ISHU YA AZIZ K YAIBUA MAZITO,GB64 ADAI UKIUWA KWA UPANGA UTAKUFAKWA UPANGAAWATAKA YANGA WAVUMILIE TU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024
  • #ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam

КОМЕНТАРІ • 164

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 2 місяці тому +4

    Eng Hersi Said amekujaza mimba kudadeki

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha2753 2 місяці тому

    Ama kweli!!!!

  • @reggezawady4994
    @reggezawady4994 2 місяці тому +1

    Yupoooo

  • @geraldmbengwa6381
    @geraldmbengwa6381 3 місяці тому +5

    Wewe kama huvuti bangi basi utakuwa chizi, Aziz ki bado yuko sana

  • @HelenAllySorirey
    @HelenAllySorirey 2 місяці тому +3

    Kweli nimeamini makolo wazee wakipayuka

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 2 місяці тому +1

    Hela ya Chama tunayo na Aziz tunayo tajir yetu cyo chupli,chupli😂

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 3 місяці тому +11

    Mashabiki wasimba ni mazwazwa wa karne basi hapo kwa akili zao zakupayuka wanaamini kwamba nikweli ki anakwenda simba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 3 місяці тому +3

      😂😂😂😂😂 yani kaa wanywa gongo 😂😂😂😂😂

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 2 місяці тому +1

      Mnawashwa eeeh!!!???

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 2 місяці тому

      Hapo hajasema km anaenda Simba acha uchiz au kiswahili sio lugha yko huelewi hapo

    • @donkhan6841
      @donkhan6841 2 місяці тому

      Hawajui kwamba ni swala la branding na marketing. YANGA ndio timu pekee inayojua kucheza na akili za watu

    • @yonaivan
      @yonaivan 2 місяці тому

      Kapimwe akil ww, kwan kuna mtu aliamin chama anakwenda utopolon, ww subir majibu tu

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile 3 місяці тому +8

    Aziz ki kuja Simba ni ndoto gb 64 we waokote Wana Simba wengine ila Mimi umenikosaaaa

    • @kitaraabdi9529
      @kitaraabdi9529 2 місяці тому +1

      Mtasema tu tajiri kaludi

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 місяці тому

      Tajiri yupi unaemsema?muda ule alikuwa wapi?hapo mnajifariji kupitiliza​@@kitaraabdi9529

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 3 місяці тому +2

    Waweke sawa Enginiaaaaa😂😂😂😂

  • @EliasFijabo-pt2zb
    @EliasFijabo-pt2zb 2 місяці тому +2

    Mechi ya costa ilikuwa mbombo ngafu Azizi ki aliiamua mechi dah gb aisee mbombo ngafu musimu ujao yanga wajipange mbombo ngafu

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 3 місяці тому +5

    😂😂😂😂. Generator la uongo ..... kelele nyingi kiboko yao ni Mangungu

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha2753 2 місяці тому

    Ama kweli huna akili

  • @JofreyNyelo
    @JofreyNyelo 3 місяці тому +5

    Ww utachekea chooni kesho tu!

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 2 місяці тому +1

    Kuanzia leo sikuamini tena mbwaaa we

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 3 місяці тому +5

    Mtasubili sana kolo nyiye

  • @khalidjmaftah9449
    @khalidjmaftah9449 2 місяці тому

    Yaaan anajiona ana akili sanaaa kuliko Hersi😂

  • @MohamedBilal-w6m
    @MohamedBilal-w6m 3 місяці тому +4

    Ukifiwa na mzazi huwezi kuamini mpaka azikwe

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 2 місяці тому +1

    MASHABIKI WA MAKOLO NI MAMBUMBUMBU WANAAMINI UONGO KULIKO UKWELI,NDIO MAANA YANASUKUMWA NDANI,🤣🤣🤣🤣🤣🤣😛😛😛😛😛😛😛😛

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp 2 місяці тому

    Hili jama mm silikubali tena sahiv bada kupata umarufu sahiv anaropoko t mwanzo akiongelea mpira vzuri

  • @GiseracharlesGiseracharles
    @GiseracharlesGiseracharles 2 місяці тому

    Kweli walisema duniani Kuna watu na viatu GB 64 nikiatu tuu

  • @kitengekitenge4881
    @kitengekitenge4881 2 місяці тому

    Unarpoka sana sometimes! Angalia utapoteza heshima

  • @jeremiamadinga9579
    @jeremiamadinga9579 2 місяці тому

    Kumbe nikweli ulitumbuliwa hunaelim mazungumuzo Yako niyamtu hajaendashule

  • @benottmhamila1452
    @benottmhamila1452 2 місяці тому

    Katika mazwazwa huyu yuko nafasi za juu sana,

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 2 місяці тому

    Awez ondoka yanga ongeza kufikiria

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 2 місяці тому

    Hivi umeshahamia Azam

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 2 місяці тому

    Gb64 una mtindio wa ubongo subiri 5 tena tarehe ya ngao ya jamii na Aziz atwafunga Simba goli 1 katika kipigo cha siku hiyo Inginia anatembea na akili za mabwege kana hili hapa

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 2 місяці тому

    Halafu anajifanya alikuwa mwalimu

  • @neemabochellah8416
    @neemabochellah8416 2 місяці тому

    Hersi anajuwa kuwachetuwa makolo kikowapi sasa

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 2 місяці тому

    Leo ndio nimeamini maneno ya alhaj Ismail Aden Rage kuwa nyinyi ni mbumbumbu

  • @LuqmanJamal-s6y
    @LuqmanJamal-s6y 3 місяці тому +2

    Tulia ww hutambuliki msimbazi...ukivua miwani ww mwenyewe umefanana na dube😂😂😂

    • @Dewizzyommy
      @Dewizzyommy 2 місяці тому

      🤣🤣 wew jau kinoma

  • @JuniorMbando
    @JuniorMbando 2 місяці тому

    Huyo jamaa hanaga akili ndo maana alipelekwa polisi

  • @IsmailHija
    @IsmailHija 2 місяці тому

    Ki azizi bado yupo yanga

  • @BenjaminiBnyetanyau
    @BenjaminiBnyetanyau 2 місяці тому

    Huyu jamaa alituambia chama kasaini Simba miaka miwili

  • @maulidichongoe5192
    @maulidichongoe5192 3 місяці тому +2

    3:47 imeisha iyo

  • @mudywambash6684
    @mudywambash6684 2 місяці тому

    Umeingizwa Chaka wwe we nidogo Sana kwenyempila

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 2 місяці тому

    Haaaaah!! Kwaiyo Aziz k yy asikilize maneno ya madhibiki wakulopoka lopoka kama mwalimu kweli ww kweli kubwa jinga apo kalume haufanyi kazi kutwa nzima ww kushinda na waandishi tu iloooooo kubwa jinga

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws 2 місяці тому

    Aibu Yako sasa k huyo ndani ya yanga

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo6302 2 місяці тому

    Kwachama ulijiapiza Sana leoyuko wapi

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 2 місяці тому

    Mfoji Vyeti Akili yake haina Msaada kwa Jamii
    Mropokaji na mbea na unafiki walimuweza walipo muweka Rokapu alipo tolewa Akili imerudi nyuma

  • @NduwimanaMoussa-bu3ic
    @NduwimanaMoussa-bu3ic 2 місяці тому

    Wegb.unaropoka.sana.mwisho.naweye.namsemaji.wenu.mtayibika.mnepigwa.kufra.azizik.hajasaini.hukumuona.mamayake.wakati.alikuwa.hapa.kaenda.nampunga.wamyaka.miwili.ya.z.aziziki.mtaropoka.sana

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 2 місяці тому

    Mhuuu huna akili ww wangejua wakuache lokapu kumbe jinga pori

  • @JeladiMtengwa-p6v
    @JeladiMtengwa-p6v 3 місяці тому +2

    namba yako nayipatje kaka kuna soda balidi yakwako

  • @ELIACHOMOLA
    @ELIACHOMOLA 3 місяці тому +1

    Sema mdogo wangu ukweli

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 2 місяці тому

    Watoto wako wasipokusalimia unakasilika kumbe dingi hamnazo

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha2753 2 місяці тому

    Kunywa simu tu ufe. Hazikutoshi kabisa

  • @AyubuRamadhani-wz4gk
    @AyubuRamadhani-wz4gk 2 місяці тому +1

    Pumbavuuu

  • @mudywambash6684
    @mudywambash6684 2 місяці тому

    Kachane nywelewweeeee

  • @kamanda7703
    @kamanda7703 3 місяці тому

    Gb 64 ungeweka wazi tuu. Yanga ni mawakala au madalali wa ki aziz lakini hawawezi kuuza mchezaji ambaye hana mkataba kwao . Ila yanga hawataki kutoka mkono mtupu wapate japo chochote na ni haki yao kupata vi coins kwa yale mambo walofanya pamoja na ki aziz

  • @richardrashidi7878
    @richardrashidi7878 2 місяці тому

    Apigwe vibao huyo kama alivyo sema apigwe, haya sasa mwamba master k kabaki analakusema huyo?

  • @subiralema
    @subiralema 2 місяці тому

    Punguzeni maneno kasharudi😂😂😂😂😂

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 2 місяці тому

    Mhhhh!!! Ww mtego huo Aziz yupo

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy 2 місяці тому

    Yani azizi kii acheze shirikisho unaumwa wewe laana tumia akili kuma wewe

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 2 місяці тому

    Tunza kumbukumbu hii azizi bado yupo sana yanga shauli yako

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv6958 2 місяці тому

    We akili una

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 3 місяці тому

    Pumba zingine ulizoongea ila ulichosema kweli viongozi Kama kweli walikuwa na Nia ya dhati na Aziz wasingeshughulika na Chama na hilo Mimi nilicoment huu ni uzembe.

  • @ChoghoghweDaudi
    @ChoghoghweDaudi 3 місяці тому +1

    Hawa watu wasioamini wanashida yaakili? mbona chama aliondoka jamani

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 2 місяці тому

    Kaka yanga siyo mambugila kama viongozi wa simba azizi k kitambo sana Alisha sine yanga usipoteze nguvu zako zote kuongea kaka yanga na kesho kutwa tu utapigwa makofi ahooo

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 3 місяці тому

    Mnapata taaaabu kumuingelea Azizi Kii badala mjipange,sivyo mtapikwa 12😂😂😂

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo6302 2 місяці тому

    Ndio maana uliwekwa ndani

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 2 місяці тому

    Mshabakwa teary nyieee😂

  • @AndrewBernard-l3j
    @AndrewBernard-l3j 3 місяці тому

    Mmh hata hujui kitu

  • @rashidrashidmaulid1129
    @rashidrashidmaulid1129 2 місяці тому

    Afu kweli we ni chapombe Leo ndo naamin

  • @AlfredEssau
    @AlfredEssau 3 місяці тому +1

    Mzee uctumie nguvu saaana, wenzako wako kiuchumi zaidi!! Fanya utafiti kwanza maana unawapoteza Makolo wenzako!! Ndo maana mwandishi Justine Kessy aliwahi kusema jamani someni, nendeni shule!!!

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana 3 місяці тому

    Gb64 ww ni mjinga na unatumika. Uingozi wa Yanga upo makini hauwezi ukanyamaza kimyana kumwachia Azizi Ki.

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 2 місяці тому

    Tabu ni kwamba unapiga kelele sana sio unaongea unayoyajuwa redio ugali itakupoza ndio maana ulsweka ndani

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 2 місяці тому

    Mbumbumbu fc Kiko wp? Mnazugwa tu soka Ina wenyewe kolo

  • @BilaliBilaliamri
    @BilaliBilaliamri 2 місяці тому

    Sikia ili tahira maskini yamungu

  • @twahamapande2702
    @twahamapande2702 2 місяці тому

    Umri wako na vitu unavyo viongea tofauti

  • @hamisibakari6525
    @hamisibakari6525 2 місяці тому

    Etii nilikuwa mwalim

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 3 місяці тому

    😂😂😂😂 kweli huyu boya
    Kama alivyosema atahama chama akihama leo anaongea pumba kweli😂😂😂
    Huyu hajui yanga ni mafya
    Eleweni azizi ki ni mali ya Yanga

  • @MwalumeSavej
    @MwalumeSavej 2 місяці тому

    achen upumbav. Niny uto pwax AZZ k yet nan mpaka ache Simba

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 3 місяці тому

    Ndio maana Mimi simpendi Mwalimu yanga na god nawaonaga kama waseng maana hupenda kutuharibia kwa misifasifa yao

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 2 місяці тому

    HILI NALO KUNA KIPINDI LINAKUWA ZWAZWA TU

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 місяці тому

    Kolo wanaridhika haraka

  • @ismailhamisi3461
    @ismailhamisi3461 2 місяці тому

    Wanachama wenzangu kwani shida nini? Hata kama azizi anaondoka yanga ndio itaakufa?? Tuache matusi yasiyo na msingi

  • @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf
    @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf 3 місяці тому

    Huna akili wew

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 місяці тому

    Yanga wanasafiri wazee wa tasafu

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 3 місяці тому

    Huyu mjinga bado anaweza kuzungumza mbele za watu.
    Mwehu tu huyu

  • @chikizamifupa5786
    @chikizamifupa5786 3 місяці тому +1

    Azik kisha saini miaka 2 Yanga. Na yuko njiani kurejea Dar.

  • @RehemaAbdala-kp9dz
    @RehemaAbdala-kp9dz 2 місяці тому

    hahahaha inauma ee ndio kwanza mambo yapo mezani

  • @Juliusbagasheki
    @Juliusbagasheki 3 місяці тому

    Kumbe GB 64 unabwabwaja tu mimi nilidhani unayoongeaga unafanya utafiti kwanza ( No research ...no freedom to speak) for your information Ki Azizi really is a Young Africans Sports Club player.!

  • @bashirjama8225
    @bashirjama8225 3 місяці тому

    Hujamuelewa hajasema anakuja simba

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 3 місяці тому +1

    YANGA WAONGO

  • @SundayMbatia-hr8qp
    @SundayMbatia-hr8qp 2 місяці тому

    Hv kwann mwana aliitwa gb 64😂😂😂

  • @SalumuSadie
    @SalumuSadie 3 місяці тому

    Huyu akili yake imeyumba kwanza ahamie azam km alivyoahidi kwamba chama akienda yanga anahamia azam m ona hajaenda leo anamzungumia aziziz ki huyo anaakili kweli? yaani Kwa ueledi wa viongozi wa yanga ulivyo ni wakumwachia azizi ki aka heze shirikisho ht mchezaji atakuwa na akili kweli aende simba raisi amewazinhuwa wamezingulika watu wenye akili finyu km huyu dishi limeyumba huyo

  • @SaidSammedia
    @SaidSammedia 3 місяці тому +1

    Gb umeishiwa ww roho yakutapatapa

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 2 місяці тому

    Kumbe we MBUMBUMBU kweli

  • @RichardMsoka
    @RichardMsoka 3 місяці тому

    Kwani ameondoka?

  • @nasseralshaibani6995
    @nasseralshaibani6995 3 місяці тому +3

    Viwango gani? Kucheza na majini

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 2 місяці тому

      Inaonekana wewe ni muumini Mkubwa wa Majini! Unayafuga nini!

    • @nasseralshaibani6995
      @nasseralshaibani6995 2 місяці тому

      @@matiankomola2391 ntakuletea na wewe wakukabe roho. Nnashinda na wewe na nnakupa mfano mechi ya fainali yanga vs coastal union ile mechi ilikuwa ya uchawi wa hali ya juu na umeona uwezo wa Akpan alikuwa star simba wakamchukua na matokeo yake nini?

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 3 місяці тому

    Nilikuwa nakukubali lkn kumbe naww nizuzu tu ulisema chama akienda yanga unahamia Azam au siyo ww kumbe naww nibwabwa tu mchome ndio shabik wasimba mwenye akili

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 2 місяці тому

      Usijifariji mchome anapumuliwa kisogoni kama wewe tu usimuonee wivu ongeza ufundi wateja wataongezeka tu. SIMBA ina watu wenye akili %100. Mliambiwa kwenye timu nzima ile watu wote hawana akili wenye akili ni watu wawili tu Rais mstaafu na Mz Manara. Sasa ktk hawa watu wawili walio twajwa hapa wewe upo? Kama haupo jibu liweke matakoni. Acha Mchomwe ww na mwenzio mchezo mlio uchagua sio rafiki mbele ya safari.

  • @mirajiali3926
    @mirajiali3926 2 місяці тому

    Chizi wewe usikatae kutiwa makofi leo maana wewe unatoa ahadi halafu unashindwa kutekeleza

  • @ChiefRamso-k4d
    @ChiefRamso-k4d 3 місяці тому

    Nyie ropokeni tu hasa wewe ulisema chama hawezi kwenda Yanga na kaenda Azizi haondoki Yanga mnachuuzwa akili tu

  • @Eliacharless-f3z
    @Eliacharless-f3z 3 місяці тому

    Ndo maana wanakuweka selo unakulupuka

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 3 місяці тому

    Kifariji 😅😅

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt 3 місяці тому

    Tulia kidogo wewe kutudanganya kwamba umekaa na mo kwamba chama atabaki simba mwisho wayote chama akaenda yanga kwaivyo kutoka hapo nimekuwa nyota hunaukweli kwaivyo ki azizi atacheza yanga punguzo mdomo kidogo mm naamini utafikia.

  • @msemakweli...
    @msemakweli... 3 місяці тому

    Hii akili ya huyu jamaa ndo akili ya mikia wote yaani jana Hersi alipomaliza tu ile interview yake mo dewji akatuma offer kwa Aziz Ki😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 2 місяці тому

      We akili yako kama ya Baba yako wa kambo mjinga wewe Mo una ushahidi kua ali tuma offer? Unamfuata Momo akili za kuambiwa changanya na za kwako. Tumia akili kumtafuta Baba yako wa halali. Usitumie Matako kwenye kufikiri.

    • @msemakweli...
      @msemakweli... 2 місяці тому

      Yamekuchoma eeh!? We nae ndo wale wasiokua na akili ni kama umetolewa ubongo ukawekewa mavi😂 pole ukweli ni kwamba mmeingizwa mkenge na Hersi mafala nyie. Tajiri yako kakurupuka ka ushuzi katuma offer asijue Hersi anaongea nini. Asee Rage habahatishi kuwaita majuha🖐🤣🤣🤣🤣😬@@MrishoMindu-zq7mz

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 2 місяці тому

      @@msemakweli... we sio bure utakua kisoda cha Bar kila mlevi ana kikanyaga hujielewi . Inawezekana soka la Bongo umeanza kulifuatilia Baada kukosa mbolea ukaona uache kilimo. Ufuatilie Soka la Bongo. Lina Drama Nyingi sana acha uchizi pimbi laa zili. Rage nani akisema neno ni Sheria? Rage akikwambia mimi Baba yako unakubali kwa sababu kasema Rage Badala kuushirikisha kwanza ubongo wako una shirikisha kiduara ktk kufikiri. Jiongeze toka gizani. Ndio shida ya Mijitu ya Bara.

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 2 місяці тому

    Hahaaaaaaaaa

  • @Farida-vg5ry
    @Farida-vg5ry 3 місяці тому

    Hizi ni propaganda tu kazitengeneza GSM sio kweli aziziki kuja Simba wametengeneza propaganda

  • @edwarddastani3691
    @edwarddastani3691 3 місяці тому

    Kaka utawauwa utopolo kwa pressure 😂😂😂😂😂😂😂

    • @AlfredEssau
      @AlfredEssau 3 місяці тому +1

      Huyu c alisema Chama akienda Yanga anaacha kushabikia Simba! Hanaga vyanzo sahihi vya taarifa, yeye anaangalia online videos tu!! Ila kwa kuongea ni mtu na nusu

    • @awetumtengera1147
      @awetumtengera1147 3 місяці тому

      Huna jipya ww na hata azizi k akiondoka pengo lake litazibwa na wengine. Hata waliokuwepo hukuwajua na walifika wakavuma na tukawafunga kifurushi Cha wiki na wale wale Bado wapo hii ndiyo yanga Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚💚.

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 3 місяці тому

      Sisi sio mambumbumbu kama rage alivyo waita
      Hapa ndio unaona kiwango Cha umbumbumbu😂😂😂😂😂😂😂

    • @msemakweli...
      @msemakweli... 3 місяці тому

      Na kweli atawaua utopolo wa mo dewji kwa pressure wakigundua Aziz Ki bado yupo.😅😅😅😅

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 2 місяці тому

    WEWE ACHA USHAMBA AZIZI KI MBONA YUKO YANGA MNAJAMBISHWA TU