Mashaallah alhamdulillah nimefanya zikir moja kati ya izo ulizotufundisha alhamdulillah leo nimepata majibu ALLAH AKBER mungu akulipe kher sheikh wangu nakupenda kwaajili ya ALLAH
@@sistertrashid2488 asalam aleykum sister t yaan hiyo dua unaisoma pindi umemaliza kuswa swala yoyote eiza ya dhuhur , alasir magharib ishaa au alfajir na wakati huo ushamaliza kuswali na umeshasoma dhikir SUBHAN ALLAH , ALIHAMNDU LILLAH, na ALLAHU' AKBAR hapo unakuwa ushamaliza swara harafu unasoma hizo au waweza kuzitaja mahara popote pasafi nifahamishe
Ma sha allah sheikh , Ahsante sana kwa kutupatia hazina ya dunia fil akhera, Allah S.W akupe umbri mrefu, wa afya nzuri na furaha, akupe jannah firdausi - AMIN DUA YA NABII MUSSA (A.S) : QUR-AN 28 Surah Al-Qasas Ayat 24 Rabbi inni lima anzalta ilayya min khairin faqir ("My Lord, Truly I am in need of whatever good You Bestow on me ") Mola wangu Mlezi! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri utakayo niteremshia. DUA YA NABII AYYUB (A.S ): QUR -AN 21 Surah Al-Anbya AYA 83 Annii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin or ( Rabbi innii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin ) "Indeed, adversity has touched me, and you are the Most Merciful of the merciful." Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu. DUA YA NABII Zakariya ( A.S ) QUR-AN 21 Surah Al-Anbya AYA 89 rabbi la tatharnii fardan waanta khayrul warithiin "My Lord, do not leave me alone [with no heir], while you are the best of inheritors." Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi. DUA YA NABII ADAM (A.S): QUR-AN 7 SURAH AL-A`RAF AYA 23 rabbana thalamna anfusana wain lam taghfir lana watarhamna lanakoonanna mina alkhasiriin "Our Lord, we have wronged ourselves, and if You do not forgive us and have mercy upon us, we will surely be among the losers." Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika wenye kukhasirika.
@@saadabulanga6440 DUA YA NABII AYYUB (A.S ): QUR -AN 21 Surah Al-Anbya AYA 83 Annii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin or ( Rabbi innii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin ) "Indeed, adversity has touched me, and you are the Most Merciful of the merciful." Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu. DUA YA NABII Zakariya ( A.S ) QUR-AN 21 Surah Al-Anbya AYA 89 rabbi la tatharnii fardan waanta khayrul warithiin "My Lord, do not leave me alone [with no heir], while you are the best of inheritors." Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi. DUA YA NABII ADAM (A.S): QUR-AN 7 SURAH AL-A`RAF AYA 23 rabbana thalamna anfusana wain lam taghfir lana watarhamna lanakoonanna mina alkhasiriin "Our Lord, we have wronged ourselves, and if You do not forgive us and have mercy upon us, we will surely be among the losers." Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika wenye kukhasirika.
Wandamu tuna matatizo sana ......sasa mtu kwa mfano ana dislike mawaidha kama haya anahitaji nini sasa katika dunia hii....hao ndio makafiri wenyewe la'anatullaahi alayhim...sheikh othmani michael allah akuweke tuzidi kustafiid na mawaidha yako baaarakallaahu fiykah
Yaani mungu anakulipa mara nyingi sababu unatupa faida nyingi sababu ata kama mtu ajui kusoma surat furani lazima atajifunza mungu akulipe kwa hilo pia sababu unatupa faida nyingi tunajua na kusoma Quran sasa shukran kasillah
Mashallah Mashallah Mashallah,Jazzaka Allahu kheyr cna budi na mm ni comment tu coz zlikua 199 na mm ya kwangu itakua ya 200 Inshallah Allah atufanyie wepec ktk kila zto kwa sote waislamu inshallah 🤲
Maashaaallah shekh wetu Othman Michael Mwenyezi Mungu azidi kukuweka ili tuzidi kunufaika na elimu yako na akuongoze vyema wewe pamoja na familia yakooo na baraka telee🙏🙏
Mashaalah ❤❤ nakupenda shke kwa ajili ya ilmi ya kutupa taufig shke osman alaah akupe maisha marefu inshaalah.wabilahi taufiq mashaalah alaah akulinde na hasan inshaalah.
Mashallah Allah akupe mwisho mwema akupe uhai akupe hitaji la moyo wako na yapenda sana mawaidha yako Allah ka kujalia kipaji Allah atujalie nasi kizazi chetu
Asalamu alaykum...kwnz mungu akupe kheri dunian na akhera pili shekhe wangu nilikuwa naomba hivi n kwnni hzo adhikraa usizionyeshe hapo kwenye screen Tena kwa tafasiri ya kiswahili maana wapo wengine hawajasoma dini ipasavyo hvyo kwa Hilo huenda likawasaidia kwa namna moja ama nyingine inshaallah
Mashallah Shekhe kiukweli kupitia chanell yako wotee hapa na familiar yangu tunafanya ibada sana baada yakusikiliza mawaiza yako inshallah mungu akuzidishie
Assalam alykum...Shukran sana nakufatilia nikiwa Kenya napenda sana vile unaongea kwa utaratibu na makini sana MashaAllah unamshabihi Sheikh Othman Maalim kidogo namna unavyo ongea j azakumullahu khairan
Masha Allah Allah akulipe kheri insha Allah kwa mafundisho mazuri na Allah atujalie tuwe miongoni mwa wenye kuyafanyia kazi insha Alla wallahi hiyo adhkar ya laila haila llah subhanaka inni kuntum minadhwaalimin inanisaidia mambo mengi kwa utukufu wake muumba Alhamdulilah sina shaka na dini yangu
Jazakalahu kheir Allah akupe jannahtul firdhows
Mashaallah alhamdulillah nimefanya zikir moja kati ya izo ulizotufundisha alhamdulillah leo nimepata majibu ALLAH AKBER mungu akulipe kher sheikh wangu nakupenda kwaajili ya ALLAH
Assalam alaykum naomba uniambie zikri gani hiyo mwenzetu ulosoma na kufanikiwa
@@mwanaidiramadhan3919 alaykum msalam warhamatullah wabarakatu LAA ILLAH ANTA SUBHAANAKA INNI KUNTU MINAZALIMINI nilisoma mara 110 habibti kisha nikamuomba ALLAH nilifanikiwa alhamdulillah
@@sistertrashid2488 mashaAllah
Ahsante Sana sister t rashid jazakallahul kheyr
@@sistertrashid2488 asalam aleykum sister t yaan hiyo dua unaisoma pindi umemaliza kuswa swala yoyote eiza ya dhuhur , alasir magharib ishaa au alfajir na wakati huo ushamaliza kuswali na umeshasoma dhikir SUBHAN ALLAH , ALIHAMNDU LILLAH, na ALLAHU' AKBAR hapo unakuwa ushamaliza swara harafu unasoma hizo au waweza kuzitaja mahara popote pasafi nifahamishe
Lailaha illa anta subhanaka inniy kuntu minadhdhwalimiyn
Shukran ya sheykh
Jazakallahu khayra
Shukran
Ali
Ya Allah mlipe kheri duniani na akhera ustadh Othman Michael ameen ameen ameen
Yaa ALLAH mlipe kila la kheri duniani na akhera ustadh wetu othman Michael
Allahumma Ameen yaa Rabb
Aamin
Ameen
Amiin
Shukran ustadh Allah akubariki kwa mawaidha
Ma sha allah sheikh , Ahsante sana kwa kutupatia hazina ya dunia fil akhera, Allah S.W akupe umbri mrefu, wa afya nzuri na furaha, akupe jannah firdausi - AMIN
DUA YA NABII MUSSA (A.S) : QUR-AN 28 Surah Al-Qasas Ayat 24
Rabbi inni lima anzalta ilayya min khairin faqir
("My Lord, Truly I am in need of whatever good You Bestow on me ")
Mola wangu Mlezi! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri utakayo niteremshia.
DUA YA NABII AYYUB (A.S ): QUR -AN 21 Surah Al-Anbya AYA 83
Annii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin or ( Rabbi innii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin )
"Indeed, adversity has touched me, and you are the Most Merciful of the merciful."
Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu.
DUA YA NABII Zakariya ( A.S ) QUR-AN 21 Surah Al-Anbya AYA 89
rabbi la tatharnii fardan waanta khayrul warithiin
"My Lord, do not leave me alone [with no heir], while you are the best of inheritors."
Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi.
DUA YA NABII ADAM (A.S): QUR-AN 7 SURAH AL-A`RAF AYA 23
rabbana thalamna anfusana wain lam taghfir lana watarhamna lanakoonanna mina alkhasiriin
"Our Lord, we have wronged ourselves, and if You do not forgive us and have mercy upon us, we will surely be among the losers."
Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika wenye kukhasirika.
asante kwa kuiandika dua hii kumsikiliza shehe inakuwa shida Allah akulipe inshaallah
asante kwa kuiandika dua hii kumsikiliza shehe inakuwa shida Allah akulipe inshaallah
othman omari shukrani kwakuandika dua hii kumsikiliza shehe kidogo inakazi kweli kuinasa,dua 4 mwisho kabisa nimeshindwa kuiandika.
@@saadabulanga6440 DUA YA NABII AYYUB (A.S ): QUR -AN 21 Surah Al-Anbya AYA 83
Annii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin or ( Rabbi innii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin )
"Indeed, adversity has touched me, and you are the Most Merciful of the merciful."
Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu.
DUA YA NABII Zakariya ( A.S ) QUR-AN 21 Surah Al-Anbya AYA 89
rabbi la tatharnii fardan waanta khayrul warithiin
"My Lord, do not leave me alone [with no heir], while you are the best of inheritors."
Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi.
DUA YA NABII ADAM (A.S): QUR-AN 7 SURAH AL-A`RAF AYA 23
rabbana thalamna anfusana wain lam taghfir lana watarhamna lanakoonanna mina alkhasiriin
"Our Lord, we have wronged ourselves, and if You do not forgive us and have mercy upon us, we will surely be among the losers."
Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika wenye kukhasirika.
shukran kk kwa kuziandika dua Izi inshaallah mola akujaalie kila la kher
Allah akupe nguvu na afya Sheikhe wetu wallah tunashukuru sana mnoo hujui tu jinsi gan unafusaidia kwenye maswala ya kujifunza katika dini yetu
Wandamu tuna matatizo sana ......sasa mtu kwa mfano ana dislike mawaidha kama haya anahitaji nini sasa katika dunia hii....hao ndio makafiri wenyewe la'anatullaahi alayhim...sheikh othmani michael allah akuweke tuzidi kustafiid na mawaidha yako baaarakallaahu fiykah
Amin
Mashaallah sheikh
Manshallah
Swadqata hao ni makafiri
Yaani mungu anakulipa mara nyingi sababu unatupa faida nyingi sababu ata kama mtu ajui kusoma surat furani lazima atajifunza mungu akulipe kwa hilo pia sababu unatupa faida nyingi tunajua na kusoma Quran sasa shukran kasillah
Maashaallah tabaraqallah..shukran kwa Darsa sheik wetu..allah akuzidshie umri mrefu inshallah
Mashaallah shekh kwa elimu yako
Amiin
Masha Allah
Mashallah Mashallah Mashallah,Jazzaka Allahu kheyr cna budi na mm ni comment tu coz zlikua 199 na mm ya kwangu itakua ya 200 Inshallah Allah atufanyie wepec ktk kila zto kwa sote waislamu inshallah 🤲
Mashaallah Allah akuongoze
JazzakalahU khayra sheikh wetu allah akuzidishie kwa kutumbusha yalo mazuri inshallah🙏
Maashaaallah shekh wetu Othman Michael Mwenyezi Mungu azidi kukuweka ili tuzidi kunufaika na elimu yako na akuongoze vyema wewe pamoja na familia yakooo na baraka telee🙏🙏
Isha Allaha mola akupe umri mrefu kwa zawadi ulio tupatia na akujibu pia duwa zako , na akulipe wema wako🤲 Amiin.
Masha Allah sheikh Authuman kwa kutufunza hizi Adhkar.. shukran Sheikh wetu lnsha Allah mungu akubareek wewe na familia yako..Ma Salam
Amin Amin
Shukran sheikh wetu Allah atufanyie wepesi tuwe wepesi wenye kufanya adhkara
Mashaalah ❤❤ nakupenda shke kwa ajili ya ilmi ya kutupa taufig shke osman alaah akupe maisha marefu inshaalah.wabilahi taufiq mashaalah alaah akulinde na hasan inshaalah.
Mashaa Allah Tabaraka Rahman.Allah akupe umri mrefu wenye kheir na Baraka.
Ameen
Jazzakumullah khairy,, Allah akuhifadhi duniani na Akhera sheikh wetu unaeleweka
Jazak Allah khayran kwa faida muhimu Sana ❣ BAARAKA LLAHU LAKA FII AHLIKA WA MAALIKA
Naomba uniandikiye kwa taratibu hizi dhikir na wakati wake
Jazak allah
Assalam alykum
52710094
Assalam alykum
52710094
Assalam alykum
52710094
Mashallah Allah akupe mwisho mwema akupe uhai akupe hitaji la moyo wako na yapenda sana mawaidha yako Allah ka kujalia kipaji Allah atujalie nasi kizazi chetu
Amiin yarabi
Alhamndulillah shekhe Allah akuzidishie umri uendelee kutupa dawaa
Shukraan sana shekh wetu tunakupenda kwa ajili ya Allah
Shukran sheikh kwa mawaidha sheikh, Na kwa dua hizo sheikh ... inshalah kila la kheli sheikh allah akuzidishie sheikh inshalah.
Mashaallah Allah mlipe kl LA kheir sheikh Othman Michael na mzidishie umri mrefu wenye kher nae Ameen Ameen
A w w Allah akuhifadhi siku hizi mm nashukuru kuna duwa na adhkari nimejifunza kwako shukran Allah barik
Alhamndulillah Alhamndulillah Alhamndulillah ya Allah
ITTAKI LWAHA HAITHU MAAKUNTA -MUOGOPE MWENYEZI MUNGU pOPOTE ULIPO . RAWAHU TRIMIDHIYU.
Mashaallah shukran mwenyezi mungu akulinde sheikh wetu wallahi unatugaia faida mungu akulipe kher twakuombea kher wallahi
Mashaallah nakukubali sn sheikh Allah akulipe kl LA kheir fidunia wal akhera ishaallah
Masha Allah mungu akulipe kheri kwa elimu unayo tupa insha allah
Asalamu alaykum...kwnz mungu akupe kheri dunian na akhera pili shekhe wangu nilikuwa naomba hivi n kwnni hzo adhikraa usizionyeshe hapo kwenye screen Tena kwa tafasiri ya kiswahili maana wapo wengine hawajasoma dini ipasavyo hvyo kwa Hilo huenda likawasaidia kwa namna moja ama nyingine inshaallah
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Alhamdulilah tunakushukuru shekhe wetu mungu akuzishie' kheri insha allah
Nimeshtuka kutolewa tasbih dah lailaha illaanta subhanak innikuntum minadhwalimiin , 😍😍😍
Mashallah wallah ALLAH gives you jannat Firdausi
MashaaAllah.shukran jazeelan sheikh darsa zuli sana.Allah barik fik
Othman maalim na othaman Michael wote kutoka tz.. Asante Allah kwa elimu uliyowapatia ..by shabaaz nour
Subhanallah mashallah udtadh
Shukran jazakallah kheri.Niko Kenya napenda sana darsa zako
Mashaallah shukran sana shekhe wetu tume jifunza mengi sana ambayo hatukuwa tuna yajuwa Allah akuzidishie
Mashallah shukrain sheikh wetu allah akujalie afya njema akuifaidhi allahuma meen🤲
Baraka llah fii ahlika wamaalika jazaka llah feeq Allah akulipe kheri inshallah kwakutupa mafaida makubwamakubwa pia tuombeane du'a kwaajiri yake Allah..!!!
Shukran al akhy,na in sha Allah Mungu akupe jaza njema
Mashaallah shukran Allah akulipe kheri tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
Ustadh Allah akupe jannahtul firdhows
Shukran sheikh tabarak Allah. Nimejifunza mengi.
Wallah siichoki kuisikiliza hii crip Allah akulipe khery inshaallah
Shukran shekhe Allah akulipe kheir nyingi InSha'Allah
xxx
Shukran Sheikh wetu mpendwa Othman nakupenda kwa ajili ya Allah
Shukrani shekhe letu mungu akulinde. Na kila shari naakupe umri mrefu ln. Shaallah
Allah akuongezee umri uzidi kutupatia ilmu
Sub hanallah.... shukran kwa darsa . LAKO
Shukran sana Shehe Othman Kwa da rasa Allah akuzidishe kheri na hekima
Mashallah shekhe wetu shukran sana kwa swadaqa yko kwetu hakika tumeipnda na itatufaa
JazakaAllahu lkheir shekh!
MashaAlla Allah akubarw sheikh wetu
alhamdulillah jazakahllahu khayran sheikh othmani michael wallah nimefanya dhikri moja wapo hapo imenisaidia alhamdulillah
Masha allah asant san mwalim wetu mungu akulipe
Wa alaykum salaama wa Rahmatul Llahi wa barakatuh Sheikh Othman Michael kwa kudufundisha duwa nzuri tofauti tofauti. Wa jazaka LLAHUL khayra.
Maa shaa Allah jazaka Allah kheir sheikh tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
Shukuran sheh wangu
Ma sha Allah ,tunakuombea kheri,Allah akupe umri mrefu kwenye kheri na akulipe janatu Firdaus ksho akhera
Mashallah skukran Allah akulipeni duniani na akhera.
Shukra sana sheikh Mola akubariki n atakabali kila dua unayoiomba pmj n familia yk in sha Allah🤲
Shukran Sheik ❤
Sheikh zidi kutufunza Allah atakulipa mazuri in shaa Allah
Tunakufwata from🇷🇼
Ali
Jazzakhallahu khayran may Allah bless you Ameen
Shukran mwalim othman michael
Allah akukubari duniani na kesho akhera shekh
Amiin yarabi
masha alhamdulilla jazak Allahhu keran
Mashallah Shekhe kiukweli kupitia chanell yako wotee hapa na familiar yangu tunafanya ibada sana baada yakusikiliza mawaiza yako inshallah mungu akuzidishie
Inshaallah shukran sana shkh, Allah akuongezee
MaashaAllah tabaarakallah ,jazakallahu khaira ustadhi
Shukran shukran sana ustadh jazakallahu kheir namola akubarik kwa kutuelimisha kiasi kikubwa sana.waumiao niwengi umetuokoa sana
Allah akujaze kheri akuongoze kwenye elimu upate kutuelimisha tunashukuru tunaelimika sana
Assalam alykum...Shukran sana nakufatilia nikiwa Kenya napenda sana vile unaongea kwa utaratibu na makini sana MashaAllah unamshabihi Sheikh Othman Maalim kidogo namna unavyo ongea j azakumullahu khairan
Shukran jazeelan jazak Allah khayran 💕 ♥️ ❣️ ❣️ ❣️ ❣️
MashaAllah shukran
Aallaah tupe mwisho mwwema yarab
Maashaashallah maashaallah shekh Allah akuhifadhi
Alhamdulillah Allah akuhifadh sheikh wetu,uzidi kutuelimisha
Mashaaallah tabarakallah shukrani Sana shekh
Mashaa allah allah akulipe kila la heri mawaidha yako nikiyasikikiza nafsi hupata utulivu alhamdulillah
Mash'Allah ! Shukran
Asalam alaikum
52710094
Mashallah Allah akuhifathi
Maashallah jazak Allah khairy
Masha allah jazakallahu kheey
Wallahi nimeinua mikono yangu umesema kweli kabisa
Jazaka Allah kheri shekhe 😊
Shukran shekhe wetu kwa mafunzo
Tuna kupenda pia kwa ajili ya allah
Masha Allah Allah akulipe kheri insha Allah kwa mafundisho mazuri na Allah atujalie tuwe miongoni mwa wenye kuyafanyia kazi insha Alla wallahi hiyo adhkar ya laila haila llah subhanaka inni kuntum minadhwaalimin inanisaidia mambo mengi kwa utukufu wake muumba Alhamdulilah sina shaka na dini yangu
MashaAllah Allah barik
Shukran sheikh
Mashallah shekhe ALLAH akuhifahi
Shukran sana ostaz mungu azidi kukujaza kheri inshaallah
Mashaallah jazzakum llah khaira allah akulipe kheri
Asante Allah awape umri mrefu ili mzidi kutujuza. Ammiin
MashaAllah MashaAllah shukran sheikh Othuman
اللهم صل على سيدنا محمد وآله وصحبه وسلم
Asalam alykum shukran kwa ukumbusho n faida Allah akulipe kheri Amiin
Shukuran shekhe
Kwa faida
Munguakupe mwisho
Mwema..inshaallah
Da shekh wangu unaongea point sana Allah akupe nguvu utupe mafunzo zaidi
JazakAllah kheir yaa sheikh
Allah Ampe Elim Zaid Shekh Wetu tupate Faida zaidi.
Mashallah mi God bless you shekh
Aameen inshaallah
Tunakupenda pia sheikh.baaraka llahu fika.wa jazakallahu khair