9451 Рік тому

    nauliza kipindi kilikuwa chakiswahili ao kingereza naomba kutafsiriwa

  • @naomiqueenelizabeth5069
    @naomiqueenelizabeth5069 2 роки тому +1

    Jmn yani kwenye mia nime elewa moja 2 , khaa ongea kama mtoto wakike Aby

  • @josephchiluka9357
    @josephchiluka9357 2 роки тому +5

    Nakipenda hiki

    • @mmn7480
      @mmn7480 2 роки тому

      😁😁😁sijependa

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 2 роки тому +1

    Wewe mishgaa

  • @abinelikagezi9217
    @abinelikagezi9217 2 роки тому +11

    Hii nayo kenge tu kama kina Paula UTOFAUTI ni elimu...hii imesoma Paula kichwa maji( mbumbumbu)

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 2 роки тому +3

    Huyu ni muongo anajua kikuku vzr na mdangaji. Lazima amekutana na hayo maneno mtandaoni.

    • @millymilly7244
      @millymilly7244 2 роки тому

      😂😂

    • @isunga1964
      @isunga1964 2 роки тому +3

      Kikuku ni urembo tu mpendwa nilikuwa naogopa kuvaa lakini sasa hivi navipenda sana

    • @FatmaMwinyi-jt2rr
      @FatmaMwinyi-jt2rr Рік тому

      unamjua kumbe hatar yaan kuna watu bwana

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 2 роки тому +4

    bwana kingeleza kingi sana yani sijaelewa k2 utazan umetusomesha wewe kwan wewe sio mtanzania

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому +4

    😂😂😂😂😂 Kina itwajae kwa kingereza 😂😂😂 Kikukuuuuuuu 😂💦😂💦

  • @wairimu9113
    @wairimu9113 Рік тому +1

    Kama bintiye Christina shusho 😊

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 2 роки тому +4

    Yani mtangazaji adi akumbuki maswali mengne kwa kuchanganywa na hii cheleani ya English

  • @saudamayowela7636
    @saudamayowela7636 Рік тому

    Kwani hajui kiswahili,nahisi kuumizwa maskio hivo anavoongea

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 роки тому

    Anatuchoshaaa na kizunguuu

  • @omarymhina6268
    @omarymhina6268 2 роки тому +5

    Kininda iki anaongea kma mashine

  • @bestonmambo2623
    @bestonmambo2623 2 роки тому +5

    Closer video is coming soon x harmonize

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 роки тому

    Ndio anakuwa 19 yrs akionja boloconsss atao na utam atakuwa kama Gigy

  • @Binti-wakinyakyusa
    @Binti-wakinyakyusa Рік тому +1

    Akikuwa ataacha!!! Atamrudia mungu.. bado teenager…

  • @bakthirian
    @bakthirian Рік тому

    Kwani dini ya kikristo inaruhusu mtu kuvaa nusu uchi na kushare na watu picha kama hizo?….naomba kufahamu hili tafadhali

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 2 роки тому +1

    Tatizo ngeli nyingi

  • @pendokileo7882
    @pendokileo7882 Рік тому

    Mkuku😃😀😃😀what is mkuku???

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo Рік тому

    Married to work

  • @emmanuelenock6310
    @emmanuelenock6310 2 роки тому

    Tutafute hela tuu.

  • @irenedamas4806
    @irenedamas4806 2 роки тому +3

    Unaongea kama mzaramo😂😂😂au ume share ndugu uzaramoni lakini unaongea umechangamka mpaka raha

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 роки тому

    Huyu naye atupishe

  • @magrethmhando5966
    @magrethmhando5966 2 роки тому +1

    Mbona wa masai wanavaa vikuku na hawaitwi wadangaji ndo kwanza mnawataka wavae kama sehemu ya kupresent tamaduni also wahindi wanavaa vikuku pia people are ignorant.

  • @RechoMsuya-fq1yp
    @RechoMsuya-fq1yp Рік тому

    Hv huyu ni mtanzania au

  • @user-bu3fc7fz5r
    @user-bu3fc7fz5r Рік тому

    😂

  • @user-uc8ei8kn3l
    @user-uc8ei8kn3l Рік тому

    Anaongea englesh mtangazaji anashindwa kuhoji make aelewi

  • @neemasamwel8968
    @neemasamwel8968 2 роки тому +1

    😂😂

  • @iambaizo
    @iambaizo 2 роки тому +3

    Mezaga mate na wewe utakuja kupaliwa !

  • @danreborn8231
    @danreborn8231 Рік тому

    Huyu anatoa Paula nje mara ishirini

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 Рік тому

    Kenge maji wewe

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 2 роки тому +1

    Akuna kitu apo anajishahuwa tu uyo

  • @johnnytravo
    @johnnytravo 2 роки тому

    Mwanamke anastahili heshima
    ua-cam.com/video/iYjijfV-YRw/v-deo.html

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 Рік тому

    Anaongea duh

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 Рік тому

    Unaongea haraka

  • @januarykasongo9298
    @januarykasongo9298 2 роки тому +2

    Mtangazaj kaishiwa had pozi..dada anaongea kama upepo