We must make this dude reaching atleast 1million subscribers it’s not fair for much efforts he put in his work to make us enjoying and till now didn’t got even million subscribers 😢
Katika Session ambayo Naipenda Zaidi ni hii unayoigiza kama Nishai achana na zile nyingine za Uzee mara Mwanamke.. Aisee hii ni Moto huwa Naifuatilia sana na Nacheka kama Kenge. Hongera sana
Mbona watu wanaomba Sana like Kuna Nini Kwan....embu nipeni na Mimi ata like tano tyu😂😂😂😂
Omba tu like acha kupitiya katika migongo ya watu kuomba like na wewe umesemeya Nini wakupe like Tano ingekuwa aupendi like sunge bakikimya
Nimewahi jamani basi tukiomba like kuna vijitu vinaumia humu 🤣🤣🤣🤣🥰
like unazipekeleka wapi kenge wewe ?
acha ushama
idiot 😏
@@officialkamdudu 🤣🤣🤣🤣🤣mwambie
Toa maoni tukujue like umetengeneza wewe
Ukuda uo sasa
@@khalidjafary1120 acheni ushamba kenge nyie
😂😂😂😂😂😂 Zuwena mkono wake kama ndizi ya kuchoma 🤣🤣🤣
😂😂
Naitwa nishai, kitombangile kitwango, mikazo , misuguano😂😂😂😂😂😂😂
Malizia "Miguno"😂😂
🤣🤣🤣🤣
Hilo jina la kwanz nimerudia mara mbili ckuelewa ww ndo unanijuza 😅
Joti we wamoto sana🔥🔥🔥🔥 eti mkono siokama zuwena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hamujambo ndunguzangu anae kubali nishai naomba like zake tafazali 😂😂😂
Uzipeleke wap hizo like?
Tuko pamoja
Huyo ni hatari kwa hapa Tanzania king of the comedy Joti respect my brother
Hi
likes unezipekeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba idiot 😏
Sio kama Zuwena, Zuwena anandizi ya kuchoma 😅
Water 😀😀😀
Really amazing 👍🏻💕👍🏻
“Sio Kama Zuena”😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 joti miyeyusho
Waah ZUWENA Kawa Star Jamani.. Diamond Mwacheni Tu.
MASHABIKI ZETU WA JOTI TV TUNAWAPENDA SANA MUNGU AWABARIKI
Asnte
🤣🤣🤣🤣🤣💯 kenya 🇰🇪 loves your humour nishai
Et Sio Kama zuwena Nimecheka Sana 😂😂😂😂😂
Hahahaha imenifurahisha kweli na Leo dakika zimekuwa nyingi za kutosha dakika 11 safi Sana nimefurahi. Ni nzurii Kama Ile ya kesi ya kuku.
Wa kwanza nipenii likes zangu😁😁😂
Zikusaidie nini ?
@@odilomwemeziernest646 😂😂😂😂
@@dottodottovales4138 🤗🤗🤗🤗🤗🤓😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Piga konzi piga konzi. Jotiii you are the best Bro 🙌🙌😂😂
Piga kozi
😂😂😂😂😂🔥 Anae mkubali tukae humu Kwa Nishai tia like Zako humu 🔥🔥🔥🔥😂😂😂
Ahm mimi naitwa nishai mtombangile kitwango mikazo miguno misuguano 😂😂😂
🤣🤣🤣
Mamae😂😂
Jina kali wee😂😂😂😂😂😂mbavu zangu
Joti my man love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Wa Burundi tujuwane apa
@@alimanana7564 💝🇧🇮💝
One of the best comedian in Tanzania he always break my ribs even before he starts talking 🤣🤣🤣
You're good in English Bro 👍👍
Nakubari King off the comedi nakubari sana joti ila mpoki anaitajika kwenye kazizako 🇲🇿🙏
Nimewahi leo gonga like km unamkubali joti 🥰🥰🤙🤙🤙🇲🇾
.msiishie kuomba like mbwa nyie muangalie matangazo na ku click ndio njia ya kumuungisha kama kweli mnapenda kazi zake
JOTI ni unajuwa Sanaaa 🤣
Mzee wa misala daah😅😅, Safi sana unaelimisha jamii🤝
Kama wengi,tunajua Chui ni mkali lakini anazaa,gonga like kama zote kwa Nishai
Aliesikia chimbo ugali na wali wa makoko tutambulishane isee mana ni 🔥🔥🔥🔥
MAUDHUI MAZURI SANA💥Nipe like zangu kama umefurahi na kupata funzo
It's the way he approaches women for me..
He be like crawling..and goes " helooooo''' 😂😂😂😂
Dripping his huge wagging troza😂😂😂
We must make this dude reaching atleast 1million subscribers it’s not fair for much efforts he put in his work to make us enjoying and till now didn’t got even million subscribers 😢
Wow !kuna vyumba vyumba ajili ya wachumba
Sehemu zetu za chimbo🤣 ugali na wali wa makoko😂
Hiv kumbe ndio kasema hivo😂😂😂
Nooma
🤣🤣🤣🤣 noma sana
Apan chezea jot broo utawakimbiza kila siku mn unajua adikelo asebroo wenoma 🔥🔥🔥🔥
🤣🙌🙌🙌 gari liko wap 😄 funzo tosha sana
Huyu ndio nishai... The great actor
Master comedy ni ww peke yako joti🔥🔥🔥🔥
Umetisha sana mr Joti 😁💥
Jot mchekeshaji bora 🇹🇿 na Africa mashariki
Hi Joti. I'm a big fan and one day I want to grow up to become an air condition 🤣🤣🤣🤣
Never disappoint jotiiii 🤣
😂😂😂😂joti anavyojitingisha kwenye hilo kochi sasa na kitambi chake😃
Tumtoe kwanza jamaa aondoke 🤣🤣🤣🤣 joti bhana
Nimeanzia kwenye comet za Wana🤣🤣🙌🙌
Aliesikia zuwena Ana ndizi za kuchoma nipeni likes zanguu😂😂😂😂😅
sio kama zuena 😂😂zuena ujue ana nanii ndizi ya kuchoma 😅😅
Akiymungu 😂 zuweza
Samia jina lako zitoo 😂😂😂
Hahahaha samia, jina lako zito
Gar anatafuta kwenye miti😅😅😅
Hahaha hii nibest yamwaka huu, muhudum naye huend mbinguni
Hhhhhhhhhhh
Ety sio kama zuwena mwenye ndizi za kuchoma🤣🤣🤣
Huyu muhudumu mbona anawaamasisha waende kupumzika 😂😂😂😂
Hivi kaagiza yeye
Na anakula yeye😁😁😁😁
Chui nimkali lakini anaswa🤣🤣🤣
Www niwa kwanza dar,nakufata toka congo
Hapo kwenye zuwena tuu 😂😂😂
Love❤️from Burundi🇧🇮😂😂😂🤣 Sio kama zuwena. Nishai lofa sana.😂
uk vzr bro
Anatafuta gari hadi kwenye maua!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jot 🙌 hahahaha et watel badala ya water umetishaaaa Sana💯
Ni wateri sio watel
Huyu ndo king comedian, yani kwa bando lang la buku kila ijumaa nachekaga tu 😁
Mnapewa gari muoshe mnaenda kuuzia sura aya sasa yamemukuta jot leo hahahahahahaaa mbvu sina mimi
Bregediaaa!!mwamba huyu hapa😅😅
Katika Session ambayo Naipenda Zaidi ni hii unayoigiza kama Nishai achana na zile nyingine za Uzee mara Mwanamke.. Aisee hii ni Moto huwa Naifuatilia sana na Nacheka kama Kenge. Hongera sana
Na ya uzee pia nzuri. Ile ya mwanamke hapana siipendi
🤣🤣🤣🤣 mkono soft Si kama zuena daaa joti umetisha babaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Atalipa kweli hii bill Nishai 😂😂😂😂😂😂
Joti on the 🔥 🔥 brother
Hapo kwa ZUWENA ilinibidi ni stop kidogo, sikutarajiya kwakweli 😂. Alafunilikua chooni nilicheka kwa sauti kubwa… Daah 😂😂
Yaaan najikuta nacheka uku naendelea kutizama Ata sijui nacheka nn Ila Jotii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
🤣 🤣 🤣 🤣 Yaaayayayayah big up bro
Unajua kuchekesha walionuna🤣🤣😂😂😂
Mnafaa mpige moja na crazy kennar
Unakula vzr km kuku anaingia bandani mguu chaga mguu net😁😁😁
Joty wewe ni super comedian
Niko kwenye process 😂😂😂
Huo mrija had unaliaaaa Jiti khaaa🤣🤣
King of comedy
Joti unavyojitupa kwenye kochi sasa😆😆😆eti acha utani bana
Nakukubali sana mwamba
Mtombangile kitwango 😄😄😄 chuma boxaaa
Ahahaha nishai nn lakini umeongeza jina ety nishai mtombangile kitwango mikazo miguno misuguano🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nishai ndo hua balaa 🔥
Hapo kwenye ugali na wali wa makoko ndo umetisha joti tz.......kiboko kk🤣🤣🤣
hivi mlewa mnamzingatiaga kweli?mlewa anajua sana 🙌🙌
Asante kaka
@@mlewazitotv BIG up bro 🙌🙌
Gari inatafutwa kwenye vichaka🤣🤣🤣🤣🤣😍😍
Nmecheka sio kma zuwena😁😁😁😁😁😁😁☹️☹️☹️🤣🤣🤣🤣🤣
Gari kwenye majani😂😂😂😂😂😂
Zuwena tena 😃😃😃😃
i lov when he say chombo😂😂😂😂😂
😂
Na wew unapkuja beba kwa pmja sio unaingilia mazunguzo
"Sio kama Zuwena"!
Mtombangile kitwango😄😄😄😄
Jott jamani mm ni kaka yako🤭🤭🤭🤭
Daaa kama ungeniona jinsi nilivyo kaukiwa uku broo Kwa kicheko ungenionea ata uruma broo joti naomba ata ela ya soda broo😂😂😂😂😅
Alie sikia Ugali na Wali wa Makoko 😂😂😂
Nguvu ya chombo 😅
Noma sana nishai💯💯💯
Nishai unajuwa😂😂😂
Make kwanza nicheke 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Gari ipo wapi