"'NYIE MMEPEWA PESA ZOTE ZA MRADI NA MAJI HAYATOKI HALAFU BILA AIBU MNANIDANGANYA"-RC MAKONDA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 9

  • @globalpeacesummitstv8825
    @globalpeacesummitstv8825 4 місяці тому +4

    Hii inaitwa Enterpreting Public Policy into real life of the society. Well done RC.
    Uongozi wa Kisiasa ni hesabu za Maisha ya Jamii.

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 4 місяці тому +4

    Titiii fo tatiiiii...wananchi wamecharuka kila mkoa unamtaka huyu mwamba....huwez kulala na mama chumbanii bila maaaaaajiiiiiii😂😂😂😂

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 4 місяці тому

    Mtakatifu paur🙏🙏🙏🙏🙏

  • @laurentndichaye1445
    @laurentndichaye1445 4 місяці тому

    Usikatishwe ramaa na wapigaji chapa kazi hakuna unyanyasi hapo .

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 4 місяці тому +1

    Wangefikiria namna ya kuhifadhi maji ili yatumike msimu wa upungufu wa maji yaani kiangazi.

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 4 місяці тому +2

    Maji maji yao

    • @denisyohana8104
      @denisyohana8104 4 місяці тому

      huku kwetu bukoba maji ni ya kutosha😅😅😅

  • @eliabbanyikwa8716
    @eliabbanyikwa8716 4 місяці тому

    Sasa swali gani Makonda hapo hela inatoka serikalini, serikali kama haitoi pesa huyo atoe hela mfukoni mwake?

    • @hamisimwandu5675
      @hamisimwandu5675 4 місяці тому

      Anavyo wabana hivi ujue data zote anazo kwa hiyo makonda sio mjinga awababnanishe wakati hera serikalini hawajatoa pesa