Highlights Shekhan Ibrahim khamis Mchezaji Mpya Wa Yanga , Ufundi, Kasi, Mashuti, Kama Pacome
Вставка
- Опубліковано 13 гру 2023
- shekhan ibrahim khamis skills and goals tazama uwezo wake wakupiga chenga kupiga mashuti kujiamini lakini pia aina ya uchezaji wake unataka kufanana na mchezaji pacome namna anavyo lazimisha kwenda mbele anacheza kama mchezaji alie komaa kabisa lakini ndio kwanza ana umri wa miaka 18 pekee
#shekhanibrahimkhamis #shekhanibrahimkhamisskills #yanga #usajiliwayanga #michezotanzania
#lunyamilatv #uchambuzi #michezo #yanga #simba #alikamwe #ahmedally #aziziki #pacome #maxnzengeli #tetesizausajiliyanga #usajilisimba #usajiliwayanga #usajiliwasimba #habarizamichezo - Спорт
dogo ni bonge la mchezaji hyooo,anajua tena anajua tenaa💚💛💛💚💛💚💛
Yupoo vzuriii zanzibar finest
Yuko sawa naamini atafanya makubwa
Huyu dogo akipata kuvumiliwa,kuaminiwa na kucheza mechi za kutosha kama Mzize, hakika huyu ni Rivaldo kabisa pia atafika mbali zaidi baada ya Yanga SC
amini kwenye hili ...
Safi sana anajuwa
Uzr Yanga mnajua kuchagua vifaa. Letaleta uyo
Fundi 🔥🔥🔥🔥
Vuta picha acheze na AUCHO, daddek...
Yaaa that's true
Angalia pass accuracy na ball control plus body physique... Utajua huyu dogo anajua
khamis Teisar ako wap
Makolo watakufa kwa wivu mchezaji nimzuri japo clip hizo siyo zinazocheza
Anacheza kama azizi k
Huyo anapenda udambwi udambwi kama skudu hakuna kitu hapo
Hamna kitu hapo
Shekhan ni Rivaldo mtupu
Uyu ni kama tepsi evansi tu .
Bado sana
Kama ndo uyo yuko vzur
Kama kina shua kibwana nkane faridi wanakufa viwango pale yanga uyo anaukubwa gani
Mbao Ndefu zinamhusu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Yaaan Yanga SC laha iliojee haishikik duh taaaamu niaminin Mimi watu wangu
Huyu bado sana, sema tu Kwa yanga watamkuza na ataonekana baada ya miaka miwili au mitatu kabisa.
Apo wamezingua
Wenda mua kiwango tu
Shida yanga ni washambuliaji sio viungo,viungo wapo wengi yanga,sijui lkn viongozi wamewaza nini?
Wewe unataka achezaje?
Tatizo mnalete habari za siku nyingi
Hii Habari Ya Moto Kabisa Huyu Ni Mchezaji Mpya Wa Yanga Alie Sajiliwa Juzi Unasemaje Ni Habari Ya Siku Nyingi 😂😂😂
Nan kakuamby young wak vizur❤❤❤❤❤ iiiiiiii love young❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@@tonnymusic9396 jaman wew kwanini umemcheka mwenzko Ivo japo kua ata Mimi nimecheka ila baada ya kusoma comment yak duu jamaa ajui hapasw kuchekwa namna iyo aide mueleweshe vizur japo anachekeshaa AAA nimeshidwa kujizuia namim 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
Huyu akicheza yanga hato cheza hivi hapo asilimia kubwa kama hawaamini wenzake hivyo anatumia nguvu nyingi kule ni kitimu
Sio kweli
Uyo fei alivyo kuja ndio alikua kama hivi sasa
Makolo mlichukua musa mka mpiga misumar ata avumi
Ndio mana Kuna kocha atafundishwa
Hakuna kitu,ni mikimbio tu
😂😂😂 acha wivu
Weeeeeeeeeeeeeeeeeeee ten ishia hap hamia young wanacheza vizur
So wivu ukwel sku zote inaumaga
@@user-nd4mv5mr8fkama matako kheee ukweli gani unao uzungumzia apo sas😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa hyu yanga hawakusudii kupata magoli kutoka mguun kwake, Bali ataisaidia yanga kwenye kuongeza ugumu wa kiungo